Tunaomba mtuambie ukweli, huyo jamaa yuko wapi? Na anafanya nini? Mara ya mwisho mlisema ni mgonjwa. Sasa yuko wapi Vengu? Tafadhali tunaomba mtuambie ukweli. "Mashabiki wake tumemmiss"
Wakiwa og wasishabikie uongo ila wakiwa og tutawaelewa,mpira ctarehe za muziki ni og kuliko kujua hak ya taifa mwananchi.hili taifa tuwe wazalendo tunakuwaje na hela kwa mtu mmoja mmoja, hela ipo tanzania ila basi tyu kuna watu 😂❤❤❤Tz
Vido! Vido! Vido! How many times did I call you? Fanya ufanyavyo! Tunamtaka VENGU! Tunamtaka VENGU! Kama alishaitwa na Mungu, basi pia tujulisheni jamani, mbona mnatufanyia hivyo? Nimeumia sana!!!!
Vp yule mwenzao aliekua anaumwa mbona hazungumziwi tena mpka Leo tunahitaji kufahamu sisi mashabiki wao,anaeungana na mm weka like hapo.
Ndo huyo anaeongea
@@bundaboytz2101sio huyu huyu anaitwa wakuvanga yule bonge mama imma anayeigizaga mama wa kinyakyusa... Yule anaitwa vengu kapotea kbs
Tunaomba mtuambie ukweli, huyo jamaa yuko wapi? Na anafanya nini? Mara ya mwisho mlisema ni mgonjwa. Sasa yuko wapi Vengu? Tafadhali tunaomba mtuambie ukweli. "Mashabiki wake tumemmiss"
Wakiwa og wasishabikie uongo ila wakiwa og tutawaelewa,mpira ctarehe za muziki ni og kuliko kujua hak ya taifa mwananchi.hili taifa tuwe wazalendo tunakuwaje na hela kwa mtu mmoja mmoja, hela ipo tanzania ila basi tyu kuna watu 😂❤❤❤Tz
Vido! Vido! Vido! How many times did I call you? Fanya ufanyavyo! Tunamtaka VENGU! Tunamtaka VENGU! Kama alishaitwa na Mungu, basi pia tujulisheni jamani, mbona mnatufanyia hivyo? Nimeumia sana!!!!
Hawa jamaa walitikisa sana. Sijui yule mwenzao alikuwa anaumwa sijui anaendeleaje
Good.king of reggae music in dodoma Tanzania
Tunaomba mtafuteni Vengu mmfanyie mahojiano naye tujue yuko wapi na anaendeleaje
Much Love Kwenu🎉❤🎉
Yule alikua anaumwa yupo wap?
Kaka V mbona ujamuliza kuhusu yule mwenzao aliyekua anaumwa Yuko wapi
Yaani umewaza kama mimi, natamani kujua anaendeleaje😢
Nasikia anaishi Kigamboni Mikwambe na bado anaumwa
NITAMUULIZA INTERVIEW INAFUATA TUNAFANYA NAYE KUBWA KABISA SO BE READY
kaongea vizur sn l like lt
⭐⭐⭐⭐⭐
Oooh nimefurahi kusikia na kuona mahojiano haya kundi moja ninalolikubari sana
Naijuwa hiyo wakuu
Tokea muanze kuongea sijasikia jina la JOTI ! what hell?
Ila kwa sasa nashauri wange retire tu jamani kuchekesha kazi kweli walipofikia nadhani ni ile huu mwaka ehee ni mwaka wa ku force mhhh
Hata umri wa mzee majuto hawajafikia afu wastahafu !!!
Tayari mmeshatenganishwa na joti
😂😂😂😂😂😂❤❤❤