Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Amen
Amen baba yetu MUNGU akupe maisha marefu Bado tunakuitaji ili tuinuke kiroho zaidi amen
Amina , Huyu Mchungaji Huwa namuelewa.
MUNGU akulinde pande zote uendako
Huyu mzee anazeheka vizuri mungu amtunze ila nawaza sana akiondoka sijui nani atabaki mwenye msimamo wa mungu wakusimamia kanisa katika manayake halisi kama huyu mzee
Kabisaaaa
@@womanofgod2217 🙏
Kunaomba MUNGU ainue watu wengi sana kama huyu mtumishi wa MUNGU
@@deodatusmagagura6793 watapatikana kweli kwa kizazi hiki cha sasa?
Hata mm najiuliza sana maana mm huyu ndio baba angu wa kiroho mm mpaka kusimama vizuri na Yesu ni huyu mzee Mungu ambariki sana
Barikiwa Mch. Kwa neno la majira haya tunapoendea utimilifi wa unabii wa Agano Jipya
Ubarikiwe sana baba Magembe,pia nimefurahia sana kumwina babaangu Rev Mwasangapole ulinibatiza
Amen 🙏
AMEN
Karibu nyumbani baba. Utukufu kwa Mungu
Amina Amina Amina
Ubarikiwe sana Mch. Moses Magembe. Uwepo wako ni muhimu sana katika wakati huu. Mungu wetu akupe maisha marefu na azidi kukuwezesha kwa utukufu wake.
MUNGU aliye tuletea magembe naawalete wengine
Jina la Bwana libarikiweee
Ningekuwa nauwezo ningeomba mungu huyu baba asiondoke duniani mpaka yesu arudi ili aendelee kulisaidia kanisa ila ndo haiwezekani
Yaani kwa kweli abaki mpaka unyakuo ili aendelee kulitunza kanisa
Mungu atainua watu tu ndugu yangu.
Kwanini wewe usiinuke badala ya wengine kwani jukumu analofanya si ni letu sote!?
Amina
Amina baba..Mungu akupe maisha marefu maana nabarikiwa Sana
Baba njoo na huku Zanzibar jamani 😐😐
Ame
Natamani sana aghalabu nipate diploma ya theolojia ya biblia. Nami niihubili kweli yote ya Mungu
Amen
Amen baba yetu MUNGU akupe maisha marefu Bado tunakuitaji ili tuinuke kiroho zaidi amen
Amina , Huyu Mchungaji Huwa namuelewa.
MUNGU akulinde pande zote uendako
Huyu mzee anazeheka vizuri mungu amtunze ila nawaza sana akiondoka sijui nani atabaki mwenye msimamo wa mungu wakusimamia kanisa katika manayake halisi kama huyu mzee
Kabisaaaa
@@womanofgod2217 🙏
Kunaomba MUNGU ainue watu wengi sana kama huyu mtumishi wa MUNGU
@@deodatusmagagura6793 watapatikana kweli kwa kizazi hiki cha sasa?
Hata mm najiuliza sana maana mm huyu ndio baba angu wa kiroho mm mpaka kusimama vizuri na Yesu ni huyu mzee Mungu ambariki sana
Barikiwa Mch. Kwa neno la majira haya tunapoendea utimilifi wa unabii wa Agano Jipya
Ubarikiwe sana baba Magembe,pia nimefurahia sana kumwina babaangu Rev Mwasangapole ulinibatiza
Amen 🙏
AMEN
Karibu nyumbani baba. Utukufu kwa Mungu
Amina Amina Amina
Ubarikiwe sana Mch. Moses Magembe. Uwepo wako ni muhimu sana katika wakati huu. Mungu wetu akupe maisha marefu na azidi kukuwezesha kwa utukufu wake.
MUNGU aliye tuletea magembe naawalete wengine
Jina la Bwana libarikiweee
Amen
Ningekuwa nauwezo ningeomba mungu huyu baba asiondoke duniani mpaka yesu arudi ili aendelee kulisaidia kanisa ila ndo haiwezekani
Yaani kwa kweli abaki mpaka unyakuo ili aendelee kulitunza kanisa
Mungu atainua watu tu ndugu yangu.
Kwanini wewe usiinuke badala ya wengine kwani jukumu analofanya si ni letu sote!?
Amina
Amina baba..Mungu akupe maisha marefu maana nabarikiwa Sana
Baba njoo na huku Zanzibar jamani 😐😐
Ame
Natamani sana aghalabu nipate diploma ya theolojia ya biblia. Nami niihubili kweli yote ya Mungu
Amina , Huyu Mchungaji Huwa namuelewa.
Amina