SHEIKH MOHAMED IDDI:: UWAHABI UPO NA MAWAHABI WAPO [ KUSAHIHISHA UELEWA: EPISODE 02:: PART 01 ]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Please Like, Comment and Do not forget to Subscribe to Our Channel (www.youtube.co...)
    ....
    Also Connect with Us on Social Media Platforms
    Like our Page on Facebook : / sanatvtz
    ...
    Follow us on Instagram: / sanatvtz
    ...
    #SANATVTZ #UWAHABIUPONAMAWAHABIWAPO #SHEIKHMOHAMEDIDDI

Комментарии • 79

  • @saidburuji9984
    @saidburuji9984 2 года назад

    MashaALLAH tunamuomba ALLAH akujaalie umri mrefu wa kheri uendelee kuihami dini

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 2 года назад +1

    Allah bless you

  • @alakhy9448
    @alakhy9448 3 года назад +2

    Hivi mtasumbuana,mngekutana live ingekuwa safi sana.
    Sasa kama hivi mtu anaweza kukwepa maswali mengi tu

    • @swaleheally9814
      @swaleheally9814 3 года назад

      USHAUR WAKO UPO SAHIHI LAU WANGEKUA NI WATU WA LEVO MOJA
      NINACHOKIOÑA NI VITU VIE
      WILI VINAVYOTOFAUTIAN MBALI SANA
      MOHAMEDI IDDI NI ANABORESHA GENGE LAKE LA KISUFI NA USHAMSIYYAH
      NDO MAANA KILA KITU USHAMSIA UTADHANI ABAWAZUNGUMZIA MASWAHABA WA MTUME KUMBE MAsuIFI WA HAPO TANGA WANACHEZA dufu waume kwa wanawake hata kwenye msikiti

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 3 года назад

      @@swaleheally9814 Chuki zao kwa masufi zimekupotosa mpaka akili zako na ufahamu wako, kiasi husikii lolote lenye maslahi , Kwahiyo wakikutana bwana Muhammad Idi na bwana Maoil watapiga dufu na kucheza pamoja>??
      Ikiwa Mtume saw alikutana na wakristo wa Najrani na akawakaribisha ndani ya msikiti wake ili kujadiliana nao juu ya kuwaelekeza katika dini, inakuwaje watu wa kibla pamoja mshindwe kukaa nao na kuwahubiria usawa?
      Ninyi sijui mnajifundisha kwa nani ikiwa hata sira ya Mtume hamuijui
      Kweli UWAHABI NI MZIGO

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 года назад

    HAWA MAKHURAFI HAWAJITAMBUI NI WANAJIITA AHLUSUNNA,LAKINI WAO NI MASHIA ILA HAWAJITAMUBUI,
    HAKUNA WAHABI!!!
    HAYO NI MANENO YA MASHIA NA MAKHAWARIIJI,
    NA HAWA AKINA ABU IIDDI,ALLAH AWAONGOZE WAWEZE KUIONA HAKKI NA WAIFUATE!!

  • @EngAliMohd
    @EngAliMohd 3 года назад +2

    Jibu maswala uliolizwa wacha kujigonga gonga.

  • @hamimathumani4650
    @hamimathumani4650 3 года назад +1

    Sheikh Muhammad Iddy Kuna Maswali Sheikh Qassim Mafuta Kauliza naomba tumjibu maswali yake.

  • @aliyabasi2058
    @aliyabasi2058 3 года назад +2

    Sheikh qasim amekwambia ueleze maana ya uwahabi mbona hujajibu wacha kukwepa kwepa

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 3 года назад

      Kasome kitabu, kimeshasema na mtunzi ni muwahabi mwenzenu, madhehebu ya mawahabi yapo

    • @muhammadochenje4610
      @muhammadochenje4610 2 года назад

      Sasa wewe akili yako haifanyi kazi vizuri?yaani hii clip ianze mpaka mwisho haujasikia maana na matumizi ya neno wahabi?na vitabu hivyo tena vyao wenyewe vimeashiria hili.

