Mungu azidi kuwabariki muendelee kuvitumia vipaji vyenu kumtangaza na kulitangaza neno lake kwa kua vyote vyapita isipokua neno lake kamwe halitapita Hongereeni watoto wazur bila kuwasahau walezi na walimu wenu Mungu awabariki.
Kwa kuwa ni kwaya za watoto haimaanishi wapayuke. Hongereni sana waalimu mliowafundisha hawa watoto. Hii ni kwaya ya kwanza ya watoto ambayo ninarudia marakwa mara kusikiliza. Sauti zimepangiliwa na sauti zote zinasikika vizuri sana. Vyombo vimepiga kwa utulivu mkubwa. Hongereni sana !!! Hongereni sana!!!!!! Sijui ni kwanini hamkufungua hilo kanisa la kihistoria tulione huko ndani
Great amazing show congrattulation embrace success total for you galley of Young blessing for you ahugloving simpathy incredble cutebeautiful toomuch mydear
Hongereni ❤❤❤❤naupenda huu wimbo
hongereni sana watoto,kwaya hii mara nyingi inanilaza unono,sauti nzuri sana,step nzuri,nidhamu ya kutosha,hakika Mungu awatimizie haja ya mioyo yenu❤
Naupenda huu wimbo barikiweni sana
This is my favorite songs wow be blessed childrens of God
Hongereni Sana watoto wa Mungu asante
Maneno hayo♥️♥️♥️♥️
I DON'T SPEAK THE LANGUAGE, I JUST ENJOY THE GOODNESS OF THE LORD TOWARDS THESE PRECIOUS CHILDREN. I KNOW THAT BWANA = LORD!
Be blessed da as you listen.....it's all about how one get happy when he or she reads the word of God (Psalms)
verry good ila mda sana asee
Hongereni sana kwa kuwaamdaa watoto vzr albam yenu ni nzur sana naomba ule wimbo wa hekima mliuimba vzr zaid. Be blessed
Mungu awabariki awazidishie kipaji cha uimbaji
Mungu awabariki sana
Reminds me of when I was a PMC ....the song is so amazing can't stop listening
Maneno haya yanipa yanipa furaha na faraja. Asante Mungu mwenyezi kwa kipaji cha uzima
Amina❤️❤️❤️
Hongereni kwa ujumbe mzuri
Amina
Nyc song ,it encourages one to read the bible.....it reminds me when I was a PMC...I enjoyed dancing
Hongera sana Kaniki...kazi safi
Hongereni sana
My best song Mbarikiwe watoto wa Mungu
Vipaji havianzii uzeeni, hongereni sana wadogo zangu myaishi maneno ya zaburi. Amina
The song is amazing, am blessed
I love this song sang by the young ones words of wisdom
Mwalimu Kaniki... Kazi nzuri hio.
Mungu awaogoze na vipaji vyenu watoto wazurii
Nawapenda sana watt wa Mungu kueni na kutetea Imani yenu mbarikiwe sana!!!!!!
The best 🎵
Enjoy is your song chairman
Angels voice. I'm happy to see children praising the Lord.
Maneno hayo kiukweli mbarikiwe sana kwa utume wenu. Sifuni jina la bwana, maneno ya zaburi
Wooooow👍👍👍👍👍💖
Good song
Yes
Nice song
Nice song,,,God bless the kids end their teachers 🙏🙏🙏
Muko vizur wimbo umejaa ujumbe mzur
I feel blessed with this song, it reminds me of singing Zaburi. Am in love with this choir. God be with you and your trainers
I feel very blessed too.
Vizur kuwalea watoto wakimjua mungu barikiwa xana
Mungu ambarki watoto Hawa Na Mwalimu wao
pia mm nmebarakiwa na huu wimbo ,hongera kwenu
Hongeren sana watoto katka uinjilshaj Mungu aendelee kuwatumia
safi kabisa watoto
Mungu awabariki watoto wazuri
Wow kibosho oyeeeee
Am blessed by the nice words of praising God
Mungu awatie nguvu ya ajabu Katika Maisha ya ukristo
Mbarikiw sana
Wonderful❤❤
Asanten sana waimbaj nmebarkiwa sana
nice voices. this is commendable. congratulations to the trainer and also to the kids. i can't stop listening to this song
Asanteni kwa wimbo mzuri sana. MBARIKIWE
Jesus said let the children come to me.
mungu awabariki kwaya ya huruma
Very nice.
