Atakae soma hii comment yangu mungu ambariki sana ila chiko majuto n mjukuu huja kinyume ona sasa kumbukumbu zinakumiza. Weka like tujuane walio subiri chiko kimrambe ❤❤❤😂😂😂
Ety zatiti nimfanye kuwa malikia🤣 muda gn sasa wakati alimwona takataka akamfukuza kwl kimeanz kumlamba hiki kitu nilikuwa nakisubili kwa muda mref yaan mpk abulute hayo madevu yakeee na wala sijali🤣🤣🤣🙌
Wanao amini chiko ataregret kupoteza zatiti pitia huku😢wanao omba ndoa ya Kai na zuu isipitie jangamoto ni wangapi aki..maana mm sitaki kuona zuu akilia jamani😢
Mr chiko ndie fundi wakuvaa kuliko mtu yoyote kwenyi hii movi 🌺 🌺 🌺 🌺 ila kwangu mi aniweze kwanza mi tajiri so bosi mahana yoyote anaweza kua bosi ukampa mtu karanga akuuzie lazima atakuta bosi ila kua tajiri kama mi ni jambo lingine mtoto mdogo pesa mingi by singida mjini lisu anajijua we nani ubishe au mwasemaje watoto wa 2000❤❤❤❤❤❤
Chiko sasa amepatikana ama kweli alitoka kwa kivuli akaingia kwa jua Kali tena jua linalochoma utosi,nayo hadi moyo nikimaanisha chiko alitoka kwa mke bora zatiti akaingia kwa kendy kazi unayo chiko teseka sanaaa😂😂😂😂😂
Ivi chiku kilo kusababishia uwaze sana nikipi na ww uliataka. Katika mausiano mungu anatuonesha ga tabia zawenye tuko nawo kimausiano tukipuuxiya basi ujuwe. Badae ni tukia candy. Kakuonesha kama hafai ukagangania
Zamu ya Mr Chiko saiv nan anapenda Chiko ateseke kdog kama Zatiti gonga likes apa🤣
Mimi
Nataka Yule Ddake Ndio Ajuwe Hii Stroy😂😂😂😂
Kila mtu anaomba like Kwani izo lakini mnafanyia nn kwani mbn siwaerewi.
Yaan mm ntk atesek asa kdg jap kdg aone rah
@@ZuleikhaShaaban-h3r 🤣🤣
Atakae soma hii comment yangu mungu ambariki sana ila chiko majuto n mjukuu huja kinyume ona sasa kumbukumbu zinakumiza. Weka like tujuane walio subiri chiko kimrambe ❤❤❤😂😂😂
😂😂😂
Yani tumesubiri hii kitu kwa mda mrefu sana
Anae amini chiko kimeanza kumlamba na anajutia kumpoteza zatiti tujuane kwa lykes jmn❤❤😂
Mm naoba zatiti aolewe na Mr tasha🎉🎉🎉
Ety zatiti nimfanye kuwa malikia🤣 muda gn sasa wakati alimwona takataka akamfukuza kwl kimeanz kumlamba hiki kitu nilikuwa nakisubili kwa muda mref yaan mpk abulute hayo madevu yakeee na wala sijali🤣🤣🤣🙌
😂😂😂😂😂Mimi apa Yani kinamuramba fresh Yani chiko pole yako Mr Tasha kashalichukua jimbo
@@rizikisalim6630 yaan huyu chiko, tena naomba zatiti akiolewa na mr tasha abebe na ujauzito hapo hapo ili chiko aumbuke kabisaaa yaan🤣🤣🙅
@@JescaYusuph-m4y ndo apo sasa🤗😂
Wanaoukubali msimamo wa Kai like hapa Kwa nguvu 💪💪
Kweli chiko yamemkuta hadi raha Mimi naitaji ndoa ya zatiti iwe ili chiko aayibike🤣🤣wanao nisapoti twende like
Alie mpata zatiti amepata mke bora anae amin like na mm
Tunao penda kibendu anavocheza kwenye character yake tukutane apa
@@MwanamvuaNassoro kibendu huyo chega tu
Big up kwake
@@MwanamvuaNassoro kibendu chega2
Wanao amini chiko ataregret kupoteza zatiti pitia huku😢wanao omba ndoa ya Kai na zuu isipitie jangamoto ni wangapi aki..maana mm sitaki kuona zuu akilia jamani😢
