Pole mchengelwa hiyo ni Arusha ndugu wao Wananchi wa hapo ni watu waelewa naniwatu wakuchuja haiwezekani kuongelewa mambo yaleyale tangu tulipo Pata uhuru mpaka leo hiyo nikushindwa kuongoza hivyo watanzania na wananchi wa Arusha sio watu wakudanganywa tena mfanye msifanye Sawa wananchi kwasasa wanataka mabadiriko ya kisiasa ilikuleta maendeleo na mapya kwakuwa CCM imedumaa kimaono na kimaendeleo
wachane live hao sababu za kujila waliweka machadema😂😂😂😂😂😂😂
Safi sana
Na uchaguzi ujao tutachagua
Wadudu ...
Makonda anaweza,, ila msimzingue na kumwekea siasa,, ana udhubutu na ana Nia.
Chapaa kz baba wasikutishe hao maji taka
Chengelwa upo sahihi kabisa mitano bila wasiwasi ccm oyee
Ndio mchengerwa
Piga kazi makonda piga spana usijali kelele zao waache wakupigie gita mama mitano tena
Mhe mchengelwa umeongea vyema
Huyu sijui Huwa anaongeaga nini maana ana ngonjera nyingi sana huyu Wasiri
Pole mchengelwa hiyo ni Arusha ndugu wao Wananchi wa hapo ni watu waelewa naniwatu wakuchuja haiwezekani kuongelewa mambo yaleyale tangu tulipo Pata uhuru mpaka leo hiyo nikushindwa kuongoza hivyo watanzania na wananchi wa Arusha sio watu wakudanganywa tena mfanye msifanye Sawa wananchi kwasasa wanataka mabadiriko ya kisiasa ilikuleta maendeleo na mapya kwakuwa CCM imedumaa kimaono na kimaendeleo
kwaiyo ccm ni maji taka kila mkoa ccm imewekawa watu wa hovyoo
Wewe jamaa ya mbowe
Makonda jembe.YOSHUA 1;9
Pumbavu!
Selikali yakweni alafu mnasema walichaguwa viongizi mchwara
Wakati mbunge lema.wa chadema musibadilishe maana