Amina Baba. Ubaya ukiendelea, na Wema wakakaa kimya, nao watahesabiwa kuwa na hatia. Hata watawala wabaya wakiendelea sana, Watumishi wa Mungu wakakaa kimya, watahesabiwa kuwa na hatia!.
Mbarikiwe sana Watumishi kwa mafundisho haya. Nashauri Baba Askofu uwasimamie pia wanaoandaa matangazo ya vipindi kwenye Redio maana kuna matangazo ya Ibada hizo za miungu... kama tumeshajua ni ibada za miungu mingine hakuna sababu ya kuwatangazia redio kwetu hizo Ibada.
Hamas walijenga ngome katikati ya RAIA,chini ya ardhi kwenye mahospitali, Wapalestina wakakaa kimya! Hamas wakapanga kuruka ukuta wa Gaza kwenda kuishambulia Israel, Palestrina wakakaa kimya! Ukafika wakati sasa wanapanga siku ya kuvamia, wakavamia na kuua wazee,wagonjwa,watoto, wake kwa waume watu 1200, Israel wakawambia Palestrina waondoke kati yao, Palestrina wakakaa kimya! Je, watahesabiwa haki kwa njia gani wasipatwe na mabaya?
That’s propaganda of western media. Mwenye ana print 🖨️ kartasi ndie anamawazo ya maneno ambayo imeandikwa kwenye kartasi. Be careful with propaganda of western media. Uliona hizo andaki???????
Amina Baba. Ubaya ukiendelea, na Wema wakakaa kimya, nao watahesabiwa kuwa na hatia. Hata watawala wabaya wakiendelea sana, Watumishi wa Mungu wakakaa kimya, watahesabiwa kuwa na hatia!.
Mbarikiwe sana Watumishi kwa mafundisho haya.
Nashauri Baba Askofu uwasimamie pia wanaoandaa matangazo ya vipindi kwenye Redio maana kuna matangazo ya Ibada hizo za miungu... kama tumeshajua ni ibada za miungu mingine hakuna sababu ya kuwatangazia redio kwetu hizo Ibada.
Amen❤❤🔥🙏
Naomba ikipendeza urudie kufafanua kuhusu fungu la kumi ili tuelewe zaidi.
Arusha Redio aisikiki tena shida Ni nini
Hamas walijenga ngome katikati ya RAIA,chini ya ardhi kwenye mahospitali, Wapalestina wakakaa kimya! Hamas wakapanga kuruka ukuta wa Gaza kwenda kuishambulia Israel, Palestrina wakakaa kimya! Ukafika wakati sasa wanapanga siku ya kuvamia, wakavamia na kuua wazee,wagonjwa,watoto, wake kwa waume watu 1200, Israel wakawambia Palestrina waondoke kati yao, Palestrina wakakaa kimya! Je, watahesabiwa haki kwa njia gani wasipatwe na mabaya?
That’s propaganda of western media. Mwenye ana print 🖨️ kartasi ndie anamawazo ya maneno ambayo imeandikwa kwenye kartasi. Be careful with propaganda of western media.
Uliona hizo andaki???????