USALITI |Tino Muya|Asha boko|Hidaya Boli|BONGO MOVIE 2020

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 176

  • @abduibrahim7363
    @abduibrahim7363 3 года назад +4

    Maansha Allah muvie mzuri pia nikiyaona mazingira ya nyumbni najiisi rahaa, nipo Omani

  • @ruqayaisumaili33
    @ruqayaisumaili33 4 года назад +6

    Asante nimefungua kwajili ya asha boko to

  • @habibaa9503
    @habibaa9503 4 года назад +10

    Nimeangalia hii kwajili ya hidaya tyuu nakupenda kwa ajili ya allah

    • @allmassmohamedy1415
      @allmassmohamedy1415 3 года назад

      M pia kwa ajili ya hiday boli classmate mwenzangu nazipenda kwel muvi zake yaan alieigiza kam jack

    • @zuhurazuh516
      @zuhurazuh516 3 года назад

      Na mm Nampenda sana hidaya Boli Maashaallah Mzur balaa

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 3 года назад +2

    Shukran Sana Picha Tamuuu, Wa Mziki Arekebishe Plz, Hongereni.

  • @judithmasida8504
    @judithmasida8504 3 года назад +4

    Filamu nzuri tatizo nvombo vipo juu sana kulikoni sauti zenu,tafadhali jirekebisheni asanteni sana

  • @aamyaamy8504
    @aamyaamy8504 3 года назад +7

    Wangapi wamefikishwa ju ya asha boko apa...plz tujuane

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 4 года назад +8

    Safi sana picha au filamu iko vizuri kwa kweli mlijipanga, mbele ya mastarring ninao waona hapo Asha boko,mtt mzuri hidaya boi na wote hao picha limekamilika ongera sana 👏👏👏👏🤜🤛💪

  • @liliankhavakali3878
    @liliankhavakali3878 3 года назад +4

    Asha Boko uko vzr sana mama nakubali

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 4 года назад +7

    Hidaya wang asha boko 👌👌👌👌👌asant kwahote

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 4 года назад +6

    Yan kwenye saut mmefer vibaya mno daaaaa!!! Mizik tu juuuuuu😏😏😏😏😏

  • @fraziamsonge4492
    @fraziamsonge4492 3 года назад +3

    Hiki ndo kitu nisicho kipenda kudet na mwanaume ninae mzid umri haswa ukiwa na watoto ni aib kabsa ahsanten movie nzur sana Ina mafunzo

  • @bredawakio5381
    @bredawakio5381 2 года назад +2

    Nampenda Sana hidaya boli❤️❤️❤️

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 года назад +8

    🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asha bwana hiyo pasi moto AMA baridi😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Baridiii😂😂😂😂😂

  • @lizzybeb6842
    @lizzybeb6842 3 года назад +1

    Dada nakupendea tu hayo macho 😍

  • @alialhajry4458
    @alialhajry4458 4 года назад +3

    Movie nzuri nimeipenda lakini mziki uko juu sauti ya maongezi iko chini

    • @alialhajry4458
      @alialhajry4458 4 года назад

      Tunawaombeni mtoe mziki wakati wa kuongea

  • @hawasaid2566
    @hawasaid2566 4 года назад +8

    Nimeingia hapa Kwa ajili ya tino na penda sana anavyo igiza

  • @Josepht-gs8mj
    @Josepht-gs8mj 5 месяцев назад

    Wow kazi nzuli Jr hapa from moro tz

  • @khaijajumanne1317
    @khaijajumanne1317 4 года назад +7

    Mashaallah nimeipend san

  • @aisharmanyanja8877
    @aisharmanyanja8877 3 года назад

    Mh mbon kama ndug wanaenda kumpenda mwanamke 1 🙆🙆

  • @aishaimam1442
    @aishaimam1442 4 года назад +20

    Mie huyu Hidaya nampendaga kadada kazur sana

    • @rukiaali8481
      @rukiaali8481 4 года назад

      Hata mm hua nampenda kwel hyu dada jaman

    • @naimasaid7763
      @naimasaid7763 4 года назад

      @Husna Rajabu sana

    • @ugalimtamu2138
      @ugalimtamu2138 3 года назад +1

      Na mimi pia namipenda anamacho kama yangu mashallah

    • @happypa2027
      @happypa2027 3 года назад

      @Husna Rajabu kwel ukitaka kujuwa mwanamuke muzuri mutafute kabra hajajipodowa

    • @bindawood978
      @bindawood978 3 года назад

      @@ugalimtamu2138 kumbe?