Nice little voices
Jubilehi yaparokiha yakiboxho
Amen mungu awabariki watoto 💕🔊
Mungu awabariki kwa wimbo muzuri
So nice
amina sifa na utukufu kwa Mungu wetu
asante sana kwa wimbo mutamu sana ni mimi wanu rafiki materdei musema
Nimeipenda sana kwaya hii ya watoto mungu awabariki kwa ujumbe mzr
nawaombea sana walimu mlowafundisha watoto kwaya nzur sana mungu awabariki sana
Congratulations
Hongera kwa mtunzi na watoto walioimba
Mbarikiwe sana watt wazuri muendelee hivyo kueneza injili kupitia nyimbo💕💕💕💖
The song is real to our life.Maneno ya zaburi.mungu awabariki.Please just listen to words.
Mungu azidi kuwabariki muendelee kuvitumia vipaji vyenu kumtangaza na kulitangaza neno lake kwa kua vyote vyapita isipokua neno lake kamwe halitapita Hongereeni watoto wazur bila kuwasahau walezi na walimu wenu Mungu awabariki.
hongeren sana waalim wa hii kwaya kiukwel mko vzrmnooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
I like this song may God bless all
Kwa kuwa ni kwaya za watoto haimaanishi wapayuke. Hongereni sana waalimu mliowafundisha hawa watoto. Hii ni kwaya ya kwanza ya watoto ambayo ninarudia marakwa mara kusikiliza. Sauti zimepangiliwa na sauti zote zinasikika vizuri sana. Vyombo vimepiga kwa utulivu mkubwa. Hongereni sana !!! Hongereni sana!!!!!! Sijui ni kwanini hamkufungua hilo kanisa la kihistoria tulione huko ndani
Bernard John Mayer to get
Nyimbo nzuri sana
Mucha felicidades
Asante, Karibu misa ya watot Mango Parish uone utukufu wa Mungu,
Ongereni sana asnte mwalimu tunakukumbuka sana kcmc
Amina mungu awe nanyi
Vijana mbarikiwe sana kwa ujumbe mzuri
mungu azidi kukuza kipaji chenu watoto wazuri
I didnt understand what they are saying but i love this song....
Luke Toka kwa kweli mungu awabariki kwa wimbo mzuri
Kaniki Mamba 🔥
Nmebarikiwa sana na hawa watoto!
Pongesi kwa watoto wa kibosho Wang u
Maneno ya zaburi, hakika ni wimbo mzuri sana. MUNGU awajalie daima
mwaimba viziri sana
Waoooooo watoto wazurriiiii
Hongereni vijana
So nice mtumishi
nawapenda mmenibariki Sanaaaaa kazaneni kumwimbia Mungu faida zake huanzia duniani mpaka mbinguni
congratulations for all
Hongereni sana watoto wimbo nzuri
Wako vizur
Nc sana
Wimbo huu umenibariki sna hongereni sna watoto wa Mungu
Mungu awatunze watoto wazuri
mmbarikiwe sana watoto wenzangu
Great amazing show congrattulation embrace success total for you galley of Young blessing for you ahugloving simpathy incredble cutebeautiful toomuch mydear
watoto hongera na mungu awabariki.
Beautiful Song
Nice song congratulations. May God strengthen your faith to countiue priseing.
Salute sana kwa mwalmu na mlez wa kwaya hii ya watoto
Hongereni sana wapendwa nimebarikiwa sana
safi sana watoto Wa Mungu, MWL safi sana, mW/Mungu awatie nguvu ktk utume wenu, wainue na ambao hawakushiliki.
Awabariki Mungu katika uinjilishaji
Mungu awabariki sana hawa watoto,
A👏👏
Amen
Tunatukuzw na neno la mungu
Mungu awabarike watoto hao
Muchas Felicidades
kwaya ya watoto imenipendeza sana. sauti zimepangwa vizuri na ujumbe unaeleweka.
wanaimba vzr Mungu awabariki sana
skutegemea kama watoto wanaweza kuimba vzr ivo big up mwalimu wao
Mungu awabarki
Music
hatari sana watoto wazuri,mungu atawafikisha mbali mbarikiwe😍🙌🙌
mbarikiwe muendelee kuhubiri njirili ya bwana
mbarikiwe muendelee kuhubiri njirili ya bwana
waooh kizaz kijacho
hongeren sana watoto