Mostly Taarab comes from the East African coast, Tanzania & Kenya; Dar es salaam, Zanzibar and Mombasa is where the main audience is located but Taarab is growing and is enjoyed even in Tanga.
Merci beaucoup pour cette belle musique. Je suis du Mali mais je suis contente d'entendre cette musique de l'Est. Restons unis, tous, enfants d'Afrique.Asante sana kwa ajili ya muziki huu mzuri. Mimi ni kutoka Mali lakini nina furaha kusikia muziki wa Mashariki. Kubaki umoja, kila watoto wa Afrika. Thank you very much for this beautiful music. I am from Mali but I'm glad to hear the music of the East. Remain united, all children of Africa.(Thanks Google trad)
Kuna waimbaji wanaojitungia mashairi ya nyimbo zao. Mara nyingi wanaotunga mashairi na wanaopanga lahani ni watu tofauti. Waimbaji wengi hawawezi kutunga mashairi seuze kupanga lahani. Hata naghama wanazotumia baadhi yao inabidi wapewe mafunzo maalumu. Hiyo hoja ya nyimbo za Mzee Yusuph sijui lakini inayumkinika. Ukitazama kanda nyingi za muziki wa taarabu ya kisasa, huwa wameandika watunzi wa mashairi na pia wenye kupanga lahani. Natumai mwenzio jibu langu limegonga ndipo!
ucheshi na tabasamu kanijalia manani......nmepewa lugha tamu nyoka hutoka pangoni........kwake upate hupati nafasi mimi ndiye wake pumzi......." Naipenda tuu....nafeel kwa mishipa...mistari ya kweli""
Who’s here 2024 ❤
I am Kenya Luhyia i cant do without taarab...taarab zinafunza...kimafumbo
Who is still listening to this hit song in 2019. Kazi safi aisee
Am here
Mimi
👆
An Indian bro🥰
Good
This type of songs are from the coast of Tanzania and mainly the island of Zanzibar. One of the most beautiful beaches I have ever seen
I'm Kenyan Luo...Taarab is the best Music out of East Africa and it gave birth to Bongo Flavor.
Better than juma bhalo 😁
Mostly Taarab comes from the East African coast, Tanzania & Kenya; Dar es salaam, Zanzibar and Mombasa is where the main audience is located but Taarab is growing and is enjoyed even in Tanga.
Afua suleiman hapa ulinimaliza kabisa mamii
Vituko vya maksudi sibure leo umerogwa, ahsante dada zetu kwani munaamuwa kuzungumza kikwetu sannnnnnnnnnnnnnnnna
men from mombasa i never used to listen to taarab but now nostalgia kicking big time love and miss mombasa and taarab swahili hoyeeeeeeeeeee
Huu wimbo naupendag2020 sikuwai kuchok wangap tunatazam had leo
Merci beaucoup pour cette belle musique. Je suis du Mali mais je suis contente d'entendre cette musique de l'Est. Restons unis, tous, enfants d'Afrique.Asante sana kwa ajili ya muziki huu mzuri. Mimi ni kutoka Mali lakini nina furaha kusikia muziki wa Mashariki. Kubaki umoja, kila watoto wa Afrika. Thank you very much for this beautiful music. I am from Mali but I'm glad to hear the music of the East. Remain united, all children of Africa.(Thanks Google trad)
Natou Thiam merci pour le music
@@alhaqdaawatv5391 Mali mnaongea kiswahili?
I'm beginning to love taarab... I'm sure I'm not late..
2021 and still very fresh! Nani ako nami? Sitoki sibandukiiii.
I love the poetry in Taarab! Kuna mafumbo ambayo ni kazi kwa msikilizaji kuchambua huku akifurahia midundo!
Utamaliza mizizi waganga Na waganguzi......upooooo kwake hupati nafasi Mimi ndio yake pumzi
Bibi yangu huyu bi afua mke wa mzee madaki mashallah
I AM SOMALIa man I love taarab the best music EAST AFRICA :) :)
Somali meel walbo wa jogaan
True
Tunao skiliza ladha ya taarabu 2020 twende sawa apa like
Hadi 2023 bado hauchuji
Taarab nzuri sanaaa kuliko zote kama upo hapa mwaka 2021 gonga likee
Am here after Ken wa kuraya clip on citizen Tv
Eti andazi wanywea togwa Nakumbuka togwa ya lindi kwenye unyago ni mda mrefu jamani. i can't wait to go back this year.
