LAST CARD _ EP 27

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2024
  • #kp #kpnazebuu #bintinyoka #lastcard #wamangushi #zebuu #kpcomedy
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 845

  • @engineerismael2186
    @engineerismael2186 4 месяца назад +137

    Shey shey ujawainiangusha saf san❤❤❤ kama una mkubali Sheila gong like apa

  • @user-sd6gi1nb8w
    @user-sd6gi1nb8w 4 месяца назад +178

    Kp na zebuu na group yako nimewahi leo mm wakwanza maana nilikua naisubiri kwa hamu sana na kama ulikua unasubiri last card kwa hamu gonga like hapo bas

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- 4 месяца назад +41

    Nakubali San team KP last card ni moto wa kuotewa mbali tamu san hongereni kwa burudani kubwa mnAyo tup🎉🎉

  • @user-sk7ue4dw4b
    @user-sk7ue4dw4b 4 месяца назад +48

    Big my brother 🎉 Leo wa Kwanza kabisa kama muna penda kazi zao gongeni like zunu hapa

  • @user-gl7py7qo6v
    @user-gl7py7qo6v 4 месяца назад +33

    Sheira hongera sana sheira unaigiza vizuli sana unajua unacho kifany hongera kabira gani ww

  • @elizabethmulupirapando9774
    @elizabethmulupirapando9774 4 месяца назад +32

    Mimi naye nachelewanga lakini siwezi acha kutazama juu ya upendo wangu kwenu basi kama wewe pia niwakuchelewa basi weka like tukisonga much love from Kenya 🇰🇪

  • @user-fl4qb1cm3s
    @user-fl4qb1cm3s 4 месяца назад +7

    Kp n sheyisheyi hamijawayi kuniangusha nawa kubali sana

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb 4 месяца назад +16

    Kimeumana kp na zeb macho kwa macho jamani episode 28 fanyeni wepesi💪

  • @user-eh2jz8rw3o
    @user-eh2jz8rw3o 4 месяца назад +12

    Sheilla uwa namkubali sana kua plan B Good work team kp na zebu nawapenda sna love it from Qatar# Burundi🎉🎉🎉

  • @user-ry1wk2ql5h
    @user-ry1wk2ql5h 4 месяца назад +20

    japo nimechelewa jamn naomba like zangu hat Tano tu❤ love you team last card🎉🎉🎉🎉❤

  • @user-ir9xj5yt5p
    @user-ir9xj5yt5p 4 месяца назад +6

    Hongere sheila bwana ebu jaribu kumpeperushia bendera shila🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪kp.usiharibu bc nenda sw n sheila ssa umekua.kp mwanzo ulikua mtto lkn saii maua yko🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-rn3su5tr9p
    @user-rn3su5tr9p 4 месяца назад +17

    Leo mmeicheza vizuri zaidi big up team kp

  • @mosesjumba4294
    @mosesjumba4294 4 месяца назад +11

    Nakubali cheusi mangala amechecha kama Pele huo mlio WA baruti karibu utoboe simu yangu

  • @salimkhamisi6490
    @salimkhamisi6490 4 месяца назад +12

    Kwkweli bongo zenu zafany kazi vizuri mzidi kufikiria

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 4 месяца назад +14

    Jamani kwa nini tusimpigie kura awe muigizaji bora na group yake maana kwa hakika wanafanya kazi kubwa sana ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-eh8jx6td2n
    @user-eh8jx6td2n 4 месяца назад +26

    Nice job guys nawapenda sana ❤❤❤

  • @amanjuma9843
    @amanjuma9843 4 месяца назад +35

    Wa mwisho nipen like zangu nika lale nazo achen kunibania jamanii ety

  • @ruthwooden4080
    @ruthwooden4080 4 месяца назад +53

    Much love from KE 🇰🇪🇰🇪

  • @adrianamuthoni
    @adrianamuthoni 4 месяца назад +19

    Much love from Kenya 🇰🇪 ❤️ ❤

  • @stephenombachi2020
    @stephenombachi2020 4 месяца назад +27

    So much love from kenya ❤❤

  • @user-gn3bn2kb5v
    @user-gn3bn2kb5v 4 месяца назад +2

    Hakika shey shey na kp mna vipaji sana jamn mungu awabariki katika kazi yenu ili muendelee kufanya vizuri zaid

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 4 месяца назад +10

    Kisai kameza chupa 😂😂😂😂😂😂😂shaila kasi yako Safi Sana nawapenda bure

  • @Official-Bee
    @Official-Bee 4 месяца назад +15

    Nasikia kuwapiga, kwa nini mmenichelewesha hivo na venye nina hamu😢😢..
    Zebuu na KP mniombe msamaha ama nilie juu Kisai ananiudhi😂😂😢..
    Alafu wewe KP, umefikaje hapo😂😂??

