Wewe nimpotoshaji tena Ilimu ndogo tumezoweya ukisoma nafasi katika vitabu humalizi maandishi tena kama unakusudia kujiteteya bila kuteteua ukweli Allah kupe fimbo duniani
«الأذكار للنووي ت الأرنؤوط» (ص30): «80 - وروينا في كتاب ابن السني عن بلال رضي الله عنه قال: كان رسول الله صلى الله عليه وسلم إذا خرج إلى الصلاة قالَ: " بِسْمِ اللَّهِ، آمَنْتُ باللَّهِ، تَوَكَّلْتُ على اللَّهِ، لا حَوْلَ وَلَا قُوَّةَ إِلَاَّ باللَّهِ، اللَّهُمَّ بِحَقّ السَّائِلِينَ عَلَيْكَ، وَبِحَقّ مَخْرَجِي هَذَا فإني لَمْ أخْرُجْهُ أشَراً وَلَا بَطراً وَلَا رِياءً وَلَا سُمْعَةً، خَرَجْتُ ابْتِغاءَ مَرْضَاتِكَ، وَاتِّقاءَ سَخَطِكَ، أسألُكَ أنْ تُعِيذَني من النار وأن تدخلني الجَنَّة "، حديث ضعيف، أحد رواته الوازع بن نافع العقيلي، وهو متفق على ضعفه وأنه منكر الحديث. وروينا في كتاب ابن السني معناه من رواية عطية العوفي عن أبي سعيد الخدري رضي الله عنه عن رسول الله صلى الله عليه وسلم، وعطية أيضاً ضعيف (1)»
Hawa jamaa mwisho swalah 5 za Fardh wataswali makaburini.kaombeni muswali,Ramadhan mufunge makaburi,tuachieni misikiti yetu...shauri zenu...kila mtu atakufa alone.. 😅😅😅
Alhamdulillah kwa kuona haqq katika usufi maana ni watu wenye ilmu na hiki na hima katika kumuendea Allah na kubwa zaidi ni kuona dhuriya ya mtume ndo walioshika usukani katika twariqa hizi
@@taurehassan7399 najua Matumizi ya Hadithi dhaifu ni kutokufaa kutumia Hadithi dhaifu !!! Hii ndio asili, na iwapo itahitajika kutumia Hadithi dhaifu basi kuna Masharti yake Je wewe unajua Masharti ya kutumia Hadithi dhaifu ?
@@RahmaKhalfan-j1c Udhaifu wake uko hapa: Katika cheni ya wapokezi سلسلة الرواة wa Hadithi hii kuna mpokezi anaitwa Al-waziu'ibn Nafii' , mtu huyu ni dhaifu na Hadithi anazopokea (simulia) ni Munkari. Na hili ni kwa maafikiano ya wanachuoni wa Hadithi .
@@RahmaKhalfan-j1c Vile vile Hadithi hii mapokeo mengine(riwaya), na katika hayo mapokeo kuna mtu anaitwa Atwiyah Al-a'ufii ambae nae ni dhaifu vile vile. Kwa sababu hizo hii Hadithi ni dhaifu haiwezi tumika katika Msingi huu mkubwa wa dini.
Maswali mawahabi huwa mnaulizwa kila wakati kuna hadidhi ambayo imesema ikiwa hadithi ni dhwaif haifai kutumika hilo mawahabi liliwashinda na mmekuwa kama wanafik.
@@KhamisiOmar-v3h huyo shekh wako wakishia kasema hadith ni sahih ndiyo maana nikamwambia kua hadith hiyo nidhaifu sasa we waukiza nini ama hujui kua hadith dhaifu haitumiki ktk kutolea hukmu?
