HOUSE GIRL EP 44 | S2 | love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 903

  • @Mathias-yi5bo
    @Mathias-yi5bo 12 дней назад +242

    Zamu ya Mr Chiko saiv nan anapenda Chiko ateseke kdog kama Zatiti gonga likes apa🤣

    • @AgnesMINANI
      @AgnesMINANI 12 дней назад +1

      Mimi

    • @nurusaid4698
      @nurusaid4698 12 дней назад +2

      Nataka Yule Ddake Ndio Ajuwe Hii Stroy😂😂😂😂

    • @TimotheoNdonde
      @TimotheoNdonde 12 дней назад

      Kila mtu anaomba like Kwani izo lakini mnafanyia nn kwani mbn siwaerewi.

    • @ZuleikhaShaaban-h3r
      @ZuleikhaShaaban-h3r 12 дней назад +2

      Yaan mm ntk atesek asa kdg jap kdg aone rah

    • @Mathias-yi5bo
      @Mathias-yi5bo 12 дней назад

      @@ZuleikhaShaaban-h3r 🤣🤣

  • @كامليا-ر7ز
    @كامليا-ر7ز 12 дней назад +104

    Atakae soma hii comment yangu mungu ambariki sana ila chiko majuto n mjukuu huja kinyume ona sasa kumbukumbu zinakumiza. Weka like tujuane walio subiri chiko kimrambe ❤❤❤😂😂😂

  • @NeemarifiniNaidye
    @NeemarifiniNaidye 12 дней назад +387

    Anae amini chiko kimeanza kumlamba na anajutia kumpoteza zatiti tujuane kwa lykes jmn❤❤😂

    • @Zaina-w1n
      @Zaina-w1n 12 дней назад +10

      Mm naoba zatiti aolewe na Mr tasha🎉🎉🎉

    • @JescaYusuph-m4y
      @JescaYusuph-m4y 12 дней назад +3

      Ety zatiti nimfanye kuwa malikia🤣 muda gn sasa wakati alimwona takataka akamfukuza kwl kimeanz kumlamba hiki kitu nilikuwa nakisubili kwa muda mref yaan mpk abulute hayo madevu yakeee na wala sijali🤣🤣🤣🙌

    • @rizikisalim6630
      @rizikisalim6630 12 дней назад +2

      😂😂😂😂😂Mimi apa Yani kinamuramba fresh Yani chiko pole yako Mr Tasha kashalichukua jimbo

    • @JescaYusuph-m4y
      @JescaYusuph-m4y 12 дней назад +1

      ​@@rizikisalim6630 yaan huyu chiko, tena naomba zatiti akiolewa na mr tasha abebe na ujauzito hapo hapo ili chiko aumbuke kabisaaa yaan🤣🤣🙅

    • @NeemarifiniNaidye
      @NeemarifiniNaidye 12 дней назад +1

      @@JescaYusuph-m4y ndo apo sasa🤗😂

  • @SospeterAmosy
    @SospeterAmosy 12 дней назад +156

    Wanaoukubali msimamo wa Kai like hapa Kwa nguvu 💪💪

  • @SafiMarieCarmella
    @SafiMarieCarmella 12 дней назад +47

    Kweli chiko yamemkuta hadi raha Mimi naitaji ndoa ya zatiti iwe ili chiko aayibike🤣🤣wanao nisapoti twende like

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq 12 дней назад +40

    Alie mpata zatiti amepata mke bora anae amin like na mm

  • @MwanamvuaNassoro
    @MwanamvuaNassoro 12 дней назад +84

    Tunao penda kibendu anavocheza kwenye character yake tukutane apa

  • @JacklinebosiboriMomanyi
    @JacklinebosiboriMomanyi 12 дней назад +127

    Wanao amini chiko ataregret kupoteza zatiti pitia huku😢wanao omba ndoa ya Kai na zuu isipitie jangamoto ni wangapi aki..maana mm sitaki kuona zuu akilia jamani😢

