Wew kila time inashombo kila mtu anavumilia anapotaniw alive mpiga nimweu kwan Ali kama akumsiki mbon alinsikia napiy alicheka tu kwa sabah anajua mpira unapo lsha niradhima utataniwa tu😂😂
Kupigwa kwa huyo mshabiki nisawa kwa sababu alikuwa na upimbavu wewe unamfuata alikamwe na wakati huyo ndio ametoka kupoteza mechi alafu unakuja kunizodoa lazima nofanye jambo kama alilolifanya alikamwe me naona safi sana kwa alicho fanyiwa huyo moo safi sana
Kumpiga mtu sio jambo jema,,ila pia huyo Dr mo anamakosa kwasababu ikubikwe mashabi wa Simba tulifungiwa kuwenda Kwa mkapa Sasa yeye alienda kufanya nini wakati yeye ni shabik wa Simba. Mambo mengine Huwa tunajitakia wenyewe Kwa sababu ya kutaka sifa tu. Na naona hapo hata akienda kushitaki na yeye pia atakuwa na kosa tu kwasababu tamko lilitoka mapema kabisa kama mashabi wa Simba hawaruhisiw kwenda kwamkapa.
Watangazaj achen kumumunya maneno huyo kafanya makosa afunguluwe shitaka Simba na yanga ni watani yeye hajui Hilo mnavo sema eti kujihazari akamatwe huyo mpira sio huo
Ushabiki wa kinafiki huo Yule hazuiliwi kuzungumzia Wala kwenda mpira wowote na Yule wanafahamiana na Ali ndo Mana akamtaja Yule no Mambo yake ya kishamba tu
Vp hapo ndani nisome kam fredy tok mwanza ukerewe buzengwe kuna tim hapa tanzania imefanikiwa kuingia robo semaji lao linaongea san kamdomo katamponza daima mbele nyuma mwiko kila raheli yanga katik mchezo ijayo yote
We kubwa jinga we uliona au unamtetea t alie mpiga dr mo maana hakukuwa na mahusiano kbs kat ya dr mo na yule mbwa anae jiita bounza kiukweli sis km watu wa mpira tunalaani vikali kitendo km hicho
Dili na maisha Yako Mzee mpila ni fula kapigwa kwajili ya shobo zake elei ilikua siku ya wananchi yeye anaongea kama nani mashabiki tupunguze ushoga kitu akikuusu kapembeni angalia maisha Yako
Nani asiyesemwa? Mbona sasa inakuwa vita? Basi wawaachie Yanga waangalie mechi zao pekee yako , huo ni ushamba. Naona na hao wanaoshabikia shabiki kupigwa ni washamba.
Upuuzitu na hajapigwa ivi kwenye kupigwa yule mnasema kapigwa yule kataniwatu km utani mwengine ndiomaana hajarudia kunyanyua mkono tukianza kufuatilia mambo haya utani utakuwa haupo tena ule utanitu waache ujinga wao
Sasa na wewe akili kisoda kutajwa hvyo ndyo apigwe anatajwa mama Samia na kumkashfu mbona hampigwi sembuse dogo Kamwe inauma eheee Simba ikifungwa ndyo muongeee mtakavyo hpo dawa sheria ifuate mkondo wake.
Kwani kuna mtu kalazimishwa kuzipenda hizo team? Matokeo ya kukufurahisha ama kukuumiza wewe yapokee huyo aliyempiga mwenzake huo ni ushamba uliopitiliza mbaya zaidi yeye siye shabiki pekee anayeipenda Yanga.
