Korea Kaskazini yadaiwa kupeleka wanajeshi 1,500 kuisaidia Urusi kupigana na Ukraine

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 145

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 4 часа назад +12

    Sasa wakorea kusini na Ukraine na marekani walalamike wakati wao wanatumika Ukraine ku operate mitambo na wanajeshi kule kursk. Ubaya ubwela 😂😂😂😂😂😂. Love toka Kenya

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 5 часов назад +8

    Big Up Korea kazkazin

  • @WadySaidi
    @WadySaidi 6 часов назад +13

    Vizuri sanaa Korea muakomeshe mashoga maana awajui vita kazi vikao Kila siku

  • @PatrickNdomba-u6s
    @PatrickNdomba-u6s 7 часов назад +14

    Naona Panaanza Kuchangamka
    Huraaaaaaaaa!!!!!

  • @salimchum8572
    @salimchum8572 6 часов назад +19

    Safi sana tena mi naona walichelewa sana

  • @DaudiHamisi-un2uu
    @DaudiHamisi-un2uu 4 часа назад +6

    Mbona Askari wa Marekani wameenda Israeli kwani Dunia haijui

  • @gracenizigama695
    @gracenizigama695 2 часа назад +2

    Tuombe sana Mungu. Vita vya tatu vyadunia vinakuja

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln 6 часов назад +12

    Safi sana kiduku peleka jeshi wakauliwe mashoga wa magharibi hatutaki mashoga putin safisha dunia

  • @yassinmohamed8241
    @yassinmohamed8241 7 часов назад +8

    Patam hapaaaaaaa❤❤

  • @hassanjuamchipua9384
    @hassanjuamchipua9384 7 часов назад +11

    Huyu ndio mwanaume hakuna kuficha ficha❤❤❤❤

  • @alexmalyango1405
    @alexmalyango1405 4 часа назад +3

    😂😂😂😂eh kichaa kapewa rungu tena

  • @selemanifaikii1276
    @selemanifaikii1276 4 часа назад +3

    Hata Ukraine kuna majeshi ya marekani ufaransa England na k

  • @IddiKhamis-u6c
    @IddiKhamis-u6c 7 часов назад +5

    Maangamizi ndio kwanza yanaanza

  • @DoiDoi-e1x
    @DoiDoi-e1x 6 часов назад +8

    Ukraine Kuna wanajeshi wa marekani ufaransa lakini putin akumaindi hata kidogo wao sasa

  • @furahafrank8267
    @furahafrank8267 Час назад

    Inaonekana Urusi imesha shindwa hii vita.

  • @KhadijaMasoud-d2z
    @KhadijaMasoud-d2z 5 часов назад +2

    Jambo jema

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 6 часов назад +3

    Sio kweli ajapeleka mbona mapema sana.

  • @shebyiddy-sd3wv
    @shebyiddy-sd3wv 6 часов назад +4

    Pameanza kuchangamka

  • @jabiraxmed7898
    @jabiraxmed7898 2 часа назад

    Mbona hii vita urussi imeshashinda weww muandishi fabya reserch au nyamaza unapotosha sana noth korea na urusi wana ushirikiano tokea vita vya korea wakati bado kupo Soviet unions na warusi pamoja na china ndio waliowasaidia north korea kupigana na marekani

  • @hajipendo5515
    @hajipendo5515 4 часа назад +1

    Kwani kuna ubaya gani?

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 4 часа назад +1

    TUnawapenda miamba naitashinda

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 5 часов назад +1

    Ushoga muungu kauchukiya jee hawabinaadamu waliyo jivisha wadhifa waduniya na kumuasi nyumba ha😂ha😂❤❤ atawachukiya tu na atawangamiza

  • @WILLY_SKY1
    @WILLY_SKY1 7 часов назад +3

    Twende nalo magharibi na NATO lazima watatii

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti 2 часа назад

    Wapeleke wakaishe huko ukrein

  • @msodokidasilva6739
    @msodokidasilva6739 7 часов назад +3

    Nacheka utafkili mazuri 😂😂😂😂

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 4 часа назад

    👏👏👏👏👏

  • @ELIFASMADEBHO
    @ELIFASMADEBHO 45 минут назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Zuhuranadadoita
    @Zuhuranadadoita 7 часов назад +10