  • @Baudouin-Tv
    @Baudouin-Tv 4 месяца назад +32

    Wa pili leo nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤from Congo Dr nico 🎉🎉🎉🎉last card

  • @abubakarikombora7837
    @abubakarikombora7837 4 месяца назад +11

    Mnafanya vizuri sana Ila mnatucheleweshea hii kitu hii nizaidi ya last card mnaupiga mwingi Sana

    • @allymwashambwa5920
      @allymwashambwa5920 4 месяца назад

      Wanajikuta wako bize eti

    • @user-zc1qh6ti2p
      @user-zc1qh6ti2p 4 месяца назад

      Wenye kukomenti kama wewe ndo nawapaga like ila hao mafala wasosifia muvi ilivo pambe. Utaskia wakwanza leo naomba like wakafie mbali

  • @LaizerjrTz
    @LaizerjrTz 4 месяца назад +2

    Nawapenda sana mnanifurahisha sana sheila na kp nyie ❤ mnatisha sana bila kumsahau likoma

  • @zuhurarashid958
    @zuhurarashid958 4 месяца назад +3

    Shei nakupenda San from kenya

  • @AspirinaSalvador
    @AspirinaSalvador 4 месяца назад +2

    Ira reo nimecerewa sana ira siyo sana 😘Nawapenda sana tena sana Love from moçambique ❤❤💕💕

  • @user-cs5zl4bh1e
    @user-cs5zl4bh1e 4 месяца назад +8

    Da kaka unatuiba tunaomba hicho kipande cha 28 kitoke halaka mana kimeishia kwenye utamu zaidi na sku ya kukitoa unatakiwa ukitangaze mapema sawa kaka na kama umenierewa hebu like hapo lingi

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 4 месяца назад +2

    Team kp big up sana na pia miss shei shei kaz nzuri sana

  • @ShaniaShaldin-ki4oi
    @ShaniaShaldin-ki4oi 4 месяца назад +54

    Wakwanz jamn like zang stak meng💝💝😂nilikuw nasubir khaaaah

    • @MAILE1CLAN3x5
      @MAILE1CLAN3x5 4 месяца назад +2

      Unanjaa na like wewe😆😆😆😆😆

    • @AgnesZubedah-zs2xd
      @AgnesZubedah-zs2xd 4 месяца назад

      ❤from Kenya

    • @AgnesZubedah-zs2xd
      @AgnesZubedah-zs2xd 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂 Sheila wee ni point ya Kila maneno[unayafahamu yote]

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 4 месяца назад +8

    Hongera sana wapendwa, Nawapenda nikiwa mombasa🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @dorothmwakibinga6882
    @dorothmwakibinga6882 4 месяца назад +4

    Jaman move mnacheleweshaa cjuh Kuna shida gan mpaka utam tunausahau

  • @user-ms3rz7uh9m
    @user-ms3rz7uh9m 4 месяца назад +9

    kep heshima yako pamoja na tim yako naamini mungu atawafikisha mbari munaweza sana

  • @user-bq1wl6wh2o
    @user-bq1wl6wh2o 4 месяца назад +8

    Mashaallah jamani leo nimekuwa wa kwanza, please msininyime like jaman

  • @kemboidennis2003
    @kemboidennis2003 4 месяца назад +13

    🎉❤Kazi nzuri

  • @user-ew9fw1is5v
    @user-ew9fw1is5v 4 месяца назад +12

    Kp usianze Mambo yak y mapenzi tena alafu uangushe wenzako

  • @mwanaidijabale2749
    @mwanaidijabale2749 4 месяца назад +23

    Much love from 🇰🇪

  • @user-eu6mo7py7x
    @user-eu6mo7py7x 4 месяца назад +15

    Much love kp and your group,,♥️♥️ from Kenya.

