Safi sana picha au filamu iko vizuri kwa kweli mlijipanga, mbele ya mastarring ninao waona hapo Asha boko,mtt mzuri hidaya boi na wote hao picha limekamilika ongera sana 👏👏👏👏🤜🤛💪
Movie yenyewe freshi kabisa..Lakini wapi part 2??Naomba sehem ya pili ya movie??Pia naomba,punguzeni sauti za nyimbo,wakati actors wanaongea..Kuna kwingine hakuskiki
Huyu mama tena balaa lakuka na vibenten masikini kijana anamuonea mama huruma mwisho back ground yaumizaa kweli kumbe baba alikuwa wakulelewa mwisho watoto wanagawanywa Kama mafungu ya nyanya nahisi huyu jamani wakuhonga doctor afichiwe siri ndo ndugu mtu kamgonga sijui vitakuwa vip😱😱😱😱😱😱😱😱😱
Kutafutiwa mwanaume usiempenda hii pia mitihani watu wamekuwa warabu subutu najitafutia mwenyewe hata kama ni masikini kwaza mm wanaume wapesa siwataki watakunyanyasa
Nampenda sana Hidaya Boli Haswaa Anavyongea na Mapoz yake Na Macho yake mdomo wake Na karangi chake Kiukwel nikiaangalia filamu Ya Madebe Kama yy hayupo bac siimalizi
Maansha Allah muvie mzuri pia nikiyaona mazingira ya nyumbni najiisi rahaa, nipo Omani
Wewe unajiskiyarahaaeehh
keif halik
@@daishajumanne5990 nzeni
Asante nimefungua kwajili ya asha boko to
Me too😂😂😂☝
Nimeangalia hii kwajili ya hidaya tyuu nakupenda kwa ajili ya allah
M pia kwa ajili ya hiday boli classmate mwenzangu nazipenda kwel muvi zake yaan alieigiza kam jack
Na mm Nampenda sana hidaya Boli Maashaallah Mzur balaa
Shukran Sana Picha Tamuuu, Wa Mziki Arekebishe Plz, Hongereni.
Filamu nzuri tatizo nvombo vipo juu sana kulikoni sauti zenu,tafadhali jirekebisheni asanteni sana
Wangapi wamefikishwa ju ya asha boko apa...plz tujuane
Safi sana picha au filamu iko vizuri kwa kweli mlijipanga, mbele ya mastarring ninao waona hapo Asha boko,mtt mzuri hidaya boi na wote hao picha limekamilika ongera sana 👏👏👏👏🤜🤛💪
0
Asha Boko uko vzr sana mama nakubali
Hidaya wang asha boko 👌👌👌👌👌asant kwahote
Sonzur hata ipokawaida 2yu
@@janethnestory1062 ya kawaida tu ila nampenda tu uyu dada
Yan kwenye saut mmefer vibaya mno daaaaa!!! Mizik tu juuuuuu😏😏😏😏😏
Hiki ndo kitu nisicho kipenda kudet na mwanaume ninae mzid umri haswa ukiwa na watoto ni aib kabsa ahsanten movie nzur sana Ina mafunzo
Kabisa aibu kweli na hasa watoto wa siku izi
Nampenda Sana hidaya boli❤️❤️❤️
🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asha bwana hiyo pasi moto AMA baridi😂😂😂😂😂😂😂😂
Baridiii😂😂😂😂😂
Dada nakupendea tu hayo macho 😍
Movie nzuri nimeipenda lakini mziki uko juu sauti ya maongezi iko chini
Tunawaombeni mtoe mziki wakati wa kuongea
Nimeingia hapa Kwa ajili ya tino na penda sana anavyo igiza
Wow kazi nzuli Jr hapa from moro tz
Mashaallah nimeipend san
Mh mbon kama ndug wanaenda kumpenda mwanamke 1 🙆🙆
Mie huyu Hidaya nampendaga kadada kazur sana
Hata mm hua nampenda kwel hyu dada jaman
@Husna Rajabu sana
Na mimi pia namipenda anamacho kama yangu mashallah
@Husna Rajabu kwel ukitaka kujuwa mwanamuke muzuri mutafute kabra hajajipodowa
@@ugalimtamu2138 kumbe?
Mama mlevi mpaka niaibu wallah alafu yuwapenda viben10 salala
😅😅Nampenda Sana Asha boko 😂😂😂😂😂
Asha wapendeza mama hongera
Masha Allah tabaraka Allah😍😍💕
haha kama umemskia asha boco mbona hujapija hata pasi like twende sawa hapa 😂😂😂eti kitanda chako kina kunguni 😂😂😄😄
Mziki uko juu sana kuliko sauti ya watu
Sauti wameweka ndogo
Nyc one, I love it
Oooh nice...waiting part 2
Thanks for watching
Jamani mm nikiona uyu dada jitho siwezi mpita
ninzuli lakini mnazidisha matangazo Sana punguzeni
Kazi nzuli
Movie iko vizuri hongeleni washiliki wote lakini jitaidini kupunguza mziki ili maneno yasikike
Swadakta
Asha boko una nifurahisha sana una mfukuza mkweo na pasi
👌👌👌 tulikuwa tunaingoja
Movie yenyewe freshi kabisa..Lakini wapi part 2??Naomba sehem ya pili ya movie??Pia naomba,punguzeni sauti za nyimbo,wakati actors wanaongea..Kuna kwingine hakuskiki
Yaan ndivyo Walivyo bongo muv waliobakia kila siku tatizo moja mzikiii I ssaut chin Wanaboa kishet yaan
Yeah wamesikia malalamiko yetu
Kwel kabisa
Kweli yni sauti
aaaa wanaume hee
Watching From NAIROBI KENYA
Eastleigh😎
Jamani hidaya nakupenda bureee
Mashallah nzur
Haha daa jmn Pesa izi nyie zinafanya tunadhalaulika ukweni 🖐
Jamani mbona hapo kwaa ashaboko vinanda viko juuuu mpaka usikii vizuri
My sara penda sana n asha boko
Tunaomba patitu
Jaman sound ya music is too loud ina kera.kwani lazima muweke music kama hamuwezi ku balance.