    Wacha tuh 😂😂😂😂wamezidi kuwauwa watu wa Gaza

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 7 часов назад +2

      Hao Ukraine ndio wanauwa watu wa gaza? Hata NATO na marekani wakitoweka duniani bado chuki za kidini zitaendelea, hata ukristo ukitoweka duniani, bado waislamu mtachukiana na dini zingine, km vile juda, budha, buda, nk. Na mtauwana sana

    • @Theman-dn8vo
      @Theman-dn8vo 6 часов назад

      Marekani anaeua wala haguswi why

    • @khalfanikimanta6663
      @khalfanikimanta6663 6 часов назад

      Kwa hivo unatuambia nini sasa!​@@martinisadru9899

    • @hatibumohamedi3471
      @hatibumohamedi3471 6 часов назад +1

      ​@@martinisadru9899kwani islael ni wakristo ?? ujuikitu wewe

    • @ابوذر-د8ك
      @ابوذر-د8ك 6 часов назад +1

      Naona wanataifa la mashoga tayar wana washwa pumbavu zao

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 Час назад

    Nini ajabu kama zelensyk anawatumia ulaya magharibi na marekani kwa kila kitu. Ebu tuache kumwuona marekani kama kila kitu kwetu wakati ni mvuruga amani no1 duniani. Wito wangu, urus,china, korea kskzn, iran unganeni dunia ikae sawa iwe yenyehaki kwa wote.

  • @JosephAlakonya
    @JosephAlakonya 5 часов назад +2

    Nashanga sana mbona NATO wamenyamaza awaingili vita ,, ju sababu Ukraine walitaka kujiunga nao

    • @happymrema7487
      @happymrema7487 2 часа назад

      Mmm wanaribu waone kwan wao wajinga nchi zao zitapotezwa kwwny uso wa dunia mrus an nuclear zinazoitwa shetan zinauwwz wakusafiri kwa spidi ya ajab na kubeba nuclear nne ikaipiga marekan kwa sekunde na nbchi zote za nato ndan ya lisaa hakun kitakachosalia na ndio maan wanaogop huyu mwamba ni hatar kajipanga

  • @FredMramba-hx3gl
    @FredMramba-hx3gl 2 часа назад +1

    Hakuna watu wa ajabu kama muafrika hasa mtanzania Kwa uwezo mdogo wa kufikiri unakuta mtu anafurahia vita lakini ajui athali Ambazo atazipita iwapo vita hiyo itasambaa

    • @geoffreynyakunga6606
      @geoffreynyakunga6606 4 минуты назад

      Kwanza wrote wanao shabikia vita hawajui shida wanao pitiha hawa weliopo kwenye vita, no mateso makubwa. Wa TZ hatujawahi pitia ndio maana wanashabikia kama Moira, wawaulize wajapani, wakongo wapalestn na wengineo wanao pitia matatizo yaliyo sababishwa na vita

  • @MwemajaphetyZackalia
    @MwemajaphetyZackalia 7 часов назад +2

    Bado china nao watapeleka wache wauwane

  • @ConstantineCoscardrov-wb6ih
    @ConstantineCoscardrov-wb6ih 2 часа назад

    Kweli uzoefu hawana lakini wapo chini ya wazoefu Urusi ngoja Comedian atakiona cha moto.

