Maneno ya kinywa chako, ni kama booster katika magari ya fast and furious,, i wish to get a chance to tourch even a piece of cloth. Your so different my uncle.
Thanks kwa kunitia moyo na mimi Siku moja nitakuwa Kama wewe kusimama mbele za watu kufundisha jamii kuwa kujiajiri Ndio fulsa na wasomi tujifunze kujiajiri, Mimi pia nimejiajiri pamoja na elimu yangu na Nina ndoto kubwa kuja kunfanyia Tanzania yangu mabadiliko.
Mimi ningepata nafasi ningeomba nikutane na wewe ,ili nizidi kujifunza mengi zaidi tunatamani kupata marafiki Wa namna hii lakini inakuwa ni vigumu kukutana nao,tunaamini tunaweza ,tunatamani kuwa hivyo
nimewasikiliza hao jamaa kwa makini sana na kuwaelewa at the end nakwambia usidanganyike "try this at your own risk"
Maneno ya kinywa chako, ni kama booster katika magari ya fast and furious,, i wish to get a chance to tourch even a piece of cloth. Your so different my uncle.
hakika tunakushukuru mtumushi Wa Bwana James kuwa pamoja nasi kwenye mkesha Wa vijana Wa Mlima Wa moto hakika umetusogeza viwango vya juu zaid
Thanks kwa kunitia moyo na mimi Siku moja nitakuwa Kama wewe kusimama mbele za watu kufundisha jamii kuwa kujiajiri Ndio fulsa na wasomi tujifunze kujiajiri, Mimi pia nimejiajiri pamoja na elimu yangu na Nina ndoto kubwa kuja kunfanyia Tanzania yangu mabadiliko.
Mimi ningepata nafasi ningeomba nikutane na wewe ,ili nizidi kujifunza mengi zaidi tunatamani kupata marafiki Wa namna hii lakini inakuwa ni vigumu kukutana nao,tunaamini tunaweza ,tunatamani kuwa hivyo
Naomba muwe mnatoa namba zenu na email zenu ili tupate mawasiliano zaidi,hongera sana
Tunakuomba sana utufikie mbeya natamani niuzulie semina yako
thanks kwa kipind maneno mazuri sama😍😍
Asante
Naomben namba ili nipate mafunzo vzr
Asante
habr? nimekusikiliza kwenye radio .nikiwa ndani ya dalala leo ? kamna ulikuwepo .ndani yangu ,nitakutafuta kwa ushauli zaid, ktk,bssness
Asante sana nimekuelewa na pia nitajitaidi kuufanyia kazi
asanteni sana ni kweli maisha ni kuchagua. unaweza ukajinyima siku kadhaa ili ufanikishe mipango yako.
Asante kaka ubarikiwe.ujumbe umefika
Nilikuwa nauliza jee kipa hicho kitabu nakama kipo kinapatikana vp na kama ni CD jee inapatikana vp
Nawafuatilia sana nipo Iringa JE mtakuja lini huku.
Asanten sana kwa mawaidha yenu mungu awa bariki
Safi Sana
naam ni kweli
Safi sana
shukrani kwenu.
Nimekbali maneno yenu Shigongo na mag'amba mnafanya poa sana kutoa elimu ya ujasiriamali.
Okay
inspired