Kweli tatatizo ukijishobokesha unakula chuma TU alafu ilesiku ni ya yanga vp nyinyi Simba ulitaka kupigwa utapigwa TU kama unapesa unataka upigwe iliulipwe sawa tena uyoo jama alikosewa uwezi kuleta usenge watu wamepoteza mechi muimu wewe unakebei siushoga uo ulituma uongee akati avikuusu
Ni upumbafu sasa kwa wenye familia zenye kushabikia tim tofaut mtu yuko na familia yake baba simba mama yanga mtoto Azam wagawanyike kwa wenzentu inawezekana sababu Familia aiwezi kuwa na timu tofaut kulingana na tamadu zao hao Wapumbafu wachache ni wakushugulikiwa ipasavyo iwe funzo kwa wengine kama uwezi ushabiki kaaakwako angalia kwenye tv
Huyo jamaa anatetea ujinga Ina maana utani wa yanga na simba haupo sasa na hii ni hatari sana imeisha Anza kuleta chuki baina ya mashabiki wa yanga mashabiki wa pande zote mbili
Ni ujinga tu ukifungwa umefungwa tusifiche fiche halafu mambo ya kusema eti timu Simba au Yanga wanatakiwa kukubali kwamba kama timu imefungwa warudi wakajipange upya siyo kuleta uhuni wa kupiga mashabiki siyo poa
Nani alimwambia huyo umbwa dr.mo kwenda uwanjani wakati game sio yao?ako na bahati sana hakuwa mimi otherwise ningemuumiza kabisaa na sasa hivi angekuwa icu
Huyo mwenye nyeusi ndio kaongea point kuliko wote,wengine wanatetea tu ujinga. Mtu kuisema vibaya timu na kupigwa uhusiano uko wapi? Ndio sheria inasema hivyo. Ni ushamba tu wa kutoweza kucontrol mihemko.
Jamani haijarishi unaongea na chombo gani au unaongelea na wapi hakuna room ya kupiga mwenzio awe Simba au Yanga
Ila ni vizuri ukiongelea timu yako na viongozi wako sio kuwadhihaki viongozi wa timu isiyo yako
@@ambokilemussa3518mpira hauna team kote duniani
Huu ndo utani wa jadi mbona kawaida@@ambokilemussa3518
@@ambokilemussa3518 Ushabiki maana yake ni kusemana,,
Dk Mo anadharau sana anajionaga anahaki kwenye kila kitu,huwezi kupigwa bila sababu akome kuidharau Yanga.
Acha kutetea upuuzi Tanzania ni Nchi ya amani na inaongozwa na sheria haijalishi alikuwa wap hurusiwi kumshambulia mwenzako
Bora kufungua kesi
Huyo alie mpiga kofi shabik mwenzangu ashitakiwe wengine hatuna miili ya ngumi ye kama anaweza kupigana aingie ulingon akapambane na mwakinyo
Ingekuwa simba kmya lakin kwa vile ni yanga duuh simba wakorofi sana
Tupunguze ujinga kidgo
Endelea kuropoka
❤❤❤
UKIONA MTU ANACHANGIA hoja kwenye jambo muhimu kama hilo UNATAMBUA ELIMU NA UFAHAMU WAKE KUWA NI DHAIFU MNO
Sahihi kabisa huyo mwenye miwani nyeupe n kama choko
Wew kila time inashombo kila mtu anavumilia anapotaniw alive mpiga nimweu kwan Ali kama akumsiki mbon alinsikia napiy alicheka tu kwa sabah anajua mpira unapo lsha niradhima utataniwa tu😂😂
Kupigwa kwa huyo mshabiki nisawa kwa sababu alikuwa na upimbavu wewe unamfuata alikamwe na wakati huyo ndio ametoka kupoteza mechi alafu unakuja kunizodoa lazima nofanye jambo kama alilolifanya alikamwe me naona safi sana kwa alicho fanyiwa huyo moo safi sana
Huruhusiwi kufanya shambulio lolote la kudhulu mwili
Ibra uko sawa
Ashitakiwe hasa iwe funzo.
Kwanin. Ashitakiwe wa yanga na sio ya simba
Afungwe na afungiwe kwenda uwanjani Ila Hawa wachambuzi bado wana uyanga kisha washamba
Huyu kamanda vp? Mbona shabiki wa Yanga alipigwa akachanwa jezi hajaongelea?