    • @muhammadochenje4610
      @muhammadochenje4610 2 года назад

      Hii midude kwa kweli ushabiki itawauwa uwahabi umeelezwa tena kwa hujja kutoka kwa vitabu vyao wenyewe eti bado halijajibiwa!?akili ni Mali

  • @sudeysisana5324
    @sudeysisana5324 3 года назад

    Mashaaalah

  • @muhammad-Swaabir
    @muhammad-Swaabir 3 года назад +1

    Yani sheikh ameogopa kupost kwa channel yake mpaka ameamua sana tv wamsaidie

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 3 года назад

      unaushahidi wa kuwa sheikh ameogopa>?? Ulete ushahidi huo kama sheikh ameogopa ikiwa wewe unasema ukweli

  • @bakarsharif5551
    @bakarsharif5551 3 года назад

    Barrakallah fiq

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 3 года назад

    Baaraqallahu fiiq

  • @farhannurkey
    @farhannurkey 3 года назад +1

    yaani usicheze na masalafi..hadi jamaa kaogopa kusoma kiarabu.🤣🤣

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 3 года назад

      Mwenzetu unasikia kweli au kiziwi?
      Sheikh katiririka kiarabu kama mwarabu vile

    • @farhannurkey
      @farhannurkey 3 года назад

      @@abujamalaalghammawiy7470 kwa majahil kama wewe lazima atiririke..ila kwa wanaoelewa wanajua anachokiongea huyo

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 3 года назад

      @@farhannurkey naam hakika angalau mimi ni jahili, ila huyo sheikh wenu kutuhadaa kwa kutusomea vitabu na ibara nusu nusu halafu kutuelekeza huo ndio uhalisia kumbe hata mwenye kuitabu hajasema hivyo, yaani tangu hapo nimewaondosha katika kufanya inswaf katika elimu na hadaa za kielimu
      Na Allah atawahukumu kwa hadaa hiyo

    • @jamalbahdela524
      @jamalbahdela524 2 года назад

      Mawahabi hawatokuwa ahlu sunna ht dkk 1

    • @farhannurkey
      @farhannurkey 2 года назад

      @@abujamalaalghammawiy7470 kama umekubali we jahil. kaa kimya ufundishwe sasa

  • @jailaniramadhan617
    @jailaniramadhan617 3 года назад

    Mawahab hawafai

    • @mutomubaya
      @mutomubaya 2 года назад

      Nyinyi mumekuwa watu wa kuelekezwa njia ambayo sio sahihi.
      Uwahabi uliopo ni fikra tu inakuwa ndani ya baadhi ya watu wakutamani mabaya yawafikie baadhi ya Waislamu wale wanaodai kwamba Dini wataifuata vile Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, aliifundisha kwa kufuata Mafundisho ya Quran na Sunnah na kujiepusha na Bida'a na kuwaiga Salaful Ummah.
      Je kuamua kuishi hivyo ni makosa?
      Je huo ni Uislamu s
      au la?

  • @rajabunkeygole1736
    @rajabunkeygole1736 2 года назад

    Haya madhehebu nimabaya mana yanatenganisha hadi mzazi namtoto.HAYAFAIKABISA

    • @swaleheally9814
      @swaleheally9814 2 года назад

      WEKA WAZI MADHEHEBU YAYOTENGANISHA NI YALE YANAYOFUATA SUNAH AU YALE YA KUZUSHA KTK DIN?

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 года назад

      @@swaleheally9814
      Uko kutoana ndio kufuata sunna au ??
      Maana mawahabi kazi ni kutoana tu ktk manhaji kila mmoja anajiona yeye ndio yuko sawa na mwengine amekosea ...
      Mpaka washagawika makundi chungu mzima utaskia ..
      * Hajaawira.
      * Baramika..
      * Mahizbi
      * Salafia jadiida
      * Sururiyyah ..
      Na haya majina wanaitana wao wenyewe wala hawajaitwa na Ahlusunna ili Allah awaoneshe uhakika wao.
      Nakila siku utaskia majina ya ajabu ajabu . Kazi yao ni kuugawa umma tu ..

    • @swaleheally9814
      @swaleheally9814 2 года назад

      @@saidihaji3739 NAJUA KAKA UNAPENDA DINI ILA UNASHIDA KTK NAMNA YA KUCHUKUA DINI YAKO SAHIHI
      .

