SHEIKH ATOA SOMO MUHIMU SANA , KUHUSU RIBA , BIASHARA NA UDALALI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 май 2024
  • MAJIBU YA SHEIKH ABDUL-QAADIR AL-AHDAL (ALLAH AMUHIFADHI).

Комментарии • 11

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Месяц назад +1

    Allah akupe umri wenye kutumikia umaaah na update pepo siku ya mwishi❤❤

  • @abdillahmachemba5597
    @abdillahmachemba5597 Месяц назад +1

    Hazina yetu waislam Allah amhifadh sheikh letu Aaalim

  • @malickhemeid930
    @malickhemeid930 Месяц назад +1

    SUBHANALLAH

  • @sayman158
    @sayman158 Месяц назад

    Uislamu umenyooka sanaaa,,,ALHAMDULILLAH

    • @user13375
      @user13375 Месяц назад

      Ila watu wake sasa😮😮😮

    • @sayman158
      @sayman158 Месяц назад

      @@user13375 ALLAH atuhifadhi ndugu..sisi ndo tunazingua ila.Dini yetu imeelekeza vitu vyotee na vipo sawa

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Месяц назад

    Shukrani Sana shekh wetu kwamaana. riba imeshamili kwetu waislaam

  • @ibrahimadan7563
    @ibrahimadan7563 Месяц назад

    Assalamu aleykum. I have a question naomba response, nachanganya ndimi samahani, ni haya: mimi ni fundi upande wa Moyale, wafanyibiashara wa Ethiopia wananipigia simu kuwaletea spare parts kutoka Nairobi, napiga simu Nairobi kujua bei and then nawaambia Ethiopians bei ni hi na hi bila kuweka senti moja juu.so they give me money i buy and take parts to them in return wananipatia pesa kiasi fulani so hii pesa ni halalii?

    • @DEMSEY_TV
      @DEMSEY_TV Месяц назад

      Ni halalii shekhe ukimsikiliz shekhe mwanzo hadi mwisho amegusia hiyo Kasema mfano mtu akitaka bidhaa dukana kwako na wewe huna na ukamwambia kuna sehemu ipo na bei ukamtajia na hukuongeza hata sent na ukampa akikupa pesa ni halalii yako na vile vile kwa issue yako Ni halalali wamekupa pesa kwa haki hukuwatajia bei ya udalalii ume waambia sahihi na huku zidisha sent na pia kama ungezidisha ilipaswa waridhie na ingekua sahihi

    • @user13375
      @user13375 Месяц назад

      Hakikisha kusiwe na uongo tu katika biashara hiyo,

  • @user13375
    @user13375 Месяц назад

    Ukiwa dalali uongo kuuepuka ni mtihani😮😮😮