#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 35

  • @user-ec8tx9oi9e
    @user-ec8tx9oi9e Месяц назад +7

    Mimi ni muislam na ninaamini sana kwenye haki askofu mwanamapinduzi nakukubali sana kwenye kutetea haki mwenyewe mungu akulinde

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Месяц назад +3

    Wasomi wa Tanzania hawasaidii kuijenga Tanzania. Wameziba masikio kama Raisi alivyoxiba masikio na mdomo kuchagua kuwa chura. Viongozi ambao tunawategemea wana kigugumizi sababu kiongozi mkuu kawa mfano wa kutokuwajibika na katangaza hadharani hajali. Sasa, kwa nini watanzania mumpe ridhaa ya kuwaongoza wakati amekiri hatawasikilza na hatatoa kauli uoyote mnapomtegemea awe mdemaji na mtetezi wenu angefanya hivyo. Ni sawa na nchi haina uongozi. Hatari inayokuja kila mtu anajifanyia yake. Na hii ni hatari kubwa nchini. Hatuna kiongozi. Shukrani sana baba Askofu kwa jitihada za kuitetea nchi na watu wake.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Месяц назад

    UMENENA VEMA ASKOFU ❤

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj Месяц назад +2

    Wasomi wote sawa na viongozi wa dini VIBOKO NA KUFUNGWA wanaua nchi yetu

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Месяц назад +2

    Wewe tuna viongozi wachumia tumbo. Viongozi wanaapa wanapo kuwa madarakani.wakisha apa wanasahau wanaanza kuteka kuuwa.

  • @rastheunique
    @rastheunique Месяц назад +2

    Asante sana Baba Askofu Machumu

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Месяц назад

    Go go men of God

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад +3

    Kuonyesha kuchukizwa, Kukataa,Kukemea na Kuzuia MAOVU sio dhambi wala kutukana lakini watawala wakiambiwa neno mojawapo katika haya,wanakuja juu na kutafsiri kuwa WANATUKANA,na wao wanafika mbali na kuwatukana na kuwadhalilisha waziwazi wanaowapinga,na kuyakataza maovu yao! Maovu yakitokea machoni pa Kiongozi yeyote wa dini akanyamazia,atatoa hesabu yake kwa Mungu kwa kukwepa jukumu lake! Wafalme wa dunia wasio na maarifa watendapo uovu,wataangamia pamoja na taifa lote kama hayatapingwa na wanaosimamia imani zinazosimamia haki na hukumu ya Mungu! Viongozi wa dini wakiwa kama mafarisayo wa dunia wasiyoamini kwamba Mungu aliye juu ya wote yupo!

  • @JosephMagige-lf9ns
    @JosephMagige-lf9ns Месяц назад +1

    Uko sawa Askofu

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Месяц назад

    Samahani Hii vIdeo imeekuwa na Mwangwi mkubwa....kuna kipande tumeshindwa kukipata vizuri

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj Месяц назад +2

    Hatuna viongozi wa dini tuna matatizo matupu

  • @MayalakusekwaNkwabi
    @MayalakusekwaNkwabi Месяц назад +2

    Tatizo ni Ubabe wa Viongozi wa CCM ni Miungu Watu hawataki Ukweli usemwe wanatisha watu, wanateka na kuua Watu, Viongozi wakubwa hawaheshimu Katiba ya Nchi pamoja na ubovu wa Katiba yetu

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Месяц назад

    Msigwa amejizalilisha sana kwenda kuvaa maguo ya kijani

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад +1

    Wajumbe na wasaidizi wa Rais hawawasilishi taarifa za kweli, badala yake wamezoea kusema uongo na kuyabatiza ni maneno ya wanasiasa tu kwa maana kwamba serikali ina vita na wanasiasa ambao ni sehemu ya wananchi. Uongo unafawasilishwa kwake kwa nguvu kubwa mpaka anaamini na kuwashutumu,ama anakaa kimya siku zinakwenda tu.

  • @salama1113
    @salama1113 Месяц назад

    Mm muisilamu ila mchungaji unaongea ukweli kama huna d 2 huwezi kumuelewa mchungaji

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Месяц назад

    Viongozi wa dini mna hongwa Mbowe ali kyla mulionu 15 boss wako yuko bungeni.

