Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Swahiili oyee❤❤❤tuko shap
Swahil media you are doing very good job thank you 🙏🏿
Thank you so much 🙏
Safii sana 🇹🇿👍👌🥳
Anaitwa Omar Roy
Maashaallah❤❤
Big up to you police ameongea swahili 👌👏👏👏👏😄😄
Kajitahidi sana 😀
Mbona TZ pekee na huu mji uko na CULTURE nyingi, next time wahusishwe, ingependeza sana.
Vyakula vya Kiswahili vimetaradadi
MK kulikuwa kumekucha. Mji unapenda sherehe sana huo
Bongo Zozo mtu wa kujitoa kwenye ishu za wabongo kwa sana tu
Uk mnafanya vizuri kwa kuwakutanisha waTZ. Australia km hakuna wa TZ vile😢
Kama uko Australia wasiliana nami tufanye mahojiano ili tujue waswahili na maisha Yao hukoInsta @swahili media network
Hapo ndugu zangu wakenya kutumia Kiingereza hadi kwenye tamasha la waswahili ndipo mnaponiacha hoi. Mantiki ya kuongea Kiingereza kwenye swala la kuutangaza utamaduni wa Mswahili yani Mwafrika Mashariki ni ipi?!
Police anaongea kiswahili kimenyooka hongera kwake😂
Kajitahidi mno
Mbona hamuku tangaza jamani watu wengine walikua hawajui
Matangazo yametoka muda mrefu Tu. Hii huwa kila mwaka
Asante kaka mkubwa swahili Media Network kwa juhudi zako za kutuhabarisha na kushea nasi matukio
Swahiili oyee❤❤❤tuko shap
Swahil media you are doing very good job thank you 🙏🏿
Thank you so much 🙏
Safii sana 🇹🇿👍👌🥳
Anaitwa Omar Roy
Maashaallah❤❤
Big up to you police ameongea swahili 👌👏👏👏👏😄😄
Kajitahidi sana 😀
Mbona TZ pekee na huu mji uko na CULTURE nyingi, next time wahusishwe, ingependeza sana.
Vyakula vya Kiswahili vimetaradadi
MK kulikuwa kumekucha. Mji unapenda sherehe sana huo
Bongo Zozo mtu wa kujitoa kwenye ishu za wabongo kwa sana tu
Uk mnafanya vizuri kwa kuwakutanisha waTZ. Australia km hakuna wa TZ vile😢
Kama uko Australia wasiliana nami tufanye mahojiano ili tujue waswahili na maisha Yao huko
Insta @swahili media network
Hapo ndugu zangu wakenya kutumia Kiingereza hadi kwenye tamasha la waswahili ndipo mnaponiacha hoi. Mantiki ya kuongea Kiingereza kwenye swala la kuutangaza utamaduni wa Mswahili yani Mwafrika Mashariki ni ipi?!
Police anaongea kiswahili kimenyooka hongera kwake😂
Kajitahidi mno
Mbona hamuku tangaza jamani watu wengine walikua hawajui
Matangazo yametoka muda mrefu Tu. Hii huwa kila mwaka
Asante kaka mkubwa swahili Media Network kwa juhudi zako za kutuhabarisha na kushea nasi matukio