JINSI YA KUOMBA MKOPO ELIMU YA JUU DIPLOMA NA DEGREE BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU 2024/2025 HESLB

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 19

  • @VFX081
    @VFX081 15 дней назад

    Mm nikiweka namba ya verification code kutoka Rita naambiea Rita details not found nifanyeje???

  • @LakeTrans
    @LakeTrans 4 месяца назад

    Nimeingia kwenye guarantor page inanigomea shida nn jaman

  • @ringolizm16
    @ringolizm16 5 месяцев назад

    oya inakuwaje...Nimetengenza Tayr Account Lakin kil nikitaka ku logging in inznguwa Inasem No active Account ........ nisaidie nifanyeje

  • @Bubermersie
    @Bubermersie 5 месяцев назад

    Kwani lazimq uwe na namba ya nida??

  • @FerdnarndChristopher
    @FerdnarndChristopher 7 месяцев назад +2

    Teacher mbona mwongozo huo wa kupata mkopo ni mgumu sana maana kuna wengine taarifa za wazazi hatuna. Mzazi alifariki na kuzikwa kienyeji bila cheti kutoka RITA sasa sijui tunafanyaje ili kupata cheti hicho

    • @teacherd
      @teacherd  7 месяцев назад

      Jaribu kwenda Lita nadhani kuna utaratibu Wa kufanya

  • @RebeccaNyigana
    @RebeccaNyigana 5 месяцев назад

    Mbn nimelipia alafu wanaonesha sijalipia bado

  • @Abdulkarimnuru
    @Abdulkarimnuru 6 месяцев назад +1

    KWA NIN UMESEMA TUSITUME MAKAL NGUME KWENDA BODI YA MIKOPO

  • @CosmasPaul-jp1yl
    @CosmasPaul-jp1yl 7 месяцев назад +1

    Teacher kwani dirisha la mkopo kwa sisi form six tuliomaliza limefungukiwa pia?

    • @teacherd
      @teacherd  7 месяцев назад +1

      Kuomba MKOPO maana yake unaweka location ya chuo kusudi ukija uende kama ni UDOM au udsm nk.. kwaiyo mliomaliza form six bado nyie hamna shifa ya kuomba kwa Sasa..

  • @jfmaziku
    @jfmaziku 7 месяцев назад

    Ambao wanasubiri matokeo wanaruhusiwa kuomba mkopo kabla matokeo hayajatoka kama ana uhakika atafaulu?

  • @hasanihozza2243
    @hasanihozza2243 7 месяцев назад

    Nimepangiwa diploma in pharmaceutical science je naweza kupata mkopo?

  • @CosmasPaul-jp1yl
    @CosmasPaul-jp1yl 7 месяцев назад

    Pia na wale waliomaliza mwaka jana form six nao inakuaje ambao hawakuenda chuo wala kupata mkopo teacher?

    • @teacherd
      @teacherd  7 месяцев назад

      Wako wapi saivi?

  • @Fantastic.-gm1eo
    @Fantastic.-gm1eo 7 месяцев назад

    Wa diploma wanatiwa moyo ama ni kweli watapewa mkopo?

    • @teacherd
      @teacherd  7 месяцев назад

      Ndy wakasome MUONGOZO Wa MIKOPO kwa diploma ushatoka

    • @CosmasPaul-jp1yl
      @CosmasPaul-jp1yl 7 месяцев назад

      Vp dirisha limefunul8wa au

  • @ringolizm16
    @ringolizm16 5 месяцев назад

    oya inakuwaje...Nimetengenza Tayr Account Lakin kil nikitaka ku logging in inznguwa Inasem No active Account ........ nisaidie nifanyeje