AGANO LA DAMU Part 1 -Zachary Kakobe

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 20

  • @selakangao2279
    @selakangao2279 Год назад +6

    Baba kakobe nikikuona ivi kwenye picha ..nakukumbuka ukiwa ktk kuhubiri injili pale Iringa mjini mwaka 1995 ivi ,,,nikiwa Drs la saba..ktk pitapita maeneo hayo nilikuta Bango kubwa barabarani leny maandishi .... Z Ka kobe ..kiboko Cha majini..nikashawishiwa kuja mkutanoni Ili nimuone muhubiri huyo ambaye hayaogopi majini..matokeo yk nikakutana na Yesu huko.

  • @mwalimubennysanga1637
    @mwalimubennysanga1637 Год назад +1

    Wewe ndie mwalimu wangu na ndie ulienibatiza mwaka 2000 BWANA akutunze

  • @FlavianaNoel-c4j
    @FlavianaNoel-c4j 11 месяцев назад +1

    Amina baba

  • @kitwanajohn8237
    @kitwanajohn8237 Год назад +1

    Uzidi kubarikiwa baba kakobe

  • @davidmwatonoka1973
    @davidmwatonoka1973 8 месяцев назад +1

    Mungu akupe maisha marefu ili wengi waokolewe .Tunangoja vitabu kwa hamu kubwa Amina 4:38

  • @BidolaLuhindi-nl3ib
    @BidolaLuhindi-nl3ib Год назад +2

    Asante Mtumishi kwa neno lenye uzima.Mungu azidi kukutumia.

  • @selakangao2279
    @selakangao2279 Год назад +1

    Kazi Yako njema baba kakobe kwa mafundisho yk yny NEEMA Nyingi..na yenye kututia Nuru

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima5281 Год назад +1

    Where is our precious Man of God?

  • @jeancharles7154
    @jeancharles7154 Год назад +1

    Brikiwa saana mtumishi wa Mungu mkuu

  • @bakwalufuantoine
    @bakwalufuantoine Год назад

    Mtumichi mungu a kubariki Niko n'a chida ombeya dada yangu eko n'a gojua n'a kancert mungu wako amu ponye katika njina la yezu amen.

  • @RobatiKilima
    @RobatiKilima Год назад +1

    Mungu akutie nguvu

  • @gofreypilla5687
    @gofreypilla5687 Год назад +1

    Amen daddy

  • @cheistinasepe6633
    @cheistinasepe6633 Год назад +1

    Mungu akubariki amen

  • @daddysalha5883
    @daddysalha5883 Год назад +1

    Amen

  • @brytonybrytonyblowsmlowe309
    @brytonybrytonyblowsmlowe309 2 года назад

    Amina kwa some zur

  • @esnathakiba9553
    @esnathakiba9553 2 года назад +1

    Kila naposikia saut ako najisikia fahari San moyon mwangu

  • @gofreypilla5687
    @gofreypilla5687 7 месяцев назад +1

    Amina Baba

  • @mercynadia3140
    @mercynadia3140 Год назад +1

    Amen and Amen