Assalamu aleykum. I have a question naomba response, nachanganya ndimi samahani, ni haya: mimi ni fundi upande wa Moyale, wafanyibiashara wa Ethiopia wananipigia simu kuwaletea spare parts kutoka Nairobi, napiga simu Nairobi kujua bei and then nawaambia Ethiopians bei ni hi na hi bila kuweka senti moja juu.so they give me money i buy and take parts to them in return wananipatia pesa kiasi fulani so hii pesa ni halalii?
Ni halalii shekhe ukimsikiliz shekhe mwanzo hadi mwisho amegusia hiyo Kasema mfano mtu akitaka bidhaa dukana kwako na wewe huna na ukamwambia kuna sehemu ipo na bei ukamtajia na hukuongeza hata sent na ukampa akikupa pesa ni halalii yako na vile vile kwa issue yako Ni halalali wamekupa pesa kwa haki hukuwatajia bei ya udalalii ume waambia sahihi na huku zidisha sent na pia kama ungezidisha ilipaswa waridhie na ingekua sahihi
Allah akupe umri wenye kutumikia umaaah na update pepo siku ya mwishi❤❤
Hazina yetu waislam Allah amhifadh sheikh letu Aaalim
SUBHANALLAH
Uislamu umenyooka sanaaa,,,ALHAMDULILLAH
Ila watu wake sasa😮😮😮
@@user13375 ALLAH atuhifadhi ndugu..sisi ndo tunazingua ila.Dini yetu imeelekeza vitu vyotee na vipo sawa
Shukrani Sana shekh wetu kwamaana. riba imeshamili kwetu waislaam
Assalamu aleykum. I have a question naomba response, nachanganya ndimi samahani, ni haya: mimi ni fundi upande wa Moyale, wafanyibiashara wa Ethiopia wananipigia simu kuwaletea spare parts kutoka Nairobi, napiga simu Nairobi kujua bei and then nawaambia Ethiopians bei ni hi na hi bila kuweka senti moja juu.so they give me money i buy and take parts to them in return wananipatia pesa kiasi fulani so hii pesa ni halalii?
Ni halalii shekhe ukimsikiliz shekhe mwanzo hadi mwisho amegusia hiyo Kasema mfano mtu akitaka bidhaa dukana kwako na wewe huna na ukamwambia kuna sehemu ipo na bei ukamtajia na hukuongeza hata sent na ukampa akikupa pesa ni halalii yako na vile vile kwa issue yako Ni halalali wamekupa pesa kwa haki hukuwatajia bei ya udalalii ume waambia sahihi na huku zidisha sent na pia kama ungezidisha ilipaswa waridhie na ingekua sahihi
Hakikisha kusiwe na uongo tu katika biashara hiyo,
Ukiwa dalali uongo kuuepuka ni mtihani😮😮😮