Hapo kashauri ukifanyiwa hivyo shtaki na onesha ushirikiano
Mzee mpiri kamshambulia muandishi wa habari kamkata mtama Tena ni mmama
Kumpiga mtu sio jambo jema,,ila pia huyo Dr mo anamakosa kwasababu ikubikwe mashabi wa Simba tulifungiwa kuwenda Kwa mkapa Sasa yeye alienda kufanya nini wakati yeye ni shabik wa Simba. Mambo mengine Huwa tunajitakia wenyewe Kwa sababu ya kutaka sifa tu. Na naona hapo hata akienda kushitaki na yeye pia atakuwa na kosa tu kwasababu tamko lilitoka mapema kabisa kama mashabi wa Simba hawaruhisiw kwenda kwamkapa.
Huyu Bwana Miwani ni Utopolo
Nyie mpila sio vita wote tunajua kua simba na yang niwatani wajadi kama yanga utani ume washinda waseme hata mechi zao tusihuzulia
Boraaa ivyop
Asha ujambo
Jina lako limenitisha
Akamatwe muhusika apigwe faini ya 3'000'000 iliwakome
Hao makolo washawapiga sana mashabiki wa yanga, huyo katiwa kofi moja pwaaa akalale
Tanzania hii atuna sheria za namna hiyo mtu achuwe sheria mkononi
Aende
Ata me sjapenda niliona mwenyewe kuchukuliwa kawaida wakati kazalilishwa
Looo huku kenya utapibwa na mawe kuna timu moja mashabiki wao wako vizuri Kwa kurusha mawe
Watangazaj achen kumumunya maneno huyo kafanya makosa afunguluwe shitaka Simba na yanga ni watani yeye hajui Hilo mnavo sema eti kujihazari akamatwe huyo mpira sio huo
Ushabiki wa kinafiki huo Yule hazuiliwi kuzungumzia Wala kwenda mpira wowote na Yule wanafahamiana na Ali ndo Mana akamtaja Yule no Mambo yake ya kishamba tu
Hawa ni wachambuzi au hakuna kitu hapa
Ali kamwe ni kioo cha jamii kuhusishwa kawaida jielewe muandishi
Vp hapo ndani nisome kam fredy tok mwanza ukerewe buzengwe kuna tim hapa tanzania imefanikiwa kuingia robo semaji lao linaongea san kamdomo katamponza daima mbele nyuma mwiko kila raheli yanga katik mchezo ijayo yote
Uyo mlevi vipi apo anaongea upuuzi angezima je angeongea ivo
Akome nar amezidi limekaa kama jidada Kwa kuisemea yanga vibaya akome atakua na kahesha.kidogo
Nyinyi watoto wadogo zaman ukizngua unapigwa na ndio maana zaman kulikuwa na mipaka kat ya simba na ynga
Kaguswa tu huyo nae anazinguwa unafiki wake umemponza.nahuyo aliyemgusa akamuombe msamaha maisha yaendelee.
Nyie waandishi ndo chanzo kunasababu gn muanze kuhoji mashabi wafwateni wahusika ili mpate data kutoka kwao, naona mwaongea mandazi ya sukari tu
Atapigwa sana kwa ujinga wake mdomo uliponza kichwa
Kuna maana gani ya utani kama mtani haruhusiwi kutania?
Huyo mnae muhoji hajitambui ni ndumila kuwili hana maamuzi xahihi
Simba hawaruhusiwi kuindiza mashabiki uwanyani je mo alienda kufanya nn alitaka mwenyewe kupigwa
We kubwa jinga we uliona au unamtetea t alie mpiga dr mo maana hakukuwa na mahusiano kbs kat ya dr mo na yule mbwa anae jiita bounza kiukweli sis km watu wa mpira tunalaani vikali kitendo km hicho
Wewe unaongea pumba hakuna Sheria inaruhusu huo ujinga kwani Ali kamwe alitukanwa?