  • @salimchivunde2477
    @salimchivunde2477 4 месяца назад +9

    Mnipe hata like basi from Kenya

  • @Johar903
    @Johar903 4 месяца назад +6

    Eeh Hallah wafanyie wepesi KP sheishei likoma na suraji

  • @PerpetuaJackob-sg5yq
    @PerpetuaJackob-sg5yq 4 месяца назад +3

    Jmn m nampenda Sheila na Norah MUNGU awape nn zaidi ya Baraka na awazidishie ufanisi wa kazi,,,Kwa team nzima jmn always nawapenda Hadi naumwa 😘

  • @liliankerubo3784
    @liliankerubo3784 4 месяца назад +6

    miss shei shei na team yote ya kp na zebuu nawapenda sana❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪

  • @user-sx2uj4xi2s
    @user-sx2uj4xi2s 4 месяца назад +2

    ❤❤❤❤wow team kp na zebu kazi nzuri nawapenda aki I wish kp utawin kababa

  • @user-yv8zw5lm9g
    @user-yv8zw5lm9g 4 месяца назад +8

    Kp kakutana na zebuu 😂😂kwisha nguvu yamapenzi imerudi kisai kawa nyoka kameza kichupa cha sumu 😂😂😂

    • @Baudouin-Tv
      @Baudouin-Tv 4 месяца назад

      Mtu ameze sumu kali na ashindwe kufa ???

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 месяца назад +1

      😂😂😂 nimecheka alivyoambiwa akimuona Zebuu akili zinaruka nanikweli

    • @user-yv8zw5lm9g
      @user-yv8zw5lm9g 4 месяца назад

      @@m.mmarckus6298 natafanya kazi nzuri tena kp mana kaona ulimbo naye kanasa 🤣🤣🤣🤣

    • @user-yv8zw5lm9g
      @user-yv8zw5lm9g 4 месяца назад

      @@Baudouin-Tv yuajua haita mduru kwasababu imefugwa vizuri

    • @user-fh6vu2fw8c
      @user-fh6vu2fw8c 4 месяца назад

      ​@@m.mmarckus6298 😂😂😂😂ila wamejua kumshambulia vzr sana😂😂

  • @user-tq2gf5kz6i
    @user-tq2gf5kz6i 4 месяца назад +41

    Wakwanza nipeni like zangu 😢😢

    • @nurusaid4698
      @nurusaid4698 4 месяца назад +3

      Utaki Data Zitakusaidia Like Za Kazi Gani😂😂😂😂😂

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y 4 месяца назад +6

    ivi hizo like huwaga mnalipwa mm sielewi kilamtu mm wakwaza hebu nipeni sili bas 😂😂 kazi nzuri sana timu ya kp zabu kiujumla nawapenda sana

  • @petermwita5007
    @petermwita5007 4 месяца назад +11

    Much love from 🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 4 месяца назад +3

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI

  • @ManouverJ-hu3sx
    @ManouverJ-hu3sx 4 месяца назад +33

    Much love from 🇰🇪🇰🇪

  • @user-jj4id8vq2d
    @user-jj4id8vq2d 4 месяца назад +3

    Tumesubiri saana last card 😢😢😢ep28 na muhendeleze hady 40 tutafurahia kama Sisi watazamaji🎉 congratulations 👏👏👏👏 team kp

  • @ZipporahZippy-ng9rr
    @ZipporahZippy-ng9rr 4 месяца назад +2

    My lovely actor sheila,and all team KP much love ❤️❤️❤️❤️ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @NKNELOKWETU
    @NKNELOKWETU 4 месяца назад +6

    Chei chei kazi yako naipenda sana nataka uje kwetu Moçambique kuna puzi moja ananizumbua umbogo

  • @user-bv6tl9cs5q
    @user-bv6tl9cs5q 4 месяца назад +7

    Muchlove from KENYA

  • @user-qz4tt4go8x
    @user-qz4tt4go8x 4 месяца назад +4

    Wa 100 like 1

  • @user-vo6vl1oe8i
    @user-vo6vl1oe8i 4 месяца назад +3

    Kp,Zebulun na Ur team congrats,,,,,,but mnatuweka Sana ,,,,,,sheyshey keep it up

  • @user-xs2yr3zd1j
    @user-xs2yr3zd1j 4 месяца назад +3

    Haki KP na timu yako mnajua kwaKweli kuniburudisha hata nikichoka nikiiona tu last card aahhhh mtoto wa dar tmkyombo kilakal burudaniiii❤🎉❤🎉❤🎉

