HAMISA MOBETTO KUHUSU COMASAVA YA DIAMOND, AWAPA NENO SHISHI NA ESHA ASEMA YEYE BADO NI SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 25

  • @zuleikhachibako7346
    @zuleikhachibako7346 2 месяца назад +4

    Niliskia anameno mabaya nimechunguza kumbe waja mna wivu na anacheka vzr tu sema mwenyewe anapenda kuziba tu mdomo wake akicheka kma heshima❤

  • @imanibakili8028
    @imanibakili8028 2 месяца назад +1

    HILI LIDADA NILIZURI JAMANI
    MOLA AMEUMBA SIJUI UTARUDI ALIFUATA NINI DAH

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 2 месяца назад

    Wema sepetu mbona apati endorsement ata mtotoooo eeeeh Mungu mbariki na dada yangu wema

  • @karyori69
    @karyori69 2 месяца назад +4

    Unakuwaje kwenye ku-endorse bidhaa ya kampuni yw Azania halafu unakubali kuongeleshwa kuhusu Simba? Manager m-coach Hamisa jinsi ya kuji-brand!

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 2 месяца назад +1

      @@karyori69 ajibrand mara ngapi kwa hiyo umeumia kusema yeye bado ni shabiki wa simba 😂 pole sana kwa sasa hamisa yuko mbali sana acha kwanza amchune aziza mpaka aombe poo

    • @happysakuya7394
      @happysakuya7394 2 месяца назад

      Yeye ni Simba ndyo sasa shda nin

    • @anethonesmo6390
      @anethonesmo6390 2 месяца назад

      Ingekuwa wasanii na watu maarufu kuna muda wanafanya press kuzungumza mambo yao binafs au kuulizwa maswal na wanahabar haya usingeyaona ila inabid wakipata nafas kama hii ndo maana wanaulzwa kila ktu

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 2 месяца назад +2

    Ni mwendo wa madili tu piga kazi misa ni wakati wako mama

  • @naeema8155
    @naeema8155 2 месяца назад +3

    Wakati wa Mungu ni wakati sahihi

  • @sirielsamweli
    @sirielsamweli 2 месяца назад

    Binafsi Me ndio natumia ,,,,,, kampuni nxuriiii bei poah❤❤ ila nakuomba hamia yanga misa wanguuuuuu

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 2 месяца назад +2

    Mashaalah hamisa ni madili

  • @halimantapa1750
    @halimantapa1750 2 месяца назад

    Nampenda sana huyu dada jaman hata sielewii uuh,,piga kaz mama

  • @alexoswald1725
    @alexoswald1725 2 месяца назад +1

    Nyota ya mdogo wng AZIZI KIIIIII

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje 2 месяца назад

    Ila huyu demu ni mzuri sana hamisa moberto

  • @madreks253
    @madreks253 2 месяца назад

    Huyu dada amejaa plastic surgery, kila kitu chake ni feki...hamna chochote natural...😂

    • @starlily07
      @starlily07 2 месяца назад +5

      Unatesekea wapi 😂😂 tafuta pesa acha makasiriko

    • @MaryamaAlly
      @MaryamaAlly 2 месяца назад

      @@starlily07❤❤

    • @Deboramartin-z2m
      @Deboramartin-z2m 2 месяца назад

      Mbona kama unateseka sana wivu umekujaa mpaka matakoni

    • @Deboramartin-z2m
      @Deboramartin-z2m 2 месяца назад +1

      Unajua nini huna pesa ndio maana makasiriko yamekujaa tafuta pesa wivu na makasiriko yoote yataisha

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 2 месяца назад

    Hongera sana mwanangu napemda iyo

  • @eliyawinfrida2491
    @eliyawinfrida2491 2 месяца назад +1

    ❤❤❤

  • @nahumnkwama239
    @nahumnkwama239 2 месяца назад

    ,kawaitia Indoziment, mnaleta umbeya 😂 ila waandishi

    • @karyori69
      @karyori69 2 месяца назад

      Yeye ndiye qnapaswa kuhepa kujibu anachoulizwa!

  • @RehemaMpeli-dt9vm
    @RehemaMpeli-dt9vm 2 месяца назад

    ❤❤❤❤👍

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph 2 месяца назад

    ❤❤❤