Kabisa umezungumza ukweli ila safari ya wanaisilaeli ilikuwa ngumu na ya kutisha lakini mungu aliwasaidia hivyo basi na sisi tukiwa wamoja na tukakubali kukabiliana nao Kwa vyo vyote watakavyo tukabili saa ya ukombozi ni hii mungu awabariki,,,mungu ibariki tanzania
Mwendazake angekuwpo Hilo tawi linge limwa sululu
MZIMU WA MUNGU UNAOTEMBEA KWA UJASIRI 👏🏻👏🏻🙏🙏🙏
❤❤
lissu akili nyingi sana ndio maana maccm walitaka kumuuwa wakashindwa
Nabii Jeremiah
Vitani kweli kama tume ni ile ile na kanuni ni zile zile chaguzi zijazo za 2024 na 2025 wasimamizi wa kanuni mmebebeshwa mabomu mgongoni.
Asante
Kabisa umezungumza ukweli ila safari ya wanaisilaeli ilikuwa ngumu na ya kutisha lakini mungu aliwasaidia hivyo basi na sisi tukiwa wamoja na tukakubali kukabiliana nao Kwa vyo vyote watakavyo tukabili saa ya ukombozi ni hii mungu awabariki,,,mungu ibariki tanzania
Mwenyezi Mungu akulinda na kila adui mwovu mbele yako
Tukinukishe hatutapewa tume huru makijani yamenyari