Binti mdogo Anezy aliyeajiri watu 400: Nakuja na Master Card / Nafungua Chuo / Zari ananitia hasira

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Binti mjasiriamali, Zena Shariff Scaba aka Anezylitta mwenye miaka 19 ambaye ameajiri zaidi ya watu 400 kupitia kampuni zake, wiki hii ametua katika usiku wa tuzo za Sinema Zetu ambapo pia licha ya kufurahia usiku huyo alifunguka mambo mbalimbali kuhusu maisha yake.

Комментарии • 140

  • @shimuld6721
    @shimuld6721 5 лет назад +54

    Keep it up Zena but dont forget your hijab my dear nothing wrong if you will be with your hijab you will look more beautiful Allahuma grant us straight path ameen Yaarabil Alameen jamian

    • @kulthumkhan1935
      @kulthumkhan1935 5 лет назад

      Ameen yaraab alameen

    • @mahaahmed1350
      @mahaahmed1350 5 лет назад

      yea habibty u luk beautiful more wd hijab

    • @nadiabakary1466
      @nadiabakary1466 4 года назад

      ameen but u said true dear hijab make person to be more beautiful Muslim

  • @shimuld6721
    @shimuld6721 5 лет назад +40

    Mashaallah tabaraka Rahman mtoto mzuri sana lakini nakuhusia mdogo wangu usivuwe hijabu yako

  • @mammywaziri2797
    @mammywaziri2797 5 лет назад +10

    Maashallah tabarakAllah...Allah azidi kukufungulia..ila usivue hijab...be proud to be a muslim.

  • @barkesalum4389
    @barkesalum4389 3 года назад +1

    Nakukubalia Sana dada zena ❤️ unanifanya nizidi kuforcus ktk maisha yang nakukubalia Sana zena 💪❤️ mungu akuzidishie ufike mbali inshaallah

  • @khalidyngwembele1164
    @khalidyngwembele1164 5 лет назад +26

    KAMA UMESIKIA NENO FOCUS MARA NYINGI LIKE HAPA NA SISI TUPATE FOCUS KAMA DADA YETU HAPA 😂😂

  • @saadawassy9749
    @saadawassy9749 5 лет назад +37

    Jistiri ukhty ,Mungu amekubariki na akili ukiwa umri mdogo nawe usijisahau ukhty wewe mschana wa kislam unafaa ujistiri usiache mila na desturi za dini yako

    • @amiraahmed7517
      @amiraahmed7517 5 лет назад +5

      Wat I realize is that she looks more beautiful with hijab

    • @sweetmama6885
      @sweetmama6885 5 лет назад +3

      Mh...! Mama mshauri. Yaani mnaboaga kujidai u Islamu u Islamu. Oooovyo. Baadhi yenu wanafki tuu. Hijabu haifikishi mtu mbinguni. Acheni ufala wakati mwingine. 😏

    • @AmCool_
      @AmCool_ 5 лет назад +3

      @@sweetmama6885 Heshimu wazo la mtu, hapo hakutukana imani yoyote ile bali amemkumbusha muumini mwenzie kutokusahau stara yake ya hijaab. Msiwe mna panic waislam wakitimiza imani yao, tuwe positive ndugu zangu.

    • @maryamali1021
      @maryamali1021 5 лет назад

      Ndo aende na mashung au

    • @AmCool_
      @AmCool_ 5 лет назад +1

      @@maryamali1021 Vibaya au?

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 5 лет назад +17

    hawa ndio wakuinspire watu ....mfanyabiashara successful n humble sio wanaotupigia kelele mitandaoni

  • @jafarimsaghaa95
    @jafarimsaghaa95 5 лет назад +5

    Dada anaakili mingi Sana hongera kwake, sio Kama wale wadada wajingawajinga wanao waza kukaa uchi mitandaoni, hongera Sana mwadadaa. I like it.

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 5 лет назад +5

    Bravo sana dada thats why idea is more important than money.inshallah Allah amuongeze nuru ya mambo.

  • @sallyzreshiz20
    @sallyzreshiz20 5 лет назад +10

    Fulus tughayru nufus🤣🤣🤣 Unaanza na hijab umetoa sai baadae una nguo ndefu utavaa fupi ,🤔 pole pole Dada Tunakula kwa macho huu ni ukumbusho tu.... With love from Kenya

  • @agneskaseve3816
    @agneskaseve3816 5 лет назад +19

    Usiadaike na mapambo ya dunia dadangu..kumbuka hijjab yako popote ulipo.