Sitamani zuu hapata mitihani kwenye ndoa yake
jamn hata me napenda wadumu da zuu na kai
jamn ndo nimeanza leo naomba like zangu
🎉🎉❤
Halafu wangapi wanaomkubal babake Kai kwa ubusara wake🙏💖🙏
Mungu azidi kuwabariki watazamaji wote wa house girl 🥰🥰❤️❤️
Mungu awatunze wote mtao sma comet hii❤❤
Tena bado utamkumbuka sana zatiti na hatorudi wap team zatiti nipeni like bas
🎉🎉sahii chiko anamiwaza zatiti sanaa .ila sahii n zamu yake y mateso n wangap wana furahia kumuona zatiti akiwa n fraha .munipee like bx❤🎉🎉
Hapa ndio tunakumbuka msemo unaosema kuwa tunaumizwa na wale tunaowapenda pia tunawaumiza na wale wanaotupenda au umasenaje
Ngoja nicomment mapema kabla waomba like hawajafika😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
Nikama umeniona vile ju hiyo ndio tabia yangu 😮😮😭😃😃
😂😂😂 kweli kabisa maan wanaomb comment kutoa maoni aaaah
Sijawahi kucomment hum ila nilikuw nasubiri chiko akianza kuteseka ndo nicomment tena mbaka aseme
Jamani sijawah oata like tangu house 🏘️ ianze
Wakwanza kuview like na kucoment wap like kwa wapenz wa house girl tunaoumia kucheleweshewa😅😅😅
Team za titi tujuane hapa
Chiko ni heri shetani unaemjua kuliko malaika unaemsikia, sasa pambana na ali yako sasa🎉🎉🎉zatiti shughulika na maisha yako
Ambao tunafurah chiko kuumbuka na kumkumbuka zatiti
Please,,,like,,hapa,,tujuane,,,,,😛😜🤪😝🤪😜😛😜😜😜😜😜😜
🤪🤪🤪🤪🤪🤪
Na bdo
Tupo wengi Sana na ninataman zatiti awe na msimamo iwe funzo haki nitafrah Sana kuifatilia asiwe mama huruma
Hapa ss mashabiki tunaomba zatiti amsamehe tu chiko, lkn aolewe na Mr Tasha ili iwe funzo kwa wanaume kama chiko,
Waliosubiri house tngu jn gong like tusonge mbel
Leo nimewahi jamani nipeni like zangu na mm suraaaaa.... much love from Kenya nikiwa Saudi Arabia 😮😮😮😢😢😢 nipewe basi atakama like kumi nitashukuru 🙄
Do nimejificha kelele 😂,yala suraa quickly 😂😂😂
Chiko kimemrambaa na ateseke tu na yy apate machungu kama ya mwenzake😂😂
Team hamam ebu amkeni mpitie huku muone chiko alivyoyakanyaga 😂😂
Chiko kimemramba kwa ujuaji wake,,,,SHENZI SANA 🤣🤣🤣
Jaman 💤💤💤💤💤
☁☁☁💤☁
☁☁💤☁☁
☁💤☁☁☁
💤💤💤💤💤
☁ Sleepy ☁mbona umedanganywa koma ni upumbavu wak 🌱🍯🌱🌱🍯🌱🐝🌱
🌱🍯🌱🌱🍯🌱🌱🌱
🌱🍯🍯🍯🍯🌱🍯🌱
🌱🍯🌱🌱🍯🌱🍯🌱
🌱🍯🌱🌱🍯🌱🍯🌱
🌼🌱 Hi honey! 🌱🌼
Siku zote umwimu wa mtu unaujua wakati ameondoka mikononi mwako ona sasa chiku yamemukuta ukimwanga maji hayazoeki😅😅😅 ❤❤❤
Tangu Jana nimeshidwa RUclips 🎉🥳 kama ww ni mmoja wao like hapa
Jaman nimewahi ❤ from Kenya mazee pongezi wallah Allah awepe maisha marefu jaman
Nliwahi kusema zuri n Kai ndoa itaingia mgogoro juu ya boss....kumbe nlikua na maono mamoja na bibi mtabiri....Aya kazi ndio imeanza xaxa😢
nasubiri ndoa ya mr tasha na zatiti ❤
Majuto n mjukuu chiko anajutiaaa uwepo wa zatiti ❤❤❤❤sio Kila mwanamkee anafaaa kuwa mkee wa mtu wengneee hawanaaa sifaaa hizoooo❤❤❤❤❤
Chiko Leo ndio leo😂😂😂😂😂kalewa kalewa kweri zatiti ashaa move on na Tasha so ukipeleka ujeuri wko utanyooshwa hdi hyo pombe ipotee😂
Alieoon km candy ana komwe agonge like
Siku zote mm nachelewa ila leo mashallah nimewah nipeni like japo 10k
