Nimefura kwa kurudi tena naomba utuandalie video ya jinsi ya kurudisha mzigo kama umelewa ambao sio mzuri kama walivyo kueleza, nitafurahi sana, kazi njema Kaka.
Brother nimepitia video zako about ebay,kwenye swala la kuagiza pale basically ulielekeza kampuni za shipping za marekani tu kama vykingship,now vipi nikiwa nataka nipate mzigo ebay from,lets say UK au Japan labda?? naomba Response yako bro
Nafedha nying san cent za kijeruman naitaj kuziuza ila sielew kitu anaewez anitumie numba yake wasap tupige dili
nakukubali kaka👍
Naomba fanya hiyo kuuza kwa kulist from aliexpress to eBay
Toeni video ya kuelezea jinsi ys nunua vitu kikuuu
Gud bro
Nimefura kwa kurudi tena naomba utuandalie video ya jinsi ya kurudisha mzigo kama umelewa ambao sio mzuri kama walivyo kueleza, nitafurahi sana, kazi njema Kaka.
Wazo zuri nitafanya hv karibuni,
@@DsillyDude powa Kaka
Interested
Brother nimepitia video zako about ebay,kwenye swala la kuagiza pale basically ulielekeza kampuni za shipping za marekani tu kama vykingship,now vipi nikiwa nataka nipate mzigo ebay from,lets say UK au Japan labda?? naomba Response yako bro
Naomba namba yako ya simu
Naomba email yako au no ya simu
dsillydude@gmail.com
@@DsillyDude hello
Brother naomba namba yako
Au nicheki no yangu 0656963619