    • @malota2138
      @malota2138 3 года назад

      Mabinti wazur wanajisahau san ukivaa hijabu unapendeza san

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 лет назад +9

    VERY SIMPLE N HUMPLE,NOT LIKE TZ STARS.

  • @alextzmmary5121
    @alextzmmary5121 5 лет назад +8

    Kiswahili fasaa, big up Dada hujidai

  • @afmabeat9567
    @afmabeat9567 5 лет назад +2

    Very very smart Lady.

  • @fathiyasaad8041
    @fathiyasaad8041 5 лет назад +10

    Barka haiji ila kua close to Allah modesty jamani

  • @munirahabduly8329
    @munirahabduly8329 5 лет назад

    Mashaallah Allah akuhifadhi uzidi kupanuka kimaarifa...utupe mfano nzuri kwa watoto zetu...big up....zenuuuuu

  • @sakinasheidhan4642
    @sakinasheidhan4642 5 лет назад +21

    Dah hadi naona wivu mbona mm kichwa changu kigum kufikiri hata sijuagi nifanye kitugani niende mbele hingera mdogo wangu Allah azidi kukuongoza

    • @momobakari1225
      @momobakari1225 5 лет назад +1

      Hahahaaa😀😀😀

    • @ramlasameer4665
      @ramlasameer4665 5 лет назад

      😂😂😂

    • @beatricekamengekamenge5543
      @beatricekamengekamenge5543 5 лет назад +1

      Nikweli kabisaa nikama mimi tuu tumezoea kuajiriwa

    • @kalamuyantajajr2605
      @kalamuyantajajr2605 5 лет назад +1

      Kama uko serious unahitaji kufikiria nitafute nikufikirishe. Namba yangu 0765109387. Ila uwe ni mtu mwenye nia ya kupambana sana.

    • @sakinasheidhan4642
      @sakinasheidhan4642 5 лет назад +2

      Richard John yani natamani na mimi niweze fanya kitu kionekane na wengi nakua na ndoto nyingi za kufanya ila nakua muoga kujaribu sijui kwa nini hii kitu kila nikitaka nifanye kitu nafikiria hasara zaidi ya faida

  • @rehemajumamlinde9418
    @rehemajumamlinde9418 5 лет назад

    Safi Sana that's what we call passion and focus. ..

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 5 лет назад +4

    Asante Anezy nimejifunza kitu kwa maelezo yako

    • @lukmansaid4160
      @lukmansaid4160 5 лет назад

      Nimependa life style yk mamy Allah akulinde na mahasidi

  • @aishanduta167
    @aishanduta167 5 лет назад

    MashaAllah u r an inspiration to many

  • @rahmarashid3719
    @rahmarashid3719 5 лет назад +4

    uko vizuri masha'allah lkn mm na ww tunakerana kwenye hijabu hupendi kujistiri ww nimtoto wakiislam jistiri ili tupate na sifa ya kujifadhi basi

  • @friendsofpeopleorg1157
    @friendsofpeopleorg1157 5 лет назад +4

    Sisi ni shirika tunahamasisha ujasiriamali ktk jamii. Tunaoma maeasiliano yako.
    Asante.

  • @mohameddamka922
    @mohameddamka922 5 лет назад +5

    kwangu mm kile kipengele cha best artist wa kiume kwa bongo mpaka sasa nafasi hyo bado inashikiliwa na Kanumba

  • @beatricekamengekamenge5543
    @beatricekamengekamenge5543 5 лет назад +2

    Hongerasana dada

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 5 лет назад +25

    Wew mtoto izo pesa umetoa wapi bad mdogo embu tusaidie Dada zako basi

  • @zaynabaly7319
    @zaynabaly7319 5 лет назад +1

    mbn miak kidg akili kubwa duuu mashaalh

  • @UKCTV
    @UKCTV 5 лет назад +1

    Kazi kazi

  • @ghalibmansour7857
    @ghalibmansour7857 5 лет назад +3

    Stara kwako ni kitu muhimu kuliko unavofikiria..!! Jistiri vaa mavazi yanayoruhusika kimisingi ya dini yako.. wacha kuiga tamaduni za mayahudi.

