JNHPP YAFIKIA ASILIMIA 96.8
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- JNHPP YAFIKIA ASILIMIA 96.8
Mradi wa kuzalisha Umeme Megawati 2,115 Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), utekelezaji wake umefikia 96.8% na tayari Megawati 235 za mtambo mmoja wa kuzalisha umeme kati ya mitambo tisa zimeingizwa kwenye Gridi ya Taifa.
● Kazi zote kwenye katika mradi wa JNHPP zinatarajia kukamilika Disemba 2024.
Nice to see and hear you Doctor
Afazali wewe ume pichamojakwamoja siomengine