    • @ZainabuKhafidh
      @ZainabuKhafidh 12 дней назад +1

      Sitamani zuu hapata mitihani kwenye ndoa yake

    • @MerinaIsmail
      @MerinaIsmail 12 дней назад +2

      jamn hata me napenda wadumu da zuu na kai

    • @MerinaIsmail
      @MerinaIsmail 12 дней назад +1

      jamn ndo nimeanza leo naomba like zangu

    • @MerinaIsmail
      @MerinaIsmail 12 дней назад +2

      🎉🎉❤

  • @Brother-moses2vs7bi1v
    @Brother-moses2vs7bi1v 12 дней назад +50

    Halafu wangapi wanaomkubal babake Kai kwa ubusara wake🙏💖🙏

  • @QweenNickson
    @QweenNickson 12 дней назад +30

    Mungu azidi kuwabariki watazamaji wote wa house girl 🥰🥰❤️❤️

  • @RebecaJoseph-sd7di
    @RebecaJoseph-sd7di 12 дней назад +52

    Mungu awatunze wote mtao sma comet hii❤❤

  • @MinnahPetra
    @MinnahPetra 12 дней назад +20

    Tena bado utamkumbuka sana zatiti na hatorudi wap team zatiti nipeni like bas

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t 12 дней назад +8

    🎉🎉sahii chiko anamiwaza zatiti sanaa .ila sahii n zamu yake y mateso n wangap wana furahia kumuona zatiti akiwa n fraha .munipee like bx❤🎉🎉

  • @AdbullahDikapo
    @AdbullahDikapo 12 дней назад +26

    Hapa ndio tunakumbuka msemo unaosema kuwa tunaumizwa na wale tunaowapenda pia tunawaumiza na wale wanaotupenda au umasenaje

  • @mauamshindo2558
    @mauamshindo2558 12 дней назад +218

    Ngoja nicomment mapema kabla waomba like hawajafika😂😂😂😂😂

    • @Manasiti-k1p
      @Manasiti-k1p 12 дней назад +1

      😂😂😂😂

    • @user-vp8ms2ff4s
      @user-vp8ms2ff4s 12 дней назад

      😂😂😂😂

    • @MwanaikiSwalehe
      @MwanaikiSwalehe 12 дней назад +1

      😂😂😂

    • @user-ic8mc3bd8l
      @user-ic8mc3bd8l 12 дней назад +1

      Nikama umeniona vile ju hiyo ndio tabia yangu 😮😮😭😃😃

    • @VeroMaketu
      @VeroMaketu 12 дней назад +4

      😂😂😂 kweli kabisa maan wanaomb comment kutoa maoni aaaah

  • @LucyJoel-z8j
    @LucyJoel-z8j 12 дней назад +26

    Sijawahi kucomment hum ila nilikuw nasubiri chiko akianza kuteseka ndo nicomment tena mbaka aseme

  • @mwanakomboali8374
    @mwanakomboali8374 12 дней назад +55

    Jamani sijawah oata like tangu house 🏘️ ianze

  • @LuciaBukula
    @LuciaBukula 12 дней назад +35

    Wakwanza kuview like na kucoment wap like kwa wapenz wa house girl tunaoumia kucheleweshewa😅😅😅

  • @Dasa1_Tv
    @Dasa1_Tv 12 дней назад +35

    Team za titi tujuane hapa

  • @FaithJoshua-n8n
    @FaithJoshua-n8n 12 дней назад +16

    Chiko ni heri shetani unaemjua kuliko malaika unaemsikia, sasa pambana na ali yako sasa🎉🎉🎉zatiti shughulika na maisha yako

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 12 дней назад +50

    Ambao tunafurah chiko kuumbuka na kumkumbuka zatiti
    Please,,,like,,hapa,,tujuane,,,,,😛😜🤪😝🤪😜😛😜😜😜😜😜😜

    • @mohamedlopa8410
      @mohamedlopa8410 12 дней назад

      🤪🤪🤪🤪🤪🤪

    • @user-tx6ir9oe6u
      @user-tx6ir9oe6u 12 дней назад

      Na bdo

    • @SarahCharls
      @SarahCharls 12 дней назад

      Tupo wengi Sana na ninataman zatiti awe na msimamo iwe funzo haki nitafrah Sana kuifatilia asiwe mama huruma

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 12 дней назад +18

    Hapa ss mashabiki tunaomba zatiti amsamehe tu chiko, lkn aolewe na Mr Tasha ili iwe funzo kwa wanaume kama chiko,

  • @AisherJuma-d2q
    @AisherJuma-d2q 12 дней назад +45

    Waliosubiri house tngu jn gong like tusonge mbel

  • @user-ic8mc3bd8l
    @user-ic8mc3bd8l 12 дней назад +22

    Leo nimewahi jamani nipeni like zangu na mm suraaaaa.... much love from Kenya nikiwa Saudi Arabia 😮😮😮😢😢😢 nipewe basi atakama like kumi nitashukuru 🙄

