UNAUZA UPAKO WAKATI SIYO WAKWAKO KUMUONA MCHUNGAJI UNATOA LAKI 2 "PASTOR MGOGO
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
RUclips : Pastor Daniel Mgogo www.youtube.co....
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Kaz njema
Ubarikiwe na mungu mafundisho Yako ina kuwaka nanitiya gufu sana na kunitosha upofu machini mungu akulinde 🙏🙏🙏🙏🙏♥️♥️
Amen mtumishi mungu akubariki hakika Kila mtu azae kiasi anachoweza kulea.
Nimecheka mwanzo mwisho Mungu akubariki pastor
Niliokoka Kwa usemi wako Mungu amekuchalia
Pasta mungu akubariki mahubiri yako inawezaka ni Jenga sana
Baba yangu mubarikiwe
Mungu akubariki mjungaji
Amiiina. Asante mtumishi wa Baba Mungu. Barikiwa
Amen 🙏 , mtumishi 🤣🤣🤣🤣 pia Mimi ,Kuna mtumishi aliniambia nitoe pesa ili azuhie kifo kwa family yetu ,,,Nilimkemea Nika mwambia Mimi nime hokika namjua YESU , nina Imani hatuta kufa mbali tutahishi kwa Imani 🙏🙏🙏🙏
Mutu wa Mungu mugogo ubarikiwe, siyo wote wamejaliwa icho kipaji, chakwako ni chaupeke Mungu akutulindiye baba 🙏🙏🙏
Barikiwa sana pastor unasema mambo yaliyo ya ukweli kabisa😂😂😂 ndoa zikiyafwata maagizo yako uakika zitadumu milele kwa imani AMINA
Hebu jitahidi Sana kuhubiri mafunuo yako rather than kupinga mafunuo ya wengine. unachelewa.
Barikiwa sana mchungaji tunabarikwa sana
amina mtumishi
Ubarikiwe sana baba lazima mungu atufungue macho ya kiroho, yaani maji ,vitambaa vimekuwa biashara aisee mungu tuzaidie.yaani kuwajua matapeli ni mungu atufungue
Asante pastor kw mahubiri yako❤❤❤😂
powerful mwalimu uwa unanijenga sana kwangu nakuonaga mwalimu sio pastor
Napenda sana injili unayoitoa,may God keep you safe to continue giving many the wonderful amazing good gospel 🙏 🙌
Kwakweli mchungaji mgogo mahubiri yako nimatamu Sana Kuna wakati mimi naliaka kabisa 😭Mungu akulinde
Amen 😇😇😇🙏🙏🙏🙏
Mchungaji ubarikiwe sana... Zidi kutupa neno.
Haki ya nani, lIVE lONG Pr. Mgogo, unanifundisha mambo makuuu
Amen
AMEN AMEN GOD BLESS YOU MAN OF GOD!MUNGU AZIDI KUKUINUA NA JUU,TUENDELEE KUPATA MAFUNDISHO YAKO!
Ameen mtumishi
Asante sana Pastor,,,Niliitaji sana sermon hii... Mwenyezi Mungu akulinde ili uendelee kunena na watu wake
Asante sana kwa haya mafundisho Mazuri sana Pastor Mugogo.
Asante YESU KRISTO!!!🙏🙌💪❤
Nime jifunza mengi leo kupitia Mchungaji wako.
Asante sana mtumishi wa Mungu nimebalikiwa sana from 🇧🇮 natumikia 🇸🇦
Mhumbiri mungu akutumze ufungue wengi AMEEN
Mungu akuongezee mutumishi wa mungu
Baba unajua kunifurahisha
Mch. nimebarikiwa sana sema kweli mtu wa Mungu. Damu ya Yesu ikulinde
Ameni. Baba ujumbe wako umenisaidia kunifungua macho upande fulani
Kweli 😂kabisa Marekani wana kula 😢tena ku kula
Nimekuzwa na neno,Mungu baabo una watumishi wa kweli
❤❤❤❤
Ameen baba nakukubali kwa mafundisho yako.
👏👏👏
Mungu akubariki sana mtumishi wa MUNGU.
