WAKUVANGA AFUNGUKA “WENYE PESA” WALITAKA KUWAPOTEZA ZE COMEDY, MASANJA ‘YATIMA’

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 24

  • @allymaimuna8688
    @allymaimuna8688 14 часов назад +14

    Vp yule mwenzao aliekua anaumwa mbona hazungumziwi tena mpka Leo tunahitaji kufahamu sisi mashabiki wao,anaeungana na mm weka like hapo.

    • @bundaboytz2101
      @bundaboytz2101 12 часов назад +1

      Ndo huyo anaeongea

    • @AmonChamriho
      @AmonChamriho 9 часов назад +1

      ​@@bundaboytz2101sio huyu huyu anaitwa wakuvanga yule bonge mama imma anayeigizaga mama wa kinyakyusa... Yule anaitwa vengu kapotea kbs

    • @paulajoho2223
      @paulajoho2223 5 часов назад +1

      Tunaomba mtuambie ukweli, huyo jamaa yuko wapi? Na anafanya nini? Mara ya mwisho mlisema ni mgonjwa. Sasa yuko wapi Vengu? Tafadhali tunaomba mtuambie ukweli. "Mashabiki wake tumemmiss"

  • @mussamassawe7624
    @mussamassawe7624 10 часов назад

    Wakiwa og wasishabikie uongo ila wakiwa og tutawaelewa,mpira ctarehe za muziki ni og kuliko kujua hak ya taifa mwananchi.hili taifa tuwe wazalendo tunakuwaje na hela kwa mtu mmoja mmoja, hela ipo tanzania ila basi tyu kuna watu 😂❤❤❤Tz

  • @paulajoho2223
    @paulajoho2223 5 часов назад +1

    Vido! Vido! Vido! How many times did I call you? Fanya ufanyavyo! Tunamtaka VENGU! Tunamtaka VENGU! Kama alishaitwa na Mungu, basi pia tujulisheni jamani, mbona mnatufanyia hivyo? Nimeumia sana!!!!

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 14 часов назад +3

    Hawa jamaa walitikisa sana. Sijui yule mwenzao alikuwa anaumwa sijui anaendeleaje

  • @kingngoshazephania4344
    @kingngoshazephania4344 15 часов назад +1

    Good.king of reggae music in dodoma Tanzania

  • @AmonChamriho
    @AmonChamriho 9 часов назад +2

    Tunaomba mtafuteni Vengu mmfanyie mahojiano naye tujue yuko wapi na anaendeleaje

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 15 часов назад +1

    Much Love Kwenu🎉❤🎉

  • @allymaimuna8688
    @allymaimuna8688 14 часов назад +4

    Yule alikua anaumwa yupo wap?

  • @sarahchikoleka1438
    @sarahchikoleka1438 15 часов назад +4

    Kaka V mbona ujamuliza kuhusu yule mwenzao aliyekua anaumwa Yuko wapi

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 15 часов назад +1

      Yaani umewaza kama mimi, natamani kujua anaendeleaje😢

    • @HoneysugarPudding
      @HoneysugarPudding 14 часов назад

      Nasikia anaishi Kigamboni Mikwambe na bado anaumwa

    • @vidovidox2632
      @vidovidox2632 12 часов назад +3

      NITAMUULIZA INTERVIEW INAFUATA TUNAFANYA NAYE KUBWA KABISA SO BE READY

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 3 часа назад

    kaongea vizur sn l like lt

  • @abdullahmapesa
    @abdullahmapesa 3 часа назад +1

    ⭐⭐⭐⭐⭐

  • @taifaonlinetv.3670
    @taifaonlinetv.3670 5 часов назад

    Oooh nimefurahi kusikia na kuona mahojiano haya kundi moja ninalolikubari sana

  • @AhamadiNgulungo-n3w
    @AhamadiNgulungo-n3w 16 часов назад +1

    Naijuwa hiyo wakuu

  • @husseinbhatia434
    @husseinbhatia434 12 часов назад

    Tokea muanze kuongea sijasikia jina la JOTI ! what hell?

  • @maureenlilykiwia1515
    @maureenlilykiwia1515 13 часов назад

    Ila kwa sasa nashauri wange retire tu jamani kuchekesha kazi kweli walipofikia nadhani ni ile huu mwaka ehee ni mwaka wa ku force mhhh

    • @zimboj5278
      @zimboj5278 4 часа назад

      Hata umri wa mzee majuto hawajafikia afu wastahafu !!!

  • @hallin9561
    @hallin9561 4 часа назад

    Tayari mmeshatenganishwa na joti

  • @Samsonbongomovie
    @Samsonbongomovie 11 часов назад

    😂😂😂😂😂😂❤❤❤