Binti mdogo Anezy aliyeajiri watu 400: Nakuja na Master Card / Nafungua Chuo / Zari ananitia hasira
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Binti mjasiriamali, Zena Shariff Scaba aka Anezylitta mwenye miaka 19 ambaye ameajiri zaidi ya watu 400 kupitia kampuni zake, wiki hii ametua katika usiku wa tuzo za Sinema Zetu ambapo pia licha ya kufurahia usiku huyo alifunguka mambo mbalimbali kuhusu maisha yake.
Keep it up Zena but dont forget your hijab my dear nothing wrong if you will be with your hijab you will look more beautiful Allahuma grant us straight path ameen Yaarabil Alameen jamian
Ameen yaraab alameen
yea habibty u luk beautiful more wd hijab
ameen but u said true dear hijab make person to be more beautiful Muslim
Mashaallah tabaraka Rahman mtoto mzuri sana lakini nakuhusia mdogo wangu usivuwe hijabu yako
Maashallah tabarakAllah...Allah azidi kukufungulia..ila usivue hijab...be proud to be a muslim.
Nakukubalia Sana dada zena ❤️ unanifanya nizidi kuforcus ktk maisha yang nakukubalia Sana zena 💪❤️ mungu akuzidishie ufike mbali inshaallah
KAMA UMESIKIA NENO FOCUS MARA NYINGI LIKE HAPA NA SISI TUPATE FOCUS KAMA DADA YETU HAPA 😂😂
Khalidy Ngwembele hahaha
Jistiri ukhty ,Mungu amekubariki na akili ukiwa umri mdogo nawe usijisahau ukhty wewe mschana wa kislam unafaa ujistiri usiache mila na desturi za dini yako
Wat I realize is that she looks more beautiful with hijab
Mh...! Mama mshauri. Yaani mnaboaga kujidai u Islamu u Islamu. Oooovyo. Baadhi yenu wanafki tuu. Hijabu haifikishi mtu mbinguni. Acheni ufala wakati mwingine. 😏
@@sweetmama6885 Heshimu wazo la mtu, hapo hakutukana imani yoyote ile bali amemkumbusha muumini mwenzie kutokusahau stara yake ya hijaab. Msiwe mna panic waislam wakitimiza imani yao, tuwe positive ndugu zangu.
Ndo aende na mashung au
@@maryamali1021 Vibaya au?
hawa ndio wakuinspire watu ....mfanyabiashara successful n humble sio wanaotupigia kelele mitandaoni
Dada anaakili mingi Sana hongera kwake, sio Kama wale wadada wajingawajinga wanao waza kukaa uchi mitandaoni, hongera Sana mwadadaa. I like it.
Bravo sana dada thats why idea is more important than money.inshallah Allah amuongeze nuru ya mambo.
Fulus tughayru nufus🤣🤣🤣 Unaanza na hijab umetoa sai baadae una nguo ndefu utavaa fupi ,🤔 pole pole Dada Tunakula kwa macho huu ni ukumbusho tu.... With love from Kenya
Usiadaike na mapambo ya dunia dadangu..kumbuka hijjab yako popote ulipo.
Mabinti wazur wanajisahau san ukivaa hijabu unapendeza san
VERY SIMPLE N HUMPLE,NOT LIKE TZ STARS.
Kiswahili fasaa, big up Dada hujidai
Very very smart Lady.
Barka haiji ila kua close to Allah modesty jamani
Mashaallah Allah akuhifadhi uzidi kupanuka kimaarifa...utupe mfano nzuri kwa watoto zetu...big up....zenuuuuu
Dah hadi naona wivu mbona mm kichwa changu kigum kufikiri hata sijuagi nifanye kitugani niende mbele hingera mdogo wangu Allah azidi kukuongoza
Hahahaaa😀😀😀
😂😂😂
Nikweli kabisaa nikama mimi tuu tumezoea kuajiriwa
Kama uko serious unahitaji kufikiria nitafute nikufikirishe. Namba yangu 0765109387. Ila uwe ni mtu mwenye nia ya kupambana sana.
Richard John yani natamani na mimi niweze fanya kitu kionekane na wengi nakua na ndoto nyingi za kufanya ila nakua muoga kujaribu sijui kwa nini hii kitu kila nikitaka nifanye kitu nafikiria hasara zaidi ya faida
Safi Sana that's what we call passion and focus. ..
Asante Anezy nimejifunza kitu kwa maelezo yako
Nimependa life style yk mamy Allah akulinde na mahasidi
MashaAllah u r an inspiration to many
uko vizuri masha'allah lkn mm na ww tunakerana kwenye hijabu hupendi kujistiri ww nimtoto wakiislam jistiri ili tupate na sifa ya kujifadhi basi
Sisi ni shirika tunahamasisha ujasiriamali ktk jamii. Tunaoma maeasiliano yako.
Asante.
Nashukuru ila natamani pia niweze kupata kumwona kwa sababu ninahitaji kuuliza maswali kuhusu ujasiria mali
Theobaldi Ndekuonia 0714483828
kwangu mm kile kipengele cha best artist wa kiume kwa bongo mpaka sasa nafasi hyo bado inashikiliwa na Kanumba
Hongerasana dada
Wew mtoto izo pesa umetoa wapi bad mdogo embu tusaidie Dada zako basi
Alisema kapewa mtaji
Amina Yahya
kwao matajiri
😁😁😁😩
mbn miak kidg akili kubwa duuu mashaalh
Kazi kazi
Stara kwako ni kitu muhimu kuliko unavofikiria..!! Jistiri vaa mavazi yanayoruhusika kimisingi ya dini yako.. wacha kuiga tamaduni za mayahudi.