@@abdillahmussa4813 lakini hata nyinyi mawahabi mbona huwa mnasema.mashoga.wakiristo.wasanii mayahudi walevi.wazinifu.walamadawa ya kulevya.mabaniani hao ni bora kuliko mtu wa maulid hio hadithi mliipata wapi kama huo cio uadui ulio kuwa dhahir na chuki nyingi hebu niambie hio huwa ni hadithi dhiifu ama ni sihihi ctaki uruke hilo swali?
majahili wakiwahabi hupenda kurukia mambo ambayo hawayajui. watu wakienda makuburia kwanza huwaombea dua maiti, alafu watu hujiombea dua wenyewe kwa baraka za watu watukufu waliozikwa pale basi Allah akubali dua hizo. sijui wahabi umeelewa maana nyinyi ni wazito kuelewa
JE yakipatikana maneno ya sheikh yakiruhusu jambo na ya Mtume SWALLALLAHU ALAYHI WA ya kikemeya hicho hicho,tuyashike ya Sheikh au ya Mtume SWALLALLAHU ALAYHI WA? Ama kweli wewe msufi hujitambui. Allah AKUONGOZE njia ilio sawa
Nyie masalafi ndio mnatumia sana kauli za mashehe, wanazuoni utasikia , " amesema sheikhu l Islam Ibn Taimiyya" wakati ibn taimiyya ni kafiri tu kama makafiri wengine kutokana na itikadi yake kwamba mwenyezimungu ni mwili.
Wewe na kasimu mafuta hamna adabu kabisa baada mfundishe watu wamjue mola wao na mtume kazi nikuongelea mashehk vibaya nyingi mnafaa hata kufungiwa kuongea na waisilam kabisaa nyinyi mnafarakanisha uma wa kiisilamu
Eee yatima wa ilimu na adabu wadai wampenda mtume na watu wema Hali ya kuwa watusi maswaba kwako muawia kipenzi wa mtume kuwa ni jambazi ukimtukana abuu hurairah wako. Wapi mapenzi yako kwa mtume. Wa. Allah Hali ya kuwa wawatukana vipenzi vyake? Eee mwenye akili. Ya punda ilioyooza eee mwana washetan watetea bidaa
Hakuna mwalimu hapo wazee wake wamepata hasara hizo story za jaba nimeamini ukiwa mtu wa bi'dah Allah anakunyima adi uwezo wa kufikiria akili zinaamia matakoni.
@@muhibbualii4580 mimi niko tofauti kidogo watu bi'dah mmepotosha watu kwa muda mrefu sana wakiamimi maulidi ni dini kumbe ni upuuzi wa masheikh wenu kwaiyo kwenye family yangu sitaki kuona mtu wa bi'dah hata mmoja kafanyieni mambo yenu baharini au makaburini uko kenge nyie wote bi'dah itawapeleka wapi upuuzi mtupu
«سير أعلام النبلاء» (10/ 107 ط الرسالة): «وقيل: كانت من الصالحات العوابد، والدعاء مستجاب عند قبرها، بل وعند قبور الأنبياء والصالحين» Angalia unavyo wadanganya watu !!! Imamu Adhahabiy hajasema yeye kama yeye bali ametumia swigha ya tamridhi "imesemwa" kwa hiyo usimzushie IMAM yeye kasema. sasa wewe kama kweli una insaafu tuambie katika fani ya hadithi ikija SWIGHA YA TAMRIDWI katika kuelezea jambo huwa ina maanisha nini?
Ukiona kaitumia kama hoja kwake ujue ndio kakubali na anahesabaka kasema katika bahthi yake. Kwani ukinukuu Qur-an ukaitolea hoja unakuwa umeipinga au umeikubali?. Au umenukuu tu ila huamini?