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 года назад

      @@swaleheally9814
      Maneno yako hayana mnasaba na mada iliomezani .
      Kama huna cha kusema bora tu .. ukae pembeni .
      Sio lazma useme .
      Suali ni kwamba : Kuitana majina ya ajabu ajabu na kuugawa umma ambao ulikuwa kitu kimoja kwa kutoana ktk MANHAJI ndio kufuata sunna ??

    • @swaleheally9814
      @swaleheally9814 2 года назад

      @@saidihaji3739 WALIO KUJA NA MAJINA YA AJABU NI WANAO ITWA WATU WA BIDA WATU WA TWARIQAH

  • @hammadaliomar4556
    @hammadaliomar4556 2 года назад

    Zamani ktk dini yetu ilianza lini, mbona hamsemi tokea wakati wa mtume

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 года назад

    MANENO YAKO YANACHEFUWA MNO,.HAYANA DALILI KUTOKA KTK KITABU NA SUNNA
    DINI SI KASEMA FULANI NA FULANI,.
    DINI NI DALILI, KASEMA ALLAH, KASEMA رسول الله صلى الله عليه وسلم
    NA MASWAHABA WALIELEWA NA KUFANYA VIPI......

  • @sudeysisana5324
    @sudeysisana5324 3 года назад

    Barakallah fiq

  • @swaleheally9814
    @swaleheally9814 3 года назад +1

    KWA HIYO HUNAMPANGO WA KUTAMBULISHA NENO UWAHABI?
    MAANA MIONGONI MWA SWALI MUHIIMU ULILOULIZWA NI KUUTAMBUSHA HUO UWAHABI
    ILA QADIRI UNAVYOBABAISHA NDIVYO WAISLAAM WANAVYOZIDI KUJUA KUA MAASUFI HAWANA UWEZO WA KUTETEA HOJA ALLAH AWAONGOZE

    • @swaleheally9814
      @swaleheally9814 3 года назад +2

      @@khalidissa2015
      asie na kitu hana cha kutoa zaidi ya matusi kama unavyofanya wew khalidi issa.
      SISI HATUFURAHII HALI MLIZONAZO KATK HII DINI YA ALLAH HAMU YETU MUACHE UONGO KTK DINI

    • @saidburuji9984
      @saidburuji9984 3 года назад +1

      Uwahabi ni nisba ya sheikh Mohammed abdulwahabi kwa maana ya watu wanaozielewa dalili kwa ufaham wa huyu sheikh

    • @swaleheally9814
      @swaleheally9814 3 года назад

      @@saidburuji9984 NANI AMEKUTANGULIA KTK I TAARIFU HII?
      AU MSUKUMO WA MATASHI YA NAFSI KAMA WANAVYOFANYA MASUFI NA WENGINEO KTK WATU WA BIDA"A

    • @khalidissa2015
      @khalidissa2015 3 года назад +1

      Abu idi.ni.simba.atamtafuna.mafuta.mpaka.mifupa.kwa.hoja.zakielim.yy.anahoja.za.kiakil.si.zakielim

    • @alakhhassanomar6077
      @alakhhassanomar6077 3 года назад

      Hebu ww muhamadi iddi tafuta markaz ukasome kwanza angalau lugha ndipo uingie kwenye midahalo ya kielimu

  • @swaleheally9814
    @swaleheally9814 3 года назад +1

    UNAMPONGEZA SHEKH QAASIM KUTOONEKANA WAKATI WA MAZUNGUMZO YAKE .
    KWANINI UNAMPONGEZA JAMBO AMBALO WEW UNALITENDA?

    • @rajabunkeygole1736
      @rajabunkeygole1736 2 года назад

      mawahabi wanatugombanisha ndugu wafamilia.

