#TBC1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 21

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 дня назад +1

    Hongera sana Raisi Samia wewe ndio raisi wetu unayefanya makubwa Tanzania

  • @SATZ-news
    @SATZ-news День назад +1

    Yani Jpm angekuwepo inchi yetu ingefanana na ulaya msemo wake cz vision yake ilikuwa ni kuleta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo... na kufanya kazi na uwepo wa utendaji kuonekana kwa watanzania hii inaitwa public service delivery.
    RIP JPM.❤

  • @MamuMichael
    @MamuMichael 2 дня назад +1

    Hongera Mama kweli kazi Indelee, Hongera serikali ya awamu ya sita. Mama uko vizuri.🎉

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 2 дня назад +4

    Vumilia nenda pia katujuze kinachoendelea kwenye ujenzi wa SGR lote 5, kwani wahusika TRC wamegoma kutujuza

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 2 дня назад

    Safi sana

  • @dullybrown7841
    @dullybrown7841 2 дня назад

    Safi

  • @edwingideon3606
    @edwingideon3606 2 дня назад +1

    Kazi nzuri sana serikali imefanya. Hata Kenya Hawana viwanja vizuri hivi mikoani

    • @batihubadiy3106
      @batihubadiy3106 2 дня назад

      Umeenda Mombasa MOI INTERNATIONAL AIRPORT since 1993 n umeenda Nyanza Piaaa weyee au unazungumzaaa tu

    • @utopolo543
      @utopolo543 День назад

      @@batihubadiy3106 Ni kweli kenya hawana viwanja vzr kama hivi...Kenya ni mdomo tu na online

    • @richardbegga6679
      @richardbegga6679 День назад +1

      Umejazwa Propaganda za CCM Kichwani😂😂😂 Ujinga Kila sehemu hata Mpaka wa Burundi haujawahi vuka 😂😂 iwe Kenya?

    • @batihubadiy3106
      @batihubadiy3106 День назад

      @@richardbegga6679 HATAR SANA YAAN WANAJENGA MAHANGA THN WANADANGANYA WATU TERMINAL AIRPORT

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 2 дня назад +1

    Ila watu tunachanganya kati ya MBEYA na SONGWE. Kibaya zaidi mpaka mwandishi na meneja wa uwanja.

    • @GerryAllen98
      @GerryAllen98 День назад

      kiwanja kipo mbeya ila kinaitwa songwe airport

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani2642 2 дня назад +2

    Alafu anatokea mtu anaifananisha Tanzania na vinchi vya jirani!😢

    • @kamanda007
      @kamanda007 2 дня назад

      Umelala sana wewe, angalia pembeni tuu hapo Rwanda wanajenga uwanja mkubwa na wa kisasa kuliko uwanja wa Julius Nyerere ambao ndio mkubwa Tanzania

    • @mosesjacksonkarashani2642
      @mosesjacksonkarashani2642 2 дня назад +1

      @@kamanda007 Sasa Rwanda watakuwa na airport 1 wakati Tanzania ina 58! Ukubwa wa kiwanja usikutishe, cha muhimu ni runaways zina ukubwa gani?

    • @DavidSemu-gu6wp
      @DavidSemu-gu6wp День назад +1

      Na ndani ya eneo la Nyerere airport kuna eneo kubwa zaidi Kwa kujengwa terminal four Kwa Kauli ya Magufuli terminal three haikuwa plan yake Ila alikamilisha kilichokuwa kilichokuwa kime kwama kumaliziwa.

    • @mosesjacksonkarashani2642
      @mosesjacksonkarashani2642 День назад

      @@DavidSemu-gu6wp Tanzania hatuhitaji jengo kubwa kwa sasa kutoka na idadi ya abiria na ndege zinazokuja kwa mwaka. Jengo likiwa kubwa maintainable costs zake ni kubwa. Cha msingi ile terminal 2 wapewe wachina au waturuki waifanyie ukarabati wa kufa mtu bila kubadili the original architecture.

  • @jacksonmtonyore9871
    @jacksonmtonyore9871 2 дня назад +1

    Mbeya kucheleee

    • @Shalom803
      @Shalom803 День назад

      Mbeya kuchelee au bhukile? Kuchelee ni Ntwara mheshimiwa😂

  • @SATZ-news
    @SATZ-news День назад

    Alieanddika hizo sign posters ni nani hasa?
    Hivi lbd mimi ndo sijui kingereza
    Tax - Ushuru
    Taxi - usafiri wa Gari
    Waingereza nijibuni🤔