Baba kakobe nikikuona ivi kwenye picha ..nakukumbuka ukiwa ktk kuhubiri injili pale Iringa mjini mwaka 1995 ivi ,,,nikiwa Drs la saba..ktk pitapita maeneo hayo nilikuta Bango kubwa barabarani leny maandishi .... Z Ka kobe ..kiboko Cha majini..nikashawishiwa kuja mkutanoni Ili nimuone muhubiri huyo ambaye hayaogopi majini..matokeo yk nikakutana na Yesu huko.
Baba kakobe nikikuona ivi kwenye picha ..nakukumbuka ukiwa ktk kuhubiri injili pale Iringa mjini mwaka 1995 ivi ,,,nikiwa Drs la saba..ktk pitapita maeneo hayo nilikuta Bango kubwa barabarani leny maandishi .... Z Ka kobe ..kiboko Cha majini..nikashawishiwa kuja mkutanoni Ili nimuone muhubiri huyo ambaye hayaogopi majini..matokeo yk nikakutana na Yesu huko.
Wewe ndie mwalimu wangu na ndie ulienibatiza mwaka 2000 BWANA akutunze
Amina baba
Uzidi kubarikiwa baba kakobe
Mungu akupe maisha marefu ili wengi waokolewe .Tunangoja vitabu kwa hamu kubwa Amina 4:38
Asante Mtumishi kwa neno lenye uzima.Mungu azidi kukutumia.
Kazi Yako njema baba kakobe kwa mafundisho yk yny NEEMA Nyingi..na yenye kututia Nuru
Where is our precious Man of God?
ruclips.net/video/xA5Ag3u7gZs/видео.html
Brikiwa saana mtumishi wa Mungu mkuu
Amen 🙏
Mtumichi mungu a kubariki Niko n'a chida ombeya dada yangu eko n'a gojua n'a kancert mungu wako amu ponye katika njina la yezu amen.
Mungu akutie nguvu
Amen daddy
Mungu akubariki amen
Amen
Amina kwa some zur
Kila naposikia saut ako najisikia fahari San moyon mwangu
Amina Baba
Amen and Amen