27/05/2024 till now we listern to music I remember nilikuwa mdogo
Utamaliza mizizi 😅😅
The song is never aging....Who else is still listening to it in 2016?
my song 4ever
mashauzi
Gibbs Jakatiga I am also still watching I.love the swahili song OMG remind me mombasa malindi paradise
I am listening up to now
🇩🇪🇰🇪👍
Watamaliza mizizi waganga na wauguzi😄😄😄
Vituko vya makusudi..ushamba umekusidi...I love this video...............
2019...poleni lakni nipo hapa hapa
Miss old days when this songs played in a car family 😭😭💔💔💕💕
WANAWAKE WAPWANI JAMANI ..MWAPENDA MAPEPE JUU YA WANAUME WASIO NA UJUZI WAMEPENZI..MWAPIGANAPO KWA MANENO SI WAUME TUNAWALALA NYOTE..TAMUU SANAAAA...
Watu wanatoka mbali ona sidi wa huba alikua kama mtoto mdogo🥰🥰
Bi Afua Suleiman ulijua kumtikisa Khadija Kopa mpk aliamua kukujibu kwenye nyimbo yake ya Nalijua jiji
Oo utalia mwenzangu jiji utalijua nampikia maandazi na chain ya tangawizi we mwenzangu.
Chachacn umejaribu kuunukuu huu wimbo lakini hujasadifu. Hujapata mashairi vizuri. Kibao kizuri hiki. Kisikilize mara nyingine!
Thank you for the precision, but I am not from East Africa so I don't understand the language. I can only go by the melody and the dancing.
Taarab inaflow kama maji baharini
Hii mwanamama alikuwa anajuwa kuimba kweli💟💟💟🔥🔥
Pole Dada. natumai hukumdhulumu hapo kabla. Aliye wako bado ako.
2021 who else agreeing this was and is favourite taarab
💯💯💯💯💯
Shukran kwa Watunzi na Waimbaji,Mziki Mtamu, Ladha Hatuongezi😎💯👍🥰
2021,taarab ndo kiboko chao😅😅😅kaja kwangu kampokea.....
Zenjibar!! very beautiful voices and beautiful people, beautiful island the list is endless... love you Zenjibar from Mombasa Kenya
dhisxx is the best melody i ever listen tuu
Nikampa vitu adimu, kwako hajajiona, amri akasalimu - lol - I love the lyrics and the double meanings
2023 tupo apa pia muziki muzuri 🤞🏾🙏🏾
2020 and quarantine has brought me here.
Me too😂,2020🇰🇪
@@evianmoge5476 ,sdds,ssss.d.ssd,s.s,s.ddddsdssdd.ssdsßddd%%%d,DDD.DDD.SD.xsd.s.sss%%&&d,SDS,sdßdsssßs sdddsxssßssddßdddddds
Come and translate for me.
@@evianmoge5476 apm111⁰⁰⁰p
Well .. now you know. This kind of music is about the words. There's a heavy message in the words. They don't even have to dance.
Hide your business
Uko vizuri sana
Hata ukinilaumu wako nishamchukua..2019mpo??
Chezea afua wew
Bwana kapata wazimu kashindwa kuvumilia kwangu akatia timu tiba nikampatia weuweeeeee
Afua Suleiman ndo mama yao. My favorite taarab vocalist. Leads with authority and directive.can't get tired of watching n listening to her songs
Lol! Badala ya soda baridi. .....like it
from lpndon ❤ love mu brothers and sisters
Nzuri sana kbsa
this song never get old nani bado anskiza from somali mogadisho 🇸🇴 sielewe vzuri lkni nskiza tu tamu sana😄😁 21-3-2020
Dah my lovely brother
Sis🥰😍
😂🤣😂
@@cabylake2320 au sio
I am somalia I love taarab the best song East Africa
2020 muko wapiii..... Love from Uganda 🇺🇬
Kuna waimbaji wanaojitungia mashairi ya nyimbo zao. Mara nyingi wanaotunga mashairi na wanaopanga lahani ni watu tofauti. Waimbaji wengi hawawezi kutunga mashairi seuze kupanga lahani. Hata naghama wanazotumia baadhi yao inabidi wapewe mafunzo maalumu. Hiyo hoja ya nyimbo za Mzee Yusuph sijui lakini inayumkinika. Ukitazama kanda nyingi za muziki wa taarabu ya kisasa, huwa wameandika watunzi wa mashairi na pia wenye kupanga lahani. Natumai mwenzio jibu langu limegonga ndipo!
