FANYA MEDITATION HIZI UKIWA PEKE YAKO MUUJIZA HUU UTATOKEA MBELE YAKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 44

  • @sarahfeni1866
    @sarahfeni1866 10 месяцев назад +5

    Ubalikiwe sana kaka yetu 🙏 siku nitaweza ili zoezi nitafulahi sana maana naanza kujalibu rakini bado

  • @Liliankerubo-j3f
    @Liliankerubo-j3f 10 месяцев назад +8

    Asante Fafanuo media nilifanya ile ya pesa gafhla nikapata kazi extra Asante kwa kutuelimisha

    • @sarahfeni1866
      @sarahfeni1866 10 месяцев назад +5

      Ameeeeeen 🙌🙌 kwa kweri mungu azidi kudufunguliya milango yetu

  • @sofiaaoscarkenga
    @sofiaaoscarkenga Месяц назад +2

    meditation ufanya popote au kuna mahali.maalumu.unapswa kwenda

  • @KhadijaMohammedburhani
    @KhadijaMohammedburhani Месяц назад +2

    Kabisa nimejifunza

  • @BahatiMpatama
    @BahatiMpatama Месяц назад +1

    Ahsante

  • @SesiliaMorice
    @SesiliaMorice 9 дней назад

    🙏🙏🙏🧘

  • @MagrethShafii
    @MagrethShafii 2 дня назад

    Am gonna do it wallah

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 Месяц назад +1

    Ndio

  • @APÔTREMELCHISEDEK
    @APÔTREMELCHISEDEK 2 месяца назад +1

    Aksanti sana kwa funzo.❤🎉

  • @EliasElias-z2b
    @EliasElias-z2b 4 месяца назад +1

    Ahsante brow🙏

  • @TunsumeMwaijumba
    @TunsumeMwaijumba 4 месяца назад +1

    Hadi laha najifunza vitu vingi sana kimaisha asante

  • @MusubahoAlpha
    @MusubahoAlpha 4 месяца назад +1

    Jambo na furahia hili jambo nataka nipate melezo zaidi sababu nimelipenda sana

  • @LowasaNgai
    @LowasaNgai 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana my brother unanibadilisha God bless you nakupenda sana

  • @EsterJames-b6m
    @EsterJames-b6m 2 месяца назад +1

    Nataman kujifunza

  • @AllianceZawadi-x1r
    @AllianceZawadi-x1r 6 месяцев назад +1

    Asante sana kwamafundisho

  • @DanielAgostinhoIdi
    @DanielAgostinhoIdi 6 месяцев назад +1

    Asante sana 🎉❤

  • @BakariMussa-to2me
    @BakariMussa-to2me 7 месяцев назад +1

    Asante

  • @Reema12-v5j
    @Reema12-v5j 9 месяцев назад +1

    Asante sana fafanua media

  • @Elijah-v8q
    @Elijah-v8q 3 месяца назад +1

    ndio ninahanza

  • @raismalingumutz8473
    @raismalingumutz8473 9 месяцев назад +1

    Asante sana

  • @monicamonica1511
    @monicamonica1511 9 месяцев назад +1

    Nimeshimdwa huo mkao kwakweli.

  • @StellaMsuya-fy7ce
    @StellaMsuya-fy7ce Месяц назад

    Naomba kujua kama inafaa kufanya uck

  • @DEBORAITEGANA-wg7vo
    @DEBORAITEGANA-wg7vo 8 месяцев назад +3

    Mimi ninafuraha ninapesa nyingi ninasaidia wasiojiweza na kukidhi mahitaji yangu

  • @Peris-r5u
    @Peris-r5u 2 месяца назад +1

    Kwa siku ngapi umalize zoezi?

  • @AshaMohamed-w6v
    @AshaMohamed-w6v 6 месяцев назад

    Najaribu kufanya meditat lakini bado ila upaji wa USO wangu nikikaa peke yangu ama na watu ..akili inahama na kwenye paji panavuta

  • @InnossMaurice-nh3zl
    @InnossMaurice-nh3zl 7 месяцев назад +2

    Niliomba iandaliwe basi ile video ya MEDITATION YA RANGI ZOTE na matibabu yake

  • @fatmaathumani7569
    @fatmaathumani7569 5 месяцев назад

    Naomba no yako kk yangu plz

  • @monicamonica1511
    @monicamonica1511 9 месяцев назад

    Kma aliyeninenea mabaya keshaenda mbele ya haki je !

  • @ZuhuraThabitkamtande-ki5gl
    @ZuhuraThabitkamtande-ki5gl 9 месяцев назад

    Mimi mwenyew kukaa hivyo siwez na mwili mkubwa kidogo sa tutakaaje

    • @ibrahimabdallah7639
      @ibrahimabdallah7639 8 месяцев назад

      Unaweza kaa kwenye kiti kitakacho kufanya ukae wima

  • @StevenBenjamin-hy1bn
    @StevenBenjamin-hy1bn 9 месяцев назад

    Meditation ya kusogea kutoka sehem moja unakuaje au unapotea?

  • @KalabaKlb
    @KalabaKlb 9 месяцев назад +1

    Uwaga miye ninashindwa kukaa mukao kama ule kk

    • @monicamonica1511
      @monicamonica1511 9 месяцев назад

      Hata Mimi nimeshindwa.Miguu inauma.Chaajabu eti ndio mkao unaotakikana.

    • @edwardgistave7808
      @edwardgistave7808 8 месяцев назад

      Sio lazma mkoa huo kaaa mkoa ambao una uwekza haitakiwi uuomie hata mimi siwezi huo mkao

  • @HanifaRashid-kt8ww
    @HanifaRashid-kt8ww 7 месяцев назад

    Mimi nataka nifanye kwaajiri yamwanaume wangu arieniacha je nifanyaje

    • @HaniyaKisingo
      @HaniyaKisingo 7 месяцев назад

      Duh Embu fanya kwa faida yako una mfanyia mtu wkt mwili ji wako alie kuacha kakuacha

    • @ChipkiziRashid
      @ChipkiziRashid 6 месяцев назад

      Njoo nikufundishe Mimi

    • @wardagogodigo1111
      @wardagogodigo1111 4 месяца назад

      Ww ni bora kuliko huyo mwanaume jipe thamani.

  • @AshaMohamed-w6v
    @AshaMohamed-w6v 6 месяцев назад +1

    Najaribu kufanya meditat lakini bado ila upaji wa USO wangu nikikaa peke yangu ama na watu ..akili inahama na kwenye paji panavuta

  • @AshaMohamed-w6v
    @AshaMohamed-w6v 6 месяцев назад

    Najaribu kufanya meditat lakini bado ila upaji wa USO wangu nikikaa peke yangu ama na watu ..akili inahama na kwenye paji panavuta

  • @AshaMohamed-w6v
    @AshaMohamed-w6v 6 месяцев назад

    Najaribu kufanya meditat lakini bado ila upaji wa USO wangu nikikaa peke yangu ama na watu ..akili inahama na kwenye paji panavuta