  • @mwakaathumani4793
    @mwakaathumani4793 3 года назад +1

    Mama mlevi mpaka niaibu wallah alafu yuwapenda viben10 salala

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 Год назад

    😅😅Nampenda Sana Asha boko 😂😂😂😂😂

  • @mma8988
    @mma8988 3 года назад +2

    Asha wapendeza mama hongera

  • @rashidahmed7504
    @rashidahmed7504 3 года назад +1

    haha kama umemskia asha boco mbona hujapija hata pasi like twende sawa hapa 😂😂😂eti kitanda chako kina kunguni 😂😂😄😄

  • @waleedabdul55
    @waleedabdul55 3 года назад +1

    Mziki uko juu sana kuliko sauti ya watu

  • @zawadicharo9740
    @zawadicharo9740 3 года назад +3

    Nyc one, I love it

  • @sheilamdachi9346
    @sheilamdachi9346 4 года назад +5

    Oooh nice...waiting part 2

    • @Halisitv
      @Halisitv  3 года назад

      Thanks for watching

  • @SaraSara-gi9he
    @SaraSara-gi9he 4 года назад +2

    Jamani mm nikiona uyu dada jitho siwezi mpita

  • @jennifersimpanga2748
    @jennifersimpanga2748 3 года назад +2

    ninzuli lakini mnazidisha matangazo Sana punguzeni

  • @hawahawa6915
    @hawahawa6915 3 года назад +2

    Kazi nzuli

  • @yusuphchakupewa7273
    @yusuphchakupewa7273 4 года назад +3

    Movie iko vizuri hongeleni washiliki wote lakini jitaidini kupunguza mziki ili maneno yasikike

  • @gracesiwale7066
    @gracesiwale7066 3 года назад

    Asha boko una nifurahisha sana una mfukuza mkweo na pasi

  • @rehemabakali494
    @rehemabakali494 4 года назад +3

    👌👌👌 tulikuwa tunaingoja

  • @mcteekaya.k.abigstorm5699
    @mcteekaya.k.abigstorm5699 4 года назад +8

    Movie yenyewe freshi kabisa..Lakini wapi part 2??Naomba sehem ya pili ya movie??Pia naomba,punguzeni sauti za nyimbo,wakati actors wanaongea..Kuna kwingine hakuskiki

  • @fatimaf5284
    @fatimaf5284 2 года назад

    aaaa wanaume hee

  • @mahmudmustafa8588
    @mahmudmustafa8588 3 года назад +1

    Watching From NAIROBI KENYA

  • @zuleamikidadi6312
    @zuleamikidadi6312 3 года назад +1

    Jamani hidaya nakupenda bureee

  • @aishaimam1442
    @aishaimam1442 4 года назад +5

    Mashallah nzur

  • @foodbae124
    @foodbae124 3 года назад +1

    Haha daa jmn Pesa izi nyie zinafanya tunadhalaulika ukweni 🖐

  • @farmamohamedy9264
    @farmamohamedy9264 3 года назад

    Jamani mbona hapo kwaa ashaboko vinanda viko juuuu mpaka usikii vizuri

  • @mariammwendakazungu5783
    @mariammwendakazungu5783 4 года назад +6

    My sara penda sana n asha boko

  • @salmaabdillah9293
    @salmaabdillah9293 3 года назад +2

    Jaman sound ya music is too loud ina kera.kwani lazima muweke music kama hamuwezi ku balance.

  • @ashajabiri8008
    @ashajabiri8008 4 года назад +3

    Ni nzur ila nampenda hidaya

    • @zuhurazuh516
      @zuhurazuh516 3 года назад

      Saaana Maashaallah hidayaaaaaaaaaa

  • @ayushjhay1979
    @ayushjhay1979 3 года назад

    Asha boko warererere wataka mkwe wa pesa maa!