    • @rajabunkeygole1736
      @rajabunkeygole1736 2 года назад

      muongo hapendi kuonekana wkt wakusema uongo.kwaiyo amepongezwa kuwa anaaibu

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 года назад

      Ndio kwasabb ndio msimamo wake
      Na sheikh Qasim kaona hivo .
      Lakin ukiwafuatilia masheikh wakubwa wa kiwahabi WOTE takruban Wanaonekana ..
      Sasa sheikh Abuu lddi kumsifu sheikh Qassim ktk hilo halidhoofishi chochote ktk hoja zilizotolewa .
      Sheikh Abuu lddi
      Amethibitisha uwepo wa madhhab ya UWAHABI kwa ushahidi wa vitabu vya MAWAHABI wenyewe .

  • @mwinyiulalawi4202
    @mwinyiulalawi4202 2 года назад

    Ungetueleza hayo yanayopingwa kama maulid,hitima na hizo takbira wakati wamazishi nk asili yake alifanya mtume au swahaba gani maana unasema asili yake ni wazee wetu walitoa nazi na ng'ombe hujaeleza tunamfuata mtume au wazee wetu?

  • @iddybariye7325
    @iddybariye7325 3 года назад +1

    Shekhe mbona unakwepa maswali jibu kama ulivoulizwa alf mbn hutoi taarif ya uwahabi

    • @swaleheally9814
      @swaleheally9814 3 года назад

      SHEKH WA KISUFI NA PICHA YA SHEKH WAKE PEMBENI HUENDA ANAITAQIDI PALE ANASOMESHWA NA SHEKHE WAKE MOHAMAD AYYUBU MAAN MASUFI WANAVITUKO VYA AJABU SANAA KTK HII DINI

    • @swaleheally9814
      @swaleheally9814 3 года назад

      MOHAMMADI IDDI KAJIBU NN HAPA?
      MAANA HAELEWEKI KABISAA ANACHOKIFANYA

  • @abuubakarmohd7532
    @abuubakarmohd7532 3 года назад +2

    Wewe sheikh kweli umesibitisha kuwa dini yenu munachukuwa kutoka Kwa wazee wenu
    Kwa KUSEMA "MAULIDI YANA ASILI KWA WAZEE WENU" Kweli mwafuata wazee wenu hamunfat Mtume mwafuata wazee au twambie mtume alifanya kadhaa lakin unatwambia wazee wew vp?

    • @allykisuda4568
      @allykisuda4568 3 года назад

      Hivi wew utawezaje kumfwata mtume bila kuwafwata walokutangulia..... Kua makin

    • @abuubakarmohd7532
      @abuubakarmohd7532 3 года назад

      @@allykisuda4568 abuu idi hamfuat mtum amfat wazee waliopit

    • @abuubakarmohd7532
      @abuubakarmohd7532 3 года назад

      @@allykisuda4568 elewa

    • @issamyemen8428
      @issamyemen8428 3 года назад

      Sheikh Muhammad idi Allah akuongoze.
      Umekir ktk utangulizi kwamba huto wataja wazee.
      Mbona kwenye clip hii unataja zamani tenaaa. Je kila kilicho fanywa zaman kipo sasa hihii.
      Umesem zaman tulikuapamoja ktk Maulid, zaman tunavyo peleka Maiti wetu tunasema Laaiha illa llah.
      Je unadilili ya usahihi wakufanya hivyooo

    • @ummuhafsah5499
      @ummuhafsah5499 3 года назад

      @@allykisuda4568 sasa hao mababu na maswahaba nani alitangulia?

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 3 года назад +1

    Uliulizwa maswali mengi sana kuhusu uwahabi mbona hujibu? Umeulizwa toa maana ya uwahabi ambayo nyie hamuingi. Hahaha. Huna wallah. al hady alikwambia umerudia kuvuta bangi. Je ule ni uwahabi? Hahahaha

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 3 года назад

      tulia dawa iwaingie vizuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuri

    • @eng.saalim8646
      @eng.saalim8646 3 года назад

      @@abujamalaalghammawiy7470 hahahahaha. Maskiiin habar huna. Ngoja nkutumie link ya majbu alojbiwa kwny huu uongo wake uone sasa nani ndo atulie dawaa imuingie

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 3 года назад

      @@eng.saalim8646 Nimeshamsikiliza sanaaaa huyo jamaa, Tangu alipofanya hadaa ya kutusomea kitabu nusu nusu na kisha kutupotosha , mm tangu hapo sijamuamini tena ,

