Sasa wakorea kusini na Ukraine na marekani walalamike wakati wao wanatumika Ukraine ku operate mitambo na wanajeshi kule kursk. Ubaya ubwela 😂😂😂😂😂😂. Love toka Kenya
Mbona hii vita urussi imeshashinda weww muandishi fabya reserch au nyamaza unapotosha sana noth korea na urusi wana ushirikiano tokea vita vya korea wakati bado kupo Soviet unions na warusi pamoja na china ndio waliowasaidia north korea kupigana na marekani
Hao Ukraine ndio wanauwa watu wa gaza? Hata NATO na marekani wakitoweka duniani bado chuki za kidini zitaendelea, hata ukristo ukitoweka duniani, bado waislamu mtachukiana na dini zingine, km vile juda, budha, buda, nk. Na mtauwana sana
Nini ajabu kama zelensyk anawatumia ulaya magharibi na marekani kwa kila kitu. Ebu tuache kumwuona marekani kama kila kitu kwetu wakati ni mvuruga amani no1 duniani. Wito wangu, urus,china, korea kskzn, iran unganeni dunia ikae sawa iwe yenyehaki kwa wote.
Mmm wanaribu waone kwan wao wajinga nchi zao zitapotezwa kwwny uso wa dunia mrus an nuclear zinazoitwa shetan zinauwwz wakusafiri kwa spidi ya ajab na kubeba nuclear nne ikaipiga marekan kwa sekunde na nbchi zote za nato ndan ya lisaa hakun kitakachosalia na ndio maan wanaogop huyu mwamba ni hatar kajipanga
Hakuna watu wa ajabu kama muafrika hasa mtanzania Kwa uwezo mdogo wa kufikiri unakuta mtu anafurahia vita lakini ajui athali Ambazo atazipita iwapo vita hiyo itasambaa
Kwanza wrote wanao shabikia vita hawajui shida wanao pitiha hawa weliopo kwenye vita, no mateso makubwa. Wa TZ hatujawahi pitia ndio maana wanashabikia kama Moira, wawaulize wajapani, wakongo wapalestn na wengineo wanao pitia matatizo yaliyo sababishwa na vita
Ukiwa Korea Kaskazini lazima uwe mwanajeshi, unapenda au hupendi lazima jeshini uende hawa jamaa hawajapenda ila wameshurutishwa kwenda, Putin anawatumia Korea Kaskazini bila wenyewe kujua.
Hujui kitu wew, hivi kwa nini Marekani ikiingia kwenye mzozo wakutaka kushambuliana na Korea Kaskazini lazima Marekani akaongee kwanza na Mchina?? 😂😂😂😂
@@JeanMalilo Mbwa aliyekunyonesha shoga wewe!!!! Mamluki wapo wengi sana kutoka Nchi za NATO....Hata aliyejaribu kumpiga Tramp majuzi alikuwa anapigana Ukreni miezi iliyopita ..
Ukisikia Rusia inavyo Pambwa huwezi kuamini Kama bado inaomba msaada..... Kuna ukweli vyombo vya habar havitaki kusema lakini binafsi Ninaona hii Vita ya Ukraine na Rusia Watuwengi wamepoteza maisha pande zote mbili
kwani anapigana na Ukraine..? Uwe unatumia akili siyo makalio, urusi inapigana na nato tangu 2014 hata hvyo kapambana sana na bado kafanikiwa kuchukua maeneo yote muhimu yenye rasilimali muhimu katika mkoa wa Donbass, Vita ni ushirika kama ambavyo Marekani na washirika wake wa Nato!
@@nizarrama225 Nyie si huwa mnasema Urusi anaweza kusimama pekeake na kupambana na NATO kwanini anasaidiwa sasa hii Dunia huwezi pigana bila kuwa na washirika😂😂 afu Watoto wa allah kwanini huwa mnamakasiliko sana na lugha za Matusi au allah huwa anawaambia mtukane watu? pia Urus hana chembe ya uislam hata kidogo ila anachembe ya Ukristo maana dhehebu kubwa lililopo Urusi ni kanisa la Ethedox 😂😂😂 hapa utachukia zaidi.
