Wyckliffe Kane aliuwawa wakati wa maandamano

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024
  • Familia moja eneo la Kangemi, Nairobi inalilia haki baada ya jamaa yao kufariki katika njia tata wakati wa maandamano ya wiki iliyopita. Familia ya wycliffe kane aliyekuwa mhudumu wa boda boda inasema jamaa yao aligongwa na kifaa butu huku kukiwa na madai kuwa huenda aligongwa na kitoa machozi kabla ya kupoteza mwelekeo na kuanguka na pikipiki.

Комментарии • 9

  • @user-cs5bs8xd8r
    @user-cs5bs8xd8r 19 дней назад +1

    Woiye hangeenda kazi hiyo siku.

  • @josephkinyanjui8399
    @josephkinyanjui8399 11 дней назад

    Any place where there is chaos is better to avoid if you are not a participant anything can can happen...

  • @justinebakora
    @justinebakora 19 дней назад

    😢😢am soo painfully hurt with that story, it's the kenya we don't want.

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or 19 дней назад +2

    Maandamano deaths stories are not over? I think people have taken too much advantage of this situation..

  • @corazonmdesh5282
    @corazonmdesh5282 18 дней назад

    So sad 😢

  • @danielmnuvi7
    @danielmnuvi7 16 дней назад

    Wacha wachawi wakufe kwani kunanini