Mch Moses Magembe - MANENO YA MWISHO MSALABANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Somo: MANENO YA MWISHO MSALABANI
    Andiko: YOHANA 19;28-30
    Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
    Tarehe: 28.07.2024

Комментарии • 41

  • @damaslameck
    @damaslameck Месяц назад +1

    Amen

  • @DorcasHussein
    @DorcasHussein Месяц назад +1

    Amen baba yetu MUNGU akupe maisha marefu Bado tunakuitaji ili tuinuke kiroho zaidi amen

  • @GERALDHAMBAGELE
    @GERALDHAMBAGELE Месяц назад +1

    Amina , Huyu Mchungaji Huwa namuelewa.

  • @RukiaPembe
    @RukiaPembe Месяц назад +2

    MUNGU akulinde pande zote uendako

  • @FrankMichael-us4dr
    @FrankMichael-us4dr Месяц назад +5

    Huyu mzee anazeheka vizuri mungu amtunze ila nawaza sana akiondoka sijui nani atabaki mwenye msimamo wa mungu wakusimamia kanisa katika manayake halisi kama huyu mzee

    • @womanofgod2217
      @womanofgod2217 Месяц назад

      Kabisaaaa

    • @FrankMichael-us4dr
      @FrankMichael-us4dr Месяц назад

      @@womanofgod2217 🙏

    • @deodatusmagagura6793
      @deodatusmagagura6793 Месяц назад

      Kunaomba MUNGU ainue watu wengi sana kama huyu mtumishi wa MUNGU

    • @FrankMichael-us4dr
      @FrankMichael-us4dr Месяц назад

      @@deodatusmagagura6793 watapatikana kweli kwa kizazi hiki cha sasa?

    • @user-un2td1no5f
      @user-un2td1no5f Месяц назад

      Hata mm najiuliza sana maana mm huyu ndio baba angu wa kiroho mm mpaka kusimama vizuri na Yesu ni huyu mzee Mungu ambariki sana

  • @dorothykalikamo
    @dorothykalikamo Месяц назад

    Barikiwa Mch. Kwa neno la majira haya tunapoendea utimilifi wa unabii wa Agano Jipya

  • @upendoyohana4713
    @upendoyohana4713 Месяц назад +1

    Ubarikiwe sana baba Magembe,pia nimefurahia sana kumwina babaangu Rev Mwasangapole ulinibatiza

  • @FunnyDarypink
    @FunnyDarypink Месяц назад

    Amen 🙏

  • @HarryMbale
    @HarryMbale Месяц назад

    AMEN

  • @reginaavit2603
    @reginaavit2603 Месяц назад +1

    Karibu nyumbani baba. Utukufu kwa Mungu

  • @MushagalusaLeonard-zw8rr
    @MushagalusaLeonard-zw8rr Месяц назад

    Amina Amina Amina

  • @bellingtonlyimo1522
    @bellingtonlyimo1522 Месяц назад

    Ubarikiwe sana Mch. Moses Magembe. Uwepo wako ni muhimu sana katika wakati huu. Mungu wetu akupe maisha marefu na azidi kukuwezesha kwa utukufu wake.

  • @josephmtanga7256
    @josephmtanga7256 Месяц назад +1

    MUNGU aliye tuletea magembe naawalete wengine

  • @augustinmassawe1910
    @augustinmassawe1910 Месяц назад +1

    Jina la Bwana libarikiweee

  • @FrankMichael-us4dr
    @FrankMichael-us4dr Месяц назад +2

    Ningekuwa nauwezo ningeomba mungu huyu baba asiondoke duniani mpaka yesu arudi ili aendelee kulisaidia kanisa ila ndo haiwezekani

    • @user-un2td1no5f
      @user-un2td1no5f Месяц назад +1

      Yaani kwa kweli abaki mpaka unyakuo ili aendelee kulitunza kanisa

    • @ibrahimwigina
      @ibrahimwigina Месяц назад

      Mungu atainua watu tu ndugu yangu.

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee Месяц назад

      Kwanini wewe usiinuke badala ya wengine kwani jukumu analofanya si ni letu sote!?

  • @jastinemwambi2307
    @jastinemwambi2307 Месяц назад +1

    Amina

  • @Kipeke688
    @Kipeke688 Месяц назад

    Amina baba..Mungu akupe maisha marefu maana nabarikiwa Sana

  • @MarthaMwalusambo
    @MarthaMwalusambo Месяц назад

    Baba njoo na huku Zanzibar jamani 😐😐

  • @e.a.g.tjerusalemchurchomur2315
    @e.a.g.tjerusalemchurchomur2315 Месяц назад

    Ame

  • @yusuphmwashabwa1465
    @yusuphmwashabwa1465 Месяц назад

    Natamani sana aghalabu nipate diploma ya theolojia ya biblia. Nami niihubili kweli yote ya Mungu

  • @GERALDHAMBAGELE
    @GERALDHAMBAGELE Месяц назад +1

    Amina , Huyu Mchungaji Huwa namuelewa.

  • @LawrenceNgogo
    @LawrenceNgogo Месяц назад +1

    Amina