Mashaa Allah Mashaa Allah Sheikh nimefurahi sana kwa mawaidha yako mazuri yameniingia kichwani na na nafsin mwangu.Allah anijaalie nizingatie na kuyafanyia kazi maamrisho ya Allah.subhanah hu wataAllah.
Masha Allah sheykhe Izudin Allah akuweke uzidi kutuelimishe amiin Mimi nauliza hivi , Mimi nimeolewa Lakini kabla ya kuolewa niko na nyumba yangu Lkn naishi kwenye nyumba ya mume wangu je nikifa hii nyumba mume wangu anaweza kurithi kwa vile bado hatujapata mtoto naomba jibu sheykhe wangu.
@@IzudinAlwyDin Naam MAASHALLAH habiib nikupongeze Sana kwa kujibu maswali kwenye comments Ina leta faraja Sana ALLAH akupe umri mrefu wenye Barara INSHALLAH nakupenda Sana shekh kwa ajili ya ALLAH
Cha kuongezea tu hapo Dada ujue ni atakurithi nusu ya Mali yako Kama Ulikuwa hukuacha watoto na kama uliacha watoto mumeo atakuridhi robo ya Mali yako WALLAHU aa'lam
Assalam alaykum warahma tullah wabarakat shekhe mimi nna shida wazazi wangu wametengana na hawana maelewano mazuri baba yupo pemba mama yupo dar Allah kanijaalia ridhki ya mume kaja mume wamempokea lakn nilipomtafuta baba nimjulishe hakuwa hewan na kutokana mume nimempenda na yeye kanipenda nikaambiwa nidai mahari mwanamme katika dini hana tatizo na mimi anataka kunioa niwe mke wa pili shida imekuja kwa baba walipompata kumueleza kasema asihusishwe kwa lolote kisa nimedai mahari mwenyewe na kasema hatoozesha nikatafute wa kunioza je hapa nafanyaje juu ya hili
A aleykum sheikh nina suali kwa miaka mingi huku zanzibar wanawake wanafariki wakati wa kujifungua na wala yule mtoto hatolewi sasa jee sheikh vipi musuala haya
@@rashadinho8887 najua kaka ang but awa watangazaji wamesema katib redio nnur ndio nikaona channel ya shekh izudin wao wanasema redio nnur nikajua nawao walikuwepo hewani ila nimeshaipata broo nimeshaiserch
Mimi nauliza iv mimi na mtu napenda hataar lakini yeye hajui kama nampenda jee inarusiwa nikiwa na swari nikiomba duwa ya kuomba anioe nataja mpaka jina lake inarusiwa na inamfikia mlegwa plz naomba jibu nakama kuna marekezo niyambieni
Waeza kuomba dua lakini usitaji kwa ulimi taja kwa moyoni na bira mwambie huyo umpendae akuoe nibora pengine atakukubalia usiogope sio aybu kumwambia mtu umpendae napenda kuolewa na wewe .
MTUME YEYOTE ALIYEFUNGA SWAUM...ANAWEZA KUFUTURU KATIKA VYA HALALI KATIKA NYUMBA YOYOTE... ILA HILO SUALA LA KUISHI KATIKA ZINAA...HILO NI HARAMU...NA UKIWA UNAENDELEA KUISHI HIVYO SWAUM YAKO WALA SWALA YAKO HAITASWIHI NA WALA HAITOPOKELEWA...MAANA HUJALIFIKIA LENGO LA SWAUM...
Hamdhillah nashkuru sanaaaa kuifaidisha nafsi yangu kwa maneno ya Mwenyez Mungu. Mola Atuzidishie Afya na umri uzidi tuelimisha
Mashaa Allah Mashaa Allah Sheikh nimefurahi sana kwa mawaidha yako mazuri yameniingia kichwani na na nafsin mwangu.Allah anijaalie nizingatie na kuyafanyia kazi maamrisho ya Allah.subhanah hu wataAllah.