  • @suwedmansur5187
    @suwedmansur5187 3 года назад +1

    Ya kunikarisha msichana. muislamu havai hijab

  • @mwashambajuma3307
    @mwashambajuma3307 5 лет назад +6

    Sweaty where is your he jab my if u were he jab you look more beautiful than now

  • @mafrapamafrapa1381
    @mafrapamafrapa1381 5 лет назад +1

    Nakukubali sana wa wazo yako

  • @fatmaseifu1444
    @fatmaseifu1444 4 года назад

    hongera sana dada naomba namba zko nataka uniunge mkono mwenye biashara

  • @everlynekimathi3439
    @everlynekimathi3439 4 года назад

    Ila na mkubali sana zena

  • @rahelmilami1271
    @rahelmilami1271 5 лет назад

    watu kama huyu Dada ndiyo wananisipaya😍😍

  • @queengee988
    @queengee988 5 лет назад +1

    Daaahh jamn had raha yan had nimeona wivu

  • @shuasaishuasai4108
    @shuasaishuasai4108 5 лет назад

    Fact kabisa unachokisema

  • @Abla_habiba02
    @Abla_habiba02 4 года назад +1

    Jisriti nawe mungu aje kukustiri kesho

  • @priscajohn6090
    @priscajohn6090 5 лет назад

    Mdogo wangu upo vzr sn!

  • @monilahhamisi8129
    @monilahhamisi8129 5 лет назад +2

    Jamani nampataje uyu dada

  • @rukiazuberi8952
    @rukiazuberi8952 5 лет назад

    Focus

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni7755 5 лет назад +5

    Mmmh ushauri gani! yy si amesema ana mtazama Zari! kwanini awakataze wengine wasiige !?

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 5 лет назад +1

    wooow..wati si hawa

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 года назад

    He

  • @rahmaahmed8588
    @rahmaahmed8588 5 лет назад +3

    Where is ur hijab hbbty😢

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone972 3 года назад +1

    Dada hijabu yako ndio rasilimali yako usihadaike na Dunia

  • @pablomufasa854
    @pablomufasa854 5 лет назад +2

    dkk ya 11.1 mdada amecheka vizuri sana yani kako real jaman sazingine watu waseme ukwel kufanikiwa ni hadi uwe real yani kuingia kwenye system ya mafanikio kama ni waki haipo haiwezekani lazma uwe real kwako na kwawengine kuwa real ni kuwa wewe kufanya mambo yako sio kuiga au kushindana yani lazma u flow kwenye system yako

  • @joyceedward8819
    @joyceedward8819 5 лет назад +6

    nitapataje namba yke jamani

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah5477 5 лет назад

    Hongera ila hapo kwny miakaa

  • @chabyglam562
    @chabyglam562 5 лет назад +5

    watu wanazaliwa matajiri halafu mnakuja kutuletea umbea😏😏sisi maskin mpk tupate mtaji sio leo

    • @munirahabduly8329
      @munirahabduly8329 5 лет назад +1

      Huo ujinga wako ndio utakukosti...kuzaliwa tajiri sio tija....km ni tajiri asingejishuhulisha angekaa ale Mali zake...lkn anajuwa nini maana ya maisha

    • @chabyglam562
      @chabyglam562 5 лет назад +1

      @@munirahabduly8329 ww ambae sio mjinga mbn upo tu😂😂😂huna mtaji wala akili ila una mdomo mrefu wa kujibu watu usiowajua

    • @jenijeni9785
      @jenijeni9785 5 лет назад +1

      @@munirahabduly8329 kweli,hawa wengne roho mbovu,matajiri wakubwa duniani wameanza maskini

    • @nnzogimaltin6409
      @nnzogimaltin6409 5 лет назад

      Hahahaha

  • @thamratalib6817
    @thamratalib6817 5 лет назад

    很厉害👍

  • @badrahassan7513
    @badrahassan7513 5 лет назад

    Mmmh jaman bongo movie hakuna inshu

  • @ayshahussein6016
    @ayshahussein6016 5 лет назад

    Nimekupenda bure my nahitaj namba yako nami nijifunze zaid

  • @jumaali8721
    @jumaali8721 5 лет назад

    Nimependa jinsi ulivyotimiza malengo yako

  • @ashminhaabdullah4963
    @ashminhaabdullah4963 5 лет назад +1

    Scaba wa kigamboni au maana kama ivyo pesa imezaa pesa

    • @jenijeni9785
      @jenijeni9785 5 лет назад

      Akili,umakini na kulijua unalolitaka,wapo watoto wa matajiri wameishia sober houses

  • @naomimmary3885
    @naomimmary3885 5 лет назад +1

    Afathal nimepata kitu, sasa ivi uoga kaa pemben na mimi nianze kupiga kaz ila jamn naogopa hasara au nione hamna mtu anakuja kununua ntabaki nalia tu

  • @salimhussen4766
    @salimhussen4766 5 лет назад

    Focuss....😅😅😅😅😅

  • @shahamefaki228
    @shahamefaki228 5 лет назад +1

    Mm akikubali hatamdogo wake aniozeshe niowe

  • @ruwaydahsaid6148
    @ruwaydahsaid6148 5 лет назад

    Ulijuaje zari amka asubuhi

  • @nawalnasir1208
    @nawalnasir1208 5 лет назад

    Dada naomba namba zako sina nia mbaya na wewe

  • @bongoslavnzurimic2983
    @bongoslavnzurimic2983 5 лет назад +1

    Mmmh huyu hatokei hii familia ya scaba scuba kigamboni?