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Ako sawa.mtt umlelee awe na ubikira wake kisha aje mtu hata kazi hana ni shda

  • @isheali546
    @isheali546 3 года назад +2

    Jamani mweendelezo

  • @yasintaswahasni4747
    @yasintaswahasni4747 4 года назад +4

    Pat 2 jomon

  • @EzekieliCharles-en1mu
    @EzekieliCharles-en1mu Год назад

    jamaa umeigiza

  • @hajihamisi8739
    @hajihamisi8739 3 года назад

    Movie Iko poa ttzo sound ya music Iko juu kupitiliza jalibun kubalance ili muweze kuskika nyie

  • @allyvuai9762
    @allyvuai9762 2 года назад

    Maziki makubwa kuliko saut mnaboa

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Год назад

    Jamni nimecheka tu san hahhhhh

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 3 года назад

    Nzuri hapo maali lacation poa sana

  • @mandawarashid1497
    @mandawarashid1497 4 года назад +2

    Jaman Asha boko unanikosha

  • @twahiyaadam3131
    @twahiyaadam3131 3 года назад +2

    Nzuri San tatizo matango mnazidisha san punguzen band linakata kwa matangazo time

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 3 года назад

    Kwendraaaa😂😂😂 katafute kazi utaniuwa na njaa🙌

  • @evelyneimana9372
    @evelyneimana9372 3 года назад

    Nampenda tino na asha ongera

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza5642 4 года назад +2

    Mtoto unamfuatilia mama yko kama mkeo hovyoo

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 4 года назад +2

      Ndio maana anatembea na watoto wadogo sio heshima tena anawaleta kwanyumba sio poa

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Ako sawa kumrekebisha hata kama ni mamake

  • @madamboss348
    @madamboss348 4 года назад +3

    Asha mamalao uko bie 💋💋💋💋💋

  • @antiemiy347
    @antiemiy347 4 года назад +6

    mziki punguzeni unatuumiza masikio

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 4 года назад

      Kwa kweli wapunguze mziki

    • @najmanajma-4765
      @najmanajma-4765 4 года назад +2

      Hata nashindwa mziki wanii?ndio mana napenda muvi za madebe hazina makelele

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 4 года назад +22

    Wasoma comments tujuane naona mambo mazur

  • @kushmommy9599
    @kushmommy9599 4 года назад +4

    Qonqie💚

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 года назад +1

    Huyu mama tena balaa lakuka na vibenten masikini kijana anamuonea mama huruma mwisho back ground yaumizaa kweli kumbe baba alikuwa wakulelewa mwisho watoto wanagawanywa Kama mafungu ya nyanya nahisi huyu jamani wakuhonga doctor afichiwe siri ndo ndugu mtu kamgonga sijui vitakuwa vip😱😱😱😱😱😱😱😱😱

  • @gahimbarebella8652
    @gahimbarebella8652 4 года назад +2

    Jamani mbona part 2 mukasema kama leo itaja lakini siioni

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 3 года назад

    hivi hayo mamuziki nyuma ya movie ni lazima kuyaweka yanapoteza ubora wote aisee,,kelele tu

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 7 месяцев назад

    good movie

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 4 месяца назад

    ❤❤❤

  • @gafosaid4833
    @gafosaid4833 3 года назад

    Haha 😂 Aisha boko wwe n kiboko kweli ....Yani wamfukuza mkweo na pasi 😂😂😂

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Pasi hata haina moto😅😅😅

  • @MarryIrunde-fk1bw
    @MarryIrunde-fk1bw Год назад

    Wanaongea nini mbona hawasikiki

  • @safinamdingi2338
    @safinamdingi2338 3 года назад

    Mwendelezo

  • @noushaddammam8805
    @noushaddammam8805 3 года назад

    party 2 iko wapi

  • @shadia32shadia44
    @shadia32shadia44 4 года назад +7

    Makelele ya Mziki hatusikilizani

  • @marywambui519
    @marywambui519 3 года назад

    Shida miziki na misauti iko juu kushinda sauti zenu punguzeni kelele background

  • @Thumabby8
    @Thumabby8 3 года назад +1

    😍😍

  • @suleymanally4729
    @suleymanally4729 3 года назад

    Ckuhz uvaaj huu hiday dooh!!!