Elewa kitu kimoja kwamba imam akisema "inasemekana " "pamesemwa" jua hii kwake siyo hoja. Kwa hiyo hii ni lugha ya maulamaa khasa wa hadithi ambayo inajulikana kwa hiyo usikoroge na kunukuu quraan au kitu kingine
@@abuufayaadh8270 wewe ndio unatakiwa ufahamu. Mwanachuoni hatumii jambo ila huwa anaashiria kukubali au kukataa hilo jambo. Wa zamani wamerokodi tu. Lakini wa sasa huwa hata kama sio yake, akiikubali akaitolea hoja basi ndio anahesabika na analaumika kama amekubali kuitumia katika hoja zake kauli mbovu. Kwani wewe huna akili?. Ukiandika kitabu halafu ukasema inafaa kuabudu mbwa na huku ukisingizia ati "pamesemwa" au " inasemekana". Huo ni upumbavu wako utakuwa na sisi tunaokusikiliza tutakutambua mpumbavu ni wewe na sio ya " palisemwa". Ndio mkaambiwa mawahabi msiropokwe ila someni vizuri kwanza
Pamesemwa au inasemwa. Mawaahabi msitufanye sisi hatunaakili kama nyinyi. Ukikopi kauli ya popote kwa lugha yoyote ulioiweka, tunatizama umetoa hoja ya kukubali au kukataa?. Pale huyo "pamesemwa au inasemwa" sisi haituhusu. Inatuhusu kiongozi wetu kaichukua kauli au kaitupa. Wewe unaweza kukaa msikitini ukatoka mawaidha akisha ukasema kuiba sio dhambi kwasababu , pamesemwa kuiba sio tatizo. Halafu ukashuka membari ukaondoka. Suali.jee Ulisema hivyo kwa kutaka nini ila unstaka watu waibe?. Halafu, jee wewe umeweka hio kauli kwa maana unaikubali au unamashaka nayo?. Kama kila kilichosemwa wewe unapokea na kutolea ushahidi wa kukubali huku unajitia ati iwe huamini, tunakujibu na Qur-an yote imesemwa na inasemwa kwahio sio yako na huiamini au tukuchukulie vipi!!!!
Shukran sanaa shekhe mawahabi hawaelewi wana vichwa vigumu
Maashallah shekheletu Allah akubakishe
Jazakallahu kheir ustadh
Mungu akuhifadhi mwanachuoni wetu
Mwana chuoni wakutoka wapi huyu nawe hana lolote lile analo lijua usuluhifu mwingi 2 namjua ndani nje
@@habibumuhammad730kwakua unamjua wewe ndo sio Mwanachuoni?? Acha chuki izoo
@@habibumuhammad730 wewe ni jahili wakiwahabi tu. kama hana anlolijua jaribu kujibu hoja zake
Mashaallaah
Wewe nimpotoshaji tena Ilimu ndogo tumezoweya ukisoma nafasi katika vitabu humalizi maandishi tena kama unakusudia kujiteteya bila kuteteua ukweli Allah kupe fimbo duniani
Shukran sana
Mashsllahu
«الأذكار للنووي ت الأرنؤوط» (ص30):
«80 - وروينا في كتاب ابن السني عن بلال رضي الله عنه قال: كان رسول الله صلى الله عليه وسلم إذا خرج إلى الصلاة قالَ: " بِسْمِ اللَّهِ، آمَنْتُ باللَّهِ، تَوَكَّلْتُ على اللَّهِ، لا حَوْلَ وَلَا قُوَّةَ إِلَاَّ باللَّهِ، اللَّهُمَّ بِحَقّ السَّائِلِينَ عَلَيْكَ، وَبِحَقّ مَخْرَجِي هَذَا فإني لَمْ أخْرُجْهُ أشَراً وَلَا بَطراً وَلَا رِياءً وَلَا سُمْعَةً، خَرَجْتُ ابْتِغاءَ مَرْضَاتِكَ، وَاتِّقاءَ سَخَطِكَ، أسألُكَ أنْ تُعِيذَني من النار وأن تدخلني الجَنَّة "، حديث ضعيف، أحد رواته الوازع بن نافع العقيلي، وهو متفق على ضعفه وأنه منكر الحديث.