    • @ceciliawilly8573
      @ceciliawilly8573 12 дней назад

      Do nimejificha kelele 😂,yala suraa quickly 😂😂😂

  • @saumJuma-q3e
    @saumJuma-q3e 12 дней назад +18

    Chiko kimemrambaa na ateseke tu na yy apate machungu kama ya mwenzake😂😂

  • @Aishybeb
    @Aishybeb 12 дней назад +33

    Team hamam ebu amkeni mpitie huku muone chiko alivyoyakanyaga 😂😂

  • @Brother-moses2vs7bi1v
    @Brother-moses2vs7bi1v 12 дней назад +20

    Chiko kimemramba kwa ujuaji wake,,,,SHENZI SANA 🤣🤣🤣

    • @PaulinaThomas-et1ou
      @PaulinaThomas-et1ou 12 дней назад

      Jaman 💤💤💤💤💤
      ☁☁☁💤☁
      ☁☁💤☁☁
      ☁💤☁☁☁
      💤💤💤💤💤
      ☁ Sleepy ☁mbona umedanganywa koma ni upumbavu wak 🌱🍯🌱🌱🍯🌱🐝🌱
      🌱🍯🌱🌱🍯🌱🌱🌱
      🌱🍯🍯🍯🍯🌱🍯🌱
      🌱🍯🌱🌱🍯🌱🍯🌱
      🌱🍯🌱🌱🍯🌱🍯🌱
      🌼🌱 Hi honey! 🌱🌼

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 12 дней назад +11

    Siku zote umwimu wa mtu unaujua wakati ameondoka mikononi mwako ona sasa chiku yamemukuta ukimwanga maji hayazoeki😅😅😅 ❤❤❤

  • @CarolineBosibori-r7r
    @CarolineBosibori-r7r 12 дней назад +46

    Tangu Jana nimeshidwa RUclips 🎉🥳 kama ww ni mmoja wao like hapa

  • @SelinahKeny
    @SelinahKeny 12 дней назад +11

    Jaman nimewahi ❤ from Kenya mazee pongezi wallah Allah awepe maisha marefu jaman

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 12 дней назад +9

    Nliwahi kusema zuri n Kai ndoa itaingia mgogoro juu ya boss....kumbe nlikua na maono mamoja na bibi mtabiri....Aya kazi ndio imeanza xaxa😢

  • @NeemaFelix-v5f
    @NeemaFelix-v5f 12 дней назад +4

    nasubiri ndoa ya mr tasha na zatiti ❤

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh 12 дней назад +6

    Majuto n mjukuu chiko anajutiaaa uwepo wa zatiti ❤❤❤❤sio Kila mwanamkee anafaaa kuwa mkee wa mtu wengneee hawanaaa sifaaa hizoooo❤❤❤❤❤

  • @user-sd5rl9kr8k
    @user-sd5rl9kr8k 12 дней назад +2

    Chiko Leo ndio leo😂😂😂😂😂kalewa kalewa kweri zatiti ashaa move on na Tasha so ukipeleka ujeuri wko utanyooshwa hdi hyo pombe ipotee😂

  • @ManfeitaShahbani
    @ManfeitaShahbani 12 дней назад +13

    Alieoon km candy ana komwe agonge like

  • @user-qg7wx1ou5b
    @user-qg7wx1ou5b 12 дней назад +84

    Siku zote mm nachelewa ila leo mashallah nimewah nipeni like japo 10k

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc 12 дней назад +5

    Kai zuuh hanalia 🎉🎉🎉pole Sana dadaangu zuuh,, hila usijali bibi uko hai🎉🎉🎉❤❤❤

  • @anastaciarafaeltomastomas
    @anastaciarafaeltomastomas 12 дней назад +13

    Nataka nimuone dada chikooo

  • @RashidMgeni
    @RashidMgeni 12 дней назад +12

    Yaan kumbe chiko na zatiti walikuwaga na mahusiano mazuri hivi duh,

  • @SelestineNgongesa
    @SelestineNgongesa 12 дней назад +5

    Ningependa Kuona zuu ana enjoy na Kai jamani sio kulia Kila siku

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 12 дней назад +8

    Chiko kimemramba sai ni flashback pekee ndio zimebaki kwake 😂😂😂😂

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 12 дней назад +10

    Wakwaza leo jaman nipen lak bas ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @modestazaver
    @modestazaver 12 дней назад +6

