IBRAAH afunguka anavyojisikia watu wakisema HARMONIZE haisupport album yake, alichoongea na ZUCHU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • Ibraah anazungumzia mchakato wa kurekodi album yake King of New School pamoja na mengine ikiwemo maneno kuwa Harmonize hajaisupport kama inavyotakiwa, alichozungumza na Zuchu baada ya kukutana
    #chillnasky

Комментарии • 53

  • @weesm6824
    @weesm6824 2 года назад +8

    Vizuri chinga kwa albam yako ya the king of new school.naipenda sana

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir5299 2 года назад +8

    Hogera sana sana ibraah chinga album mashallah nimeikumbali sana sana

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 2 года назад +5

    Oh! Very talented guy, has got such memories! Oh Gosh! From Isle of Man 🇮🇲

  • @khamsoleen
    @khamsoleen 2 года назад +2

    Sitosema my favorite song 💯

  • @hamzaabdullah6142
    @hamzaabdullah6142 2 года назад +7

    Unajua kuimba 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @maflessmalfanemaflessmalfa9839
    @maflessmalfanemaflessmalfa9839 2 года назад +1

    mim nime ipenda nyimbo ya kusudi good good

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian830 2 года назад +5

    Chinga 😍 😍 😍 😍 😍 😍

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 2 года назад +1

    i love you guys chinga konde boy

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Mashallah, hongera sana kijana.

  • @ShamsaHuriya2023
    @ShamsaHuriya2023 2 года назад +1

    Very good Interview and Answers

  • @umutoni-roussel5233
    @umutoni-roussel5233 2 года назад +1

    VERY POLITE Guy 🙂.

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian830 2 года назад +6

    Mm nmependa maumivu tunapenda usiku mwema ❤️ ❤️ ❤️ ❤️

    • @otiajohn5365
      @otiajohn5365 2 года назад +2

      naipenda pia ilo ngoma melody, lyrics amezieka pahali pake kabisa....inasisimua hisia fulani.

    • @sponsor7882
      @sponsor7882 2 года назад +1

      mm nakupenda ww

  • @fatma_sharif
    @fatma_sharif 2 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @christercheru8328
    @christercheru8328 2 года назад +1

    Konde gang team from Kenya.

  • @fatma_sharif
    @fatma_sharif 2 года назад +1

    Chinga 💯💯💯💯

  • @jorammanyama9967
    @jorammanyama9967 2 года назад +2

    Jiongeze

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 2 года назад +1

    ❤🇨🇭🇹🇿

  • @samsonsagati2541
    @samsonsagati2541 Год назад

    Dogo ibraa endelea kukaza huwa nakuelewa Sana tangu imeingia kwa game hujawah niangusha

  • @coolzeddy_official9216
    @coolzeddy_official9216 2 года назад

    Muongo uyo sky anaandika kwenye cm

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 года назад

    Safi sn 🇶🇦

  • @d1w4n1dmoko9
    @d1w4n1dmoko9 2 года назад +5

    Ibra kumbe alienda USA

    • @vincentmushi1247
      @vincentmushi1247 2 года назад +1

      Yaap alienda kumsaidia panya kusonga ugali

  • @AfroMedic
    @AfroMedic 2 года назад +3

    Hakuma msanii apo kakaa kishamba sana , local artist

  • @razakmingonha4834
    @razakmingonha4834 2 года назад

    Ibraah no sani pekee Tanzânia

  • @tabaroemmyyounusu8341
    @tabaroemmyyounusu8341 2 года назад +2

    Chinga poa

  • @muftimikuli3223
    @muftimikuli3223 2 года назад

    Album imetoka lini?

  • @bienfaitfahamu574
    @bienfaitfahamu574 2 года назад +4

    Ina fanya vizuri wapi chengachenga kk

    • @omaryhajji1393
      @omaryhajji1393 2 года назад +2

      Kwa msanii wa miaka miwili kwenye mziki tanzania anafanya vizuri tafuta msanii mdogo mwenye miaka mi2 kwenye mziki halafu angalia utofauti

    • @MAMANDUNE
      @MAMANDUNE 2 года назад +1

      @@omaryhajji1393 zuchu ep yake ya iam zuchu imeeka rekodi nyingi sasa huyu sijui anafanya vizuri wapi

    • @omaryhajji1393
      @omaryhajji1393 2 года назад +3

      @@MAMANDUNE brother kuongelea hbar za zuchu unataka ubadili uhalisia ulivyo zuchu mbali na kipaji ni mtu mwenye nyota kali sana sasa hiv ameshawazidi hata watu waliokuwepo miaka 10 iliyopita kwenye game ongelea wasanii unaowajua wenye miaka 2 kwenye mziki halafu utaona tatizo bongo kila kitu mpaka mshindanishe watu lazima uamini ep au album kufikisha kila nyimbo walau watu 50k kwa week kadhaa sio rahisi bongo tena kwa msanii mchana me nakwambia

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 2 года назад

      @@omaryhajji1393 Kweli na hapo hasapotiwi kivile lakini kawazidi wengi tu wa zamani

  • @bongoupdatestv9322
    @bongoupdatestv9322 2 года назад +1

    Aprovement??

    • @mugalachantemwa
      @mugalachantemwa 2 года назад

      Expand your English vocabulary by taking some time to read the dictionary. The word 'approvement' means, 'the act of approving '.

    • @bongoupdatestv9322
      @bongoupdatestv9322 2 года назад

      @@mugalachantemwa I know but according to their conversation he was about to say "improvement "

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 2 года назад +2

    Eti album ni kali sana....hahahaaaaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.

  • @siliviasimon7970
    @siliviasimon7970 2 года назад +1

    Yupo kilocal sanaaaaaaaaaaaaaaa

  • @juleswilondh5967
    @juleswilondh5967 2 года назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