Hongera kwautungaji mzuri wamaneno yenye upako wa roho mtakatifu barikiweni sana forward forward not looking behind fungueni mipaka ya big victory safi sana nimebarikiwa mno nahuu wimbo mzuri 🙏🙏🙏👏👏⛪👋👋💓👏🙏🙏🙏🙏🙏
Mwimbaji hjharibu. Umepita kwenye upako uleule. Ni vema waimbaji wajifunze litu..ukifanya copy usifanye kwa kutaka umaarufu bali msihi Mungu kusudi la ujumbe/wimbo likapokelewe kwa wasikilizaji ikaponye na kuganga mioyo yao. Kupitia wimbo watu wauone utukufu wa Mungu na sio utukutu wa mwimbaji. Sifa ziende kwa Mungu na sio mwimbaji. Yy katumika tu. June 2020,Pwani.
Hii ni remix. Wewe ndiwe Mungu wa Abraham, isaka na Yusufu. Mbona ninateseka. Mbona Baba umeniacha.?Huu ni wimbo wa shida na mateso.Thank u 4 Med remix.
Barikiwa saana mtumish wa Mungu. Umeutendea haki huu wimbo. Natarajia kapata wimbo wako maana sauti unayo na hata kwa nomination Ni nzuri. Mungu akuongoze na kukuinua katika huduma yako.
Mungu akubariki mdada Miriam lucas Mwankanye, tunasubir,Umwema, Ebenezer,Heshima na ...........,Mungu akusimamie katika maandaliz . Utukufu kwa Mungu wetu.
Hongera kwautungaji mzuri wamaneno yenye upako wa roho mtakatifu barikiweni sana forward forward not looking behind fungueni mipaka ya big victory safi sana nimebarikiwa mno nahuu wimbo mzuri 🙏🙏🙏👏👏⛪👋👋💓👏🙏🙏🙏🙏🙏
Shukran
Hongera sanaaa class mate Mungu akubariki
Asant
Mungu akubarik na aendelele kuendeleza kipaji chako
Endelea uko vizuri
Mungu wangu akubariki sana na akuinue zaidi
Amené songambele mungu iko pamoja nasi
A melodies well arrnged
Nyimbo hizi zanijenga Sana kiimani .hongera
Amen🙏🏻
Wimbo. Mzuri. Sana
Hongera Sana dada umefanya vzr sana
Mungu wang ndo muweza wa yote
Ulivyotilia ; mavazi yako na unavyocheza unaupako wa MUNGU wetu. Songa mbele mama.
Amen
2023 bado nangalia bonge la Nyimbo mdogo etu Miliam yona mwankanye kutoka ibigi rungwe akiwakilisha vema💪
Sister mungu akupigania zaidi na zaidi maana umetubariki Sana kwa wimbo wako mzuri be blessed with them my sister,s
Amen
Dada nimekuelewa mungu akubaliki sana
Shukran
Wimbo. Mzuri
❤❤❤nazipendaga sana
Upo vzur
Nashukuru Sana Miriam kwa wimbo huu, imetujenga sana haswa Imani yetu.
Amen
Mungu ndiye muweza hata tukipitishwa kwenye shida bado anatupa tumaini " ee mungu naomba kusudi lako litimie kwangu Kama ulivyoniita" AMEN!
Amina mpendwa
Amin
Amen
Mungu wangu nakutafuta mbona sikuoni
Mungu akubariki sanga, wimbo wako umenibariki sana.
Amen
Mwimbaji hjharibu.
Umepita kwenye upako uleule.
Ni vema waimbaji wajifunze litu..ukifanya copy usifanye kwa kutaka umaarufu bali msihi Mungu kusudi la ujumbe/wimbo likapokelewe kwa wasikilizaji ikaponye na kuganga mioyo yao.
Kupitia wimbo watu wauone utukufu wa Mungu na sio utukutu wa mwimbaji.
Sifa ziende kwa Mungu na sio mwimbaji.
Yy katumika tu.
June 2020,Pwani.
