Kutana na Mkuu wa Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki | GUMZO NA WALIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Dk. Caroline Asiimwe anaongoza Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki yenye makao yake makuu kisiwani Unguja, mwenyewe akiwa mwenyeji wa Uganda, alikosomea na kufundisha Kiswahili. Ndiye mwalimu wetu kwenye gumzo la leo na walimu wetu.

Комментарии •