UNAUZA UPAKO WAKATI SIYO WAKWAKO KUMUONA MCHUNGAJI UNATOA LAKI 2 "PASTOR MGOGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
    Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
    RUclips : Pastor Daniel Mgogo www.youtube.co....
    #PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo

Комментарии • 124

  • @jescajohn-ot1yp
    @jescajohn-ot1yp Год назад +1

    Kaz njema

  • @EmeranceBisimwa
    @EmeranceBisimwa 26 дней назад

    Ubarikiwe na mungu mafundisho Yako ina kuwaka nanitiya gufu sana na kunitosha upofu machini mungu akulinde 🙏🙏🙏🙏🙏♥️♥️

  • @JoyceGodlisten
    @JoyceGodlisten 11 месяцев назад

    Amen mtumishi mungu akubariki hakika Kila mtu azae kiasi anachoweza kulea.

  • @glorialaizer9450
    @glorialaizer9450 Год назад

    Nimecheka mwanzo mwisho Mungu akubariki pastor

  • @JuliusSiriba
    @JuliusSiriba 5 месяцев назад

    Niliokoka Kwa usemi wako Mungu amekuchalia

  • @mungangajohnny199
    @mungangajohnny199 Год назад

    Pasta mungu akubariki mahubiri yako inawezaka ni Jenga sana

  • @AppolineAtandjo
    @AppolineAtandjo 9 месяцев назад

    Baba yangu mubarikiwe

  • @lydiakwamboka6985
    @lydiakwamboka6985 5 месяцев назад

    Mungu akubariki mjungaji

  • @LaCharmanteL
    @LaCharmanteL Год назад

    Amiiina. Asante mtumishi wa Baba Mungu. Barikiwa

  • @evamusuruve3196
    @evamusuruve3196 Год назад +9

    Amen 🙏 , mtumishi 🤣🤣🤣🤣 pia Mimi ,Kuna mtumishi aliniambia nitoe pesa ili azuhie kifo kwa family yetu ,,,Nilimkemea Nika mwambia Mimi nime hokika namjua YESU , nina Imani hatuta kufa mbali tutahishi kwa Imani 🙏🙏🙏🙏

  • @christinefaila6591
    @christinefaila6591 Год назад +15

    Mutu wa Mungu mugogo ubarikiwe, siyo wote wamejaliwa icho kipaji, chakwako ni chaupeke Mungu akutulindiye baba 🙏🙏🙏

  • @SokinaChapia
    @SokinaChapia Год назад

    Barikiwa sana pastor unasema mambo yaliyo ya ukweli kabisa😂😂😂 ndoa zikiyafwata maagizo yako uakika zitadumu milele kwa imani AMINA

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Год назад

    Hebu jitahidi Sana kuhubiri mafunuo yako rather than kupinga mafunuo ya wengine. unachelewa.

  • @miyongatz7283
    @miyongatz7283 Год назад +1

    Barikiwa sana mchungaji tunabarikwa sana

  • @jacklineeliphas
    @jacklineeliphas Год назад

    amina mtumishi

  • @rosewoiemitau8376
    @rosewoiemitau8376 Год назад +6

    Ubarikiwe sana baba lazima mungu atufungue macho ya kiroho, yaani maji ,vitambaa vimekuwa biashara aisee mungu tuzaidie.yaani kuwajua matapeli ni mungu atufungue

  • @BelindahBelindah
    @BelindahBelindah 2 месяца назад

    Asante pastor kw mahubiri yako❤❤❤😂

  • @msambyaathumani125
    @msambyaathumani125 2 года назад +6

    powerful mwalimu uwa unanijenga sana kwangu nakuonaga mwalimu sio pastor

  • @VeronicaMakori-jq2bg
    @VeronicaMakori-jq2bg Год назад

    Napenda sana injili unayoitoa,may God keep you safe to continue giving many the wonderful amazing good gospel 🙏 🙌

  • @rehemamubano5745
    @rehemamubano5745 2 года назад +7

    Kwakweli mchungaji mgogo mahubiri yako nimatamu Sana Kuna wakati mimi naliaka kabisa 😭Mungu akulinde

  • @tabithaolubaha4349
    @tabithaolubaha4349 Год назад

    Amen 😇😇😇🙏🙏🙏🙏

  • @festoonderi6201
    @festoonderi6201 Год назад +5

    Mchungaji ubarikiwe sana... Zidi kutupa neno.

