Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Mawaziri watatu na makatibu wasimamizi watano wajiuzulu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2022
  • Mawaziri watatu na makatibu waandamizi wanane wamekuwa wa punde zaidi kujiuzulu kutoka nyadhifa zao serikalini ili kuwania viti vya kisiasa katika uchaguzi mkuu wa Agosti. Mawaziri John Munyes, Charles Keter na Adan Mohammed wameondoka rasmi serikalini kuwania viti vya ugavana kaunti za Turkana, Kericho na Mandera mtawalia. Nimrod Taabu anaarifu zaidi, siku moja kabla ya muda kukamilika kwa wanaotaka siasa kuondoka serikalini

Комментарии • 22

  • @davidkitoch6130
    @davidkitoch6130 2 года назад +1

    Huui !!Jubilee kwisha

  • @alexinamaina794
    @alexinamaina794 2 года назад +2

    Chameleons wangoje mlangoni na sukali kilo moja...tena warudi pale pale ofisini for the next 10yrs

  • @mkenya_engineer
    @mkenya_engineer 2 года назад +2

    Welcome home Keter. Kericho county inakungoja

  • @alexinamaina794
    @alexinamaina794 2 года назад +3

    SAA hii ndio tumeanza kuwaona ...

  • @patrickmuchiri7480
    @patrickmuchiri7480 2 года назад +2

    SOMETHING IN KENYA IS WRONG

  • @omwami9071
    @omwami9071 2 года назад

    Kenya 🇰🇪 Kwanza 😍

  • @rasmorgan9720
    @rasmorgan9720 2 года назад +1

    Governorship for money.kila mtu anataka kua Governor ju ya pesa to loot

  • @wlkmwlkm3381
    @wlkmwlkm3381 2 года назад +1

    Anyway all right

  • @BS-kl9yf
    @BS-kl9yf 2 года назад +6

    Some of them are resigning just for the sake. They will stay unemployed till kingdom come. Ken Obura there is no leadership void in Kisumu keep your Jubilee job. Kisumu has transformed and will continue with Professor. Ruto gave you government appointment now you have resigned, 2023 you will be nominated to be Chair of your village school Kisumu wachana nayo bwana.

    • @judithisiaho236
      @judithisiaho236 2 года назад

      That's according to your Gods

    • @judithisiaho236
      @judithisiaho236 2 года назад

      Come after 9 months we compare notes

    • @BS-kl9yf
      @BS-kl9yf 2 года назад +2

      @@judithisiaho236 stop getting emotional and calling the name of Most High in vain. Ken Obura has been with Jubilee since 2014 after losing in ODM. What is wrong by stating facts? He came back again 2017 lost but was nominated to the Ministry which he has now resigned. Tell your Uncle nobody will nominate him this time because he will lose and go Chair High School Boards. There is nothing to compare here because even in SONU he lost hata hawezani na Babu Owino. Prof.Nyong'o has delivered what even Raila and his hand picked Jack Ranguma couldn't do in Kisumu. Kenya's Vision 2030 is Nyong'o's brain child. He is the version of what NMS has done to Nairobi since Sonko left. Now tell us Obura's record. Ama ni sugar daddy wako ndiyo unamusifia?

  • @chelseadiehard1
    @chelseadiehard1 2 года назад +1

    Adan Mohammed is like eugine wamalwa!

  • @dhakomodherooherokoko6037
    @dhakomodherooherokoko6037 2 года назад +1

    Ken Obura should have not done this shit. The kisumu competition is not a joke

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 2 года назад +1

    I'm not interested in politics period I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 2 года назад

    Kuna vacant za jobs vijana wapewe

  • @judithisiaho236
    @judithisiaho236 2 года назад

    👏👏👏👏👏👏

  • @heatedvideoschan3049
    @heatedvideoschan3049 2 года назад

    Nadai izo job bana😢

  • @ngothoalex
    @ngothoalex 2 года назад

    Greediness at its best

  • @hillowadam6552
    @hillowadam6552 2 года назад

    Adam mohamed tosha

  • @omwabotiberius
    @omwabotiberius 2 года назад

    Those are UDA tumboquarkes anyway. We have started politics now