Azam TV - Historia ya kusisimua jaji mkuu mpya wa Tanzania

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Waziri wa Sheria na Katiba Prof. Palamagamba Kabudi, ameelezea historia ya jaji mkuu mpya wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma, ikiwa ni pamoja na kumfundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Комментарии • 25

  • @mariammussa9292
    @mariammussa9292 4 года назад +3

    Mashaa Allah Allah akuongoze jaji mkuu ibrahim juma

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 3 года назад +2

    Prof Juma namkubali sana natamani hiki kichwa kitukwamue hapa tupo. Asante

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani5861 7 лет назад +3

    Allah amfanyie wepesi katika kazi yake

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 5 лет назад +2

    Ibrahim anaonekantu kiukweli nimpole sana sana

  • @abdulrazakyussef3177
    @abdulrazakyussef3177 5 лет назад +6

    kweli Jaji Mkuu Khamis Juma anaonekana mpole sana, lakini ndani ni chuma tupu, dhabiti sana.

  • @ommarymzee1161
    @ommarymzee1161 7 лет назад +3

    ibrahimu piga kaz baba wahukumuu wez maaana nomaa kwel

  • @japhetkazeri7135
    @japhetkazeri7135 4 года назад +3

    Sisi Mara hivi ni vitu vya kawaida tu,toka zamani

  • @dhoulkefyljr8637
    @dhoulkefyljr8637 7 лет назад +2

    Mungu amlinde na amuwezeshe kuwa na uadilifu

  • @dedakisika6669
    @dedakisika6669 2 года назад

    Nakuelewa Sana kabudi

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 4 года назад +1

    wahh

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 7 лет назад +1

    awe kama wa kenya

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 2 года назад

    Naona misifa kibao Duhhh

  • @kisulaabas2614
    @kisulaabas2614 5 лет назад +1

    Namwona Makonda hapo Msomiiii

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 2 года назад

    asema uongo kwa kujipendekeza na kumsifu mtu kwa uongo

  • @saidiseif6172
    @saidiseif6172 7 лет назад +2

    hakuna chochote mnatetea ajira zenu tuu.

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 2 года назад

    masifa matupu lkn hana la maana

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 7 лет назад +4

    kilamtu akieleza SV zake itakuaje,kuna wafanyakazi wanafanya kazi 24hrs,unakuta kituo cha afya,shule wapo wafanyakazi wa2 au wa3,hawa unawafikiriajee?

    • @ibrahimislam1493
      @ibrahimislam1493 4 года назад

      IBRAHIM SHILINDE usiwe na wivu mtu akipewa uwezo wake.je kama ingikua wewe unge pinga.ficheni udhaifu wenu

  • @bakariyusufu839
    @bakariyusufu839 7 лет назад +2

    Naona bashite nae anapiga makofi

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 6 лет назад

      bakari yusufu hhahahaha tungemuwahi pale alivyotoka tukamuuliza alikuwa anapigia nini

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 7 лет назад +4

    Uwongo mtupu sifa zikizidi

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris5423 6 лет назад

    ani niache nyapu ya mke wangu kisaaaa..io ofisi yanipa nn kitamu zaidi ya cha mke wangu, tena cha asbh kina ladha ya pekee sana!
    Na ni matatizo hayo ya usafiri na labd pengine uko nyumbani afukuzwa.
    Ila yote kwa yote kazi njema nafikiri anaifany vyema.
    #GGTZ🇹🇿