Yani Jpm angekuwepo inchi yetu ingefanana na ulaya msemo wake cz vision yake ilikuwa ni kuleta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo... na kufanya kazi na uwepo wa utendaji kuonekana kwa watanzania hii inaitwa public service delivery. RIP JPM.❤
Na ndani ya eneo la Nyerere airport kuna eneo kubwa zaidi Kwa kujengwa terminal four Kwa Kauli ya Magufuli terminal three haikuwa plan yake Ila alikamilisha kilichokuwa kilichokuwa kime kwama kumaliziwa.
@@DavidSemu-gu6wp Tanzania hatuhitaji jengo kubwa kwa sasa kutoka na idadi ya abiria na ndege zinazokuja kwa mwaka. Jengo likiwa kubwa maintainable costs zake ni kubwa. Cha msingi ile terminal 2 wapewe wachina au waturuki waifanyie ukarabati wa kufa mtu bila kubadili the original architecture.
Hongera sana Raisi Samia wewe ndio raisi wetu unayefanya makubwa Tanzania
Yani Jpm angekuwepo inchi yetu ingefanana na ulaya msemo wake cz vision yake ilikuwa ni kuleta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo... na kufanya kazi na uwepo wa utendaji kuonekana kwa watanzania hii inaitwa public service delivery.
RIP JPM.❤
Hongera Mama kweli kazi Indelee, Hongera serikali ya awamu ya sita. Mama uko vizuri.🎉
Vumilia nenda pia katujuze kinachoendelea kwenye ujenzi wa SGR lote 5, kwani wahusika TRC wamegoma kutujuza
Safi sana
Safi
Kazi nzuri sana serikali imefanya. Hata Kenya Hawana viwanja vizuri hivi mikoani
Umeenda Mombasa MOI INTERNATIONAL AIRPORT since 1993 n umeenda Nyanza Piaaa weyee au unazungumzaaa tu
@@batihubadiy3106 Ni kweli kenya hawana viwanja vzr kama hivi...Kenya ni mdomo tu na online
Umejazwa Propaganda za CCM Kichwani😂😂😂 Ujinga Kila sehemu hata Mpaka wa Burundi haujawahi vuka 😂😂 iwe Kenya?
@@richardbegga6679 HATAR SANA YAAN WANAJENGA MAHANGA THN WANADANGANYA WATU TERMINAL AIRPORT
Ila watu tunachanganya kati ya MBEYA na SONGWE. Kibaya zaidi mpaka mwandishi na meneja wa uwanja.
kiwanja kipo mbeya ila kinaitwa songwe airport
Alafu anatokea mtu anaifananisha Tanzania na vinchi vya jirani!😢
Umelala sana wewe, angalia pembeni tuu hapo Rwanda wanajenga uwanja mkubwa na wa kisasa kuliko uwanja wa Julius Nyerere ambao ndio mkubwa Tanzania
@@kamanda007 Sasa Rwanda watakuwa na airport 1 wakati Tanzania ina 58! Ukubwa wa kiwanja usikutishe, cha muhimu ni runaways zina ukubwa gani?
Na ndani ya eneo la Nyerere airport kuna eneo kubwa zaidi Kwa kujengwa terminal four Kwa Kauli ya Magufuli terminal three haikuwa plan yake Ila alikamilisha kilichokuwa kilichokuwa kime kwama kumaliziwa.
@@DavidSemu-gu6wp Tanzania hatuhitaji jengo kubwa kwa sasa kutoka na idadi ya abiria na ndege zinazokuja kwa mwaka. Jengo likiwa kubwa maintainable costs zake ni kubwa. Cha msingi ile terminal 2 wapewe wachina au waturuki waifanyie ukarabati wa kufa mtu bila kubadili the original architecture.
Mbeya kucheleee
Mbeya kuchelee au bhukile? Kuchelee ni Ntwara mheshimiwa😂
Alieanddika hizo sign posters ni nani hasa?
Hivi lbd mimi ndo sijui kingereza
Tax - Ushuru
Taxi - usafiri wa Gari
Waingereza nijibuni🤔