MKOJANI,CHUMVI NYING,HUSSEIN NA MINNAH_SIOI TENA Episode 1 Full Hd
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- SIOI TENA Ni hadithi inayo fundisha hasa kuhusu Ndoa,Na zaidi inamuhusu bwana Mmoja aitwae HUSEIN ambae Tayari ana mke na mtoto Mmoja aitwae NURAT ila kutokana na Umaskini Alio nao anakutana na rafiki ake CHUMVI NYING na kushauliwa kuoa mke wa pili kutoka katika familia yenye uwezo ili wabadili maisha yao.
HUSEIN mwisho wa siku anakosa vyote,anamkosa MAMA NURAT ambae ni mke wake wa kwanza lakini pia anamkosa NURAT mwenyewe na isitoshe anamkosa na huyo wa pili alie taka kumuoa Na kutokana na misuko suko anayo ipitia HUSEIN anapoteza mpaka akili SIOI TENA.
STORY: SIOI TENA
AUTHOR: CHUMVI NYING
CAMERA OPERATOR AND VIDEO EDITOR/FINALLY TOUCH BY:BENSON CHANCE TUNDU
DIRECTOR: CHUMVI NYING
PRODUCER: H MKOA FILMS
CAST
MKOJANI
CHUMVI NYING
MINNAH MOH
CHINDOLE
MUNNAH HUSEIN
Na wengine wengi
.........
SIOI TENA:A story that teaches especially about Marriage, and more about a man named HUSEIN who already has a wife and one child named NURAT but due to his poverty he meets his friend CHUMVI NYING and is advised to marry a second wife from a capable family so that change their lives. HUSEIN at the end of the day misses everything, he misses Mama NURAT who is his first wife but he also misses NURAT himself and moreover he misses her and the second one he wants to marry. SIOI TENA
STORY: SIOI TENA
AUTHOR: CHUMVI NYING
CAMERA OPERATOR AND VIDEO EDITOR/FINALLY TOUCH BY:BENSON CHANCE TUNDU
DIRECTOR: CHUMVI NYING
PRODUCER: H MKOA FILMS
CAST
MKOJANI
CHUMVI NYING
MINNAH MOH
CHINDOLE
MUNNAH HUSEIN
And many other.
#SIOTENA #RAITV
Najiona mimi haaa haa
Sawa bog
Karb
Nakubar
Kaz kaz
Una ni support sana kaka
Duhhh... Jaman tunaomb muendelezo nmeipenda San hii n zaid ya finya umoyo
Sa sawa team kubwa
Ushindi tu kaka
Weweeee umetisha sana
One love
Iko vizur
Chumvi nakupenda bulee
Zimefika hzo salamu
Hatari hatari
Noma
Sawa nimecoment
Sawa kaka ha ha
Safi sana
Nakubbali kaka
Hogezani dakika
Sawa
Safi hyo mwanangu chumvi
Noma
💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼😄😄😄
Mkojani bhana
Aaaah jamani , part two Iko wapi keep waiting Sasa ni almost one 1 week
Saa 4 kamili leo baba
Mbona haiendelei Sasa haupo muendelezo hama
Mwanangu Rai Mgai Gai Sana tuwekee basi Iyo Namba mbili Cadabrah apa
Tayr kaka mbona ya pili kaka
Daah nimelia haki tena uyu dada kajua kuniliza jamani sikuwahi kujiskia vby kwenye move zako kama hii mkojani daah tafuteni pesa wanaume sio kutufanyia mambo ayo
Tunaomba part3 plz
Ijumaa saa 4 kamili asubh
🤣🤣mkojani izo nguo unazitoaga wp jamani
Kazi kazi
Aina mfagilie nani
Chumvi nakupenda buree 🤣🤣🤣
Ntaweka no yake episode ijayo ha ha
@@Rai_online_tv haki kweli🤣🤣
Kazi mzuli
🤣🤣🤣🤣🤣Eti kazi yangu hiyo
Goooody👍
Shukrani
mwambaaaah qalli
Sikupingi kaka
Shukran rahim
Nakubali boss Omary
@@Rai_online_tv pa1 daima
❤❤😂🎉🎉🎉🎉🎉
Minnah 🔥🔥🔥🔥
Sikuping Dr kasope saf mdogo ang
Kaz nzuri
Tatizo lenu mnakawiza muvi kutowa
Sawa hatutochelewesha boss
Muendelezo
Utaua
Taratibu kk
Hatari sanaaa
Sijawahi kukupinga mama HUSEIN a.k.a Muuh
Lini inaendelea kazi nzuri
Juma 5 tena saa 4 kamili asbuh boss
Ongera kaka
Mkojani ngombe wewe😂😂👍
🤣🤣🤣🤣🤣🤣unyamaa
Me nimepapenda pale uliposema "HUSEIN UMENIUMIZA SAAANA" Mama hossein huyo hv hata wanajua kama ni wewe
Chuvi Kama lingo tu
For days no episode ya pili ..hamko serious
Ile nyingine hamjamaliza
Ipi hiyo kaka au ile mr&mrs mikojani
Unyamaaaa 👐👐👐👐💥
Cjawahi kukupinga carlyvardo
Kuogeza mke sio unyama
Rijali wa kweli anaogeza mke
Haaaa haaaa
Yfdtkjjjjjgjjhhjghjhh88uujjkthukiiuhhkhhhhjiiùuuiĺ0ouuyyyuiutgl8oiiuioiuu07oo677996h0o60600006ddffffop truth huh m
Chunvi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Theluthi ya movie ni ngoma yaani mmeboa
Tunaifanyia kazi
Nice
Sasa nyie s mtoe muendelezo mbona mnarudia kila cku ratiba zenu mbona hazieleweki
Ratiba ni juma 5 saa 4 kamili asubuhi kaka tunaitoa
Chumvi😂😂😂😂
Akiwep chumv na mkojani tu bc lzima niache kaz zangu kwnz
Haaa haa nakubli
Hogezeni dakika
Sawa missa
Tutaongeza