Baada ya Gari la Msafara wa Ali Kiba Kugoma, Hiki Ndicho Kilichotokea

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • MSANII mahiri wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Ali Kiba mara baada ya kuwasili katia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere akitokea South Africa alikoenda kukabidhiwa tuzo yake ambayo alishinda lakini yakafanyika magumashi na kupewa msanii mwingine.
    Baada ya kuwasili uwanjani hapo, Ali Kiba alipokelewa na nyomi ya mashabiki wake waliokuwa wakimsubiri kwa hamu, ambapo alipata nafasi ya kuzungumza machache kabla ya kuingia kwenye gari maalum lililokuwa limeandaliwa, kisha kuondoka huku akisindikizwa na mashabiki wake ambao walionekana kulalamika kutokana na gari alilipanda Kiba kutokuwa na sehemu yenye kufunguka kwa juu ambayo wangeweza kumuona, jambo lililosababasha Abdu Kiba kupigiwa simu na kisha kuleta gari yake yenye kufunguka juu ambapo furaha ya mashabaki wake ilirudi na kisha wakaunga msafara kumsindikiza huku wakiimba nyimbo zake kwa shangwe.
    kabla ya kukabidhiwa tuzo hiyo ya MTV, licha ya kushinda, alitangazwa msanii mwingine, Wiz Kid kwamba ndiye aliyeshinda lakini baada ya menejimenti ya msanii huyo kusimama kidete, baadaye MTV wakakiri kwamba mshindi halali alikuwa ni Ali Kiba na kuahidi kumpa tuzo yake, jambo ambalo hatimaye limetimia.
    ALIKIBA| MTV| TUZO| KIBA| AJE| KING KIBA|

Комментарии • 91