Ikumbukwe kuwa hawa wapya ndo wanajaribiwa ktk mifumo, ni nani ache na nani ili kupata tija. Hivyo tusimwingilie kocha kwenye jukumu lake. Amekuwa akimtumia forward mmoja lkn leo katumia 2 kwa mpigo hivyo anajua anachofahamu. Mifumo iko mingi. Aidha, kazi yetu ni kushangilia tuwaige waarabu na siyo kujifanya wote ni makocha. Tusimame kwenye nafasi yetu ya kushangilia
Dube yuko bomba sana,.mwacheni.
Gamondi anakosea sana kumpanga Pacome na Chama. Pacome anaweza kucheza vizuri na Azizi Ki.
Usimpangie gamond kwenye ufundi wake, uchambzii wenu ni wa kishabiki against YANGA.
Wote mnao muona dube afungi msiwe na wasiwasi ata kata kiu yenu kwenye Darby
Ikumbukwe kuwa hawa wapya ndo wanajaribiwa ktk mifumo, ni nani ache na nani ili kupata tija. Hivyo tusimwingilie kocha kwenye jukumu lake. Amekuwa akimtumia forward mmoja lkn leo katumia 2 kwa mpigo hivyo anajua anachofahamu. Mifumo iko mingi. Aidha, kazi yetu ni kushangilia tuwaige waarabu na siyo kujifanya wote ni makocha. Tusimame kwenye nafasi yetu ya kushangilia