Kp na zebuu na group yako nimewahi leo mm wakwanza maana nilikua naisubiri kwa hamu sana na kama ulikua unasubiri last card kwa hamu gonga like hapo bas
Mimi naye nachelewanga lakini siwezi acha kutazama juu ya upendo wangu kwenu basi kama wewe pia niwakuchelewa basi weka like tukisonga much love from Kenya 🇰🇪
Nasikia kuwapiga, kwa nini mmenichelewesha hivo na venye nina hamu😢😢.. Zebuu na KP mniombe msamaha ama nilie juu Kisai ananiudhi😂😂😢.. Alafu wewe KP, umefikaje hapo😂😂??
Wa pili leo nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤from Congo Dr nico 🎉🎉🎉🎉last card
Da kaka unatuiba tunaomba hicho kipande cha 28 kitoke halaka mana kimeishia kwenye utamu zaidi na sku ya kukitoa unatakiwa ukitangaze mapema sawa kaka na kama umenierewa hebu like hapo lingi
Sheyshey ati anazima network 😂😂😂 nice game na Nora wangu anawezaka snaa kazi yakuwekeana kamira na chunvi mu juice kazi nzuri sna kp wa zebuu keep it up na zebuu sikiliza kp anakosa yeyote 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ much love from Germany 🇩🇪
Shey shey ujawainiangusha saf san❤❤❤ kama una mkubali Sheila gong like apa
🤛🫶
Na mupenda Sheila
🎉🎉
Yuko bomba
Nampenda sana Shein Shei anafaa kuwa mpelelezi jaman
Kp na zebuu na group yako nimewahi leo mm wakwanza maana nilikua naisubiri kwa hamu sana na kama ulikua unasubiri last card kwa hamu gonga like hapo bas
my dad❤
28 mpaka lin tena
Nakubali San team KP last card ni moto wa kuotewa mbali tamu san hongereni kwa burudani kubwa mnAyo tup🎉🎉
Big my brother 🎉 Leo wa Kwanza kabisa kama muna penda kazi zao gongeni like zunu hapa
Sheira hongera sana sheira unaigiza vizuli sana unajua unacho kifany hongera kabira gani ww
Mnyaturu😂
Ndo maana kaamua kumbeba mdogo wake Norah
😂😂😂nyaturu girl hii❤❤
Mimi naye nachelewanga lakini siwezi acha kutazama juu ya upendo wangu kwenu basi kama wewe pia niwakuchelewa basi weka like tukisonga much love from Kenya 🇰🇪
Katiya kp na kisainani ni mshindi
Kp n sheyisheyi hamijawayi kuniangusha nawa kubali sana
Kimeumana kp na zeb macho kwa macho jamani episode 28 fanyeni wepesi💪
Sheilla uwa namkubali sana kua plan B Good work team kp na zebu nawapenda sna love it from Qatar# Burundi🎉🎉🎉
japo nimechelewa jamn naomba like zangu hat Tano tu❤ love you team last card🎉🎉🎉🎉❤
Hongere sheila bwana ebu jaribu kumpeperushia bendera shila🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪kp.usiharibu bc nenda sw n sheila ssa umekua.kp mwanzo ulikua mtto lkn saii maua yko🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Leo mmeicheza vizuri zaidi big up team kp
Nakubali cheusi mangala amechecha kama Pele huo mlio WA baruti karibu utoboe simu yangu
Kwkweli bongo zenu zafany kazi vizuri mzidi kufikiria
Jamani kwa nini tusimpigie kura awe muigizaji bora na group yake maana kwa hakika wanafanya kazi kubwa sana ❤❤❤🎉🎉🎉
🎉
🎉🎉
Nice job guys nawapenda sana ❤❤❤
Wa mwisho nipen like zangu nika lale nazo achen kunibania jamanii ety
Ukilala nazo unapata nn
Nawew usiwe mgumu sasa
Much love from KE 🇰🇪🇰🇪
Wababe hawa munacheza vizuli sana
Adi wakenya mnacheki
@@kingfocustzog kwa mpigo
Much love from Kenya 🇰🇪 ❤️ ❤
So much love from kenya ❤❤
Hakika shey shey na kp mna vipaji sana jamn mungu awabariki katika kazi yenu ili muendelee kufanya vizuri zaid
Kisai kameza chupa 😂😂😂😂😂😂😂shaila kasi yako Safi Sana nawapenda bure
Nasikia kuwapiga, kwa nini mmenichelewesha hivo na venye nina hamu😢😢..
