PART15:PASTOR ISACK JINSI YA KUJUA KAMA NAFSI YAKO IMETEKWA KICHAWI,DALILI NA JINSI YA KUJINASUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 11

  • @geofreymulei5695
    @geofreymulei5695 Месяц назад +3

    KAZI safi davistar Mr everything shikiria hapo naikiwesekana kua na huyu mtumishi akulee baadae utaona manufaa

  • @ombeniyohaneaustin8415
    @ombeniyohaneaustin8415 29 дней назад +1

    bwana yesu asifiwe

  • @jonasiisaka
    @jonasiisaka 29 дней назад +1

    Mjue kitu kimoja kwaulimwengu wasasa watu mfano wa ngano niwachache sana wengi wana taka miujiza awataki mafundisho ili wajitoe kwenye vifungo vinavyo watesa ndio maana wanaibiwa na watumishi hewa pole sana

  • @kahindiwanje90
    @kahindiwanje90 Месяц назад +1

    Safi

  • @tonitodd1922
    @tonitodd1922 Месяц назад

    Kazi nzuri Davistar Mata media 👍

  • @joselynenizi9475
    @joselynenizi9475 28 дней назад

    Asante sana mtumishi wa Mungu ❤❤unatusaidia sana ,nimejigunduwa nina nia ila sina musukumo 😢😢😢Mungu anisaidie

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 28 дней назад

    Acha kumuiga huyo mtu

  • @jonasiisaka
    @jonasiisaka 29 дней назад

    Acha magugu na ngano yakue pamoja

  • @WilberforceLuvai
    @WilberforceLuvai 26 дней назад

    Kile kinafundishwa,kwa umakinifu kitakusaidia katika uelezi na uelewa,ukipata lako lifanyie kazi

  • @dazoldaz4610
    @dazoldaz4610 Месяц назад +1

    Upo na 241k subscribers Mzee ulifeli waapi, jee ni mtiririko wa stoli, ama ni kuegemea pande Moja ama unafeli wapi.. hao laki mbili wote walifariki😢 bona sioni views , sioni coment

    • @abdimohamed3953
      @abdimohamed3953 Месяц назад +1

      Walio wengi niwapenda story, ambazo mwisho wake wanabaki vile vile na Imani zao ama bila badiliko lolote ndio maana wamepukutika lakini naamini wataongezeka wengine wengi Zaid nawachache tuliopo tutaendelea kuwepo