وروينا في كتاب ابن السني معناه من رواية عطية العوفي عن أبي سعيد الخدري رضي الله عنه عن رسول الله صلى الله عليه وسلم، وعطية أيضاً ضعيف (1)»
لا تجعل قبور كم المساجد
Hawa jamaa mwisho swalah 5 za Fardh wataswali makaburini.kaombeni muswali,Ramadhan mufunge makaburi,tuachieni misikiti yetu...shauri zenu...kila mtu atakufa alone.. 😅😅😅
hapo hujasema lolote la maana. kama unadalili jaribu kujibu hoja
Una unaushahidi ganii katika sunnat au kwenyekitaabu Cha Allah
Ww ndo ulete dalili ya kupinga Mana yy ndo kashasema hvyo
alipokuwa anasoma maneno ya wanazuoni ulikuwa umelala nini
KAWAHUTUBIE MASHIA WENZAKO
Naam baharuu kubwa mpaka usomeshwe na wenye kujua
Mwendawazimu. Wewe walio fariki wanaombewa dua au wewe wajiombea
Waliofariki waitajia dua za waliohai
Walasio waliohai kuwaomba waliyo fariki
Hakielekea msikitini wala sio makaburini
Towaushaidi wakuomba walio fariki kwahaki ya waliofariki😊
Hataiyo ushahidi aiambatani na hayomadai yako
Umekuwa jaahil wakupita
Rud ktk suratul hashr utajua maiti waombewa au hawaombewi
wewe kichaa wakiwahabi wala hueleweki
Alhamdulillah kwa kuona haqq katika usufi maana ni watu wenye ilmu na hiki na hima katika kumuendea Allah na kubwa zaidi ni kuona dhuriya ya mtume ndo walioshika usukani katika twariqa hizi
UNAJIFANYA MTU WA TWARIQA WAKATI WEWE LISHIAAAAA
Toa maneno ya mtume wacha kuongea mengi
Mwinyi baba labda ni ulamaa wa masufi ila sio wawa Africa woote
Sio lazima ww umkubali hta mtume hakukubalika na watu wte ingawa wanomkataa na kumkubali wte wpo ktk zama zake
kwani hujui majority wa waislam Africa ni masufi?
Usiseme badhi ww toa dalili wapi makaburi ndio mahali pa kujibiwa dua
Ajabu unanukuu hadithi ambayo tayari imeshatolewa hukumu kuwa ni dhaifu ??
Wayajua matumiz ya hadithi dhaifu?au walimu wko hawawafundsheni vzr mustwalahal Hadith?nenda kasome matumiz ya hadithi dhaifu
@@taurehassan7399 najua Matumizi ya Hadithi dhaifu ni kutokufaa kutumia Hadithi dhaifu !!! Hii ndio asili,
na iwapo itahitajika kutumia Hadithi dhaifu basi kuna Masharti yake
Je wewe unajua Masharti ya kutumia Hadithi dhaifu ?
twambie udhaifu wake uko wapi
@@RahmaKhalfan-j1c
Udhaifu wake uko hapa:
Katika cheni ya wapokezi سلسلة الرواة wa Hadithi hii kuna mpokezi anaitwa Al-waziu'ibn Nafii' , mtu huyu ni dhaifu na Hadithi anazopokea (simulia) ni Munkari.
Na hili ni kwa maafikiano ya wanachuoni wa Hadithi .
@@RahmaKhalfan-j1c
Vile vile Hadithi hii mapokeo mengine(riwaya), na katika hayo mapokeo kuna mtu anaitwa Atwiyah Al-a'ufii ambae nae ni dhaifu vile vile.
Kwa sababu hizo hii Hadithi ni dhaifu haiwezi tumika katika Msingi huu mkubwa wa dini.
Hadiith ni dhaifu hiyo angalia vzr
والأحكام الشرعية تفتقر في ثبوتها للأدلة الصحيحة الصريحة
Maswali mawahabi huwa mnaulizwa kila wakati kuna hadidhi ambayo imesema ikiwa hadithi ni dhwaif haifai kutumika hilo mawahabi liliwashinda na mmekuwa kama wanafik.
