JE UKIKOSA VIZA UNARUDISHIWA PESA ? ✈️✈️✈️

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • #shengenvisa # Firsflight Hedofstaste safari#greencard #usembassy #arrivaltime#ndege#I94#diaspora#creditcard#dv2024#thedignityact2023#asylum#nairobi#romanian#amsterdam

Комментарии • 84

  • @JoseBoazy
    @JoseBoazy Год назад +1

    Pamoja sana mwana kwetu

    • @Witness-ti1gz
      @Witness-ti1gz 9 месяцев назад

      Kwahapa dar mnapatikana wapi?

  • @deolynemollel427
    @deolynemollel427 6 месяцев назад

    Nimeelewa Sana 😊

  • @janety1933
    @janety1933 Год назад +1

    Uko Sawa kabisa yaan hiyo Dola 100 Ni halali yako kabisa mm nakukubali Sana mwanakwetu❤❤❤❤❤❤

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 Месяц назад

    Narudia rudia asante unaeleweka

  • @mukhtarally5819
    @mukhtarally5819 Год назад +1

    Pole sana yawezakuwa wew wanajua msomali mzee baba

  • @tridaxprocumbens6079
    @tridaxprocumbens6079 Год назад +2

    Nimekuelewa vizuri mzee wa secondary inspection. Binafsi gharama za process za visa naweza kujitahidi nikazipata, ila sasa mahali pa kufikia na vibali vya kuishi kule kwa muda mrefu kidogo ndio vitu ambavyo najiuliza mara nyingi navipataje. Maana ukienda na visa ya matembezi unapewa miezi 6, sasa huo bado ni muda mfupi kwa mtu anaetaka kufanya kazi huko. Asante

    • @MAISHAYACROATIA
      @MAISHAYACROATIA Год назад

      Mbona hiyo ameshazungumzia itafute hy video ipo humu

    • @tridaxprocumbens6079
      @tridaxprocumbens6079 Год назад

      @@MAISHAYACROATIA sawa mkuu, ngoja nitafute.

    • @ericmkami7578
      @ericmkami7578 Год назад

      mzee hivyo vitu sahv vinawezekana unaweza ukaenda kwa visa ya matembezi ukifika unabadili status kwa sababu asahivi ukiwa na visiting visa unaweza ukafanya kazi US wameruhusu... jaribu kuangalia video zingine za mr secondary inspection utaona hilo ameshazungumza

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 9 месяцев назад

    Cause kuna mtu wangu yupo Canada aliwahi kunambia kuwa the best way to immigrate for the first time ni kupitia tourist visa,sasa nilichukuwa dini lake na dini lako hapa kwenye hii video nikapata madini,so nikaona it make sense

  • @mukhtarally5819
    @mukhtarally5819 Год назад +1

    Big man nakujja mwanza insha allah tuuongeee vzr sana

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  Год назад

      Saizi ninesharudi America

  • @husseindottokilenga5424
    @husseindottokilenga5424 7 месяцев назад

    Kazi nzuri sana

  • @user-pi8nr2cd7l
    @user-pi8nr2cd7l Год назад +2

    Mwanaketu ushauli wangu ingekuwa vizuri ukaweka wazi kuhusu garama za full process ya viza kila inchi bei zake kwasababu kuna watu wengine tupo njee ya tz sema tunatafuta pesa ya safari sema unakuta changamoto hujuwi nipate kiasi gani halafu ndo niendo tz kufanya process ya visa kwahiyo naomba uweke wazi kiasi gani kwawatu wakila aina halafu mtu akiwa anataka kuongea na wewe ndo alipie lakini kuhusu garama ziweke wazi ili mtu anajuwa natafuta pesa kiasi frani namtafuta mwanakwetu

    • @trueone_tz
      @trueone_tz Год назад +1

      Bila shaka anashinda kuweka sababu inategemea na Visa mtu anayo taka cz viza zipo daraja tofauti ,Visa ya masomo ni tofauti na visitor kwa kila procces mfano marekani wana zaidi ya visa 17 na kila moja ina process tofauti .Canada hivyo hivyo but ukitaka safari at list uwe na 2000usd kuendelea au 1500usd hapo bado tiketi na uzuri unaweza kumlipa MWANAKWETU kwa awamu kama upo sirius. tupambane tutoke tusikate tamaa vijana