    • @boparbopar89
      @boparbopar89 5 лет назад

      Mimi scuba scuba familia

    • @vickygasper7068
      @vickygasper7068 5 лет назад

      ndo yy mtoto wa Sharifu scaba scuba,wenye mji wao kigamboni

  • @yasintaswahasni4747
    @yasintaswahasni4747 5 лет назад

    We mdada 19 muongo

    • @jenijeni9785
      @jenijeni9785 5 лет назад +1

      Roho mbovu tu....huyu ni mtoto wa miaka 19,na aliacha kusoma form 2

    • @yasintaswahasni4747
      @yasintaswahasni4747 5 лет назад

      @@jenijeni9785 sasa roho mbovu ya nini si kila mtu na mtazamo wake bt mi nimeona kwenye 19 nilikuwa sijaamini so we ungesema to kuwa ni kweli miaka yake ningekubishia

    • @jenijeni9785
      @jenijeni9785 5 лет назад

      @@yasintaswahasni4747 kwa kuwa kila mtu ana mtazamo wake hailalishi kumuita mwengne muongo,huu mtindo wa kuwa watu wanapenda kuwapa wengne title mbaya, umaisho kwenye jamii kuwa fata norms njema za jamii

  • @umruqayya9569
    @umruqayya9569 5 лет назад +1

    Nitakipataje hicho kitabu cha mapidhi?

    • @yubbyprecious9871
      @yubbyprecious9871 5 лет назад

      Nenda ktk Instagram yake anapost sana kaeka namaeneo ambayo ukienda utakipata

  • @mumgmumg9306
    @mumgmumg9306 5 лет назад

    Haya basi kataja wasafi chunga simba asije kukunyemelea😊😊

  • @reubendick4033
    @reubendick4033 5 лет назад

    Umri cjaamiñi

    • @sakinasheidhan4642
      @sakinasheidhan4642 5 лет назад

      Neema Rupia umri yupo sawa tu hii tu kapaka mekup ndio unaona kama nimkubwa sana ukiangalia video zake zingine utaona kuwa anaendana na huo umri

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni7755 5 лет назад

    🤔🤔anajua nani na nani !

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 5 лет назад

    honger ww .dada nakuomba unitafute nahitaj ushaur wk +968 95192082

    • @khadijasoud9711
      @khadijasoud9711 5 лет назад

      Mashallah mashaallah hongera allah akuzindishie kipaji na allah akupe baraka kakika kazi zako wasi wangu kwako hijabu usivue please

    • @noelahmatinde6346
      @noelahmatinde6346 5 лет назад

      rehemah ramadhani me pia naitaji ushauri kuusu biashara

  • @faridamwekwa9583
    @faridamwekwa9583 5 лет назад +8

    HONGERA ila umeongopa sura hiyo cyo ya miaka 19 😂😂😂

    • @mrpositiveiq4305
      @mrpositiveiq4305 5 лет назад +2

      Macho yako yan kengeza ...

    • @leylasaid2616
      @leylasaid2616 5 лет назад +2

      Hawa ni warabu...wanakua kama kuku wa kisasa..

    • @jessymalembeka6181
      @jessymalembeka6181 5 лет назад

      hahahaha,umenichekesha hatariiiiiii

    • @afmabeat9567
      @afmabeat9567 5 лет назад +6

      Utawafahamu tu wenye roho za kwanini. Haya yeye na miaka yake 19 ya uwongo kafikia mafanikio hayo, twambie sasa wewe mwenye 30 ya ukweli unamafanikio gani?

    • @faridamwekwa9583
      @faridamwekwa9583 5 лет назад

      afma beat kwani nimetukana au nimesema tu mbona mnapenda kufurukunyua vitu ambavyo vimejificha kwani kama ameongopa asiambiwe miaka 19 yeye kasoma hadi kafungua biashara zake kwa umri huo? mimi simuonei wivu kwa sababu hata mm mwenyewe naendesha vitu vyangu ambapo sikuanza kwa umri huo kwa sababu najua huyu kasoma amemaliza lini wakati umri kama huo wengi bado wapo shule?