KWAKE TWAPATA FARAJA
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Huu ni wimbo uliotugwa na Johann Sebastian Bach na kuwekwa maneno na Credo S. Mbogoye kisha kuimbwa na kwaya ya Bikira Maria Mshindaji iliyopo Parokia ya Kigoma mjini, Jimbo Katoliki Kigoma.
Waimbaji hawa wanakukaribisha uweze kushiriki katika kutazama video yao hii ambayo ni miongoni mwa nyingine nyingi zinazofanya album yao mpya.
waweza kuwasiliana nao kupitia namba +255 755 762 591
#kwayakatoliki
Wanakwaya wamedhurumiwa😢😢😢 haki yao na uyu jamaa
Laah siivyo ingekuwa kwaya Bora sana
Wimbo Mzuri, waimbaji wameimba vizur, ngoma haina shida, melody nzuri, kiufupi well performed. Kuna mambo ya kuzingatia kwenye muziki siyo ststic ni dynamic, hongereeni sana!
Duuuuh inahuzunisha sana 😢😢😢
Ujumbe umeendana na matayarisho big up kaka Credo Mbogoye hujawahi kukosea kutendea haki nyimbo hizi
maekisi
Hapa mmemwakilisha vzr sana mtunzi mwenyewe Bach. Wimbo maarufu sana huu. Hongereni sana Wanakwaya wote.
Kazi nzuri. Wimbo mzuri. Ray kaka angu umefanya vizuri. Ila sauti nyepesi sana.
Classic song, nota zake si mchezo. Hongera sana kaka
Amina wanakwaya wa bikira maria mshindaji mubarikiwe kwa wimbo wenu mzuri, Twapata faraja
Kazi zako ni nzuri sana. Big up RAJO PRODUCTION
MBARIKIWE NDUGU ZETU KWA KUMSIFU MUNGU KWA NYIMBO NZURI SAAAANA!
Hongera mtunzi na waimbaji kwa mpangilio mzuri .Hata hivyo wimbo mzuri umekuwa wa muda mfupi sana ambapo melody imepewa nafasi kubwa sana hadi kupoteza maana na utamu.Ujumbe ni mzuri lakini mfupi mno why why why wakati ni watunzi wazoefu
Naomba kukuelimisha kaka. Wimbo huu umetungwa na mtunzi anayeitwa Johann Sebastian Bach, na wimbo huu unaitwa Jesus Joy of Man's Desiring...kuanzia ala na mpangilio wa nota zake umechorwa kama unavyosikika. Kilichofanyika hapa ni kuweka maneno ya Kiswahili, na yamewekwa kwa kadiri ya mtunzi alivyochora. hakuna ala zilizopigwa kwa urefu zaidi kwamba eti mpigaji kajisikia kupiga tuu, hapana, kila unachosikia ndivyo kilivyochorwa. Utafute uusikilize kaka, kisha rejea tena kwenye huu wenye maneno ya kiswahili, then rejea coment yako.
Jibu zuri sana. Ni busara kuuliza kwanza kabla ya kukosa kitu kama hukichui
Deusdedit Muguha @
hongereni sana bmm
mbona mapigo ya wimbo na uimbaji yanatofautiana?? haijakaa sawa kabisa
MBARIKIWE KWA NYIMBO TAMU ......
Ujumbe mzuri saana japo mepooza kidogo
Umepooza??? mimi nalaumu kwa nini wametumia ngoma!! na kuukimbiza spidi kiasi hicho!!! kweli tunatofautiana maana asili ya wimbo huu"Jesu, Joy of Man's Desiring" ni wimbo laini wa polepole ambao sii lazima saana kutumia beat
Kazi nzuri mbarikiwe saana
how amazing. God Bless you all
Kazi Nzur sanaaa hongereni
Magnifique !
Nice song waah inabariki
wote mmeimba sauti moja,sauti ya tatu na nne hawajasikika. ila kazi nzuri
Wonderful songs
mbarikiwe sana
RAJO best audio and video producer in tz
hongera
Hongereni ila merodi yenu imeboa Sana Badilisheni
unamaanisha nini unaposema melody?
unamaanisha nini unaposema melody?
Mmeimba kisabato mno
Sio kisabato hiyo ndo catholic nature song
Huu wimbo ni " Heavy weight" wenyewe wazungu hawatumii ngoma sijui ni nani aliyewapotosha watumie ngoma. Sio kwa sababu kinanda kina ngoma basi kila wimbo ni ngoma tuu!!!Hata hivyo waimbaji wameimba vizuri na wamefungua ukurasa wa kwaya zetu kuzigusa nyimbo kubwa na za watunzi wazito.Hongereni kwa hilo
ruclips.net/video/HSZg6sQ5J2k/видео.html
Sidhani kama ngoma zinaharibu chochote.
Wonderful songs