    • @ericmkami7578
      @ericmkami7578 Год назад

      ​​@@trueone_tzkwa jinsi livyomuelewa Mr secondary inspection kwa safari hasa za nje unatakiwa uwe na kwanzia dola 1500 Mpk 2500 if possible ndio maana naona bora ujipange ili mkifanya jambo mnafanya bila longo longo then ukienda pale ubalozi kwenye interview unaongea mpk waseme huyu jamaa ni mwanasiasa au?😅

  • @big4400
    @big4400 Год назад +1

    Hongera sana brother

  • @Libson10
    @Libson10 Год назад +1

    Vizuri sana Kaka ww ni muwazi sana nakuelewa

  • @PaulsenMgema
    @PaulsenMgema 11 месяцев назад

    Saafi sana bro umeeleweka

  • @zengeummu9575
    @zengeummu9575 Год назад +2

    Tunashukuru kwa muda wako unaojitolea kwetu! Mbali na kujifunza bado unatuburudisha pia maana sio kwa raha hizi❤❤❤Natamani usafiri tena utuchukulie videos nyingine tuendelee kujifunza😅😅😅😅

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  Год назад +1

      Hahahhaha

    • @RachelRachel-zx6dx
      @RachelRachel-zx6dx 11 месяцев назад

      ​@@ArrivalTvkaka Habari naomba kuuliza kama nataka kusafili kwenda marekani natumiwa visa ticket je pale uwanja wandege.unaulizwa maswali au laaa naukifika kule unaulizwa au vipi naomba nifahamishe kaka

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  11 месяцев назад

      @@RachelRachel-zx6dx yaah utaulizwa maswali ya kutosha kabisa

    • @RachelRachel-zx6dx
      @RachelRachel-zx6dx 11 месяцев назад

      @@ArrivalTv duuuuu Asante

  • @ericmkami7578
    @ericmkami7578 Год назад +1

    Mzee wa secondary inspection 😅😅... tunashukuru kwa kutusanua kwa taarifa kama hizi kwa maana zinatusaidia tujipange vizuri maana safari za kimataifa ni gharama..tupo pamoja

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Год назад +1

    Bro asant3 kutuelewesha . Ugeliweza kutuambiya safari yabei zaidi unaona inaweza kufikiya pesa ngapi approximate

  • @anwarsaid2008
    @anwarsaid2008 Год назад +2

    Consultation fee maana yake kiendacho kwa mganga hakirudi uwe umejipanga au hujajipanga aisee😃

  • @Trey2k365days
    @Trey2k365days Год назад

    Content nzuri sana imeeeleweka mno.

  • @lutambisos3605
    @lutambisos3605 7 месяцев назад

    Brotherasante sana kwamsaada wako

  • @abuubakary4848
    @abuubakary4848 9 месяцев назад

    mwana kwetu.mi.sijui.kingereza naweza.kusafir

  • @frankkataraiha607
    @frankkataraiha607 Год назад

    Uko vizuri kaka

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 9 месяцев назад

    Big up bro uko mkweli na muwazi sana

  • @brightonjacob7776
    @brightonjacob7776 Год назад

    Gharama visa ya US ni shiling ngap,kwa process zote kasoro nauli?

  • @kobbasupplies5772
    @kobbasupplies5772 7 месяцев назад

    Nashukuru

  • @MrMasterMathew
    @MrMasterMathew 10 месяцев назад

    Arrival

  • @willsonsamwel1158
    @willsonsamwel1158 Год назад +1

    Nakuelewa sana mwanakwetu mungu azidi kukufungulia njia zaidi na kila hatua zako zitakapokanyaga mungu akupe kibali

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 9 месяцев назад

    Aah kuna dini moja hapa nimelinasa hapa which very important..sasa hebu nambie kwamfano nimechukuwa Tourist visa ya one ya 3 weeks na baada ya kufikia tu sehemu husika after 3 days nikaanza process ya kuchenji visa from tourist to work visa labda process zake zinaweza kuchukuwa mda gani?