Amen🙏🏻
Abarikiwe mtunzi wa wimbo huu,huwa nikiusikiliza huwa nabubujikwa na machozi,sijui huwa ni furaha au ni huzuni,huwa sijielewi kwakweli
mimi mwenyewe nimelia sanaa
Tunataka wimbo original alioimba medrik sio cover
kweli.kabixa wimbo.original ni mzuri sana afu ukiutafuta youtube haupo wameweka cover wakatoa original ..
Barikiwa sana dada
Mbarikiwe Sana mchana mwema
Amen
Nakuomba mungu wangu niangalie kwa chicho lako
Hakika ubalikiwe,huo wimbo unanipa kuvuta uwepo wa Mungu.
True 👍
Kabisaaa
Amen
Hakika utabaki kuwa Mungu Amen
Amin
Me too my God father I need you, look at me with thy mercy full eyes in the name of Jesus Christ my Lord and my savior Amen
Mngu akubaliki sana unaimba vizur sanga ameenda wap
Shukran
Yaan huu wimbo mm haijawahi kuisha siku sijausikiliza mwaka wa 3 huu Mungu akubariki mtumishi wake
Nimekupenda dada umeimba kwa utulivu sana na umejishusha, pia nimebarikiwa na mavazi yako
wimbo umenigusa barikiwa sana dada.
Barikiwa
Amen
Mungu akubariki dada
Macho yangu auuuu
🌚 alakati za mtu mweusi
Barikiwa mam
Oh wimbo mzr,barikiwa,Bwana akuonekanie
Amen
Wimbo poa rimix good
Amen huu wimbo wanafariji
Jaman huu wimbo mbona haukuibwa na huyu dada iweje Leo aimbe yeye
Ndio maana ya wimbo kuitwa cover
Hii ni remix. Wewe ndiwe Mungu wa Abraham, isaka na Yusufu. Mbona ninateseka. Mbona Baba umeniacha.?Huu ni wimbo wa shida na mateso.Thank u 4 Med remix.
Amen🙏🏻
Amen!
Amakika Vidio mzuri sana Mungu pamoja nasi
Amen
Ni nzuri, ila mtuwekee. Basi original pia👏👏👏👏👏👏
Wekeni original aliyoimba Medrick Sanga mwenyewe
hongera rafiki yangu barikiwa sana
Amina
Mungu akutangulie hangera sana dada yangu 🏰🏰⚓⚓⚓⚓🏯🏰🏪🏫🏥🏥🏣🏩🐁🐑🐑🐓🐲🐲🐲🐾🍸
Amen
Nimefurahia kazi yoko dada
Shukran
Amen.
Ndagha kyusa,gwimbile Fijo kyala akusaje.
Amina
Huyo dada Mungu ambariki
Amina
Amen
Mungu akubariki dada umeimba kwa kumaanisha 🙏🙏🙏🙏
Daah please nielekeze original naipataje ndg ? Nimeitafuta sana
Ukipataa unitag ,nikama waliitoa yuTube
Mimi mwenyewe nazitafuta sana hizo nyimbo
Ipoooo
Tunaipataje mkuu@@amosnnko7792
Barikiwa saana mtumish wa Mungu. Umeutendea haki huu wimbo. Natarajia kapata wimbo wako maana sauti unayo na hata kwa nomination Ni nzuri. Mungu akuongoze na kukuinua katika huduma yako.
𝑫𝒂𝒂𝒂𝒉 𝒉𝒊𝒊 𝒏𝒚𝒊𝒎𝒃𝒐 𝒅𝒂𝒅𝒂 𝒌𝒂𝒊𝒊𝒎𝒃𝒂 𝒗𝒊𝒛𝒖𝒓𝒊 𝒔𝒂𝒏𝒂,𝒌𝒂𝒏𝒊𝒌𝒖𝒎𝒃𝒖𝒔𝒉𝒂 𝒎𝒃𝒂𝒍𝒊 𝒔𝒂𝒏𝒂 𝒅𝒂𝒂𝒂𝒉,𝒎𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒂𝒌𝒖𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒂𝒏𝒂 𝒅𝒂𝒅𝒂
Amen
@@adolalimhule4395 Amen
@@miriamluka9684 dada yangu anaimba huyo ñataman kumjua zaidi sijui ana patikana vp
MUNGU awabariki sana watumishi kwa nyimbo nzr sana by James Donald Nyantanero
Mungu akubariki sana
Amen
Mungu akubariki mdada Miriam lucas Mwankanye, tunasubir,Umwema, Ebenezer,Heshima na ...........,Mungu akusimamie katika maandaliz . Utukufu kwa Mungu wetu.