Hizo 10k likes wataka kununua nn😂😂😂
😂😂
😃😃😃😃ety 10k waah
Kula hizo like😂😂😂😂
HUYU NIKAMA HAJUI MAANA YA 10K😂😂😂😂
Kai zuuh hanalia 🎉🎉🎉pole Sana dadaangu zuuh,, hila usijali bibi uko hai🎉🎉🎉❤❤❤
Nataka nimuone dada chikooo
Yaan kumbe chiko na zatiti walikuwaga na mahusiano mazuri hivi duh,
Ningependa Kuona zuu ana enjoy na Kai jamani sio kulia Kila siku
Chiko kimemramba sai ni flashback pekee ndio zimebaki kwake 😂😂😂😂
😂😂😂
Wakwaza leo jaman nipen lak bas ❤❤❤🎉🎉🎉
Musha aza kuerewa sifa muna weka vipande vifupi sijui mkojee😂
Zatiti anatakiwa asimamie msimamo na mimba abebe azae ad chiko kimrambeee vzr😂😂😂
Chiko bado hujasema mpaka useme shenzi kabisa 😂😂😂😂😂😂😂
Mr chiko ndie fundi wakuvaa kuliko mtu yoyote kwenyi hii movi 🌺 🌺 🌺 🌺 ila kwangu mi aniweze kwanza mi tajiri so bosi mahana yoyote anaweza kua bosi ukampa mtu karanga akuuzie lazima atakuta bosi ila kua tajiri kama mi ni jambo lingine mtoto mdogo pesa mingi by singida mjini lisu anajijua we nani ubishe au mwasemaje watoto wa 2000❤❤❤❤❤❤
Chiko utakumbuka mambo mengi mpka bcc😂😂😂😂😂 na bado zatiti kula raha mwaya ❤❤❤ na tasha wako mwaya
Chikoooo mpaka useme na utasema😂😂😂😂
Walio isubiri kwa hamu kama Mimi hapa gongeni like hapo😊
Wanaonitakia mazuri piteni hapa.❤❤❤
Jaman wakwanza mm naomben like na mm cjawah kuwah leo nimewah
Chiko kapigwa na kitu kizito uku tiar kaanza kumkumbuk zatiti wetu
Chiku ndo muda huu anajua umuhimu zatiti baada y kutendwa n kendy😂😂😂😂😂
Chiko amebaki na kumbukumbu tu pole sana ww ukisema Cha nn mwenzio ajiuliza atakipata lini😂😂
Fortunatus matongo nashauri kai abakinazuu
Nyie wale wenzangu tulioko Oman faraja yetu humu💃🏾💃💃🤦🏾💃💃🤗
Wazee vip kesho taifa stars atatoboa kweli maana nataka nimpe mazma au nipo peke yangu tu humu???? Gonna like kama na ww ni mwanafamilia😅😅😅
Mpe atashinda
Ikiwezekana bet leo odd hazijapungua
@@JeremiahMahonahelaikumi shida galsport haipo
Nakushauri tu usimpe mazima 😂
😂😂🤣🤣
Jamani leo nimewai naombe like zangu na mm
Chikooooooo nakuita mara 3 mbn hp ni mwanzo wa ww kuumiyaaaa 😅😅😅
Ngoja Kwanza tuowe kabisa team Mr Tasha 🤣🤣🤣atajuta
picha linaanza zatiti anazaa na tashi weuweee😀
Sijachelewaa sana leo maana duuh wapi Tim zatiti jaman gonga likes tusonge mbele
Leo ndo nmeamin mwanamke sahh atakuwa na ww kla hali , lkn wanaume huwa wanasahau wakipata wanatafuta mwanamke wakula nae starehe bla hatakkmbka chcht
Uko sahihi ndio walivo😢😢😢
Very true
Leo chiko ndo unajua thaman ya zatiti kweli izo siku zote hujakumbuka na unajua leo 😂😂😂😂😂😂😂
Usiache mbachao kwa msala upitao chiko yamemkuta anamkumbuka zatiti
😂😂😂😂chiko tuachie zatiti wetu,,usianze kutuvuruga kichwa,,,acha kikurambe😅😅😅,,,
On point 💯
WA kwanza kutoka Iraq nipeni like namie
Wa kwanza leo team strong mpo ndani ama na Kenya pia🎉🎉🎉🎉
Nyie uku chiko kapigwa na kitu kizito sai kaanza kumkumbuka zatiti wetu 😂😂😂,alafu wanabusat mtupostie my mother episode ifuatayo jaman
Yeah chiko Wacha akule ujeuri wake ,,zatiti saii mapenzi yamenoga kwingine