  • @user-xu5rh6ub5j
    @user-xu5rh6ub5j 4 месяца назад +15

    Much love from 🇸🇦

  • @NdovuluAmisiErikiane-ks4nx
    @NdovuluAmisiErikiane-ks4nx 4 месяца назад +2

    Sheyshey ati anazima network 😂😂😂 nice game na Nora wangu anawezaka snaa kazi yakuwekeana kamira na chunvi mu juice kazi nzuri sna kp wa zebuu keep it up na zebuu sikiliza kp anakosa yeyote 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ much love from Germany 🇩🇪

  • @nouraalharthy5509
    @nouraalharthy5509 4 месяца назад +6

    Jamani kisai kumeza kifuko kile si kidogo kikepitaje kooni kp ushakuwa muhindi saiv😂😂

  • @ReachelMutuku-sg1nq
    @ReachelMutuku-sg1nq 4 месяца назад +31

    Asante ni kwa muendelezo ila sikuizi mwatueka sana😢😢

  • @user-gf2st8sc1d
    @user-gf2st8sc1d 4 месяца назад +5

    Ngoja niwaulize kwan norah aliweka amira had kweny juice yake😂😂😂

  • @user-yi2qc2bu6t
    @user-yi2qc2bu6t 4 месяца назад +3

    Shey shey nakundi lako mtaniuwa na Raha Ila mnanibowa kitu kimoja mkonakawa kutoa muvi Hilo tu

  • @Pauline-254
    @Pauline-254 4 месяца назад +14

    Much love from kenya❤❤❤❤

  • @user-ce2bv8jo8c
    @user-ce2bv8jo8c 4 месяца назад +9

    Congratulations 🎉🎉much love from Kenya

  • @user-yw6zn1xq3m
    @user-yw6zn1xq3m 4 месяца назад +6

    😂😂😂kumbe pia mwaogopa sio lkn kp unachelewa sana kuachilia

  • @FaithVeronica-eu1ts
    @FaithVeronica-eu1ts 4 месяца назад +6

    Much love from kenya.
    Am waiting the next episode👍👍👍👍 and downfall y kisai

  • @user-jj5xk8it8t
    @user-jj5xk8it8t 4 месяца назад +16

    Much love from Saudi Arabia ❤❤

  • @user-pi6yr5ro8u
    @user-pi6yr5ro8u 4 месяца назад +5

    Nami najitahid kusubir last card

  • @RozinaKipande
    @RozinaKipande 4 месяца назад +4

    Kazi zuri sana 💓💞💓💗🎉🎉❤❤

  • @martinskabwe
    @martinskabwe 4 месяца назад +14

    Wakwanza from buja likes jaman

  • @Princessjannyfeddizo
    @Princessjannyfeddizo 4 месяца назад +3

    Mrs shey shey ...uko na akili .....😂😂I like it ❤❤❤much love from Kenya

  • @izacknongo4273
    @izacknongo4273 4 месяца назад +1

    Niece movie mungu awaongezee vibaji zaid tuendelee kujifunza kupitia nyinyi

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 4 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana jamani

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq 4 месяца назад +13

    Aki nimeita noraaah ad nikasahau nipo kwenye move e😂😂😂😂tim kp mko wapiiiiii🎉🎉🎉🎉makof kwetu jmn 🎉😂😂❤❤❤ kp na zebu

  • @rynekiswaga4597
    @rynekiswaga4597 4 месяца назад +5

    Jomon nimesubiri mpaka bas, naombeni likes zangu❤❤

  • @user-if6yx3ix4r
    @user-if6yx3ix4r 4 месяца назад +1

    Shey Shey chukua 🎉🎉🎉 hayo kazi nzuri Sana mtuwahishie mapema

  • @jullia639
    @jullia639 4 месяца назад +6

    Yaaani nlivyoisubiria toka jana uck dah

  • @user-rx8xb5me5s
    @user-rx8xb5me5s 4 месяца назад +1

    Kwakweli nyie wat nawapa hongera zenu mkovizr katka uandaaj wa movie yenu hongereni sana