Ni nzur ila nampenda hidaya
Saaana Maashaallah hidayaaaaaaaaaa
Asha boko warererere wataka mkwe wa pesa maa!
Ako sawa.mtt umlelee awe na ubikira wake kisha aje mtu hata kazi hana ni shda
Jamani mweendelezo
Pat 2 jomon
jamaa umeigiza
Movie Iko poa ttzo sound ya music Iko juu kupitiliza jalibun kubalance ili muweze kuskika nyie
Maziki makubwa kuliko saut mnaboa
Jamni nimecheka tu san hahhhhh
Nzuri hapo maali lacation poa sana
Jaman Asha boko unanikosha
Nzuri San tatizo matango mnazidisha san punguzen band linakata kwa matangazo time
Kwendraaaa😂😂😂 katafute kazi utaniuwa na njaa🙌
Nampenda tino na asha ongera
No ongera say hongera
Mtoto unamfuatilia mama yko kama mkeo hovyoo
Ndio maana anatembea na watoto wadogo sio heshima tena anawaleta kwanyumba sio poa
Ako sawa kumrekebisha hata kama ni mamake
Asha mamalao uko bie 💋💋💋💋💋
mziki punguzeni unatuumiza masikio
Kwa kweli wapunguze mziki
Hata nashindwa mziki wanii?ndio mana napenda muvi za madebe hazina makelele
Wasoma comments tujuane naona mambo mazur
Mimi Apa mmoja wapo
Qonqie💚
Huyu mama tena balaa lakuka na vibenten masikini kijana anamuonea mama huruma mwisho back ground yaumizaa kweli kumbe baba alikuwa wakulelewa mwisho watoto wanagawanywa Kama mafungu ya nyanya nahisi huyu jamani wakuhonga doctor afichiwe siri ndo ndugu mtu kamgonga sijui vitakuwa vip😱😱😱😱😱😱😱😱😱
Jamani mbona part 2 mukasema kama leo itaja lakini siioni
hivi hayo mamuziki nyuma ya movie ni lazima kuyaweka yanapoteza ubora wote aisee,,kelele tu
good movie
❤❤❤
Haha 😂 Aisha boko wwe n kiboko kweli ....Yani wamfukuza mkweo na pasi 😂😂😂
Pasi hata haina moto😅😅😅
Wanaongea nini mbona hawasikiki
Mwendelezo
party 2 iko wapi
Makelele ya Mziki hatusikilizani
Shida miziki na misauti iko juu kushinda sauti zenu punguzeni kelele background
😍😍
Ckuhz uvaaj huu hiday dooh!!!
Ameenda kwenye group lisilokuwa na maadili katika mavazi tofauti na LIDAI
@@athumanitanuke6795 Ndio kuendelea. Bila kukaa uchi huwa hujaendelea
Iko po a👌
Jamani pungezeni muziki kwani huwa nilazima mueke muziki muna boo
Maneno mengine hayaskiki mzik juu
Film nzuri hizi kengele za nini jamani 😃
Asha boko ss wapemba hatuna tabia iyo tuombe radhi
Hahahaha
Kutafutiwa mwanaume usiempenda hii pia mitihani watu wamekuwa warabu subutu najitafutia mwenyewe hata kama ni masikini kwaza mm wanaume wapesa siwataki watakunyanyasa
Sio wote wengine wanamapenzy ya dhati
Asanten tunaomben mwendelezo
❤kisura changu
Jmn muenderezo 👏
sasa mziki yote yanini yakutumvunja mackio movie nzur ila kasor mziki😏
Mcheza singeli 😂😂😂asha bok vituko
🤣🤣🤣Ila Leo kajitahid
Jamani mabo ni moto
Part 2 plz
Asha bko nd hidayaa
Muendelezo jamani imeisha patamu
Uliye mgonga ni Peter nahisi utamhudumia then atakuja kutilia mimba mkeo
Sehemu ya pili jamani.
Nampenda sana Hidaya Boli Haswaa Anavyongea na Mapoz yake Na Macho yake mdomo wake Na karangi chake Kiukwel nikiaangalia filamu Ya Madebe Kama yy hayupo bac siimalizi
Nice movie ❣️❣️
Move nzur jamn
Part iko wapi
Nice mv
Kumbe ndicho wanachokifanya wanaume
Natamani Nije nikuone mtt mzuri hidaya boli nina zawadi yako,nitafute.
Allah amemjaalia uzuri
@@majaliwamussa9268 kizuri kipewe sifa, hila sijui kwa sasa bado uzuri upo au mtindo chemist 🤣🤣🤣🏃♂️🏃♂️
Punguzn sauth ya mzk achilien movi itmbe
Nice
Saudi noma