Amen inakuja Dada......thanks
Please upload EE MUNGU WANGU the original version
Ndo,nini kuimba kWa wimbo wA mwenzio,
I want to do collab with you from Canada
🙏🏻
Yaan me nilikuwa wapi sijaona kitu km hiki..am so proud toto😍😍😍
Pia mimi ndio naona
Nice
Powerfully Worship Spirit, Move on YES YOU CAN Go Miriam Go
Thanks brother
Ubalikiwe nzuri sana
Amen
Nabarikiwa sanaaaaaaa!!!
Amen
Ubarikiwe mtumishi
Amina
Love 💕💕 these song🙏🙏🙏
Thanks
Napnd San this song
Ubarikiwe..
Amen
hakika Mungu ni mwema
Barikiwa
Ujumbe nimeupenda....""Hakika Wewe ndiwe Mungu daima milele.""
AMEN glory be to God
Hongera sana aunt yake Gwake na Nathan....Mungu akubariki sana Uzid kusonga mbele
Nzuri San Dada mpendwa Hana hata Maringo na mbwembwe Kama wengine God bless you 🙏🙏
Amen nmebarikiwa kupitia Huu wimbo hakika mbarikiwe sana medrick na timu yako
Umeutendea haki huu wimbo hata mwenyewe akiuona atakupa big up. Hongera sana mtumishi wa Mungu kwa kazi njema
Amen
Ubarikiwe mpendwa
Ubalikiwesanaaa
Amina
What a blessings song much blessed one, praising the only God of mecry
Amaizing rimix mazeeeee blessed so much my c*🙏🙏🙏🙏
Amen Amen
Mungu wangu uko wapi,Amina ubarikiwe
Mm. Napenda Tanzania. Yang u.
Mr. Revocatus. Tarimo from. Dar
Mungu asifiwe kweli !!!!!!!!!!!
hiyo ipo poa
Wimbo mzuri sana nimebarikiwa asante mwimbaji umeutendea haki kbs
Shukran
Manyonyo ni mikubwa balaa hongera wimbo mzuri
🙏🏻
Mbalikiwe
Asante Mariamu uko vizuri sana
Nyimbi zako ni nzuli san
Asant
Mie nilipokuwa nikosikia hlo jina nilijua ni mwanaume kumbe ni bi dada
Mwenye wimbo ni mwanaume sio uyo dd
Kaimba mwanaume ila uyu katoa cover dada
uko vizuri
Asant
Amina kubwa sana ubalikiwe sana sister
Amina
Umemkumbusha mbali Bwana Santa Yuko wapi tena
Dada nakushukuru.sana pia.nakupa ongera kwahuu wimbo.unanivutia sana dada miriam mwaikanye kwanza sauti imetulia sana
Ameeni wimbo huu unanibariki Sana🙏🙏
Barikiwa zaidi
We umealibu wimbo
Thank you sister , God bless you more and more in the name of Jesus Christ Amen
We Mungu wangu
hello i need original song someone to help me be blessed
Only God to praise
That is good songs my sister my good Lord be with u
Amen
Wimbo mzuri sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amen
Great performance great song
Thanks
Nice one
Thanks
Barikiwa
Amen
Hakika wimbo huu wanibariki sana. Naomba mwimbaji aliyetunga na kuimba huu wimbo mwanzoni. Ninani aliyeimba mwanzoni
Ulitungwa na kuimbwa na Medrick Sanga.
Medrack sanga
Medrck Sanga ukigogu utampata
og yake wap.jamn mbona haipo kila mahal
Ubarikiwe
Amen