  • @user-if5ru6ge8v
    @user-if5ru6ge8v 4 месяца назад +1

    Sheila kazi nzuri saana

  • @JodyJody-tm4hl
    @JodyJody-tm4hl 4 месяца назад +2

    Am the first one please like zikam

  • @user-mx5il7zf6u
    @user-mx5il7zf6u 4 месяца назад +4

    Nimechelewa ila nimefika nawapenda kp na zebuu kazi nzur🎉🎉

  • @user-zmusansomi
    @user-zmusansomi 4 месяца назад +5

    Good job kp

  • @user-vb4oy1he4f
    @user-vb4oy1he4f 4 месяца назад +1

    Kp waAquino our best actor in bongo move lapreciat yourworkmy dear bro big upwith your team bila kumsahau mzee Likoma team kp ✋

  • @StevenMwangobora
    @StevenMwangobora 4 месяца назад +2

    wanangu mnatisha sanaa mnachelewa ila mnatenda haki sana kwa dakika ila shey shey nakupenda mnoooo

  • @user-rl4cf6tc5n
    @user-rl4cf6tc5n 4 месяца назад +1

    jaman last card imenoga sana yaan ni moto sana hongeren kwa kuzidi kutuletea vitu vzr mungu awabarki

  • @user-ie8om7kh5w
    @user-ie8om7kh5w 4 месяца назад +4

    Wau love you guys much love from kenya love you miss shey shey congrats❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @magnibrondi3152
    @magnibrondi3152 4 месяца назад

    Love so much kp.ndie kp ninae mujuwa sasa kazi kazi sio mapenzi

  • @SaidAli-ec1zm
    @SaidAli-ec1zm 4 месяца назад +2

    The tricks which kp and her friend are using are very gud

  • @faithnyansera1124
    @faithnyansera1124 4 месяца назад +5

    Much love to you guys keep it up

  • @mirnababy5012
    @mirnababy5012 4 месяца назад +5

    Baba asije kuzagamua na Nora maana hana mke😂

  • @user-qx9ns1hn7k
    @user-qx9ns1hn7k 4 месяца назад +2

    Nawapenda sana.niko mburundi

  • @JOSETZ11
    @JOSETZ11 4 месяца назад +16

    Kwa upande wa mara bunda nahisi ni wa kwanza like zangu by JOSE TZ

  • @user-os4fv4nx4v
    @user-os4fv4nx4v 4 месяца назад +5

    Hiv nyie izo like mnataka zanini achen ushamba bac 😂😂😂😂😂

  • @MkaseeMkasee
    @MkaseeMkasee 4 месяца назад +1

    shey shey na kp good job and I hope mtashinda hii vita nilikuwa nasubiri hii episode Kwa hamu na ghamu msicheleweshe episode 28 tunaigoja pia

  • @rynekiswaga4597
    @rynekiswaga4597 4 месяца назад +4

    Kp kashaharibu tena na mapenzi yooooooo😢😢 kp mapenzi yanamuharibia Kila muda 😢😢

    • @Baudouin-Tv
      @Baudouin-Tv 4 месяца назад +1

      Apo ndo shida kisai ndo ame ni uzi saaana lina meza dawa 😡😡😡😡

    • @rynekiswaga4597
      @rynekiswaga4597 4 месяца назад +1

      Kp mi nasubiri Hadi nachoka😢😢

  • @eliphasethobias1133
    @eliphasethobias1133 4 месяца назад +1

    Sheila na kp mko vzr sana nawaaaminia Napenda mipango yenu🎉🎉❤❤❤❤❤
    Congrats 👏

  • @user-yk1gl8qw1v
    @user-yk1gl8qw1v 4 месяца назад +1

    Waaah nawakubali miss sheishei n kp good work ❤❤❤❤❤❤

  • @RajabuAwadhi-qj1el
    @RajabuAwadhi-qj1el 4 месяца назад +9

    Kp msi cheleweshe bas mana tuna wakubali kam a wamkubali kp gonga like

  • @judytesh
    @judytesh 4 месяца назад +12

    Wakwaza kp nipee like yako😢