Masauni avutiwa na kozi za IAA, ataka wanafunzi kufikiri kujiajiri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad Masauni ametembelea na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Chuo cha Uhasibu Arusha huku akihimiza kuendelea kutekelezwa kwa program za masomo zinazolenga kuwajenga wanafunzi kwenye dhana ya kujiajiri pindi wanapohitimu.
    Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 1

  • @mpiraleo7492
    @mpiraleo7492 3 года назад

    Nilihitimu 2016 hapo, hakika najivunia kusoma IAA, huu uongozi mpya una chachu kubwa sana katika maendeleo ya chuo,