Masha Allah mungu akujalie brother uzidi nakupat elim zaid maishan mwako
Mashallah Tabarakallah! Kisha cha mwisho cha paka kimenipa ibra na natija mno. Jazakkallahu kheirran
MashaaAllah Sh.IzzuDeen endelea na kazi yako nzuri
Allah akuzidishie barak na kheir dunian na akhera ameen.mie niko Oman lkn sikujaaliwa kuja kwenye muhadhara lkn nilitaman sana.
Nakukubali shekh wew hivutii upande wako Bali unafafanua pande zote.. .ingekua wengne ndio sababu ya kujivtia upande wao...so Allah atubarik
...
Mashaa Allah akujalie umri n.a. ubora wa Afya mwenyezi mungu
Mashaa-Allah Allah akuzidishiee elimu yenyee manufaa uziidii kutuelimisha
Mashallahhh baraka Allah houfik
Mashaalah qaswida ya nabii salam alayka nii search vipi naipenda sana
Enda Ytube andika mahara zain
Utapata zot uzipendaz
Maasha Allah . MUNGU AKUZIDISHIE ELIMU ILI UTUFUNZE
JazakaAllahu kheir
Naomba mtuwekee na darsa za sheikh shamimu Allah amrehemu amin
Mashallah karibu sn znz
Mashaallah nzuri mungu akujaalie
Masha Allah sheykhe Izudin Allah akuweke uzidi kutuelimishe amiin Mimi nauliza hivi , Mimi nimeolewa Lakini kabla ya kuolewa niko na nyumba yangu Lkn naishi kwenye nyumba ya mume wangu je nikifa hii nyumba mume wangu anaweza kurithi kwa vile bado hatujapata mtoto naomba jibu sheykhe wangu.
Ndio Atakurithi kama bado yeye nimume wako
@@IzudinAlwyDin Naam MAASHALLAH habiib nikupongeze Sana kwa kujibu maswali kwenye comments Ina leta faraja Sana ALLAH akupe umri mrefu wenye Barara INSHALLAH nakupenda Sana shekh kwa ajili ya ALLAH
Cha kuongezea tu hapo Dada ujue ni atakurithi nusu ya Mali yako Kama Ulikuwa hukuacha watoto na kama uliacha watoto mumeo atakuridhi robo ya Mali yako WALLAHU aa'lam
Assalam alaykum warahma tullah wabarakat shekhe mimi nna shida wazazi wangu wametengana na hawana maelewano mazuri baba yupo pemba mama yupo dar Allah kanijaalia ridhki ya mume kaja mume wamempokea lakn nilipomtafuta baba nimjulishe hakuwa hewan na kutokana mume nimempenda na yeye kanipenda nikaambiwa nidai mahari mwanamme katika dini hana tatizo na mimi anataka kunioa niwe mke wa pili shida imekuja kwa baba walipompata kumueleza kasema asihusishwe kwa lolote kisa nimedai mahari mwenyewe na kasema hatoozesha nikatafute wa kunioza je hapa nafanyaje juu ya hili
Shuqrani shekhe maswali yaliuzwa yametupa ilimu nzuri ameeni ❤❤❤
Allah akulinde na Shari za wasiokupenda
MashaAllah Allah akupekilalakheir shekhewetu
Mashallahhh
Man'sha Allahu tabark Allah Shukran Jazeeran jazak Allah khayri
Man'sha Allah tabarka Allah jazak Allah khayran 💕
mashaalah jazakum llah, alla akulipe ishaalah
Ma’sha’Allah: Ramadhan Kareem 1440
Mashaallah sheikh
MashaAllah jazakAllah kheri Sheikh
Masha allah
Mashaallah
A aleykum sheikh nina suali kwa miaka mingi huku zanzibar wanawake wanafariki wakati wa kujifungua na wala yule mtoto hatolewi sasa jee sheikh vipi musuala haya
Masha Allah, tabarakallah
Khudh al a'fuwa wa amur-bilma'ruff.ameen Mungu atuongoe.