Watu Wana okolewa na matusi ama kutukana imani ya mwingine wa hubiri injili so kuakandiana huduma mwingine
Napenda sana maubiri yako .mungu akupe maisha malefu
Your simply the best,iko siku nitahudhuria kwenye nyumba ya MUNGU nikuone live.Ubarikiwe sana.
Barikiwa sana baba umeniponya
Asante sana kwakutujulisha kujuwa nani muzigo kwenye familia shukurani🙏🙏🙏👌👌
Barikiwa mtumishi wa Mungu nimejifunza kitu
Neno la Mungu ni kweli Mungu akubariki sana
Amen mtumishi MUNGU akubariki sana kwa neno
Incredible pastor.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Barikiwa sana mchungaji tunabarikwa pia 🙏
Amen amen
Asante barikiwa napenda mafuzo yakooo
Mungu akutunze!
What a word.....am really blessed
Leta number ya mpesa ya mtumish
Shukran sana
Amen 🙏
Barikiwa sana mchungaji na kuelewa.
Asante muchugaji Kwa mafundisho yako inaniokoa pakubwa mungu akubaliki
Ameeen. Ameeen. Powerful family life Sermon.
Nimekuelewa mchungaji mgogo
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, tunakufatiliya sana huku Bujumbura, Burundi. Aksante sana! Mungu aendeleye kukulinda.
Ubarikiwe zaidi
Mwee MUNGU akutunze mtumishi
Umenibariki sana jioni hii, nilikuwa na mawazo ila mafundicho yako yamenipa amani.
Amen
Amina
God bless you man of God.....we need your teaching in this generation.
Amen amen man of God 🙏🙏
Amen baba awata kuhelewa lakini ume hongea kweli🙏🙏
Wenye kuelewa wataelewa lkn wenye kupotea wazidi kupotea tu.Yesu ni yeye yule jana na hata milele
I love this man of God. I am watching all his videos and am enjoying them and laughing 😃 all the way
Barikiwa sana mchungaji umeongea unwell kabisa aamen
Kwa kweli nabarikiwa sana na mafundisho Yako mchungaji. Mungu akulinde
Pastor umenifudisha kitu kuusu msamahaa mimi roho yangu ni ngumu kuambia mtu nisamehe niombee
Ameeen. Ameeen.
Amina Amina,in Jesus name I do receive peace in my family
Amen kubwa 😊🥳🥳🥳
You are a blessing
Mungubab aharis
Amen God bless you man of God
Ameen🙏nimejifunza kitu
Barikiwa sana pastor
Amen, kweli
Tupate neema nasi
Mbona ulianza vizuri na unataka kumaliza vibaya mtumishi acheni kuakandiana kila mmoja na na Atlanta akuzidishe pesa wengine Wana Wana Neema kubwa hata kutukana ndo anaendelea kusitawi zaidi watumishi mimi wote nawapenda kulingana kila mmoja na ufunuo wake
Atlanta ipo Italia...sijui unaongea nn mjinga
Ameni🙏🙏
Haaahaaaa pasta
Aki ningekuwa na hio appetite ningekula aki ndio niwe mlaji bora😂😂😂😂 ni vile tu mimi hushiba haraka
groly to god🙏🙏
“Glory to God”
Nice
Watu wanakimbilia mafuta kuliko Yeshua Messiah
😅
Huyu jamaa alozaliwa kwer au alishushwa kipajigan kmezid
Mbona unauza Bible??
Watumishi kama hawa hawatumii upako wa Mungu wanatumia juju za uchawi na ndumba
Hhhhaahaa mimi ni fundi wa magari huwa hawaji kabisa kutusalimia mpaka magari yao yaharibike ,we waache tuu mtumishi ,mimi huwa nawapigia kuwajulia hali zao na magari yao rakini wao hawafanyi hivo, one day tutakuna tuu
Naitaji number yake ya simu Please
Mchungaji hukifika hila nataka namba yako
Umeninjenga kiroho
To be continued
Kama sio mtangulizi wetu Suleimani kuomba Hekima kutoka kwa Mungu, kweli tumepotea njia kwa ukosefu wa Hekima.
Manabii, makasisi na pia wanaojiita wachungaji, wamejua kulinganisha Biblia kwa ndimi zao ili wapate pesa kwa AJILI ya nafsi zao.
Utapeli mpaka Kanisani,, Mungu utuhurumie