Zebuu na KP mniombe msamaha ama nilie juu Kisai ananiudhi😂😂😢..
Alafu wewe KP, umefikaje hapo😂😂??
Wa pili leo nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤from Congo Dr nico 🎉🎉🎉🎉last card
Mwehu wewe
Mnafanya vizuri sana Ila mnatucheleweshea hii kitu hii nizaidi ya last card mnaupiga mwingi Sana
Wanajikuta wako bize eti
Wenye kukomenti kama wewe ndo nawapaga like ila hao mafala wasosifia muvi ilivo pambe. Utaskia wakwanza leo naomba like wakafie mbali
Nawapenda sana mnanifurahisha sana sheila na kp nyie ❤ mnatisha sana bila kumsahau likoma
Shei nakupenda San from kenya
Ira reo nimecerewa sana ira siyo sana 😘Nawapenda sana tena sana Love from moçambique ❤❤💕💕
Da kaka unatuiba tunaomba hicho kipande cha 28 kitoke halaka mana kimeishia kwenye utamu zaidi na sku ya kukitoa unatakiwa ukitangaze mapema sawa kaka na kama umenierewa hebu like hapo lingi
Team kp big up sana na pia miss shei shei kaz nzuri sana
Wakwanz jamn like zang stak meng💝💝😂nilikuw nasubir khaaaah
Unanjaa na like wewe😆😆😆😆😆
❤from Kenya
😂😂😂😂😂 Sheila wee ni point ya Kila maneno[unayafahamu yote]
Hongera sana wapendwa, Nawapenda nikiwa mombasa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jaman move mnacheleweshaa cjuh Kuna shida gan mpaka utam tunausahau
kep heshima yako pamoja na tim yako naamini mungu atawafikisha mbari munaweza sana
Mashaallah jamani leo nimekuwa wa kwanza, please msininyime like jaman
🎉❤Kazi nzuri
Kp usianze Mambo yak y mapenzi tena alafu uangushe wenzako
Much love from 🇰🇪
Much love kp and your group,,♥️♥️ from Kenya.
Mnipe hata like basi from Kenya
Eeh Hallah wafanyie wepesi KP sheishei likoma na suraji
Jmn m nampenda Sheila na Norah MUNGU awape nn zaidi ya Baraka na awazidishie ufanisi wa kazi,,,Kwa team nzima jmn always nawapenda Hadi naumwa 😘
miss shei shei na team yote ya kp na zebuu nawapenda sana❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪
❤❤❤❤wow team kp na zebu kazi nzuri nawapenda aki I wish kp utawin kababa
Kp kakutana na zebuu 😂😂kwisha nguvu yamapenzi imerudi kisai kawa nyoka kameza kichupa cha sumu 😂😂😂
Mtu ameze sumu kali na ashindwe kufa ???
😂😂😂 nimecheka alivyoambiwa akimuona Zebuu akili zinaruka nanikweli
@@m.mmarckus6298 natafanya kazi nzuri tena kp mana kaona ulimbo naye kanasa 🤣🤣🤣🤣
@@Baudouin-Tv yuajua haita mduru kwasababu imefugwa vizuri
@@m.mmarckus6298 😂😂😂😂ila wamejua kumshambulia vzr sana😂😂
Wakwanza nipeni like zangu 😢😢
Utaki Data Zitakusaidia Like Za Kazi Gani😂😂😂😂😂
ivi hizo like huwaga mnalipwa mm sielewi kilamtu mm wakwaza hebu nipeni sili bas 😂😂 kazi nzuri sana timu ya kp zabu kiujumla nawapenda sana
Much love from 🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
Much love from 🇰🇪🇰🇪
Tumesubiri saana last card 😢😢😢ep28 na muhendeleze hady 40 tutafurahia kama Sisi watazamaji🎉 congratulations 👏👏👏👏 team kp
My lovely actor sheila,and all team KP much love ❤️❤️❤️❤️ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Chei chei kazi yako naipenda sana nataka uje kwetu Moçambique kuna puzi moja ananizumbua umbogo
Muchlove from KENYA
Wa 100 like 1
Kp,Zebulun na Ur team congrats,,,,,,but mnatuweka Sana ,,,,,,sheyshey keep it up
Haki KP na timu yako mnajua kwaKweli kuniburudisha hata nikichoka nikiiona tu last card aahhhh mtoto wa dar tmkyombo kilakal burudaniiii❤🎉❤🎉❤🎉
Much love from 🇸🇦
Sheyshey ati anazima network 😂😂😂 nice game na Nora wangu anawezaka snaa kazi yakuwekeana kamira na chunvi mu juice kazi nzuri sna kp wa zebuu keep it up na zebuu sikiliza kp anakosa yeyote 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ much love from Germany 🇩🇪
Jamani kisai kumeza kifuko kile si kidogo kikepitaje kooni kp ushakuwa muhindi saiv😂😂
❤
Asante ni kwa muendelezo ila sikuizi mwatueka sana😢😢
Very active movie love so much
Ngoja niwaulize kwan norah aliweka amira had kweny juice yake😂😂😂
Maajabu😅😅
😂😂
Sasa angeacha siangeshitukiwa jamani 😂😂😂😂
Shey shey nakundi lako mtaniuwa na Raha Ila mnanibowa kitu kimoja mkonakawa kutoa muvi Hilo tu
Much love from kenya❤❤❤❤
Congratulations 🎉🎉much love from Kenya
😂😂😂kumbe pia mwaogopa sio lkn kp unachelewa sana kuachilia
Much love from kenya.
