Mgaagaa na upwa:Kinyua amejitosa kwenye kilimo mamboleo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Joseph Kinyua mwenye umri wa miaka 29 na ambaye ana shahada kutoka chuo kikuu amejitosa katika kilimo mambo leo akitumia teknolojia ya kupanda mimea kwenye mifuko na unyunyiziaji mimea maji kwa kutumia maji yaliyorutubishwa. Ni mbinu ambayo imempa yeye na wenzake njia ya kujipatia kipato. Laurine Jepchirchir alimtembelea Kinyua katika shamba lililoko kando ya barabara kuu ya kuelekea Thika na anatuletea ripoti ifuatayo ya makala yetu kuhusu vijana na chipukizi wenye bidii.
    Connect with KBC Online;
    Subscribe to our channel: t.ly/86BKN
    Follow us on Twitter: twitter.om/KBC...
    Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
    Check our website: www.kbc.co.ke/
    #kbcchannel1 #news #kbclive

Комментарии • 6