Bro nimependa ngoma zako gafla tu isitoshe Jina lako Rama dee/Ramadan ni moja big up sana Mzee baba Allah akuzidishie,ipo cku utafikia malengo🎤🎤🎤🎤🎧🎧🎧🎺🎺🎻🎻🎹🎹🎙
I bn telling guys Diamond and some of this young guys are just on the limelight but if u walk freely in T.Z u may come across very shocking and stabilized talent.
Happy kwamba umetupia ngoma zako za kutosha humu...natafuta ngoma yako iitwayo...Sio waoaji hao...plz i am in Qatar ...miss dat song..Baada ya wwe ni jux
Rama dee wewe washindana na Jux tu bongo coz miziki yenu ni the same.Ila wewe waimba na band na Jux naye ako na manjonjo ya kupiga pamba kaliiii na Biashara yake ya African Boy imekamata east Africa.Kaza babaz
RAJUM PICTURES rama dee huwezi mlinganisha na yule mtoto jux bwana huyu ni mwanamziki but jux n msanii tu huwezi msimamisha kwa live band hata saa moja anaanza kohoa ila huyu mtu anaweza live band ndiomaana namuita mwanamziki sawa jamaa?
Who else is here 2020?
Daah..!!Hebu Gonga LIKE yako kama Unafuata PROTOCAL ....
Mpe kitu anachopendaga kwa PROTOCAL KAAALIII.....
Txhaaa snaaaa
Brother #Rama dee nasubiri collabo yako na #Nyashinski najua litakuwa chuma umiza east africa kwa bongo wewe ni #King wa RnB
Who is here in 2024. This song is very well-written
Nampa kitu anapendaga eeh ndio kitu napendaga eeh ❤️🔥🙏💣
Kwenye kiza kineneee🔥
I really love this song who else at the end of 2018?
Ww fundi wa mafundii Rama dee. Kidim nyinyi sio watuu wazuri kabsa kwenye hiii dunia but. one day
Nimeeka jela nyingi za mapenzi leo nimepata uhuru 🤸🌹❤
Bro nimependa ngoma zako gafla tu isitoshe Jina lako Rama dee/Ramadan ni moja big up sana Mzee baba Allah akuzidishie,ipo cku utafikia malengo🎤🎤🎤🎤🎧🎧🎧🎺🎺🎻🎻🎹🎹🎙
Nafuata protocal nasema hivi Rama Dee we Ni mkali 👊👊👊👊👊👊
Bongee moja la ngomaa
King of rnb tz
Daaah saf saaaan
Rama D, you are the real KING of R&B in Tz.
unajuaaaaa sana kaka ....👨🎤
4sure ujawahi kuniangusha bro keep it up #protocal
huu mkono hatari , g nako ua the best
I bn telling guys Diamond and some of this young guys are just on the limelight but if u walk freely in T.Z u may come across very shocking and stabilized talent.
I'm with you friend
Geoffrey Embasa bro Rama Dee sio wa mchezo Tz tuna wachache kama yeye sana na sio wanaowika. anaemkarinia labda Barnaba
@@fadhillahhaulejr6802 Nimekubali.I wish he was on the spotlight kama inavyostahili.But still hii ni nyimbo that'll last forever.
Rama dee king of rnb big up bro umetishaaaa
Hii ni nyimbo ya yangu pendwa kutoka siku nimeisikia kwa mara ya kwanza
Can't believe I'm just now discovering this amazing artist! Nakupenda sana ndugu yangu.
Ubuntu Ma'at Ase'
noma noma kaka we mkali tuu hakuna namna
protocal..... umeua mzee baba
unajua sana bro
No one like you bro in rnb favour..keep on grinding
Nampenda sana rama d jins anavyoimba
This is what we call good 🎶 music Wat a soulful rendition
george ndahilo yap
Happy kwamba umetupia ngoma zako za kutosha humu...natafuta ngoma yako iitwayo...Sio waoaji hao...plz i am in Qatar ...miss dat song..Baada ya wwe ni jux
2024 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪🏿
Kwangu baada ya mr Paul unafuata ww
Asantee nakukubali mzee
2022 but bado ngoma ya moto❤
hongera kwa kazi nzuri, ifanyio video
Voice 🎤🎵🎵🎵
Nakukubariiiii san
We nmotoooh kaka mkubwa umeuwa
🔥🔥🔥 September 2020
Good broo
nafata protocol... protokali..hatare
Unajua sana sema tuahitaji ufanye collab nyingi kama Nyashiski ben poo nawengine kibao
mkali wao
This is DOPE
King himself
Good song
Protocal hatariiiiiiiii
I love the shit endlessly 😍😍
Hii ngoma mwisho wa ngoma kwenye kundi la Rnb
From south Africa ❤
yes you gat it,this is what iam talking about!!!
atareeeeeww
Mzee Baba Mby 1
broo ujawai mwacha MTU salama
nice song bro!
baba yaooo🎤🎵🎶
Who is here 2050
King
Am still here 8/2/2022
nikiwa na mtoto mkaliiiii
Dope one
Thanx for the good music blood
Gifted
🔥🔥
Ww ni moto Bae
👌👌👌👌👌👊👊👊👊
Where's the video for this?
nicely
Ndomana umeamua kuishi zako ulaya maana ujuji ni mkubwa sana kuliko
hot song ever
Nice
fire
Hott song
Rama Dee. I Do Apprent
13/06/2023__05:03 pm
Today 2/10/2018
Sms derived
2024
Thanks man
nic xong
Rama dee wewe washindana na Jux tu bongo coz miziki yenu ni the same.Ila wewe waimba na band na Jux naye ako na manjonjo ya kupiga pamba kaliiii na Biashara yake ya African Boy imekamata east Africa.Kaza babaz
RAJUM PICTURES rama dee huwezi mlinganisha na yule mtoto jux bwana huyu ni mwanamziki but jux n msanii tu huwezi msimamisha kwa live band hata saa moja anaanza kohoa ila huyu mtu anaweza live band ndiomaana namuita mwanamziki sawa jamaa?
Daniel Michael :lakini Rama dee hamwezi Mad ice sindio
Good music
Nassy De meddy BRO RAMA DEE WE NI MKALI SANA BUT TOLEA PROMO SONGS ZAKO SS TUMEKUELEWA SANA
Asee when music is back
fundi
Nahisi aina ya mziki ulioufanya usikuoneshe uhalisia wako ndio hii, mziki unaokufaa ni wa taratibu Ila huu umekuangusha sio Rama Dee tunayemjua
Sina ubish
HUU WIMBO NA "NURU" YA G NAKO HAZINA TOFAUTI
The originals song Ni ya G.Nako...hii Ni sampled but Kali sn
This is not as good as Gnako's.... I'm honest
ed Wins i agree
mkali wao
Daaaaah tisha sana bro ebanaeeeh nakukubal sana kk
this guy deserve to b a king of rnb
Nice