Sh. Milioni 45 Plus VAT, Unanunua Nyumba Mradi wa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 24

  • @dorcasjonathan9793
    @dorcasjonathan9793 Год назад

    Hongereni sana nakuja kuziona kwanza

  • @geofbeka1669
    @geofbeka1669 Год назад +2

    Huu mradi unapaswa kufanywa nchi nzima, itasaidia Sana kupunguza maradhi ya akili, na magonjwa mengine kwa watu wa kipato Cha chini Kama utalenga kusaidia kundi hilo

  • @zuuomar4657
    @zuuomar4657 Год назад +1

    3 bedrooms bei gani?

  • @NkosieMkunyana
    @NkosieMkunyana Год назад +1

    Tunaomba number ya sim sisi tupo South Africa 🇿🇦 tutafanya jee

    • @ShirikalaNyumbalaTaifa
      @ShirikalaNyumbalaTaifa  Год назад +2

      Wasiliana nasi kwa namba hii 255736114433

    • @madalanasri2226
      @madalanasri2226 4 дня назад

      ​@@ShirikalaNyumbalaTaifa salama Nyumba ya vyumba 2 ya chini inauzwa beigani

  • @nadhifamshindo6976
    @nadhifamshindo6976 11 месяцев назад

    hakuna sehemu ya kufulia (laundry) pakuanikia maana balcony ni ndogo na wala hakuna stoo😢

  • @seanhussein
    @seanhussein Год назад

    Studio apartment bado zipo

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 9 месяцев назад

    Taja bei ya kila nyumba sasa hutaji bei au ndo rushwa .45 mm kwa nyumba zote au

  • @hpenyika7686
    @hpenyika7686 11 месяцев назад

    Mimi nahitaji nyumba ya kununua iwe peke yake sio gorofa naipataje?

  • @user-em7di7xe5s
    @user-em7di7xe5s Год назад

    Can foreigners buy one of these apartments?
    I’m from US .

  • @kaburumacha315
    @kaburumacha315 Год назад

    Je ni lini mnategemea kumaliza mradi? Niliona pahali NOV 2023 lakini sioni mkitimiza hio deadline.

  • @zurisana8068
    @zurisana8068 Год назад

    Bei gani vyumba 3??

  • @hashimshaban4675
    @hashimshaban4675 Год назад

    Hyo 45mln ni vyumba vingapi?

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 9 месяцев назад

    Maneja masoko fukuza kazi hata sijui ulipataje kazi

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 11 месяцев назад

    HIVI HAMNA MAMO MENGINE YA KUBUNI ZAIDI YA KUJENGA MAJUMBA MMPAKA UVUNGUNI WAVITANDA. MPAKA TUNAKOSA HEWAA. YAANI AKILI YA SERIKALI ZETU NI KUJENGA TUU. MNATAKIWA MBUNI MAMO YA MAANA. HAKUNA LOLOTE. UPUUZI MTUPUUUUUUU.