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh Sheikh Izudin.
HAHAHAHAHA SHEKH WANGU NAMKUBALI SANA, APO ANASEMA ET
WAKAMUULIZE UHAMIAJE
ALLAHU AKBAR
MaashAllah
Ni jambo jema kumueka Sheikh Izydin kutoa taaluma Yuki fasaha na anafaa kuigwa in kigezo chema
MashaAllah
ALLAH AKUJALIE AFYA NJEMA SHEKH
Jmn awa redio nnur wapo youtebe mbon mim nkiwasarch siwapati???? Nilikua naifatilia saana redio nnur ila sasa nimeolewa Nipo Dubai najitahid juitafuta siipat jmn nisaidieni pls
Bint Salim..hii channel ni ya Sheikh Izzudin na si ya Radio channel.
@@rashadinho8887 najua kaka ang but awa watangazaji wamesema katib redio nnur ndio nikaona channel ya shekh izudin wao wanasema redio nnur nikajua nawao walikuwepo hewani ila nimeshaipata broo nimeshaiserch
Mimi nauliza iv mimi na mtu napenda hataar lakini yeye hajui kama nampenda jee inarusiwa nikiwa na swari nikiomba duwa ya kuomba anioe nataja mpaka jina lake inarusiwa na inamfikia mlegwa plz naomba jibu nakama kuna marekezo niyambieni
Waeza kuomba dua lakini usitaji kwa ulimi taja kwa moyoni na bira mwambie huyo umpendae akuoe nibora pengine atakukubalia usiogope sio aybu kumwambia mtu umpendae napenda kuolewa na wewe .
@@IzudinAlwyDin shukran sana shekha ila kutamka kumwambia siwezi nasi atanifikilia vibaya nifundishe duwa ya kuomba
@@zenababdullah3093 soma RABBI LAA TADHARNII FARDAN WA ANTA KHAYRUL WAARITHIIN
@@IzudinAlwyDin swara ya usiku au sawara yakawa ida
Aslm alykum wewe, uwapi na swali uliloulza uweze pata shauri yuwapa faham inshaallah. Ulimuliza mwalim redio
Masha ALLAH
Jazzakumllah Khery
Maaashaallah
Shuklani sheikh 🙏🙏
Mashallah
uhibbuka fiillah
Sheikh naomba no yako
+254772611120 aw +254722611120
@@IzudinAlwyDin shukraan sheikh
yaallaah
Nurdin27 Kishik11
mashallah
Mashallah
Mashalla
MashaAllah
Jazaakallah
Naomba namba yako shekh
Shekh ww nilisema uko mwanga kwang nimejifunza mengi kwako
Mmi nauliza jee kumfanyiya hakika mtoto kama yupo tanga na hakika uifanye dar inawezekana naomba jibu
Yawezekana bila shaka
@@oyay2821 shukran sana shekhe omer azzy
Kama unataka usilm hujui kialabu utafanyeje
unarukusiwa kutamuka kuwa kisuwahil
A alykum VP hali nauliza VP kama unaishi na mtu hujafunganae ndoa je anaweza kufuturu kwenye familia ya mwanamke? nipo singida
MTUME YEYOTE ALIYEFUNGA SWAUM...ANAWEZA KUFUTURU KATIKA VYA HALALI KATIKA NYUMBA YOYOTE...
ILA HILO SUALA LA KUISHI KATIKA ZINAA...HILO NI HARAMU...NA UKIWA UNAENDELEA KUISHI HIVYO SWAUM YAKO WALA SWALA YAKO HAITASWIHI NA WALA HAITOPOKELEWA...MAANA HUJALIFIKIA LENGO LA SWAUM...
kama kapaka lipstiki
SubhanAllah
Mola akusamehe kwa dhana kama hiyo. Astaghaffirullahi!
MashaAllah
MashaAllah