Wayajua matumiz y Hadith dhaifu?
@@KhamisiOmar-v3h huyo shekh wako wakishia kasema hadith ni sahih ndiyo maana nikamwambia kua hadith hiyo nidhaifu sasa we waukiza nini ama hujui kua hadith dhaifu haitumiki ktk kutolea hukmu?
@@abdillahmussa4813 lakini hata nyinyi mawahabi mbona huwa mnasema.mashoga.wakiristo.wasanii mayahudi walevi.wazinifu.walamadawa ya kulevya.mabaniani hao ni bora kuliko mtu wa maulid hio hadithi mliipata wapi kama huo cio uadui ulio kuwa dhahir na chuki nyingi hebu niambie hio huwa ni hadithi dhiifu ama ni sihihi ctaki uruke hilo swali?
eleza udhaifu wake ni nini
HAMNA KWAMBA WENYE AKILI
WW NDIO HUNAAKILI .
MTUME KAELEKEZA KUWAOMBEA DUA TUKIFIKA PALEE?AU KUOMBA DUA KUPITIA MAKABURI YALEE?
majahili wakiwahabi hupenda kurukia mambo ambayo hawayajui. watu wakienda makuburia kwanza huwaombea dua maiti, alafu watu hujiombea dua wenyewe kwa baraka za watu watukufu waliozikwa pale basi Allah akubali dua hizo. sijui wahabi umeelewa maana nyinyi ni wazito kuelewa
حديث ضعيف أحد رواته الوزاع بن نافع العقيلي،وهو متفق على ضعفه وأنه منكر الحديث
JE yakipatikana maneno ya sheikh yakiruhusu jambo na ya Mtume SWALLALLAHU ALAYHI WA ya kikemeya hicho hicho,tuyashike ya Sheikh au ya Mtume SWALLALLAHU ALAYHI WA? Ama kweli wewe msufi hujitambui. Allah AKUONGOZE njia ilio sawa
Hya twasubir hyo dalili ya mtume utupe alokataza mtu kuomba sehm y makabur
tupe dalili mtume amekemeya wapi
Nyie masalafi ndio mnatumia sana kauli za mashehe, wanazuoni utasikia , " amesema sheikhu l Islam Ibn Taimiyya" wakati ibn taimiyya ni kafiri tu kama makafiri wengine kutokana na itikadi yake kwamba mwenyezimungu ni mwili.
Subuhanallah tunawakufurisha wana wazuon jaman tusomen tujue tusisem t fulsn nikafir huenda ikawa ww ndie kafiri
Yani nikikuona huyu kafiri wa kishia anaetumwa kutukana wanazuoni na maswahaba natamani kutapika uso mkavu Allah kautowa nuru kwa akiki ya unafiiki
Wewe na kasimu mafuta hamna adabu kabisa baada mfundishe watu wamjue mola wao na mtume kazi nikuongelea mashehk vibaya nyingi mnafaa hata kufungiwa kuongea na waisilam kabisaa nyinyi mnafarakanisha uma wa kiisilamu
Kijana huna adabu kabisa wewe kwani hujafundishwa adabu na wazazi wako pia mashehk zako hawajakufundia kua na adabu
Eee yatima wa ilimu na adabu wadai wampenda mtume na watu wema Hali ya kuwa watusi maswaba kwako muawia kipenzi wa mtume kuwa ni jambazi ukimtukana abuu hurairah wako. Wapi mapenzi yako kwa mtume. Wa. Allah Hali ya kuwa wawatukana vipenzi vyake? Eee mwenye akili. Ya punda ilioyooza eee mwana washetan watetea bidaa
Hakuna mwalimu hapo wazee wake wamepata hasara hizo story za jaba nimeamini ukiwa mtu wa bi'dah Allah anakunyima adi uwezo wa kufikiria akili zinaamia matakoni.
