JNHPP YAFIKIA ASILIMIA 96.8

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • JNHPP YAFIKIA ASILIMIA 96.8
    Mradi wa kuzalisha Umeme Megawati 2,115 Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), utekelezaji wake umefikia 96.8% na tayari Megawati 235 za mtambo mmoja wa kuzalisha umeme kati ya mitambo tisa zimeingizwa kwenye Gridi ya Taifa.
    ● Kazi zote kwenye katika mradi wa JNHPP zinatarajia kukamilika Disemba 2024.

Комментарии • 2