Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatu vipenzi walimu wetu...kwa rai yangu,huyu kijana shadrack yuatupotezea muda,hata mazungumzo yake hayuko serious, na yuawatega unachokisema kisha aulize swali lisona mbele wala nyuma, kwani lazima aongee?.....Allah Awalipeni dunya na Akherah kwa kazi nzuri ya daawah❤
Waleikum msalam warahmatullah wabarakatuh inshaAllah mama yetu Allah ampe shufaa ya haraka,huyo shadrack hana maswali anawachezea tu mashek wetu msimpe Tena nafasi anapoteza mda tu
Walyku msalam waramtulah wabarakatu nimemiss mwalimu suleiman na Ali alfu kama shadrack anataka ubishi aende abishane na mpira musimpee nafasi tena mpoteza mda
Asalaam aleikum warahmatullah sheikh salim.huyo mama mngemjaribia dawa za kienyeji zile za sunna kuliko hospitali.kienyeji ni cheap na inatimu 100% kwa haraka
Asante imam. Tafadhali sadiyeni mama huyo mandugu.
Allah ampe wepesi dadangu
Waleikum salaam
Allah subhana wataala
Ampe shifaa
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatu vipenzi walimu wetu...kwa rai yangu,huyu kijana shadrack yuatupotezea muda,hata mazungumzo yake hayuko serious, na yuawatega unachokisema kisha aulize swali lisona mbele wala nyuma, kwani lazima aongee?.....Allah Awalipeni dunya na Akherah kwa kazi nzuri ya daawah❤
ALLAHU AKBAR ♥️
Wilberforce kapotea mazima 😅😅
We kuweza😂😂😂😂 taqbiriiiiiiiiiii
Pengine alisilimu tayari wilberforce, Jina kubwa hili 😂😂
@ ahahaaaaaaa kabisa kwa saut ya kaka SALIMU 😊
Leo Hassan 💯✅
🇹🇿 🇰🇪 🇺🇬 🇷🇼 🇧🇮 🇨🇩
Juhudi inayofanywa na SALIM DA'WAH ni ya kupongezwa hakika. ❤
Alhamdulillah tunajaribu kindogo tu
جزاكم الله خيرا
Walaikum salam warhmatillah wabarakat
Waaleykum salaam warahmatullahi wabarakatu
Pole Sana Mama Insha Allah . Allah Atakufanyie Wepesi
Aamiin amiin amiin
Waleikum msalam warahmatullah wabarakatuh inshaAllah mama yetu Allah ampe shufaa ya haraka,huyo shadrack hana maswali anawachezea tu mashek wetu msimpe Tena nafasi anapoteza mda tu
Huyo kijana ametumia nusu saa kwa ubishi tu...walimu wetu mkagueni, hana niya ya kusoma,ubishi tu..
Waalaykum Salaam Warhamatullah Wabarakatuh
Anapoteza wakati, fukuzaaa
Walimu huyu Shadrack anataka ubishi. musimpee nafasi tena tafadhalini.
Inn shaa Allah
Shadrak asipewe microphone tafadhalini wetu
Walimu hawa Siki.!
Wa Alaykum Salaam Warahmatullahi Wabatakatuhu.... mazbut ndani ya railway university grounds
Ujumbe umefika
SHADRAK HATUMTAKI WANAPOTEZA TIME BURE!
Lakini leo kawezwaa.
@@Samuel-iu9xm
Kila SIKU ana wezwa, lakini TIME pia ime wezwa.
Time wasted na Ujinga!
Huyo kijana amekuja kujifanya anauliza maswali, but AIM yake ni ajione kwa RUclips na kujisifu kwa watu🤬
Mashallah
😂😂 Wanao enda msikitini Sio waislamu 🤣🤣
Umeona hawa jamaa
@@salimdaawah123 Wanajaribu kufunika jua na blanketi. Ukweli utabaki pale palee
@faridbashuu 😂😂😂😅😅
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh Allah awabariki sana
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote
Walyku msalam waramtulah wabarakatu nimemiss mwalimu suleiman na Ali alfu kama shadrack anataka ubishi aende abishane na mpira musimpee nafasi tena mpoteza mda
Asalaam aleikum warahmatullah sheikh salim.huyo mama mngemjaribia dawa za kienyeji zile za sunna kuliko hospitali.kienyeji ni cheap na inatimu 100% kwa haraka
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah
Shedrak useless kbsa ..... hajui na haelewi kichwa kizito kama jiwe . Sku nyingi kauliza na anarudia maswali yale yale daily
Huyu kijana anasema Mambo ya kichwa chake sio ya vitabu na hua anataka tu aonekane kwa mtandao na hana hishima kabisa
@GRas-d7p
Nani huyo Kijana??
@Sal.0 kwani waona ni nani
ASALAMU ALEYKUM. Hizo vitabu ni Kama passport expired. That mean you can not travel that passport.
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Huyu shadrack nia yake ni kupoteza wakati. Twawaomba walimu wetu musimpe tena microphone.
Inn shaa Allah