  • @petrokija9497
    @petrokija9497 Год назад

    Haki ya nani, lIVE lONG Pr. Mgogo, unanifundisha mambo makuuu

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Год назад

    Amen

  • @janeflorencesajjabi1545
    @janeflorencesajjabi1545 Год назад

    AMEN AMEN GOD BLESS YOU MAN OF GOD!MUNGU AZIDI KUKUINUA NA JUU,TUENDELEE KUPATA MAFUNDISHO YAKO!

  • @williamelias17
    @williamelias17 Год назад +1

    Ameen mtumishi

  • @majerofirestarter6703
    @majerofirestarter6703 Год назад +2

    Asante sana Pastor,,,Niliitaji sana sermon hii... Mwenyezi Mungu akulinde ili uendelee kunena na watu wake

  • @alexnangando279
    @alexnangando279 Год назад

    Asante sana kwa haya mafundisho Mazuri sana Pastor Mugogo.

  • @dieudonnejohnson5200
    @dieudonnejohnson5200 Год назад +4

    Asante YESU KRISTO!!!🙏🙌💪❤
    Nime jifunza mengi leo kupitia Mchungaji wako.

  • @christella5092
    @christella5092 Год назад +1

    Asante sana mtumishi wa Mungu nimebalikiwa sana from 🇧🇮 natumikia 🇸🇦

  • @davidmwaniki5125
    @davidmwaniki5125 2 года назад +9

    Mhumbiri mungu akutumze ufungue wengi AMEEN

  • @brianchore5733
    @brianchore5733 Год назад

    Mungu akuongezee mutumishi wa mungu

  • @wittymloki4490
    @wittymloki4490 Год назад +3

    Baba unajua kunifurahisha

  • @daughterofgod9185
    @daughterofgod9185 Год назад +5

    Mch. nimebarikiwa sana sema kweli mtu wa Mungu. Damu ya Yesu ikulinde

  • @joycesanga6951
    @joycesanga6951 Год назад +1

    Ameni. Baba ujumbe wako umenisaidia kunifungua macho upande fulani

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 Год назад +3

    Kweli 😂kabisa Marekani wana kula 😢tena ku kula

  • @remynkeshimana8827
    @remynkeshimana8827 Год назад +4

    Nimekuzwa na neno,Mungu baabo una watumishi wa kweli

  • @PHILISTERBWEYA
    @PHILISTERBWEYA Год назад

    ❤❤❤❤

  • @veronyanganda179
    @veronyanganda179 2 года назад +6

    Ameen baba nakukubali kwa mafundisho yako.

  • @Mwasity
    @Mwasity Год назад

    👏👏👏

  • @ombenimaiko7882
    @ombenimaiko7882 Год назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi wa MUNGU.

  • @zenahjacob7773
    @zenahjacob7773 Год назад

    Watu Wana okolewa na matusi ama kutukana imani ya mwingine wa hubiri injili so kuakandiana huduma mwingine

  • @jacksonnibigira670
    @jacksonnibigira670 Год назад

    Napenda sana maubiri yako .mungu akupe maisha malefu

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid6996 Год назад +4

    Your simply the best,iko siku nitahudhuria kwenye nyumba ya MUNGU nikuone live.Ubarikiwe sana.