    Musha aza kuerewa sifa muna weka vipande vifupi sijui mkojee😂

  • @SaadaHaroun
    @SaadaHaroun 12 дней назад +5

    Zatiti anatakiwa asimamie msimamo na mimba abebe azae ad chiko kimrambeee vzr😂😂😂

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q 12 дней назад +7

    Chiko bado hujasema mpaka useme shenzi kabisa 😂😂😂😂😂😂😂

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 12 дней назад +2

    Mr chiko ndie fundi wakuvaa kuliko mtu yoyote kwenyi hii movi 🌺 🌺 🌺 🌺 ila kwangu mi aniweze kwanza mi tajiri so bosi mahana yoyote anaweza kua bosi ukampa mtu karanga akuuzie lazima atakuta bosi ila kua tajiri kama mi ni jambo lingine mtoto mdogo pesa mingi by singida mjini lisu anajijua we nani ubishe au mwasemaje watoto wa 2000❤❤❤❤❤❤

  • @lulumhapa
    @lulumhapa 12 дней назад +4

    Chiko utakumbuka mambo mengi mpka bcc😂😂😂😂😂 na bado zatiti kula raha mwaya ❤❤❤ na tasha wako mwaya

  • @ZitocrisantoMakaba
    @ZitocrisantoMakaba 12 дней назад +2

    Chikoooo mpaka useme na utasema😂😂😂😂

  • @user-dl7xe2dr6k
    @user-dl7xe2dr6k 12 дней назад +16

    Walio isubiri kwa hamu kama Mimi hapa gongeni like hapo😊

  • @SuzyMk94
    @SuzyMk94 12 дней назад +3

    Wanaonitakia mazuri piteni hapa.❤❤❤

  • @MeryJansoni
    @MeryJansoni 12 дней назад +11

    Jaman wakwanza mm naomben like na mm cjawah kuwah leo nimewah

  • @MwanamvuaNassoro
    @MwanamvuaNassoro 12 дней назад +12

    Chiko kapigwa na kitu kizito uku tiar kaanza kumkumbuk zatiti wetu

  • @ZulfaMjege
    @ZulfaMjege 12 дней назад +6

    Chiku ndo muda huu anajua umuhimu zatiti baada y kutendwa n kendy😂😂😂😂😂

  • @JaffarIliasy
    @JaffarIliasy 12 дней назад +6

    Chiko amebaki na kumbukumbu tu pole sana ww ukisema Cha nn mwenzio ajiuliza atakipata lini😂😂

  • @fortunatusmatongo
    @fortunatusmatongo 12 дней назад +3

    Fortunatus matongo nashauri kai abakinazuu

  • @christinaKufakulala
    @christinaKufakulala 12 дней назад +2

    Nyie wale wenzangu tulioko Oman faraja yetu humu💃🏾💃💃🤦🏾💃💃🤗

  • @mchenyaJR
    @mchenyaJR 12 дней назад +19

    Wazee vip kesho taifa stars atatoboa kweli maana nataka nimpe mazma au nipo peke yangu tu humu???? Gonna like kama na ww ni mwanafamilia😅😅😅

  • @CastorMakalila-s7l
    @CastorMakalila-s7l 12 дней назад +8

    Jamani leo nimewai naombe like zangu na mm

  • @SophyMrina
    @SophyMrina 12 дней назад +11

    Chikooooooo nakuita mara 3 mbn hp ni mwanzo wa ww kuumiyaaaa 😅😅😅

    • @Fofo-z6t
      @Fofo-z6t 12 дней назад +1

      Ngoja Kwanza tuowe kabisa team Mr Tasha 🤣🤣🤣atajuta

    • @batisebamwangosi2417
      @batisebamwangosi2417 12 дней назад

      picha linaanza zatiti anazaa na tashi weuweee😀

  • @agathamkwawi4377
    @agathamkwawi4377 12 дней назад +4

    Sijachelewaa sana leo maana duuh wapi Tim zatiti jaman gonga likes tusonge mbele

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 12 дней назад +9

    Leo ndo nmeamin mwanamke sahh atakuwa na ww kla hali , lkn wanaume huwa wanasahau wakipata wanatafuta mwanamke wakula nae starehe bla hatakkmbka chcht

  • @HudhaimaYussuf
    @HudhaimaYussuf 12 дней назад +2

    Leo chiko ndo unajua thaman ya zatiti kweli izo siku zote hujakumbuka na unajua leo 😂😂😂😂😂😂😂

