Teacher mbona mwongozo huo wa kupata mkopo ni mgumu sana maana kuna wengine taarifa za wazazi hatuna. Mzazi alifariki na kuzikwa kienyeji bila cheti kutoka RITA sasa sijui tunafanyaje ili kupata cheti hicho
Kuomba MKOPO maana yake unaweka location ya chuo kusudi ukija uende kama ni UDOM au udsm nk.. kwaiyo mliomaliza form six bado nyie hamna shifa ya kuomba kwa Sasa..
Mm nikiweka namba ya verification code kutoka Rita naambiea Rita details not found nifanyeje???
Nimeingia kwenye guarantor page inanigomea shida nn jaman
oya inakuwaje...Nimetengenza Tayr Account Lakin kil nikitaka ku logging in inznguwa Inasem No active Account ........ nisaidie nifanyeje
Kwani lazimq uwe na namba ya nida??
Teacher mbona mwongozo huo wa kupata mkopo ni mgumu sana maana kuna wengine taarifa za wazazi hatuna. Mzazi alifariki na kuzikwa kienyeji bila cheti kutoka RITA sasa sijui tunafanyaje ili kupata cheti hicho
Jaribu kwenda Lita nadhani kuna utaratibu Wa kufanya
Mbn nimelipia alafu wanaonesha sijalipia bado
KWA NIN UMESEMA TUSITUME MAKAL NGUME KWENDA BODI YA MIKOPO
Teacher kwani dirisha la mkopo kwa sisi form six tuliomaliza limefungukiwa pia?
Kuomba MKOPO maana yake unaweka location ya chuo kusudi ukija uende kama ni UDOM au udsm nk.. kwaiyo mliomaliza form six bado nyie hamna shifa ya kuomba kwa Sasa..
Ambao wanasubiri matokeo wanaruhusiwa kuomba mkopo kabla matokeo hayajatoka kama ana uhakika atafaulu?
Nimepangiwa diploma in pharmaceutical science je naweza kupata mkopo?
ndio
Pia na wale waliomaliza mwaka jana form six nao inakuaje ambao hawakuenda chuo wala kupata mkopo teacher?
Wako wapi saivi?
Wa diploma wanatiwa moyo ama ni kweli watapewa mkopo?
Ndy wakasome MUONGOZO Wa MIKOPO kwa diploma ushatoka
Vp dirisha limefunul8wa au
oya inakuwaje...Nimetengenza Tayr Account Lakin kil nikitaka ku logging in inznguwa Inasem No active Account ........ nisaidie nifanyeje