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 6 часов назад +1

    Sio kweli Zelensky ni muongo sana ni mbinu za kutaka kusapotiwa na Ulaya na Marekani huwa mimi natazama sana vita hiyo hakuna Korea kasikazini

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule 6 часов назад +5

    Mi nilijua Mrusi anajiweza mwenyewe

    • @YustoMlay-cv4zb
      @YustoMlay-cv4zb 5 часов назад

      Hata mimi maanake urusi ni nchi kubwa

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 4 часа назад +1

      Sio kwamba haijiwezi bali Korea kaamua kununua vita kwakuwa Urusi anapigana na Nato kupitia Ukrain...
      Na Korea na Nato ni maadui

  • @mrishojumbe4572
    @mrishojumbe4572 6 часов назад +1

    Ww3 soon

  • @thomaswilbert6431
    @thomaswilbert6431 5 часов назад

    Hivi hizi nchi kubwa zinataka nn Kwa nchi ndogo kama Ukraine au Wana nia za kuwapunguza watu duniani hizi vita zina faida gani 😢

  • @RobertBitambaOfficial
    @RobertBitambaOfficial 4 часа назад

    Putin bring peace in this world

  • @johnkatabi9793
    @johnkatabi9793 5 часов назад

    WW 3

  • @alexmalyango1405
    @alexmalyango1405 4 часа назад

    Hivi Putin si anichague namimi nikapigane vilivyo naina hata nikiwa na 375 nitashinda hakika na samia atangaze mala moja nami nitaitika😅😅

  • @shedy629
    @shedy629 4 часа назад

    Ukiwa Korea Kaskazini lazima uwe mwanajeshi, unapenda au hupendi lazima jeshini uende hawa jamaa hawajapenda ila wameshurutishwa kwenda, Putin anawatumia Korea Kaskazini bila wenyewe kujua.

    • @mutaji5454
      @mutaji5454 3 часа назад

      Ila marekani inawatumia nato kwa kujua sio

  • @Daudimakaza-s1v
    @Daudimakaza-s1v 6 часов назад +1

    Jesh la wachina halitish

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 6 часов назад +1

      Hujui kitu wew, hivi kwa nini Marekani ikiingia kwenye mzozo wakutaka kushambuliana na Korea Kaskazini lazima Marekani akaongee kwanza na Mchina?? 😂😂😂😂

  • @jacksonchilongani4478
    @jacksonchilongani4478 5 часов назад

    Wasie na maneno mengi watu wa NATO wasubili wakorea kwenye uwanja wa vita then itajulikana mbivu na mbichi sababu kila askari huja na mbinu mpya

  • @JakoboKazilo
    @JakoboKazilo 7 часов назад +2

    Vita ya tatu ya dunia inakaribia

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 7 часов назад +1

    Mara utasikia korea wamevamiwa mimi nipo

  • @maxiellmillian
    @maxiellmillian 6 часов назад

    Eeeeeeee bhana weeeeeeeee

  • @MikelSitoe
    @MikelSitoe 6 часов назад

    Koreatu, wanalalamika, kwani hao Magaidi Biden, na vikundi via Nato wako wengapi huko? 😂😂😂😂😂

  • @GeremihJuma
    @GeremihJuma 2 часа назад

    Zero yunxu ni shoga asiye jitambua zero

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 5 часов назад +1

    Kama vile Mamluki wa NATO ndani ya Ukreni.... Russia haijatumia Red army..inawasubili NATO....

    • @JeanMalilo
      @JeanMalilo 4 часа назад

      😃😃😃😃😃 rudi shule mbwa wewe hujui kitu, nato haijawai kutuma mtu ukrain

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 3 часа назад

      @@JeanMalilo Mbwa aliyekunyonesha shoga wewe!!!! Mamluki wapo wengi sana kutoka Nchi za NATO....Hata aliyejaribu kumpiga Tramp majuzi alikuwa anapigana Ukreni miezi iliyopita ..

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 3 часа назад

      @@JeanMalilo Mimi ni Mbwa nimekukosea nini Wewe!!! Toa maoni yako Acha kabisa Tabia ya kuparamia Wanaume....

