IBRAAH afunguka anavyojisikia watu wakisema HARMONIZE haisupport album yake, alichoongea na ZUCHU
HTML-код
- Опубликовано: 18 окт 2024
- Ibraah anazungumzia mchakato wa kurekodi album yake King of New School pamoja na mengine ikiwemo maneno kuwa Harmonize hajaisupport kama inavyotakiwa, alichozungumza na Zuchu baada ya kukutana
#chillnasky
Vizuri chinga kwa albam yako ya the king of new school.naipenda sana
Hogera sana sana ibraah chinga album mashallah nimeikumbali sana sana
Oh! Very talented guy, has got such memories! Oh Gosh! From Isle of Man 🇮🇲
Sitosema my favorite song 💯
Unajua kuimba 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
mim nime ipenda nyimbo ya kusudi good good
Chinga 😍 😍 😍 😍 😍 😍
i love you guys chinga konde boy
Mashallah, hongera sana kijana.
Very good Interview and Answers
VERY POLITE Guy 🙂.
Mm nmependa maumivu tunapenda usiku mwema ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
naipenda pia ilo ngoma melody, lyrics amezieka pahali pake kabisa....inasisimua hisia fulani.
mm nakupenda ww
🔥🔥🔥🔥🔥
Konde gang team from Kenya.
Chinga 💯💯💯💯
Jiongeze
❤🇨🇭🇹🇿
Dogo ibraa endelea kukaza huwa nakuelewa Sana tangu imeingia kwa game hujawah niangusha
Muongo uyo sky anaandika kwenye cm
Safi sn 🇶🇦
Ibra kumbe alienda USA
Yaap alienda kumsaidia panya kusonga ugali
Hakuma msanii apo kakaa kishamba sana , local artist
Wewe na majuu yako huko wapi
@@evelyneokwiri6344 Niko papa hapa
Lavalava yupo wp ndg,,
Ibraah no sani pekee Tanzânia
Chinga poa
Album imetoka lini?
Ina fanya vizuri wapi chengachenga kk
Kwa msanii wa miaka miwili kwenye mziki tanzania anafanya vizuri tafuta msanii mdogo mwenye miaka mi2 kwenye mziki halafu angalia utofauti
@@omaryhajji1393 zuchu ep yake ya iam zuchu imeeka rekodi nyingi sasa huyu sijui anafanya vizuri wapi
@@MAMANDUNE brother kuongelea hbar za zuchu unataka ubadili uhalisia ulivyo zuchu mbali na kipaji ni mtu mwenye nyota kali sana sasa hiv ameshawazidi hata watu waliokuwepo miaka 10 iliyopita kwenye game ongelea wasanii unaowajua wenye miaka 2 kwenye mziki halafu utaona tatizo bongo kila kitu mpaka mshindanishe watu lazima uamini ep au album kufikisha kila nyimbo walau watu 50k kwa week kadhaa sio rahisi bongo tena kwa msanii mchana me nakwambia
@@omaryhajji1393 Kweli na hapo hasapotiwi kivile lakini kawazidi wengi tu wa zamani
Aprovement??
Expand your English vocabulary by taking some time to read the dictionary. The word 'approvement' means, 'the act of approving '.
@@mugalachantemwa I know but according to their conversation he was about to say "improvement "
Eti album ni kali sana....hahahaaaaa
Wamemchota tuu
Iyo album mbona ahiko populaire
Ibrah ajiongeze bana
Appreciate your brothers even with the little they offer
Toa yako?
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
Yupo kilocal sanaaaaaaaaaaaaaaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