Inasikitisha wewe unatukana wakati muislamu.
@@muhibbualii4580 mimi niko tofauti kidogo watu bi'dah mmepotosha watu kwa muda mrefu sana wakiamimi maulidi ni dini kumbe ni upuuzi wa masheikh wenu kwaiyo kwenye family yangu sitaki kuona mtu wa bi'dah hata mmoja kafanyieni mambo yenu baharini au makaburini uko kenge nyie wote bi'dah itawapeleka wapi upuuzi mtupu
watu ambao hawana akili ni mawahabi ndiyo maana nimahodari wakuhukumu lakini hawana uwezo wakufafanua wala kutoa dalili
«سير أعلام النبلاء» (10/ 107 ط الرسالة):
«وقيل: كانت من الصالحات العوابد، والدعاء مستجاب عند قبرها، بل وعند قبور الأنبياء والصالحين»
Angalia unavyo wadanganya watu !!! Imamu Adhahabiy hajasema yeye kama yeye bali ametumia swigha ya tamridhi "imesemwa" kwa hiyo usimzushie IMAM yeye kasema.
sasa wewe kama kweli una insaafu tuambie katika fani ya hadithi ikija SWIGHA YA TAMRIDWI katika kuelezea jambo huwa ina maanisha nini?
Ukiona kaitumia kama hoja kwake ujue ndio kakubali na anahesabaka kasema katika bahthi yake. Kwani ukinukuu Qur-an ukaitolea hoja unakuwa umeipinga au umeikubali?. Au umenukuu tu ila huamini?
Elewa kitu kimoja kwamba imam akisema "inasemekana " "pamesemwa" jua hii kwake siyo hoja.
Kwa hiyo hii ni lugha ya maulamaa khasa wa hadithi ambayo inajulikana kwa hiyo usikoroge na kunukuu quraan au kitu kingine
@@abuufayaadh8270 wewe ndio unatakiwa ufahamu. Mwanachuoni hatumii jambo ila huwa anaashiria kukubali au kukataa hilo jambo. Wa zamani wamerokodi tu. Lakini wa sasa huwa hata kama sio yake, akiikubali akaitolea hoja basi ndio anahesabika na analaumika kama amekubali kuitumia katika hoja zake kauli mbovu. Kwani wewe huna akili?. Ukiandika kitabu halafu ukasema inafaa kuabudu mbwa na huku ukisingizia ati "pamesemwa" au " inasemekana". Huo ni upumbavu wako utakuwa na sisi tunaokusikiliza tutakutambua mpumbavu ni wewe na sio ya " palisemwa". Ndio mkaambiwa mawahabi msiropokwe ila someni vizuri kwanza
Pamesemwa au inasemwa. Mawaahabi msitufanye sisi hatunaakili kama nyinyi. Ukikopi kauli ya popote kwa lugha yoyote ulioiweka, tunatizama umetoa hoja ya kukubali au kukataa?. Pale huyo "pamesemwa au inasemwa" sisi haituhusu. Inatuhusu kiongozi wetu kaichukua kauli au kaitupa. Wewe unaweza kukaa msikitini ukatoka mawaidha akisha ukasema kuiba sio dhambi kwasababu , pamesemwa kuiba sio tatizo. Halafu ukashuka membari ukaondoka. Suali.jee Ulisema hivyo kwa kutaka nini ila unstaka watu waibe?. Halafu, jee wewe umeweka hio kauli kwa maana unaikubali au unamashaka nayo?. Kama kila kilichosemwa wewe unapokea na kutolea ushahidi wa kukubali huku unajitia ati iwe huamini, tunakujibu na Qur-an yote imesemwa na inasemwa kwahio sio yako na huiamini au tukuchukulie vipi!!!!
Aidha pamesemwa au inasemwa, wewe ilikuhusu nini kuchukua maneno ya vijiweni
Mashsllahu