  • @israelmsika4337
    @israelmsika4337 Год назад +3

    Barikiwa sana baba umeniponya

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Год назад

    Asante sana kwakutujulisha kujuwa nani muzigo kwenye familia shukurani🙏🙏🙏👌👌

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 года назад +3

    Barikiwa mtumishi wa Mungu nimejifunza kitu

  • @fredykisamu9156
    @fredykisamu9156 2 года назад +3

    Neno la Mungu ni kweli Mungu akubariki sana

  • @husseinjohn532
    @husseinjohn532 2 года назад +3

    Amen mtumishi MUNGU akubariki sana kwa neno

  • @revocatuspaschal4391
    @revocatuspaschal4391 Год назад +4

    Incredible pastor.

  • @utunyelefataki952
    @utunyelefataki952 Год назад +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

  • @nkurunzizalydia1720
    @nkurunzizalydia1720 2 года назад +3

    Barikiwa sana mchungaji tunabarikwa pia 🙏

  • @haririshauri
    @haririshauri Год назад +1

    Amen amen

  • @kalonzonicholas4421
    @kalonzonicholas4421 2 года назад +2

    Asante barikiwa napenda mafuzo yakooo

  • @danielmtafya1324
    @danielmtafya1324 Год назад

    Mungu akutunze!

  • @onderialice2911
    @onderialice2911 Год назад

    What a word.....am really blessed
    Leta number ya mpesa ya mtumish

  • @iteritekavianney6570
    @iteritekavianney6570 Год назад +1

    Shukran sana

  • @anamusato2702
    @anamusato2702 Год назад

    Amen 🙏

  • @suzandavd5213
    @suzandavd5213 Год назад +1

    Barikiwa sana mchungaji na kuelewa.

  • @nichomunyoki4232
    @nichomunyoki4232 2 года назад +1

    Asante muchugaji Kwa mafundisho yako inaniokoa pakubwa mungu akubaliki

  • @jakee2041
    @jakee2041 Год назад +3

    Ameeen. Ameeen. Powerful family life Sermon.

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 Год назад

    Nimekuelewa mchungaji mgogo

  • @bulozemuravia2452
    @bulozemuravia2452 2 года назад +2

    Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.

    • @guillaumekumene5885
      @guillaumekumene5885 2 года назад

      Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, tunakufatiliya sana huku Bujumbura, Burundi. Aksante sana! Mungu aendeleye kukulinda.

  • @Munyakamangi522
    @Munyakamangi522 Год назад

    Ubarikiwe zaidi

  • @flaramatabala1712
    @flaramatabala1712 Год назад

    Mwee MUNGU akutunze mtumishi

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid6996 Год назад +1

    Umenibariki sana jioni hii, nilikuwa na mawazo ila mafundicho yako yamenipa amani.

  • @JoyfulGod
    @JoyfulGod Год назад +5

    God bless you man of God.....we need your teaching in this generation.

  • @Christerbell-s4v
    @Christerbell-s4v Год назад

    Amen amen man of God 🙏🙏

  • @kabwefrancine99
    @kabwefrancine99 2 года назад +2

    Amen baba awata kuhelewa lakini ume hongea kweli🙏🙏

    • @paulherman6818
      @paulherman6818 Год назад

      Wenye kuelewa wataelewa lkn wenye kupotea wazidi kupotea tu.Yesu ni yeye yule jana na hata milele

  • @maxiesecurityservicesltd11
    @maxiesecurityservicesltd11 Год назад

    I love this man of God. I am watching all his videos and am enjoying them and laughing 😃 all the way

  • @verenaisskimambo5783
    @verenaisskimambo5783 Год назад

    Barikiwa sana mchungaji umeongea unwell kabisa aamen

  • @venerandachimoi6646
    @venerandachimoi6646 Год назад

    Kwa kweli nabarikiwa sana na mafundisho Yako mchungaji. Mungu akulinde

  • @JoyceVulimu-jm6zz
    @JoyceVulimu-jm6zz 2 месяца назад

    Pastor umenifudisha kitu kuusu msamahaa mimi roho yangu ni ngumu kuambia mtu nisamehe niombee

  • @jakee2041
    @jakee2041 Год назад

    Ameeen. Ameeen.