Am waiting the next episode👍👍👍👍 and downfall y kisai
Much love from Saudi Arabia ❤❤
Team hamamu
Reo nzuli kweri muwe nilisha
Nami najitahid kusubir last card
Kazi zuri sana 💓💞💓💗🎉🎉❤❤
Wakwanza from buja likes jaman
Mrs shey shey ...uko na akili .....😂😂I like it ❤❤❤much love from Kenya
Niece movie mungu awaongezee vibaji zaid tuendelee kujifunza kupitia nyinyi
Kazi nzuri sana jamani
Aki nimeita noraaah ad nikasahau nipo kwenye move e😂😂😂😂tim kp mko wapiiiiii🎉🎉🎉🎉makof kwetu jmn 🎉😂😂❤❤❤ kp na zebu
Jomon nimesubiri mpaka bas, naombeni likes zangu❤❤
Shey Shey chukua 🎉🎉🎉 hayo kazi nzuri Sana mtuwahishie mapema
Yaaani nlivyoisubiria toka jana uck dah
Kwakweli nyie wat nawapa hongera zenu mkovizr katka uandaaj wa movie yenu hongereni sana
Sheila kazi nzuri saana
Am the first one please like zikam
Nimechelewa ila nimefika nawapenda kp na zebuu kazi nzur🎉🎉
Good job kp
Kp waAquino our best actor in bongo move lapreciat yourworkmy dear bro big upwith your team bila kumsahau mzee Likoma team kp ✋
wanangu mnatisha sanaa mnachelewa ila mnatenda haki sana kwa dakika ila shey shey nakupenda mnoooo
jaman last card imenoga sana yaan ni moto sana hongeren kwa kuzidi kutuletea vitu vzr mungu awabarki
Wau love you guys much love from kenya love you miss shey shey congrats❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Love so much kp.ndie kp ninae mujuwa sasa kazi kazi sio mapenzi
The tricks which kp and her friend are using are very gud
Much love to you guys keep it up
Baba asije kuzagamua na Nora maana hana mke😂
Nawapenda sana.niko mburundi
Kwa upande wa mara bunda nahisi ni wa kwanza like zangu by JOSE TZ
Hiv nyie izo like mnataka zanini achen ushamba bac 😂😂😂😂😂
Wanataka wanywee chai
shey shey na kp good job and I hope mtashinda hii vita nilikuwa nasubiri hii episode Kwa hamu na ghamu msicheleweshe episode 28 tunaigoja pia
Kp kashaharibu tena na mapenzi yooooooo😢😢 kp mapenzi yanamuharibia Kila muda 😢😢
Apo ndo shida kisai ndo ame ni uzi saaana lina meza dawa 😡😡😡😡
Kp mi nasubiri Hadi nachoka😢😢
Sheila na kp mko vzr sana nawaaaminia Napenda mipango yenu🎉🎉❤❤❤❤❤
Congrats 👏
Waaah nawakubali miss sheishei n kp good work ❤❤❤❤❤❤
Kp msi cheleweshe bas mana tuna wakubali kam a wamkubali kp gonga like
Wakwaza kp nipee like yako😢