@@karyori69 ajibrand mara ngapi kwa hiyo umeumia kusema yeye bado ni shabiki wa simba 😂 pole sana kwa sasa hamisa yuko mbali sana acha kwanza amchune aziza mpaka aombe poo
Ingekuwa wasanii na watu maarufu kuna muda wanafanya press kuzungumza mambo yao binafs au kuulizwa maswal na wanahabar haya usingeyaona ila inabid wakipata nafas kama hii ndo maana wanaulzwa kila ktu
Niliskia anameno mabaya nimechunguza kumbe waja mna wivu na anacheka vzr tu sema mwenyewe anapenda kuziba tu mdomo wake akicheka kma heshima❤
HILI LIDADA NILIZURI JAMANI
MOLA AMEUMBA SIJUI UTARUDI ALIFUATA NINI DAH
Wema sepetu mbona apati endorsement ata mtotoooo eeeeh Mungu mbariki na dada yangu wema
Unakuwaje kwenye ku-endorse bidhaa ya kampuni yw Azania halafu unakubali kuongeleshwa kuhusu Simba? Manager m-coach Hamisa jinsi ya kuji-brand!
@@karyori69 ajibrand mara ngapi kwa hiyo umeumia kusema yeye bado ni shabiki wa simba 😂 pole sana kwa sasa hamisa yuko mbali sana acha kwanza amchune aziza mpaka aombe poo
Yeye ni Simba ndyo sasa shda nin
Ingekuwa wasanii na watu maarufu kuna muda wanafanya press kuzungumza mambo yao binafs au kuulizwa maswal na wanahabar haya usingeyaona ila inabid wakipata nafas kama hii ndo maana wanaulzwa kila ktu
Ni mwendo wa madili tu piga kazi misa ni wakati wako mama
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi
Binafsi Me ndio natumia ,,,,,, kampuni nxuriiii bei poah❤❤ ila nakuomba hamia yanga misa wanguuuuuu
Mashaalah hamisa ni madili
Nampenda sana huyu dada jaman hata sielewii uuh,,piga kaz mama
Nyota ya mdogo wng AZIZI KIIIIII
Ila huyu demu ni mzuri sana hamisa moberto
Huyu dada amejaa plastic surgery, kila kitu chake ni feki...hamna chochote natural...😂
Unatesekea wapi 😂😂 tafuta pesa acha makasiriko
@@starlily07❤❤
Mbona kama unateseka sana wivu umekujaa mpaka matakoni
Unajua nini huna pesa ndio maana makasiriko yamekujaa tafuta pesa wivu na makasiriko yoote yataisha
Hongera sana mwanangu napemda iyo
❤❤❤
,kawaitia Indoziment, mnaleta umbeya 😂 ila waandishi
Yeye ndiye qnapaswa kuhepa kujibu anachoulizwa!
❤❤❤❤👍
❤❤❤