Msituletee matukio ya yaliyopta tunataka kudili na lile baunsa kwanza wa utopolo wengine wajifunza, ata muliro hajapenda kwakweli
Dili na maisha Yako Mzee mpila ni fula kapigwa kwajili ya shobo zake elei ilikua siku ya wananchi yeye anaongea kama nani mashabiki tupunguze ushoga kitu akikuusu kapembeni angalia maisha Yako
Hauna akili @@MichaelMalilo
Kwanza uyo aliyempiga Kofi shabikinwa Simba hata ukomando wowote Hana msenge tu uyo
Huyo kapewa rushwa aje kuongea ujinga angepigwa yeye ndo aongee hivo hajitambui
Huo mchambuzi anaesema shabk wa simba kwenda kwamashabiki wayanga kushanglia nkujihatarisha nahs atakua anahemewa mgongoni
Iangalieni vizuri hiyo clip kisha muongelee hilo, hiyo jamaa sliempiga wlitokea nyuma na kumzaba kibao Dr Mo na sio alirudi na kumpiga.
Hakuna kupigana kupigana mnaropoka Tu studio
Si yaishe tena amsameh ushabiki ndonulivyo... wote ni wamoja
Wanatakiwa kufundiahwa nasio kwayanga sio mara yakwanza hii
Acha kua mpumbavu, hii nchi ni huru, kila mtu anahaki ya kuongea popote pale. Acha kutetea ujinga
Nani asiyesemwa? Mbona sasa inakuwa vita? Basi wawaachie Yanga waangalie mechi zao pekee yako , huo ni ushamba. Naona na hao wanaoshabikia shabiki kupigwa ni washamba.
Ni mara nyingi anaitukana Yanga, amevuna alichopanda
Huo ni mpira acha ujinga
Wewe sijui nsajigwa kinabo, hujui maana ya utani
Kamdomoo tena angepigwa sana tu. We timu yako haichez unenda kufany nn
Upuuzitu na hajapigwa ivi kwenye kupigwa yule mnasema kapigwa yule kataniwatu km utani mwengine ndiomaana hajarudia kunyanyua mkono tukianza kufuatilia mambo haya utani utakuwa haupo tena ule utanitu waache ujinga wao
HUYO DOKTA MO NI PUMBAVU INAWEZEKANA HAKUCHAPWA VIZURI. ALIYEMCHAPA ANITUMIE NAMBA YAKE NIMTUMIE KA 50
Sasa na wewe akili kisoda kutajwa hvyo ndyo apigwe anatajwa mama Samia na kumkashfu mbona hampigwi sembuse dogo Kamwe inauma eheee Simba ikifungwa ndyo muongeee mtakavyo hpo dawa sheria ifuate mkondo wake.
Wachikuliwe hatua watazoea hao
Meja fala sana huyu
Tangullini hayo Mambo mnayo ongea mbn wachambuzi wa bongo mbn mnakuwa wahivyo jaman hapo mna hamashisha kitu gan
Kwani kuna mtu kalazimishwa kuzipenda hizo team? Matokeo ya kukufurahisha ama kukuumiza wewe yapokee huyo aliyempiga mwenzake huo ni ushamba uliopitiliza mbaya zaidi yeye siye shabiki pekee anayeipenda Yanga.
Kwani ali kamwe na ahmed ally maneno yao hayashawishi kupigwa?
Kweli tatatizo ukijishobokesha unakula chuma TU alafu ilesiku ni ya yanga vp nyinyi Simba ulitaka kupigwa utapigwa TU kama unapesa unataka upigwe iliulipwe sawa tena uyoo jama alikosewa uwezi kuleta usenge watu wamepoteza mechi muimu wewe unakebei siushoga uo ulituma uongee akati avikuusu
Iv ingekua ukolofi au hasira mchome tungekua tumeshamuuwa wanasimba ongeani usenge ila mkumbuke wanayanga mnaroho mbaya mchome ipo siku atakufaa
Uache kuisema timu vibaya nayeye kafata Nini mechisiyo Yao alafu muache unafki
😅
Hili swala la mashabiki kupigana lazima litolewe azabu kali sana la sivyo hali itakuwa mbaya baadae
Huyo mpuuzi wa miwan hajielew..ule ni utan sio kumpiga mwenzio..kinachotakiwa kuwajibishwa kwa muhusika ili wakome wengne..mnatetea ujinga?