  • @moshirajabu5148
    @moshirajabu5148 Год назад +1

    Sawa kaka

  • @MrMasterMathew
    @MrMasterMathew 10 месяцев назад

    Mwanakwetu

  • @user-xp6hb6xn3i
    @user-xp6hb6xn3i 11 месяцев назад +1

    mnapatikana wap au naweza nikapata namba

  • @hamisigazza2838
    @hamisigazza2838 8 месяцев назад

    Kaka tunajifunza vingi kuhusu Safari kk

  • @user-bf1ls9zc7u
    @user-bf1ls9zc7u Год назад

    Bro nakubari sana

  • @elizabethmangapii7477
    @elizabethmangapii7477 Год назад +2

    Hiyo nilipitia Mimi wakati nakuja nilikaa almost 2hours pia

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  Год назад +1

      But ulifananikisha kupita ?

    • @elizabethmangapii7477
      @elizabethmangapii7477 Год назад +2

      Yes kabisa nilipita..maana mpaka simu ilikaguliwa eti...dah

    • @MAISHAYACROATIA
      @MAISHAYACROATIA Год назад

      ​@@elizabethmangapii7477duh pole Shida ilikuw maswali

  • @Jmedia_Tv
    @Jmedia_Tv 11 месяцев назад

    A living channel.

  • @willsonsamwel1158
    @willsonsamwel1158 Год назад

    Mwanakwetu inatakiwa kiwango gani cha kuongea kingeleza maana halo ndipo kwenye shida upande wangu hua nafikilia sana nikihojiwa nitatoboa kweli

  • @HazlaomariHazlaomari
    @HazlaomariHazlaomari 4 месяца назад

    Mwanakwetu naomba namba mpya

  • @muhidinsiwa1523
    @muhidinsiwa1523 11 месяцев назад

    Huko clear sana

  • @willsonsamwel1158
    @willsonsamwel1158 Год назад

    Mwanakwetu umenena vema sana huyo anayedai kurudishiwa pesa arudi shuleni akaeleweshwe

  • @allykilapo-js3hg
    @allykilapo-js3hg 11 месяцев назад

    Kwer bwana Kuna mtu amekwambia ungeweka gharana Za viza shingap harafu mtu ajue atafute shingap kuwaanzi viza mpaka naur manaake wengine hatupo tz Kwa mfano viza yacanada ambapo wengine ndiio tunapopafikiria

  • @trommyx
    @trommyx Год назад

    MWANAKWETU huna baya sema uturetee video ya secondary inseption

  • @husseindottokilenga5424
    @husseindottokilenga5424 7 месяцев назад

    Kwa tusiokuwa na namba zako je tunazipataje?

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 9 месяцев назад

    Wakweli unatufungua akili kusema ukweli

  • @naimuothman3493
    @naimuothman3493 Год назад

    Sasa brooo me nauliza jee kwa wale ambao tayari washa ingia ktk system muna wasaidia vip

  • @Trey2k365days
    @Trey2k365days Год назад +1

    Number mpya hazionekani kaka

  • @Trey2k365days
    @Trey2k365days Год назад +1

    Naomba number mpya asante

  • @daxboy8699
    @daxboy8699 11 месяцев назад

    😂😂

  • @ramseyjonathan2479
    @ramseyjonathan2479 Год назад +1

    Brother unafanya na visa ya New zealland

  • @CiscaRecaps2015
    @CiscaRecaps2015 Год назад

    Ubalozi wa marekan si tunaenda na hela cash(dollar) unalipia vip wew

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  Год назад +1

      Mnaenda na cash ?😳

    • @JoyceakaJowi
      @JoyceakaJowi Год назад +1

      @@ArrivalTv😂😂😂 me sikulipa cash lakini….nililipa kwa system (mtandao wa simu)

    • @user-fq4xr3le1i
      @user-fq4xr3le1i Год назад

      Ukinyimwa visa unaweza omba tenavkwa mda gani

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  Год назад +1

      @@user-fq4xr3le1i unaweza kurudia kuomba viza wakati wowote ambao sababu iliyokunyima mwanzoni itakuwa imebadilika

    • @ramadhanrashid1011
      @ramadhanrashid1011 11 месяцев назад

      @@ArrivalTv broo mimi niliomba canada broo lkn mpk leo majibu cjapata ya visa yng nimwaka mmoja na mwez tena cjw tatizo nini broo nisaidie

  • @Trey2k365days
    @Trey2k365days Год назад +1

    Bila travel history tutatoboa maswala ya usa kweli😅😢😢

  • @gracyanygracy5088
    @gracyanygracy5088 11 месяцев назад

    Naomba number yako tuongeye inbox

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA Год назад

    Unatisha kaka 😅