Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
Mawaziri watatu na makatibu wasimamizi watano wajiuzulu
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2022
- Mawaziri watatu na makatibu waandamizi wanane wamekuwa wa punde zaidi kujiuzulu kutoka nyadhifa zao serikalini ili kuwania viti vya kisiasa katika uchaguzi mkuu wa Agosti. Mawaziri John Munyes, Charles Keter na Adan Mohammed wameondoka rasmi serikalini kuwania viti vya ugavana kaunti za Turkana, Kericho na Mandera mtawalia. Nimrod Taabu anaarifu zaidi, siku moja kabla ya muda kukamilika kwa wanaotaka siasa kuondoka serikalini
Huui !!Jubilee kwisha
Chameleons wangoje mlangoni na sukali kilo moja...tena warudi pale pale ofisini for the next 10yrs
Welcome home Keter. Kericho county inakungoja
SAA hii ndio tumeanza kuwaona ...
SOMETHING IN KENYA IS WRONG
Kenya 🇰🇪 Kwanza 😍
Governorship for money.kila mtu anataka kua Governor ju ya pesa to loot
Anyway all right
Some of them are resigning just for the sake. They will stay unemployed till kingdom come. Ken Obura there is no leadership void in Kisumu keep your Jubilee job. Kisumu has transformed and will continue with Professor. Ruto gave you government appointment now you have resigned, 2023 you will be nominated to be Chair of your village school Kisumu wachana nayo bwana.
That's according to your Gods
Come after 9 months we compare notes
@@judithisiaho236 stop getting emotional and calling the name of Most High in vain. Ken Obura has been with Jubilee since 2014 after losing in ODM. What is wrong by stating facts? He came back again 2017 lost but was nominated to the Ministry which he has now resigned. Tell your Uncle nobody will nominate him this time because he will lose and go Chair High School Boards. There is nothing to compare here because even in SONU he lost hata hawezani na Babu Owino. Prof.Nyong'o has delivered what even Raila and his hand picked Jack Ranguma couldn't do in Kisumu. Kenya's Vision 2030 is Nyong'o's brain child. He is the version of what NMS has done to Nairobi since Sonko left. Now tell us Obura's record. Ama ni sugar daddy wako ndiyo unamusifia?
Adan Mohammed is like eugine wamalwa!
Ken Obura should have not done this shit. The kisumu competition is not a joke
I'm not interested in politics period I'm extremely sorry 😐😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔 that's the bitter truth by Steve Irungu Jermaine
Kuna vacant za jobs vijana wapewe
👏👏👏👏👏👏
Nadai izo job bana😢
Greediness at its best
Adam mohamed tosha
Those are UDA tumboquarkes anyway. We have started politics now