Mbona hijabu tena
Jamaa kama vp alipe fidia
Wewe shika adabu hijabu siyo vazi za kujifichia tena ukome kabisa
Ni upumbafu sasa kwa wenye familia zenye kushabikia tim tofaut mtu yuko na familia yake baba simba mama yanga mtoto Azam wagawanyike kwa wenzentu inawezekana sababu Familia aiwezi kuwa na timu tofaut kulingana na tamadu zao hao Wapumbafu wachache ni wakushugulikiwa ipasavyo iwe funzo kwa wengine kama uwezi ushabiki kaaakwako angalia kwenye tv
Mbona wameenda mwembe makundi wakakosa Cha kusema
Mchome siyo shabiki wa Simba. Acheni kujizima Data.
shambulio ilo
Yalikuja kuleta vurugu ili tufungiwe kama wao akakutana nacho na ajachapwa vzr mbwa yeye
Suala la mchome halina afya kuvaa jezi ya Timu kana kwamba ww ni shabiki wake huku unaikashifu ht ikifanya vizuri huo ni upuuzi
😂😂😂😂 mm Simba lkn nashauri dk mo.achane nalo hili .watu wt sio sawa. Mbona wapenz wayanga na Simba .niwamoja tu.
Uyo mjinga alitoka njee ya mada mwenyewe ivi inahusu nini kutoka njee ya mada aache ujinga akidhingua tena mwingine tunamlamba mabao
Simba na Yanga ni watani wa jadi acheni ujinga hampasi kutetea ujinga huo
Utani wa jadi wa kupiga watu au sio
Huyo jamaa anatetea ujinga Ina maana utani wa yanga na simba haupo sasa na hii ni hatari sana imeisha Anza kuleta chuki baina ya mashabiki wa yanga mashabiki wa pande zote mbili
Da huyu jamaa kwel kidinya...yanga ndo zao kupiga watu...
Ni ujinga tu ukifungwa umefungwa tusifiche fiche halafu mambo ya kusema eti timu Simba au Yanga wanatakiwa kukubali kwamba kama timu imefungwa warudi wakajipange upya siyo kuleta uhuni wa kupiga mashabiki siyo poa
Unajua usilazimishe kitu ambacho sio Sheria kwamba unazungumzia maswala ya mpira. Hakuna kupigana Hakuna Sheria ya kumpiga mwenzako
Yanga wenye akili ni wawili tu
Aisee uyo mulilo mbona kama sasa anataka kuvuka mipaka sasa ebu atulie asiwe chawa wa serikali
Uyuchizi hanampango.
Kamshitaki 3usimiqchie pls
huyo mtu peleka mahakamani,
kushambulia mtu nikosa.
Hata kumshambulia mtu kwa maneno ni kosa kisheria.
Mbona shabiki wa yanga alipigwa mbona mulilo hakusema chochote Kwa nn Leo Kwa huyu
Hapana mimi nilikuepo hapo wakati anafanya interview Dr mo alipopigwa ndo akasema ona ananipiga na Ally kamwe yupo hapa😊
Bas ulikuwa kivuli mm pia nlikuwepo mo alimtaja kamwe kabra hajapigwa kile kibao
Acha kutetea ushabiki ni utani sio vita na yule hakutukana kwani nyie ndo mara ya kwanza kufungwa lile ni kosa
Wewe pumbavu tu unatetea ualifu bwegebege tu
Mtu kafungiwa kafuata nini Kwa mkapa
Huyu jamaa mawazo yake ni mjinga sana kiukweli
Munaotetea wote hamna hakili
Mnatetea upuuzi
Nani alimwambia huyo umbwa dr.mo kwenda uwanjani wakati game sio yao?ako na bahati sana hakuwa mimi otherwise ningemuumiza kabisaa na sasa hivi angekuwa icu
Huyo mwenye nyeusi ndio kaongea point kuliko wote,wengine wanatetea tu ujinga. Mtu kuisema vibaya timu na kupigwa uhusiano uko wapi? Ndio sheria inasema hivyo. Ni ushamba tu wa kutoweza kucontrol mihemko.
Wewe pumbavu
Hakuna cha nguvu mbili ww mjinga sana nn maana ya utani
Nyinyi mmeshahukumu
Na yule mwingine alitekwa