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri Месяц назад +2

    Machukizo ya viongozi wa serkali,yanakataliwaje? Wananchi wanatendewa kinyume na Katiba, sheria na kanuni au utamaduni wa jamii yetu,wananchi waeleze maneno yapi? Hisia za wananchi ziwasilishwe kwa jamii kwa maneno gani?

  • @user-bq6jv2mh1e
    @user-bq6jv2mh1e Месяц назад

    8:29

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj Месяц назад

    Nikipata nafasi Viongozi wa dini wanatakiwa kuchapwa viboko na kufungwa maisha

  • @kaismwambona9860
    @kaismwambona9860 Месяц назад +1

    Viongozi wa dini wa nchi hii ni zaidi ya 90% hawapatani na sifa za wale watumishi Yesu alio wasema katika kitabu Cha mathayo 5:10-12, /math.10;17,pia aliwaambia ninyi ni chumvi ya Dunia,Pia NURU ya ulimwengu, hivyo wangelikuwepo angalau 10% tusingelikuwa hivi hapa Tanzania ilipo Leo,na mapungufu yanayo idharirisha nchi hii ambayo haya Hitaji mkopo toka nje kuyakemea na kuwachukulia hatua watendao uovu, sasa Wana achwa, ,Tuombee nchi kwa maombi ya Toba kabisa.ili dhambi hizi zinazo lanisha nchi yetu, iliyokuwa ina heshimika kwa Amani na kuthamini Utu wa kila mtu,na ukarimu,

  • @FestoLalata
    @FestoLalata Месяц назад

    Hiyo nikweli tupu,ndivyo ilivyo ktk nchi yetu tukisema tunaambiwa tunatukana unafatiliwa na kukamatwa ,kwahiyo harakama wanaharibu nchi tunyamaze tu,hivyo tunahasira moyoni hatuna pakusemea.

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 Месяц назад

    Recording yenu haiko sawa. Ondoa mwangwi wa youtube audio ya video yako

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu Месяц назад

    Ccm wameshupaza shingo

  • @user-bq6jv2mh1e
    @user-bq6jv2mh1e Месяц назад

    😮😢

  • @giovannir.restone182
    @giovannir.restone182 Месяц назад

    Huyo aliyefira....walikubaliana au alimlazimisha huyo binti??? Manake isijekuwa walikubaliana alafu dada anatafuta Kiki!

  • @MichaeSwai
    @MichaeSwai Месяц назад +1

    Uyo mshikaji msingwa tumuweke kwenye kundi gani sjjui

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri Месяц назад

    Non-Tanesco electricity supply source will be advantageous to the consumers.

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Месяц назад

    Viongozi wetu wa dini hapa ni wali tu

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад

    MWANAMAPINDUZI Utawala ukiamua kushughulika na Swala la kuboresha kilimo kama wanavyouziana magari ya kifahari na kununua mapya kila mwaka,vijana wakajua shambani kuna maisha tusingeona kundi kubwa la maching gays mijini lakini hawaoni sababu ya kufanya hivyo wanajua kuongeza kodi tu!

  • @maspro6294
    @maspro6294 Месяц назад

    Wewe mchungaji feki unaongea mpaka mdomo wako UNANUKA KAMA CHOO UKIMALIZA KUBWAKA UKAPIGE MSWAKI

    • @JosephMagige-lf9ns
      @JosephMagige-lf9ns Месяц назад

      @@maspro6294 uchunguze vizuri wakwako hata ukipiga mswaki niuozo chunga Domo lako

    • @JosephMagige-lf9ns
      @JosephMagige-lf9ns Месяц назад

      Uchunguze vizuri awkwako hata ukipiga mswaki niuozo . Chunga Domo lako muozo

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 Месяц назад

    Mchungaji wanamondoo unemachianani. Wanahama KANISA huku

    • @mlangotv8465
      @mlangotv8465 Месяц назад

      Wewe ni kijana wa hovyo, wazazi wako wamepata hasara, Askofu anazungumzia maisha yako na ya watoto wako mbuzi we