  • @ZamdaDilawa
    @ZamdaDilawa 12 дней назад +3

    Usiache mbachao kwa msala upitao chiko yamemkuta anamkumbuka zatiti

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 12 дней назад +1

    😂😂😂😂chiko tuachie zatiti wetu,,usianze kutuvuruga kichwa,,,acha kikurambe😅😅😅,,,

  • @MwanaikiSwalehe
    @MwanaikiSwalehe 12 дней назад +12

    WA kwanza kutoka Iraq nipeni like namie

  • @CarolineBosibori-r7r
    @CarolineBosibori-r7r 12 дней назад +1

    Wa kwanza leo team strong mpo ndani ama na Kenya pia🎉🎉🎉🎉

    • @MwanamvuaNassoro
      @MwanamvuaNassoro 12 дней назад

      Nyie uku chiko kapigwa na kitu kizito sai kaanza kumkumbuka zatiti wetu 😂😂😂,alafu wanabusat mtupostie my mother episode ifuatayo jaman

    • @CarolineBosibori-r7r
      @CarolineBosibori-r7r 12 дней назад

      Yeah chiko Wacha akule ujeuri wake ,,zatiti saii mapenzi yamenoga kwingine

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz 12 дней назад +4

    Chiki chiko chiko nimekuita mara 3 sasa ukiskia kuumbuka ndio huku 😂😂😂😂

  • @challemartin
    @challemartin 12 дней назад +1

    Aisee mnajua kunifurahisha sanaa

  • @NuruenezaJosephEnock
    @NuruenezaJosephEnock 12 дней назад +4

    Chiko kimemramba lkn Tasha asiwe mnyonge Kwa maneno ya huyo Chiko lkn kuhusu boss ndoa ya Khai itakuwa salama kweli?????😢😢

  • @SamouOman
    @SamouOman 12 дней назад +2

    move nzur sana nawapenda mno

  • @EstherSimion
    @EstherSimion 12 дней назад +5

    Nan anafurahi kwakile chiko anachopitia kwa sasa😅😅😅

    • @user-qy1tu1kw2t
      @user-qy1tu1kw2t 12 дней назад

      Pamoja

    • @EstherSimion
      @EstherSimion 12 дней назад

      @@user-qy1tu1kw2t nimefurahi sana

    • @TitoMichael-np2kh
      @TitoMichael-np2kh 12 дней назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣 akomeeee z dada Wawatu kashapat jiko sahihi

    • @EstherSimion
      @EstherSimion 12 дней назад

      @@TitoMichael-np2kh limshuke huko

    • @TitoMichael-np2kh
      @TitoMichael-np2kh 12 дней назад

      @@EstherSimion akomeeee mi naona Tasha anachelewa

  • @user-pi4oi9np3z
    @user-pi4oi9np3z 12 дней назад +1

    Huku makuaga😅na njaa ya like sna haya na mm nipeni thano bsi😅😅😅

  • @nassoraly5296
    @nassoraly5296 12 дней назад +5

    Naomben like wa kwanza leo

  • @RizikiStadza
    @RizikiStadza 9 дней назад +1

    Chiko sasa amepatikana ama kweli alitoka kwa kivuli akaingia kwa jua Kali tena jua linalochoma utosi,nayo hadi moyo nikimaanisha chiko alitoka kwa mke bora zatiti akaingia kwa kendy kazi unayo chiko teseka sanaaa😂😂😂😂😂

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 12 дней назад +8

    Tunaosema hii tamthilia itakuwa ndefu kama chakorii tunalike hapa 🤣🤣🤣

    • @TunuAdam-gc9rc
      @TunuAdam-gc9rc 12 дней назад

      😂😂😂

    • @Martha-gs3in
      @Martha-gs3in 12 дней назад

      Why chakoriii 😅😅😅😅ivi iliishia wapi vile😅😅😅😅

    • @zuenampandeni3347
      @zuenampandeni3347 12 дней назад

      @@Martha-gs3in sijui🤣🤣🤣🤣

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 12 дней назад +9

    Chiko vp dear Ni patamu hapo😂😂😂🎉🎉🎉

  • @heriethemanuel5906
    @heriethemanuel5906 11 дней назад +1

    Hahaha chikoo polee ila ndivyo tulivyoo hakiwa karibu huoni dhamani yake polee sanaaaaa chiko

