JINSI YA KUOMBA MKOPO WA ELIMU KWA NGAZI YA DIPLOMA 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Katika video hii ,nimeonyesha ni kwa jinsi gani unaweza kuomba mkopo wa elimu vyuo vya kati yaani diploma hatua kwa hatua kupitia mfumo wa OLAMS.
    Usisahau ku like,share video hii ili wengine wajifunze
    Kama unaswali uliza kwenye comments

Комментарии • 64

  • @jackson_vevo
    @jackson_vevo Год назад +2

    Good Work

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Год назад

      Thanks

    • @LiberatusLinus
      @LiberatusLinus Год назад

      Me niliiomba mkopo diploma awamu yakwanza ilikuja your application is already please for next stage

  • @yonamuhazi
    @yonamuhazi 5 месяцев назад +1

    ahsante kwa ushirikiano wako

  • @PrettyEMMY..
    @PrettyEMMY.. Месяц назад

    Asante asee🎉🎉🎉

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 10 месяцев назад +1

    Kama ndo kwanza unaenda mara yako ya kwanza diploma na katika post form four education unafanyaje na wala haujapita certificate

  • @danielmgeni5524
    @danielmgeni5524 Год назад +1

    hapo education after form four inakuaje maana inaonesha ni kama wew unaomba lacal UD, na hata hapo kwako umeonesha ivo appl category as LUD, ila sasa education after form four inakuaje

  • @emmanuelbenjamin4656
    @emmanuelbenjamin4656 Год назад +2

    Naomba msaada kwenye kipengele cha Education kwa mwanafunzi anayesoma Diploma mwaka wa tatu nikiweka post form four level inanidai hadi VAN na GPA lakn nikiweka Certificate inakubali ila nikipreview haionesha level of education after form four.. please nisaidie

  • @lilyansinienga826
    @lilyansinienga826 Год назад +3

    kama ndo ni mwnaafunzi anaeanza DIPLOMA ONE nitattikiwa kubonyezaa FIRST YEAR STUDENT??

  • @emmanuelbenjamin4656
    @emmanuelbenjamin4656 12 дней назад

    Video ya mwaka huu boss

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 10 месяцев назад +1

    Kwa mfano haujasajili laini kwa kitambulisho chako namaanishia hauna kitambulisho unafanyaje? Utatia yeyote au vp?

  • @BernardKimila-bz3mt
    @BernardKimila-bz3mt Год назад

    Jina langu kwenye cheti cha kuzaliwa limetofautiana herufi moja na vyeti vingine vya shule, vipi issue kama hii itakuwa na shida kwenye application yangu?

  • @trio_ceven9366
    @trio_ceven9366 Год назад

    Vp hali bro .....naeza kupata muelekezo wa jinsi ya kuapply for diploma loan kama mtu ni non- necta student

  • @AminaIssa244
    @AminaIssa244 Год назад

    Kwenye taarifa za kifo nimaja taarifa (tanzania bara na Vrification code ya death certificate) lakini nikicorfirm iaanakuwa faint kimaliza inaniambia death certificate are missing nashindwa kuelewa

  • @emmanuelbenjamin4656
    @emmanuelbenjamin4656 12 дней назад

    Mfumo wa zamani uliachwa

  • @ShafiiIdd-m7d
    @ShafiiIdd-m7d 6 месяцев назад

    Kwa wa mwaka wa kwanza je anaweza kupata ?

  • @scholasticajames3458
    @scholasticajames3458 Год назад

    Nimejaza kote na kuattach baada ya kusign lakin nikibonyeza submit haionesh kama zimefika

  • @LiberatusLinus
    @LiberatusLinus Год назад

    Me niliiomba mkopo diploma awamu yakwanza sijapata inakuja your application is already please for next stage mbna atupewi taarifa

  • @Johnybendera-ql7ui
    @Johnybendera-ql7ui Год назад

    Kwani maombi ya mkopo Bado yanaendelea au mwisho lini?

  • @LiberatusLinus
    @LiberatusLinus Год назад

    Me niliiomba mkopo diploma awamu yakwanza ilikuja your application is already verification please for next stage

  • @nardyrobert600
    @nardyrobert600 6 месяцев назад +1

    Kwa anaye ingia mwaka wa kwanza kwahiyo mpaka awe ameshaconfirme chuo ndo afanye maombi ....?

  • @AdorofinaBenjamin
    @AdorofinaBenjamin 4 месяца назад

    Ukimaliza tyu form four nakwenda chuo unaweza kupewa mkopo

  • @HafsaHaroun-o9s
    @HafsaHaroun-o9s Год назад

    Nimeapply kwa iyo link ya apply for diploma ila mwanzo system kwenye category zilikuwa znatokea za degree nkachagua zng Local undergraduates

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Год назад

      local undergraduate ni degree

    • @HafsaHaroun-o9s
      @HafsaHaroun-o9s Год назад

      Ndio ila ata iyooo fomu ulotolea maelekezo apooo
      Application category imekaaa local undergraduate
      Ila uku mwanzo kwenye kuchagua category ulichagua diploma loan
      Apooo sjaelewa why

    • @RamsoBoy-w8p
      @RamsoBoy-w8p Год назад

      Sas tufanyeje

    • @RamsoBoy-w8p
      @RamsoBoy-w8p Год назад

      Kwahiloo tatizo la LUG

  • @finmedia6625
    @finmedia6625 5 месяцев назад

    Me taarifa nyingine zinakubali ila kweny kuingiza taarifa za bank pale mwanzon nikiingiza niki search account details inaniandikia "THE REQUEST TO THE REMOTE FPS TIMED OUT, PLEASE TRY AGAIN LATER"

  • @AzzahMussa
    @AzzahMussa 7 месяцев назад

    Vp kwny kuomba mkopo wanaangalia result na vp wenye dvsn 4 wanapat??