    • @eng.saalim8646
      @eng.saalim8646 3 года назад

      @@abujamalaalghammawiy7470 ww kwel sio mzma. Mtu anasoma pale anapoona ni ushahidi. Kisha ww ukiona kuna sehem zinahoja yako utasema. Kwani huyo abuu idi amesoma kitabu kizima wapi. Tena ww ndi unachekesha sasa. Hv huoni abuu idi anavosoma sehem vimaneno kadhaa tena anavisoma kimakosa na sehem za kumpnga yeye hazsomi. Au hulioni hlo. Duuh. Kwl ushabiki mbayaaa

  • @saidihaji3739
    @saidihaji3739 2 года назад

    Eti hakuna UWAHABI ..
    UWAHABI UPO NA MAWAHABI WAPO.
    MAWAHABI NI : wafuasi wa Muhammad lbn Abdil Wahhab .
    Bali icho kitabu anachokisoma Sheikh Abuu Iddi ni Ushahidi tosha juu ya hilo.

    • @suleimanabdalla5022
      @suleimanabdalla5022 2 года назад

      Wasahihisha wakati wewe mwenyewe hujitambui watakiwa usahihishwe. Chizi mkubwa wewe kavutebangi ukoo

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 года назад

      @@suleimanabdalla5022
      Lugha za kejeli na ukosefu wa adabu
      Na matusi ya nguoni .. ni ktk silaha za mawahabi wakati wa kukosa hoja
      ...... Wakiwa hawana jawabu ndo wanakuwa kama hivi .
      Alhamdulillah ALLAH amewadhihirisha kwa Waislamu ..
      Lakini sisi haturejeshi matusi wala lugha mbaya kwa sabababu mfumo wetu ni :
      ﴿﴿ لَٸِن بَسَطتَ إِلَيَّ يَدَكَ لِتَقتُلَنِي مَا أنَا بِبَاسِطٍ يَدِيَ إِلَيكَ لِأَقتُلَك ؓ إِنِّي أَخافُ الله ربَ العَالمین ﴾﴾

    • @suleimanabdalla5022
      @suleimanabdalla5022 2 года назад

      Nini maana ya uwahab .

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 года назад

      @@suleimanabdalla5022
      Kama utakua umesoma vyema maelezo yangu hapo juu ..
      Ungeona kuwa jawabu lako limeshapatikana lakin inaonekana husomi vizur maelezo.
      NITAJIBU MARA NYENGINE
      UWAHABI: Ni nisba ya Muhammad lbnu Abdulwahhab nnajdiyu.
      Mtu wa ile sehemu ambayo Mtume ﷺ amesema itachomoza pembe ya sheitwan...
      Na MAWAHABI : Ni wafuasi wake ambao wanamfuata na manhaji yake .

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 3 года назад

    piga piga MAWAHABI hao sheikh mpaka wanyooke, maana ndio huwa wanakimbilia huko, eti ukiwapinga tu basi wewe ni shia, ni khawariji, SASA MZEE MWAMEDI IDI ANAWAPIGA KWA VITABU VYA MAWAHABI WENYEWEWE , HAPO WATABAKIA HAWANA HOJA MZEE WANGU, WATABAKIA KUBWABWAJA TU, ILA DAWA INAWAINGIA KWELI KWELI

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 года назад

    SHIDA NYIE MAKHURAFI MPO NYUMA YA MASHIA NA AQIDA YENU PIA NI YA MASHIA,
    NA MMEKUWA WASAIDIZIWAZURI MNO KWA KUWASAIDIA MASHIA KUWATUSI AHLU SUNNAT WALJAMAA!!

    • @fatumaamadi3169
      @fatumaamadi3169 Год назад

      kwani wewe unazani ahlu sunna Wal jamaa ni nani

    • @fatumaamadi3169
      @fatumaamadi3169 Год назад

      nyie amuitwi ahlu sunna Wal jamaa nyie mnaitwa mawahabi mpumbavu wewe

    • @hajisebeko4145
      @hajisebeko4145 Год назад

      Usiongee usilolijua