1 unaweza kuwa ni propaganda 2. Inaweza kuwa ni mpango wa majaribio ya silaha zake Korea kaskazini na pia kupata uzoefu wa vita vya hivi sasa vyenye kutumia technology na silaha zenye uwezo mkubwa sana
Muwe mkufuatilia taarifa kwanza. Ukraine ina msaada wa asilimia 90 kutoka marekani na ulaya yani nato. Tungefanya hivo na sisi kwa Ghadafi nadhani hadi leo angekuwa bado yupo.
Huyu jamaa akili ya kufikilia hana hua nakuona una comment utumbo tu kwaiyo kwa akili yako nani alikwambia kwanza urussi Ana itaka Ukraine labda pili Ukraine kwa akili yako kila kitu Ana cho tumia kuanzia siraha wana jeshi mpango wa vita ni marekan na nato nzima sasa wew kama hao wote wana Pambana na urussi nani anae weza Pambana na urussi bila msaada ukitoa marekan hakuna inchi ya nato ya kupigana vita vya moja kwa moja na Russia akatoboa
@@Gulfnas1 Tena wiki 3 za mwanzo Jeshi la urusu lilikuwa km chache kufika Kiev Baada ya hapo Joti alifanya majadaliano na Putin wakasain mkataba wa Amani ukiongozwa na uturuki na papo hapo urusi ikaanza kurejesha majeshi nyuma kama walivyo kubaliana ila Boris Johnson wa wingereza alifanya ziara Kiev na akamwambia Joti hapana achana na amani we tutajusaidia pigana tu
Sio kaishiwa hata nato mbona wanapeleka wanajeshi na silaha kwa siri huko Ukraine. Urusi sahivi hapigani na Ukraine jeshi la Ukraine limeshamalizwa mda2. urusi anapigana na ulaya ba matrkani ndio
Bwana wewe muandishi habari zako unazitowa wapi ? Hizo ni propaganda tu urusi hawana shida ya kusaidiwa .nyinyi wandishi hamujuwi kitu wacheni kusema mambo ambayo hamujuwi wacheni kusikiliza CNN na BBC
Sasa wakorea kusini na Ukraine na marekani walalamike wakati wao wanatumika Ukraine ku operate mitambo na wanajeshi kule kursk. Ubaya ubwela 😂😂😂😂😂😂. Love toka Kenya
Big Up Korea kazkazin
Vizuri sanaa Korea muakomeshe mashoga maana awajui vita kazi vikao Kila siku
Naona Panaanza Kuchangamka
Huraaaaaaaaa!!!!!
Safi sana tena mi naona walichelewa sana
But Putin still ni Mkiristo
Mbona Askari wa Marekani wameenda Israeli kwani Dunia haijui
Tuombe sana Mungu. Vita vya tatu vyadunia vinakuja
Safi sana kiduku peleka jeshi wakauliwe mashoga wa magharibi hatutaki mashoga putin safisha dunia
Mashoga wa zenj au Tanga?
Patam hapaaaaaaa❤❤
Huyu ndio mwanaume hakuna kuficha ficha❤❤❤❤
😂😂😂😂eh kichaa kapewa rungu tena
Hata Ukraine kuna majeshi ya marekani ufaransa England na k
Maangamizi ndio kwanza yanaanza
Ukraine Kuna wanajeshi wa marekani ufaransa lakini putin akumaindi hata kidogo wao sasa
Uliona wapi
Inaonekana Urusi imesha shindwa hii vita.
Jambo jema
Sio kweli ajapeleka mbona mapema sana.
Pameanza kuchangamka
Mbona hii vita urussi imeshashinda weww muandishi fabya reserch au nyamaza unapotosha sana noth korea na urusi wana ushirikiano tokea vita vya korea wakati bado kupo Soviet unions na warusi pamoja na china ndio waliowasaidia north korea kupigana na marekani
Kwani kuna ubaya gani?