  • @LucySamsoni
    @LucySamsoni 12 дней назад +5

    Daaa nimewahipo Leo nipeni like namimi jamani

  • @AminaMjeni-iz8uo
    @AminaMjeni-iz8uo 12 дней назад +1

    Chiko kimekuramba ss wanaofurahia hali ya chiko kwa ss hizi kma mm nipeni like basi 😆

  • @Saumu-lm7nt
    @Saumu-lm7nt 12 дней назад +5

    Chiko mbna maji utaita mma nakwambia zatıti ameshajizatiti Kwa MTU mwenye msimamo yake Nan uyo tasha

  • @annnafula7476
    @annnafula7476 12 дней назад +1

    😂😂😂Zatiti shikilia Tasha na mikono miwili huyo chiko asikuletee ujinga ❤❤🇰🇪🇰🇪

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc 12 дней назад +7

    Chiko Sai waiona Dunia mbaya

  • @AshuraAyubomar
    @AshuraAyubomar 12 дней назад

    Vizuri sanaa kikikulamb mna ulimnyanyasa sana za titi kazi nzuri za titi nawe usirud nyuma

  • @ASAS-q9u9e
    @ASAS-q9u9e 12 дней назад +5

    Chiko kimemruamba vibaya😂😂😂😂😂

  • @aminajuma-rw2rt
    @aminajuma-rw2rt 12 дней назад +1

    Jaman candy ni mbaya apa ndio nimemuona jamn kiukweli Hila nimeflahi wanafundisha mengi mno ❤❤

  • @JulianaEmanuel-jn3yo
    @JulianaEmanuel-jn3yo 12 дней назад +7

    Chiko ubaya ubwela😂

  • @SelinaKadzo-ck3rb
    @SelinaKadzo-ck3rb 12 дней назад +2

    Ety chiko kaanza kumukumbuka zatiti na Bado ,,,,, asay chiko ateseke sana maana alivyo mtesa zatiti hakuna sawa

  • @user-tv2vp9oq2n
    @user-tv2vp9oq2n 12 дней назад +3

    Chiko kimeanza kumramba na kutafakari yaliyo pita tamaa ya mimba ya candy yamchongo hadi kumfukuza zatiti saahii yuamuwaza

  • @DivineIngabire-lj3sr
    @DivineIngabire-lj3sr 12 дней назад +1

    Chiko ukome kabisa zatiti siowako tena aca kikulambemrs tasha amesha mucukua zoea kulala pekeako😂😂😂😂😂

  • @paulosilas5394
    @paulosilas5394 12 дней назад +3

    Ĥlw first onee😂❤

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg 12 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂ama kweli ukikidharU mwenzio anakipenda loo mr chiko na bado....❤❤❤

  • @RoziPeter
    @RoziPeter 12 дней назад +3

    Mm wa kwanza jamn nimewah Leo

  • @user-sc5gt6gs3s
    @user-sc5gt6gs3s 12 дней назад +1

    Ivi chiku kilo kusababishia uwaze sana nikipi na ww uliataka. Katika mausiano mungu anatuonesha ga tabia zawenye tuko nawo kimausiano tukipuuxiya basi ujuwe. Badae ni tukia candy. Kakuonesha kama hafai ukagangania

  • @VeronicaIbrahim-wv4dg
    @VeronicaIbrahim-wv4dg 12 дней назад +9

    Wanne leo naombeni like jamani🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FATMARAHMA12
    @FATMARAHMA12 12 дней назад

    Nabado hujatukumbuka team zatiti nabado iyo imeshaaa baba ebu tupishe njiani team tasha tujiejoy ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃❤❤❤

  • @alphoncemwilolezi9131
    @alphoncemwilolezi9131 12 дней назад +9

    Chiko ni mtumwa wa mapenzi

  • @user-yk5sl9bk3x
    @user-yk5sl9bk3x 11 дней назад +1

    😅😅😅😅😅Chiko majuto ukuja badae xo zamu n Yako eb umia venye ulimumiza zatiti

  • @zaitunikhamis
    @zaitunikhamis 12 дней назад +3

    Kiukwel cjawah kucomment ila Leo nmeamua nwape mauwa yenu wa busati t.v hongeren sn ❤❤

  • @MashaHaflan
    @MashaHaflan 12 дней назад +1

    Kai Kai Kai ukimsaliti zuuu Kwa ajili ya boss wako utatujua mashabiki wa zuuu❤❤

  • @MwanaikiSwalehe
    @MwanaikiSwalehe 12 дней назад +3

    Km naamini chiku anajuta saa hii gonga like. Too late chiku