  • @SamwelMahajile-uy7kj
    @SamwelMahajile-uy7kj 7 месяцев назад

    Ivi kama nimelipia nikiwa na apply mkopo alafu sijamaliza nikitoka nalipia tena au inakuaje

  • @asikiamangaza-zw8ls
    @asikiamangaza-zw8ls 6 месяцев назад

    kama hujaenda popote baada ya form 4 nitajaza nn kwenye form 4 post education

  • @snowking202
    @snowking202 Год назад

    Apo kwenye mdhamini cjapaelewa.... kama hauna mdhamini inakuaje???

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Год назад +1

      kuna option tatu za mdhamini
      1.Baba
      2.Mama
      3.Mlezi ( Anaweza akawa kaka,dada,baba mdogo,shangazi au ndugu yeyote wa karibu)
      Sasa sijaelewa unakosaje mdhamini?

    • @jackson_vevo
      @jackson_vevo Год назад

      Huwezi kosa kabisa mdhamini lazima uwe nae

  • @melckizedeckimmari-er1dy
    @melckizedeckimmari-er1dy Год назад

    Nisaidie kupata verification no ya birth certificate maana ata sielewi

  • @ngosha_mtakatifu_og
    @ngosha_mtakatifu_og 6 месяцев назад

    baada ya kukamilisha form nazipeleka posta au

  • @MahmudOmar-f3x
    @MahmudOmar-f3x 7 месяцев назад

    Vp broo mi nd ntaka nianze mwaka uu Yan mwez wa 9 apo vp nawez kupat mkopo

  • @SeifSimba-qq8rk
    @SeifSimba-qq8rk 6 месяцев назад

    Jee jinsi ya kupiga picha ya 120px x150px na 1MB

  • @melckizedeckimmari-er1dy
    @melckizedeckimmari-er1dy Год назад

    Napataje no birth certificate kk

  • @HafsaHaroun-o9s
    @HafsaHaroun-o9s Год назад

    Km huna iyo postal address unaacha

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Год назад

      postal address si jambo la kukosa ndugu..jaza hata ya serikali ya kijiji au mtaa uliyopo

  • @lilyansinienga826
    @lilyansinienga826 Год назад

    Yaniii nimetokaaa certificatee naingiaa diplomaaa 1 kwaio ntakiww kujazaa mwanafunzi anayeendelea na masomi

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Год назад

      baada ya form four unaandika umeenda certificate hyo option ipo haoo..usijali

    • @lilyansinienga826
      @lilyansinienga826 Год назад

      @@jackthedev21 Inakubali ila kwenye details ukimliza kila kitu inakuandikia baada ya form four umeenda form six apo ndo intuchangnya

    • @lilyansinienga826
      @lilyansinienga826 Год назад

      Naongelea sehemu ya DEMOGRAPHIC kwa pale tunachaguaa first year student au kwa sisi tuliotokeaa certificate kuja diploma mwkaa huu tunaajaza continuing first time applicant au vip

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Год назад

      @@lilyansinienga826 continuous ni wale wa diploma tayari kama bado ndo unatak kujiunga diploma..wew ni mwaka wa kwanza

    • @lilyansinienga826
      @lilyansinienga826 Год назад

      @@jackthedev21 Unatuchngnyaa maana nimeona apo ukajaza details za certificate kwenye mahali per continous stidentss kwaio nachotaka kuukuliza kuwa NIMETOKA CHETII NAENDELEA APO APO DIPLOMA 1 KWAIO NATAKIWA KUJAZA FIRST YEAR STUDENT RIGHT??

  • @RidhiwaniShemnga
    @RidhiwaniShemnga 6 месяцев назад

    Je km umerist unafanyaje mkuu

  • @wasafiuswazitv5866
    @wasafiuswazitv5866 Год назад

    Nacte na necta unachaguaje nacte

  • @pastoryemmanuel3277
    @pastoryemmanuel3277 Год назад

    Oya mzee naomba nielekeze namna ya kudownload zile form za kusign na kuziattach kwenye maombi

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  Год назад

      Kama umeshamaliza kujaza nenda kwenye preview application hapo juu utaona button ya download

  • @MahmudOmar-f3x
    @MahmudOmar-f3x 7 месяцев назад

    Naitaj namb Yako y cm nkutafte wasap

  • @yonamuhazi
    @yonamuhazi 5 месяцев назад

    ahsante kwa msaada wako

  • @MahmudOmar-f3x
    @MahmudOmar-f3x 7 месяцев назад

    Vp broo mi nd ntaka nianze mwaka uu Yan mwez wa 9 apo vp nawez kupat mkopo

    • @jackthedev21
      @jackthedev21  7 месяцев назад

      Yes mkopo anapewa yeyote mwenye vigezo mkuu