Ya kunikarisha msichana. muislamu havai hijab
Sweaty where is your he jab my if u were he jab you look more beautiful than now
Nakukubali sana wa wazo yako
hongera sana dada naomba namba zko nataka uniunge mkono mwenye biashara
Ila na mkubali sana zena
watu kama huyu Dada ndiyo wananisipaya😍😍
Daaahh jamn had raha yan had nimeona wivu
Fact kabisa unachokisema
Jisriti nawe mungu aje kukustiri kesho
Mdogo wangu upo vzr sn!
Jamani nampataje uyu dada
Focus
Mmmh ushauri gani! yy si amesema ana mtazama Zari! kwanini awakataze wengine wasiige !?
wooow..wati si hawa
He
Where is ur hijab hbbty😢
Dada hijabu yako ndio rasilimali yako usihadaike na Dunia
dkk ya 11.1 mdada amecheka vizuri sana yani kako real jaman sazingine watu waseme ukwel kufanikiwa ni hadi uwe real yani kuingia kwenye system ya mafanikio kama ni waki haipo haiwezekani lazma uwe real kwako na kwawengine kuwa real ni kuwa wewe kufanya mambo yako sio kuiga au kushindana yani lazma u flow kwenye system yako
nitapataje namba yke jamani
Hongera ila hapo kwny miakaa
watu wanazaliwa matajiri halafu mnakuja kutuletea umbea😏😏sisi maskin mpk tupate mtaji sio leo
Huo ujinga wako ndio utakukosti...kuzaliwa tajiri sio tija....km ni tajiri asingejishuhulisha angekaa ale Mali zake...lkn anajuwa nini maana ya maisha
@@munirahabduly8329 ww ambae sio mjinga mbn upo tu😂😂😂huna mtaji wala akili ila una mdomo mrefu wa kujibu watu usiowajua
@@munirahabduly8329 kweli,hawa wengne roho mbovu,matajiri wakubwa duniani wameanza maskini
Hahahaha
很厉害👍
Niha
Mmmh jaman bongo movie hakuna inshu
Nimekupenda bure my nahitaj namba yako nami nijifunze zaid
Nimependa jinsi ulivyotimiza malengo yako
Scaba wa kigamboni au maana kama ivyo pesa imezaa pesa
Akili,umakini na kulijua unalolitaka,wapo watoto wa matajiri wameishia sober houses
Afathal nimepata kitu, sasa ivi uoga kaa pemben na mimi nianze kupiga kaz ila jamn naogopa hasara au nione hamna mtu anakuja kununua ntabaki nalia tu
Naomi Mmary hahaaaaa nmecheka
😂😂
😂😂😂
Focuss....😅😅😅😅😅
Mm akikubali hatamdogo wake aniozeshe niowe
OK sawa nimemkubali
Ulijuaje zari amka asubuhi
Anamuona kwenye snapchat na instagram
Dada naomba namba zako sina nia mbaya na wewe
Mmmh huyu hatokei hii familia ya scaba scuba kigamboni?
Mimi scuba scuba familia
ndo yy mtoto wa Sharifu scaba scuba,wenye mji wao kigamboni
We mdada 19 muongo
Roho mbovu tu....huyu ni mtoto wa miaka 19,na aliacha kusoma form 2
@@jenijeni9785 sasa roho mbovu ya nini si kila mtu na mtazamo wake bt mi nimeona kwenye 19 nilikuwa sijaamini so we ungesema to kuwa ni kweli miaka yake ningekubishia
@@yasintaswahasni4747 kwa kuwa kila mtu ana mtazamo wake hailalishi kumuita mwengne muongo,huu mtindo wa kuwa watu wanapenda kuwapa wengne title mbaya, umaisho kwenye jamii kuwa fata norms njema za jamii
Nitakipataje hicho kitabu cha mapidhi?
Nenda ktk Instagram yake anapost sana kaeka namaeneo ambayo ukienda utakipata
Haya basi kataja wasafi chunga simba asije kukunyemelea😊😊
Umri cjaamiñi
Neema Rupia umri yupo sawa tu hii tu kapaka mekup ndio unaona kama nimkubwa sana ukiangalia video zake zingine utaona kuwa anaendana na huo umri
🤔🤔anajua nani na nani !
honger ww .dada nakuomba unitafute nahitaj ushaur wk +968 95192082
Mashallah mashaallah hongera allah akuzindishie kipaji na allah akupe baraka kakika kazi zako wasi wangu kwako hijabu usivue please
rehemah ramadhani me pia naitaji ushauri kuusu biashara
HONGERA ila umeongopa sura hiyo cyo ya miaka 19 😂😂😂
Macho yako yan kengeza ...
Hawa ni warabu...wanakua kama kuku wa kisasa..
hahahaha,umenichekesha hatariiiiiii
Utawafahamu tu wenye roho za kwanini. Haya yeye na miaka yake 19 ya uwongo kafikia mafanikio hayo, twambie sasa wewe mwenye 30 ya ukweli unamafanikio gani?
afma beat kwani nimetukana au nimesema tu mbona mnapenda kufurukunyua vitu ambavyo vimejificha kwani kama ameongopa asiambiwe miaka 19 yeye kasoma hadi kafungua biashara zake kwa umri huo? mimi simuonei wivu kwa sababu hata mm mwenyewe naendesha vitu vyangu ambapo sikuanza kwa umri huo kwa sababu najua huyu kasoma amemaliza lini wakati umri kama huo wengi bado wapo shule?