Jackson ataka kujua kanzu na kofia inamaana gani kusujudu ni aje

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025

Комментарии • 49

  • @saeedisa9798
    @saeedisa9798 8 дней назад +8

    Asante imam. Tafadhali sadiyeni mama huyo mandugu.

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 8 дней назад +5

    Allah ampe wepesi dadangu

  • @estherwamaitha1006
    @estherwamaitha1006 8 дней назад +4

    Waleikum salaam
    Allah subhana wataala
    Ampe shifaa

  • @OthmanMwai
    @OthmanMwai 8 дней назад +4

    Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatu vipenzi walimu wetu...kwa rai yangu,huyu kijana shadrack yuatupotezea muda,hata mazungumzo yake hayuko serious, na yuawatega unachokisema kisha aulize swali lisona mbele wala nyuma, kwani lazima aongee?.....Allah Awalipeni dunya na Akherah kwa kazi nzuri ya daawah❤

  • @ibruzah001
    @ibruzah001 8 дней назад +3

    ALLAHU AKBAR ♥️

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 8 дней назад +5

    Wilberforce kapotea mazima 😅😅

    • @JamilaJumanne-u7q
      @JamilaJumanne-u7q 8 дней назад +2

      We kuweza😂😂😂😂 taqbiriiiiiiiiiii

    • @hassanpadi
      @hassanpadi 7 дней назад +1

      Pengine alisilimu tayari wilberforce, Jina kubwa hili 😂😂

    • @JamilaJumanne-u7q
      @JamilaJumanne-u7q 7 дней назад +2

      @ ahahaaaaaaa kabisa kwa saut ya kaka SALIMU 😊

  • @Samuel-iu9xm
    @Samuel-iu9xm 8 дней назад +3

    Leo Hassan 💯✅

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 8 дней назад +10

    🇹🇿 🇰🇪 🇺🇬 🇷🇼 🇧🇮 🇨🇩
    Juhudi inayofanywa na SALIM DA'WAH ni ya kupongezwa hakika. ❤

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 8 дней назад +4

    جزاكم الله خيرا

  • @mahmudmugarura2175
    @mahmudmugarura2175 8 дней назад +4

    Walaikum salam warhmatillah wabarakat

  • @HisMajesty64
    @HisMajesty64 8 дней назад +4

    Waaleykum salaam warahmatullahi wabarakatu

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk 7 дней назад +3

    Pole Sana Mama Insha Allah . Allah Atakufanyie Wepesi

  • @HalimaJuma-n1k
    @HalimaJuma-n1k 8 дней назад +4

    Waleikum msalam warahmatullah wabarakatuh inshaAllah mama yetu Allah ampe shufaa ya haraka,huyo shadrack hana maswali anawachezea tu mashek wetu msimpe Tena nafasi anapoteza mda tu

  • @OthmanMwai
    @OthmanMwai 8 дней назад +5

    Huyo kijana ametumia nusu saa kwa ubishi tu...walimu wetu mkagueni, hana niya ya kusoma,ubishi tu..

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 8 дней назад +4

    Waalaykum Salaam Warhamatullah Wabarakatuh

  • @oopsm3574
    @oopsm3574 8 дней назад +6

    Anapoteza wakati, fukuzaaa

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 8 дней назад +6

    Walimu huyu Shadrack anataka ubishi. musimpee nafasi tena tafadhalini.

  • @amadimagadi7978
    @amadimagadi7978 8 дней назад +5

    Shadrak asipewe microphone tafadhalini wetu

    • @Sal.0
      @Sal.0 8 дней назад +2

      Walimu hawa Siki.!

  • @MwangiMuhammad-q8r
    @MwangiMuhammad-q8r 8 дней назад +3

    Wa Alaykum Salaam Warahmatullahi Wabatakatuhu.... mazbut ndani ya railway university grounds

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 8 дней назад +11

    SHADRAK HATUMTAKI WANAPOTEZA TIME BURE!

    • @Samuel-iu9xm
      @Samuel-iu9xm 8 дней назад +3

      Lakini leo kawezwaa.

    • @Sal.0
      @Sal.0 8 дней назад +3

      ​@@Samuel-iu9xm
      Kila SIKU ana wezwa, lakini TIME pia ime wezwa.
      Time wasted na Ujinga!

  • @hafsakirao398
    @hafsakirao398 8 дней назад +4

    Huyo kijana amekuja kujifanya anauliza maswali, but AIM yake ni ajione kwa RUclips na kujisifu kwa watu🤬

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 8 дней назад +3

    Mashallah

  • @faridbashuu
    @faridbashuu 8 дней назад +2

    😂😂 Wanao enda msikitini Sio waislamu 🤣🤣

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  3 дня назад

      Umeona hawa jamaa

    • @faridbashuu
      @faridbashuu 3 дня назад +1

      @@salimdaawah123 Wanajaribu kufunika jua na blanketi. Ukweli utabaki pale palee

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  3 дня назад

      @faridbashuu 😂😂😂😅😅

  • @ZakiyaAnwar-w1r
    @ZakiyaAnwar-w1r 8 дней назад +2

    Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh Allah awabariki sana

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  3 дня назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote

  • @isahbarasa
    @isahbarasa 8 дней назад +4

    Walyku msalam waramtulah wabarakatu nimemiss mwalimu suleiman na Ali alfu kama shadrack anataka ubishi aende abishane na mpira musimpee nafasi tena mpoteza mda

  • @frankjuma1854
    @frankjuma1854 6 дней назад +2

    Asalaam aleikum warahmatullah sheikh salim.huyo mama mngemjaribia dawa za kienyeji zile za sunna kuliko hospitali.kienyeji ni cheap na inatimu 100% kwa haraka

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  3 дня назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 8 дней назад +3

    Shedrak useless kbsa ..... hajui na haelewi kichwa kizito kama jiwe . Sku nyingi kauliza na anarudia maswali yale yale daily

  • @GRas-d7p
    @GRas-d7p 8 дней назад +3

    Huyu kijana anasema Mambo ya kichwa chake sio ya vitabu na hua anataka tu aonekane kwa mtandao na hana hishima kabisa

    • @Sal.0
      @Sal.0 3 дня назад +2

      @GRas-d7p
      Nani huyo Kijana??

    • @GRas-d7p
      @GRas-d7p 3 дня назад +1

      @Sal.0 kwani waona ni nani

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi1255 8 дней назад +3

    ASALAMU ALEYKUM. Hizo vitabu ni Kama passport expired. That mean you can not travel that passport.

  • @bahsansheikh6042
    @bahsansheikh6042 8 дней назад +2

    Huyu shadrack nia yake ni kupoteza wakati. Twawaomba walimu wetu musimpe tena microphone.