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 7 часов назад +1

    Hichi kikorea kusini nacho Cha kupigwa kipo hapo kutoa umbea tu ndio maana kiduku anakijambisha Kila siku😂😂

    • @raydanfrenk
      @raydanfrenk 6 часов назад

      Jitekenye na ujampe mwenyew😅😅😅😅😂 ajalibu kiduku atafirwa Kaka mbwa koko

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 7 часов назад +1

    Mbona kama najihisi furaha kwa taarifa kama hizi 1:48

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 7 часов назад

      Acha ujinga wewe! Amka,, Amka,,Amkaaaa,

    • @PatrickNdomba-u6s
      @PatrickNdomba-u6s 7 часов назад

      ​@@martinisadru9899
      Amka wewe
      Mbona hujielewi

    • @juliusmagunila6308
      @juliusmagunila6308 6 часов назад

      @@martinisadru9899 hao wazungu ni wafanyabiashara na kila kitu wanachofanya ni faida yao nyinyi mlioingozwa mkeke kwa udini ndio viazi

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 6 часов назад

      ​@@martinisadru9899 Vumilia ndio kwanza kumechangamka

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 51 минуту назад

    Zelensyk aliupateje utais, mbona kichwani pumba kabisa,naona ubongo wake hauna hasi na chanya hivyo hauchaji kabisa.

  • @davidandrew6332
    @davidandrew6332 4 часа назад +2

    Ukisikia Rusia inavyo Pambwa huwezi kuamini Kama bado inaomba msaada..... Kuna ukweli vyombo vya habar havitaki kusema lakini binafsi Ninaona hii Vita ya Ukraine na Rusia Watuwengi wamepoteza maisha pande zote mbili

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 6 часов назад

    Propaganda kuonesha adui bado kazi ya kufanya anayo. Its a demoralisation strategy 😊

  • @HamzaMbasha-xs2ky
    @HamzaMbasha-xs2ky 6 часов назад

    Kiduku yeye akanushagi nyie mtakavyoongea ndoo hivyo hivyo

  • @papamukulu1045
    @papamukulu1045 7 часов назад

    Maiti zinazo tembea

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 5 часов назад

    😂😂😂😂

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 7 часов назад

    Si kunawatu husema Urusi haiwezi kusaidiwa 😂😂😂na hata wakiambiwa Urusi anasaidiwa Silaa hawakubali.

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 6 часов назад

      kwani anapigana na Ukraine..? Uwe unatumia akili siyo makalio, urusi inapigana na nato tangu 2014 hata hvyo kapambana sana na bado kafanikiwa kuchukua maeneo yote muhimu yenye rasilimali muhimu katika mkoa wa Donbass, Vita ni ushirika kama ambavyo Marekani na washirika wake wa Nato!

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 6 часов назад

      @@nizarrama225 Nyie si huwa mnasema Urusi anaweza kusimama pekeake na kupambana na NATO kwanini anasaidiwa sasa hii Dunia huwezi pigana bila kuwa na washirika😂😂 afu Watoto wa allah kwanini huwa mnamakasiliko sana na lugha za Matusi au allah huwa anawaambia mtukane watu?
      pia Urus hana chembe ya uislam hata kidogo ila anachembe ya Ukristo maana dhehebu kubwa lililopo Urusi ni kanisa la Ethedox 😂😂😂 hapa utachukia zaidi.

    • @brytonstwange6833
      @brytonstwange6833 6 часов назад

      Kilichobaki uklein majirani zake putin wanakuja kusafisha maghala ya siraha zao pia kupata uzoefuu sio vitakamilii hiyoo biashara pia za sirahaaa

    • @LORDRICKNKYA
      @LORDRICKNKYA Час назад

      1 unaweza kuwa ni propaganda
      2. Inaweza kuwa ni mpango wa majaribio ya silaha zake Korea kaskazini na pia kupata uzoefu wa vita vya hivi sasa vyenye kutumia technology na silaha zenye uwezo mkubwa sana

  • @omondiowino7875
    @omondiowino7875 7 часов назад +1

    Urusi ilidhani kuichukua Ukraine ni kazi rahisi...😂 ...mchina naye huwa haeleweki ...

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 6 часов назад +1

      Muwe mkufuatilia taarifa kwanza.
      Ukraine ina msaada wa asilimia 90 kutoka marekani na ulaya yani nato.
      Tungefanya hivo na sisi kwa Ghadafi nadhani hadi leo angekuwa bado yupo.