TUnawapenda miamba naitashinda
Ushoga muungu kauchukiya jee hawabinaadamu waliyo jivisha wadhifa waduniya na kumuasi nyumba ha😂ha😂❤❤ atawachukiya tu na atawangamiza
Twende nalo magharibi na NATO lazima watatii
Wapeleke wakaishe huko ukrein
Nacheka utafkili mazuri 😂😂😂😂
👏👏👏👏👏
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wacha tuh 😂😂😂😂wamezidi kuwauwa watu wa Gaza
Hao Ukraine ndio wanauwa watu wa gaza? Hata NATO na marekani wakitoweka duniani bado chuki za kidini zitaendelea, hata ukristo ukitoweka duniani, bado waislamu mtachukiana na dini zingine, km vile juda, budha, buda, nk. Na mtauwana sana
Marekani anaeua wala haguswi why
Kwa hivo unatuambia nini sasa!@@martinisadru9899
@@martinisadru9899kwani islael ni wakristo ?? ujuikitu wewe
Naona wanataifa la mashoga tayar wana washwa pumbavu zao
Nini ajabu kama zelensyk anawatumia ulaya magharibi na marekani kwa kila kitu. Ebu tuache kumwuona marekani kama kila kitu kwetu wakati ni mvuruga amani no1 duniani. Wito wangu, urus,china, korea kskzn, iran unganeni dunia ikae sawa iwe yenyehaki kwa wote.
Nashanga sana mbona NATO wamenyamaza awaingili vita ,, ju sababu Ukraine walitaka kujiunga nao
Mmm wanaribu waone kwan wao wajinga nchi zao zitapotezwa kwwny uso wa dunia mrus an nuclear zinazoitwa shetan zinauwwz wakusafiri kwa spidi ya ajab na kubeba nuclear nne ikaipiga marekan kwa sekunde na nbchi zote za nato ndan ya lisaa hakun kitakachosalia na ndio maan wanaogop huyu mwamba ni hatar kajipanga
Hakuna watu wa ajabu kama muafrika hasa mtanzania Kwa uwezo mdogo wa kufikiri unakuta mtu anafurahia vita lakini ajui athali Ambazo atazipita iwapo vita hiyo itasambaa
Kwanza wrote wanao shabikia vita hawajui shida wanao pitiha hawa weliopo kwenye vita, no mateso makubwa. Wa TZ hatujawahi pitia ndio maana wanashabikia kama Moira, wawaulize wajapani, wakongo wapalestn na wengineo wanao pitia matatizo yaliyo sababishwa na vita
Bado china nao watapeleka wache wauwane
Kweli uzoefu hawana lakini wapo chini ya wazoefu Urusi ngoja Comedian atakiona cha moto.
Sio kweli Zelensky ni muongo sana ni mbinu za kutaka kusapotiwa na Ulaya na Marekani huwa mimi natazama sana vita hiyo hakuna Korea kasikazini
Mi nilijua Mrusi anajiweza mwenyewe
Hata mimi maanake urusi ni nchi kubwa
Sio kwamba haijiwezi bali Korea kaamua kununua vita kwakuwa Urusi anapigana na Nato kupitia Ukrain...
Na Korea na Nato ni maadui
Ww3 soon
Hivi hizi nchi kubwa zinataka nn Kwa nchi ndogo kama Ukraine au Wana nia za kuwapunguza watu duniani hizi vita zina faida gani 😢
Putin bring peace in this world
WW 3
Hivi Putin si anichague namimi nikapigane vilivyo naina hata nikiwa na 375 nitashinda hakika na samia atangaze mala moja nami nitaitika😅😅
Ukiwa Korea Kaskazini lazima uwe mwanajeshi, unapenda au hupendi lazima jeshini uende hawa jamaa hawajapenda ila wameshurutishwa kwenda, Putin anawatumia Korea Kaskazini bila wenyewe kujua.