    • @athumanitanuke6795
      @athumanitanuke6795 3 года назад

      Ameenda kwenye group lisilokuwa na maadili katika mavazi tofauti na LIDAI

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      @@athumanitanuke6795 Ndio kuendelea. Bila kukaa uchi huwa hujaendelea

  • @hawakiwambwa7601
    @hawakiwambwa7601 4 года назад +5

    Iko po a👌

  • @neemakadzo7855
    @neemakadzo7855 3 года назад

    Jamani pungezeni muziki kwani huwa nilazima mueke muziki muna boo

  • @lameyajaff8881
    @lameyajaff8881 4 года назад +3

    Maneno mengine hayaskiki mzik juu

  • @saudaahmed6818
    @saudaahmed6818 3 года назад

    Film nzuri hizi kengele za nini jamani 😃

  • @mgeniali941
    @mgeniali941 4 года назад +2

    Asha boko ss wapemba hatuna tabia iyo tuombe radhi

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 года назад +4

    Kutafutiwa mwanaume usiempenda hii pia mitihani watu wamekuwa warabu subutu najitafutia mwenyewe hata kama ni masikini kwaza mm wanaume wapesa siwataki watakunyanyasa

  • @ruqayaisumaili33
    @ruqayaisumaili33 4 года назад +1

    Asanten tunaomben mwendelezo

  • @ashatimo4666
    @ashatimo4666 3 года назад +1

    ❤kisura changu

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 4 года назад +1

    Jmn muenderezo 👏

  • @nica6662
    @nica6662 3 года назад

    sasa mziki yote yanini yakutumvunja mackio movie nzur ila kasor mziki😏

  • @lameyajaff8881
    @lameyajaff8881 4 года назад +2

    Mcheza singeli 😂😂😂asha bok vituko

  • @halimanassoro1762
    @halimanassoro1762 2 года назад

    Jamani mabo ni moto

  • @fatmayussuf9980
    @fatmayussuf9980 4 года назад +2

    Part 2 plz

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 4 года назад +1

    Asha bko nd hidayaa

  • @mariammwendakazungu5783
    @mariammwendakazungu5783 4 года назад +2

    Muendelezo jamani imeisha patamu

  • @bongelabwana1940
    @bongelabwana1940 3 года назад +5

    Uliye mgonga ni Peter nahisi utamhudumia then atakuja kutilia mimba mkeo

  • @ivonnhebron2047
    @ivonnhebron2047 4 года назад +1

    Sehemu ya pili jamani.

  • @zuhurazuh516
    @zuhurazuh516 3 года назад +1

    Nampenda sana Hidaya Boli Haswaa Anavyongea na Mapoz yake Na Macho yake mdomo wake Na karangi chake Kiukwel nikiaangalia filamu Ya Madebe Kama yy hayupo bac siimalizi

  • @jasmineedamu6089
    @jasmineedamu6089 4 года назад +1

    Nice movie ❣️❣️

  • @lucyphilipo6157
    @lucyphilipo6157 4 года назад +2

    Move nzur jamn

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 года назад +1

    Part iko wapi

  • @hawasaid8262
    @hawasaid8262 3 года назад

    Nice mv

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza5642 4 года назад +1

    Kumbe ndicho wanachokifanya wanaume

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 4 года назад +2

    Natamani Nije nikuone mtt mzuri hidaya boli nina zawadi yako,nitafute.

    • @majaliwamussa9268
      @majaliwamussa9268 3 года назад

      Allah amemjaalia uzuri

    • @zulachama1067
      @zulachama1067 3 года назад +1

      @@majaliwamussa9268 kizuri kipewe sifa, hila sijui kwa sasa bado uzuri upo au mtindo chemist 🤣🤣🤣🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 4 года назад +5

    Punguzn sauth ya mzk achilien movi itmbe

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 года назад +1

    Nice

  • @evelyneimana9372
    @evelyneimana9372 3 года назад

    Saudi noma