Wimbo nzuri mno... Wanifanya niwaze mbali. Pia nilisalimu amri kwa wakati wangu.
Niwi mbo
Gani
Pole Kaka
This song is the most flowing and ageless taarab I have listened and danced to.
abdou
Said k979u.9 nhyy5ýhh7h 0b8ut7
abdou
Madam Afua Suleiman at her best ...!!
A well composed son with great melodies and message ...
**
Mkoo
Respect to her!
From comoros 🇰🇲 i love this musique swahili
Khadija kopa alijibu hii
Aliwaambia nishalijua jiji nendeni mwananyamala pale kuna kituo na hamuishi kuhanana
Lou lou hassan ni yeye amenileta hapa
Who's watching it in 2017???
Farida Ajonye me
me
me too
Farida Ajonye mimi
Farida Ajonye me hapa hadija yusuff alikuwa na mwili mzuri kweli
202 ndio mimi huyo.
ucheshi na tanabasamu kanijaalia manani...
nimepewa lugha tamu nyoka hutoka pangoni...
"naipenda tu yani mistari ya kikweli"
I love this song Allah awajaliye kheri na awastiri hata kesho akhera ❤️❤️❤️
Who else is watching in February 2019? Love love this song
When I visited DSM in 2011 and was introduced to Taarab, it's been such fun listening to this genre of music drifting.
Sawa kabisa ATAJUA JIJI YANI MPE EE"
"......Penzi ulimdhulumu visa ukamfanyia,,, chachandu vitamu tamu bwana hukumpatia..... 💃🏿💃🏿💃🏿🕺🏿
this is like gospel it will remain relevant as long as mankind exists. good Job mum
kapenda yangu nidhamu,na utulivu nyumbani,pamoja na ukarimu,wa ndugu na majirani
Mashairi yametulia had raha
Kwake hupati nafasai mm ndio yake pumzii pigaa keleleeee😍😍😍😁
Nice Song utalijua jiji pokea chako kibomb shoga nakutumia ata ukinilaumu Wako nimesha mchukua apo chacha
Hellena Babydoll 👊👍👏
ucheshi na tabasamu kanijalia manani......nmepewa lugha tamu nyoka hutoka pangoni........kwake upate hupati nafasi mimi ndiye wake pumzi......." Naipenda tuu....nafeel kwa mishipa...mistari ya kweli""
still listening in 6/3/2024..old is gold
Napenda mavazi yao, sio kama siku hizi wanavaa vibaya.
Nani bado anakubali hapa gonga like💋👌
Sheimaa Abdallah Sheimaa Abdallah kkk
Sheimaa Abdallah Sheimaa Abdallah hahaaa
Sheimaa Abdallah Sheimaa Abdallah
Hapo tumefika
@@rosemaryslyvestar9066 hh
Miaka hioooo viziwa vinameaaa
Lol aisee nyimbo kweli 👍🏻👍🏻👍🏻
Miss this type of Taarab 😭😭
Aise hii imenikumbusha mbali big up artist
Moi
This reminds me 2005, on my wedding ceremony, a lot of good memories,,,, time flies,
Hahaaa mwenzangu huna ujuzi kaja kwangu nimemtulizaa haaaaaaaa upo
Mariam Sungi hahàaaaaa
Hongera zimfikia huko aliko japo kafa ila daaa so p maneno kumtu hay kutoka kwa wajna wang mwanan hawa
Happy new year 2020 niko naburudika najisong taaamu lisilochuja
Kbx🙌👍
Penda sana hii,nyakati hizo KBC ilikuwa moto pasi na Khadija Ali n.k
I like Rhumba n Taarabu music so much.
Hii imenikumbusha safari zangu za dar kahama! Hadi la raha
Tuliokuja baada ya kumsikia @roma like za kutosha apa
kwa kweli Ime ni pendeza....hongera
kwako kapotea njia hehe ... November 2019 still as fresh as they come. This is real music
douglas orangi pambe tuuu
Huu ndo muziki unaburudika huku unapigwa maneno unanyoooka daaaaaaah.....
Kuna watu ni zawadi hapa duniani.
Naupenda saba
Hatari 💃💃♨️🔥🔥🔥nyie
😍😍wako nisha mchukuwa
Naipenda taharabu,hongera
Nipo hapa 2024 julai🔥🔥🔥
Niko hapa kukumbuka mama zangu walivo zitwanga kisa hii nyimbo tanga moja