Ila marekani inawatumia nato kwa kujua sio
Jesh la wachina halitish
Hujui kitu wew, hivi kwa nini Marekani ikiingia kwenye mzozo wakutaka kushambuliana na Korea Kaskazini lazima Marekani akaongee kwanza na Mchina?? 😂😂😂😂
Wasie na maneno mengi watu wa NATO wasubili wakorea kwenye uwanja wa vita then itajulikana mbivu na mbichi sababu kila askari huja na mbinu mpya
Vita ya tatu ya dunia inakaribia
Swa
Fact
Mara utasikia korea wamevamiwa mimi nipo
Unazani libya hiyo korea ni kituingine wenye dunia yao Autonatic
Wananyuklia
😅😅😅😅Unafikili Lebanon nini kaka
Eeeeeeee bhana weeeeeeeee
Koreatu, wanalalamika, kwani hao Magaidi Biden, na vikundi via Nato wako wengapi huko? 😂😂😂😂😂
Zero yunxu ni shoga asiye jitambua zero
Kama vile Mamluki wa NATO ndani ya Ukreni.... Russia haijatumia Red army..inawasubili NATO....
😃😃😃😃😃 rudi shule mbwa wewe hujui kitu, nato haijawai kutuma mtu ukrain
@@JeanMalilo Mbwa aliyekunyonesha shoga wewe!!!! Mamluki wapo wengi sana kutoka Nchi za NATO....Hata aliyejaribu kumpiga Tramp majuzi alikuwa anapigana Ukreni miezi iliyopita ..
@@JeanMalilo Mimi ni Mbwa nimekukosea nini Wewe!!! Toa maoni yako Acha kabisa Tabia ya kuparamia Wanaume....
Hichi kikorea kusini nacho Cha kupigwa kipo hapo kutoa umbea tu ndio maana kiduku anakijambisha Kila siku😂😂
Jitekenye na ujampe mwenyew😅😅😅😅😂 ajalibu kiduku atafirwa Kaka mbwa koko
Mbona kama najihisi furaha kwa taarifa kama hizi 1:48
Acha ujinga wewe! Amka,, Amka,,Amkaaaa,
@@martinisadru9899
Amka wewe
Mbona hujielewi
@@martinisadru9899 hao wazungu ni wafanyabiashara na kila kitu wanachofanya ni faida yao nyinyi mlioingozwa mkeke kwa udini ndio viazi
@@martinisadru9899 Vumilia ndio kwanza kumechangamka
Zelensyk aliupateje utais, mbona kichwani pumba kabisa,naona ubongo wake hauna hasi na chanya hivyo hauchaji kabisa.
Ukisikia Rusia inavyo Pambwa huwezi kuamini Kama bado inaomba msaada..... Kuna ukweli vyombo vya habar havitaki kusema lakini binafsi Ninaona hii Vita ya Ukraine na Rusia Watuwengi wamepoteza maisha pande zote mbili
Wanasubir Israel aombe wamtukane
Propaganda kuonesha adui bado kazi ya kufanya anayo. Its a demoralisation strategy 😊
Kiduku yeye akanushagi nyie mtakavyoongea ndoo hivyo hivyo
Maiti zinazo tembea
Mukulu unaongelea nyoro.
😂😂😂😂
Si kunawatu husema Urusi haiwezi kusaidiwa 😂😂😂na hata wakiambiwa Urusi anasaidiwa Silaa hawakubali.
kwani anapigana na Ukraine..? Uwe unatumia akili siyo makalio, urusi inapigana na nato tangu 2014 hata hvyo kapambana sana na bado kafanikiwa kuchukua maeneo yote muhimu yenye rasilimali muhimu katika mkoa wa Donbass, Vita ni ushirika kama ambavyo Marekani na washirika wake wa Nato!
@@nizarrama225 Nyie si huwa mnasema Urusi anaweza kusimama pekeake na kupambana na NATO kwanini anasaidiwa sasa hii Dunia huwezi pigana bila kuwa na washirika😂😂 afu Watoto wa allah kwanini huwa mnamakasiliko sana na lugha za Matusi au allah huwa anawaambia mtukane watu?
pia Urus hana chembe ya uislam hata kidogo ila anachembe ya Ukristo maana dhehebu kubwa lililopo Urusi ni kanisa la Ethedox 😂😂😂 hapa utachukia zaidi.
