Wyckliffe Kane aliuwawa wakati wa maandamano
HTML-код
- Опубликовано: 7 июл 2024
- Familia moja eneo la Kangemi, Nairobi inalilia haki baada ya jamaa yao kufariki katika njia tata wakati wa maandamano ya wiki iliyopita. Familia ya wycliffe kane aliyekuwa mhudumu wa boda boda inasema jamaa yao aligongwa na kifaa butu huku kukiwa na madai kuwa huenda aligongwa na kitoa machozi kabla ya kupoteza mwelekeo na kuanguka na pikipiki.
Woiye hangeenda kazi hiyo siku.
Any place where there is chaos is better to avoid if you are not a participant anything can can happen...
😢😢am soo painfully hurt with that story, it's the kenya we don't want.
Maandamano deaths stories are not over? I think people have taken too much advantage of this situation..
What do you mean taking advantage?
Enda kunywa maziwa bangi ishuke 😏😏😏
Dinywa umbwa wewe.
So sad 😢
Wacha wachawi wakufe kwani kunanini