Chiki chiko chiko nimekuita mara 3 sasa ukiskia kuumbuka ndio huku 😂😂😂😂
Aisee mnajua kunifurahisha sanaa
Chiko kimemramba lkn Tasha asiwe mnyonge Kwa maneno ya huyo Chiko lkn kuhusu boss ndoa ya Khai itakuwa salama kweli?????😢😢
move nzur sana nawapenda mno
Nan anafurahi kwakile chiko anachopitia kwa sasa😅😅😅
Pamoja
@@user-qy1tu1kw2t nimefurahi sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 akomeeee z dada Wawatu kashapat jiko sahihi
@@TitoMichael-np2kh limshuke huko
@@EstherSimion akomeeee mi naona Tasha anachelewa
Huku makuaga😅na njaa ya like sna haya na mm nipeni thano bsi😅😅😅
Naomben like wa kwanza leo
Chiko sasa amepatikana ama kweli alitoka kwa kivuli akaingia kwa jua Kali tena jua linalochoma utosi,nayo hadi moyo nikimaanisha chiko alitoka kwa mke bora zatiti akaingia kwa kendy kazi unayo chiko teseka sanaaa😂😂😂😂😂
Tunaosema hii tamthilia itakuwa ndefu kama chakorii tunalike hapa 🤣🤣🤣
😂😂😂
Why chakoriii 😅😅😅😅ivi iliishia wapi vile😅😅😅😅
@@Martha-gs3in sijui🤣🤣🤣🤣
Chiko vp dear Ni patamu hapo😂😂😂🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂analamba asali
😂😂😂
Hahaha chikoo polee ila ndivyo tulivyoo hakiwa karibu huoni dhamani yake polee sanaaaaa chiko
Daaa nimewahipo Leo nipeni like namimi jamani
Chiko kimekuramba ss wanaofurahia hali ya chiko kwa ss hizi kma mm nipeni like basi 😆
Chiko mbna maji utaita mma nakwambia zatıti ameshajizatiti Kwa MTU mwenye msimamo yake Nan uyo tasha
😂😂😂Zatiti shikilia Tasha na mikono miwili huyo chiko asikuletee ujinga ❤❤🇰🇪🇰🇪
Chiko Sai waiona Dunia mbaya
Vizuri sanaa kikikulamb mna ulimnyanyasa sana za titi kazi nzuri za titi nawe usirud nyuma
Chiko kimemruamba vibaya😂😂😂😂😂
Jaman candy ni mbaya apa ndio nimemuona jamn kiukweli Hila nimeflahi wanafundisha mengi mno ❤❤
Chiko ubaya ubwela😂
Ety chiko kaanza kumukumbuka zatiti na Bado ,,,,, asay chiko ateseke sana maana alivyo mtesa zatiti hakuna sawa
Chiko kimeanza kumramba na kutafakari yaliyo pita tamaa ya mimba ya candy yamchongo hadi kumfukuza zatiti saahii yuamuwaza
Chiko ukome kabisa zatiti siowako tena aca kikulambemrs tasha amesha mucukua zoea kulala pekeako😂😂😂😂😂
Ĥlw first onee😂❤
😂😂😂😂😂😂ama kweli ukikidharU mwenzio anakipenda loo mr chiko na bado....❤❤❤
Mm wa kwanza jamn nimewah Leo
Sawa wajina
Ivi chiku kilo kusababishia uwaze sana nikipi na ww uliataka. Katika mausiano mungu anatuonesha ga tabia zawenye tuko nawo kimausiano tukipuuxiya basi ujuwe. Badae ni tukia candy. Kakuonesha kama hafai ukagangania
Wanne leo naombeni like jamani🎉🎉🎉🎉🎉
Nabado hujatukumbuka team zatiti nabado iyo imeshaaa baba ebu tupishe njiani team tasha tujiejoy ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃❤❤❤
Chiko ni mtumwa wa mapenzi
😅😅😅😅😅Chiko majuto ukuja badae xo zamu n Yako eb umia venye ulimumiza zatiti
Kiukwel cjawah kucomment ila Leo nmeamua nwape mauwa yenu wa busati t.v hongeren sn ❤❤
Kai Kai Kai ukimsaliti zuuu Kwa ajili ya boss wako utatujua mashabiki wa zuuu❤❤
Km naamini chiku anajuta saa hii gonga like. Too late chiku