  • @patrickmwitikithinji8861
    @patrickmwitikithinji8861 Год назад

    Amina Amina,in Jesus name I do receive peace in my family

  • @dazawadi1896
    @dazawadi1896 2 года назад +1

    Amen kubwa 😊🥳🥳🥳

  • @Hbk206
    @Hbk206 Год назад

    You are a blessing

  • @ridisimwawa9567
    @ridisimwawa9567 Год назад

    Mungubab aharis

  • @christineamuku1254
    @christineamuku1254 Год назад

    Amen God bless you man of God

  • @happytsalakushe141
    @happytsalakushe141 Год назад

    Ameen🙏nimejifunza kitu

  • @miria659
    @miria659 2 года назад +2

    Barikiwa sana pastor

  • @beatricefuraha6471
    @beatricefuraha6471 Год назад +1

    Amen, kweli

  • @hadijashirao5930
    @hadijashirao5930 Год назад

    Tupate neema nasi

  • @zenahjacob7773
    @zenahjacob7773 Год назад

    Mbona ulianza vizuri na unataka kumaliza vibaya mtumishi acheni kuakandiana kila mmoja na na Atlanta akuzidishe pesa wengine Wana Wana Neema kubwa hata kutukana ndo anaendelea kusitawi zaidi watumishi mimi wote nawapenda kulingana kila mmoja na ufunuo wake

    • @tembarooney7899
      @tembarooney7899 Год назад

      Atlanta ipo Italia...sijui unaongea nn mjinga

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 Год назад

    Ameni🙏🙏

  • @jescajohn-ot1yp
    @jescajohn-ot1yp Год назад

    Haaahaaaa pasta

  • @jacklineachieng1131
    @jacklineachieng1131 Год назад

    Aki ningekuwa na hio appetite ningekula aki ndio niwe mlaji bora😂😂😂😂 ni vile tu mimi hushiba haraka

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Год назад +1

    groly to god🙏🙏

  • @magretnkune2913
    @magretnkune2913 Год назад

    Nice

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 Год назад

    Watu wanakimbilia mafuta kuliko Yeshua Messiah

  • @iampirezofficial5272
    @iampirezofficial5272 Год назад

    😅

  • @kalebyhennry6598
    @kalebyhennry6598 Год назад +1

    Huyu jamaa alozaliwa kwer au alishushwa kipajigan kmezid

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Год назад

    Mbona unauza Bible??

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Год назад

    Watumishi kama hawa hawatumii upako wa Mungu wanatumia juju za uchawi na ndumba

  • @adamzachariakinyekile6948
    @adamzachariakinyekile6948 Год назад +2

    Hhhhaahaa mimi ni fundi wa magari huwa hawaji kabisa kutusalimia mpaka magari yao yaharibike ,we waache tuu mtumishi ,mimi huwa nawapigia kuwajulia hali zao na magari yao rakini wao hawafanyi hivo, one day tutakuna tuu

  • @bulozemuravia2452
    @bulozemuravia2452 2 года назад +2

    Naitaji number yake ya simu Please

  • @lulendabikyeombe3990
    @lulendabikyeombe3990 Год назад

    Mchungaji hukifika hila nataka namba yako

  • @amosnyongesa9160
    @amosnyongesa9160 Год назад

    Umeninjenga kiroho

  • @esperancesudi2842
    @esperancesudi2842 Год назад

    To be continued

  • @amosobelai8262
    @amosobelai8262 Год назад

    Kama sio mtangulizi wetu Suleimani kuomba Hekima kutoka kwa Mungu, kweli tumepotea njia kwa ukosefu wa Hekima.
    Manabii, makasisi na pia wanaojiita wachungaji, wamejua kulinganisha Biblia kwa ndimi zao ili wapate pesa kwa AJILI ya nafsi zao.
    Utapeli mpaka Kanisani,, Mungu utuhurumie