Kilichobaki uklein majirani zake putin wanakuja kusafisha maghala ya siraha zao pia kupata uzoefuu sio vitakamilii hiyoo biashara pia za sirahaaa
1 unaweza kuwa ni propaganda
2. Inaweza kuwa ni mpango wa majaribio ya silaha zake Korea kaskazini na pia kupata uzoefu wa vita vya hivi sasa vyenye kutumia technology na silaha zenye uwezo mkubwa sana
Urusi ilidhani kuichukua Ukraine ni kazi rahisi...😂 ...mchina naye huwa haeleweki ...
Muwe mkufuatilia taarifa kwanza.
Ukraine ina msaada wa asilimia 90 kutoka marekani na ulaya yani nato.
Tungefanya hivo na sisi kwa Ghadafi nadhani hadi leo angekuwa bado yupo.
Akili ndogo sana wewe...
Huyu jamaa akili ya kufikilia hana hua nakuona una comment utumbo tu kwaiyo kwa akili yako nani alikwambia kwanza urussi Ana itaka Ukraine labda pili Ukraine kwa akili yako kila kitu Ana cho tumia kuanzia siraha wana jeshi mpango wa vita ni marekan na nato nzima sasa wew kama hao wote wana Pambana na urussi nani anae weza Pambana na urussi bila msaada ukitoa marekan hakuna inchi ya nato ya kupigana vita vya moja kwa moja na Russia akatoboa
Russia kuichukua Ukraine ni jambo rahisi sana kuliko unavyodhani
@@Gulfnas1
Tena wiki 3 za mwanzo Jeshi la urusu lilikuwa km chache kufika Kiev
Baada ya hapo Joti alifanya majadaliano na Putin wakasain mkataba wa Amani ukiongozwa na uturuki na papo hapo urusi ikaanza kurejesha majeshi nyuma kama walivyo kubaliana ila Boris Johnson wa wingereza alifanya ziara Kiev na akamwambia Joti hapana achana na amani we tutajusaidia pigana tu
😂😂😂😂 putin ameishiwa now anaomba msaada kwa Nchi ndog yenyew ajiwezi😅😅😅
Putin nikama anapigana na ulaya na marekana na sio ukrain
Sio kaishiwa hata nato mbona wanapeleka wanajeshi na silaha kwa siri huko Ukraine. Urusi sahivi hapigani na Ukraine jeshi la Ukraine limeshamalizwa mda2. urusi anapigana na ulaya ba matrkani ndio
Pole sana nayaona maumivu unayoyapata ulidhan Putin yupo peke yake😅😅😅😅
SEMA uxhoga wako unakutesa unataka uje uliwe na wamalekaniii
@@Joshuajereman kwaiy unataka uliwe na urus😂😂😂
Bwana wewe muandishi habari zako unazitowa wapi ? Hizo ni propaganda tu urusi hawana shida ya kusaidiwa .nyinyi wandishi hamujuwi kitu wacheni kusema mambo ambayo hamujuwi wacheni kusikiliza CNN na BBC
WAYAHUDI WAKITANZANIA WAKISIA HIVI HATA KUKOMENT HAWATAKI😂
Apo ndy tunafurah😅😅 maana putin jeshi lake limeisha ameanza kuomba omba now anatandikwa ipasavyo😅😅😅😅
@@raydanfrenk ila nyie wayahudi WEUSI 😂😂😂😂😂
Warabu weusi@@saleemsuleiman2220
Inamaa mrusi peke yake kashindwaa😂
Sio kwamba wameshindwa, bali Korea imeamua kununua vita kama Nato ilivyoingilia kwavupande wa Ukraine
Ivi dem wako akiwa hataki muonane adi awe na shida hii manaake nini 😢?
haahah manaake wew ni baba yake namba 2😢
Red frag hyoo hakutakii tafuta demu mwngnee.
@@nouriathismail3 😆
@@sekondianacletus4537 kumbe
Unaliwa
Hivi Putin si anichague namimi nikapigane vilivyo naina hata nikiwa na 375 nitashinda hakika na samia atangaze mala moja nami nitaitika😅😅