    • @nsusabudda2951
      @nsusabudda2951 5 часов назад

      Akili ndogo sana wewe...

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 5 часов назад

      Huyu jamaa akili ya kufikilia hana hua nakuona una comment utumbo tu kwaiyo kwa akili yako nani alikwambia kwanza urussi Ana itaka Ukraine labda pili Ukraine kwa akili yako kila kitu Ana cho tumia kuanzia siraha wana jeshi mpango wa vita ni marekan na nato nzima sasa wew kama hao wote wana Pambana na urussi nani anae weza Pambana na urussi bila msaada ukitoa marekan hakuna inchi ya nato ya kupigana vita vya moja kwa moja na Russia akatoboa

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 5 часов назад

      Russia kuichukua Ukraine ni jambo rahisi sana kuliko unavyodhani

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 5 часов назад

      @@Gulfnas1
      Tena wiki 3 za mwanzo Jeshi la urusu lilikuwa km chache kufika Kiev
      Baada ya hapo Joti alifanya majadaliano na Putin wakasain mkataba wa Amani ukiongozwa na uturuki na papo hapo urusi ikaanza kurejesha majeshi nyuma kama walivyo kubaliana ila Boris Johnson wa wingereza alifanya ziara Kiev na akamwambia Joti hapana achana na amani we tutajusaidia pigana tu

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 7 часов назад

    😂😂😂😂 putin ameishiwa now anaomba msaada kwa Nchi ndog yenyew ajiwezi😅😅😅

    • @baharanimasoud
      @baharanimasoud 6 часов назад

      Putin nikama anapigana na ulaya na marekana na sio ukrain

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 6 часов назад

      Sio kaishiwa hata nato mbona wanapeleka wanajeshi na silaha kwa siri huko Ukraine. Urusi sahivi hapigani na Ukraine jeshi la Ukraine limeshamalizwa mda2. urusi anapigana na ulaya ba matrkani ndio

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 6 часов назад

      Pole sana nayaona maumivu unayoyapata ulidhan Putin yupo peke yake😅😅😅😅

    • @Joshuajereman
      @Joshuajereman 6 часов назад

      SEMA uxhoga wako unakutesa unataka uje uliwe na wamalekaniii

    • @raydanfrenk
      @raydanfrenk 6 часов назад

      ​@@Joshuajereman kwaiy unataka uliwe na urus😂😂😂

  • @jabiraxmed7898
    @jabiraxmed7898 2 часа назад

    Bwana wewe muandishi habari zako unazitowa wapi ? Hizo ni propaganda tu urusi hawana shida ya kusaidiwa .nyinyi wandishi hamujuwi kitu wacheni kusema mambo ambayo hamujuwi wacheni kusikiliza CNN na BBC

  • @saleemsuleiman2220
    @saleemsuleiman2220 7 часов назад

    WAYAHUDI WAKITANZANIA WAKISIA HIVI HATA KUKOMENT HAWATAKI😂

    • @raydanfrenk
      @raydanfrenk 6 часов назад

      Apo ndy tunafurah😅😅 maana putin jeshi lake limeisha ameanza kuomba omba now anatandikwa ipasavyo😅😅😅😅

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 6 часов назад

      @@raydanfrenk ila nyie wayahudi WEUSI 😂😂😂😂😂

    • @KingKing-d2t
      @KingKing-d2t 6 часов назад

      Warabu weusi​@@saleemsuleiman2220

  • @directortwicep3028
    @directortwicep3028 4 часа назад

    Inamaa mrusi peke yake kashindwaa😂

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 4 часа назад

      Sio kwamba wameshindwa, bali Korea imeamua kununua vita kama Nato ilivyoingilia kwavupande wa Ukraine

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg 7 часов назад

    Ivi dem wako akiwa hataki muonane adi awe na shida hii manaake nini 😢?

  • @alexmalyango1405
    @alexmalyango1405 4 часа назад

    Hivi Putin si anichague namimi nikapigane vilivyo naina hata nikiwa na 375 nitashinda hakika na samia atangaze mala moja nami nitaitika😅😅