AIC Chang'ombe Choir (CVC) ft. John Kavishe - SAYUNI (Official Live Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #,SAYUNI ni wimbo wa Saba katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
    Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
    Tunaamini wimbo huu utaenda kubadilisha maisha yako,MUNGU AKUBARIKI.
    LYRICS
    SAYUNI
    Inuka baba, mama
    Inuka twende
    Sayuni mji wa BWANA
    Inuka kaka,dada twende
    Sayuni mji wa BWANA
    Kwa pamoja twendeni sayuni
    Makabila yote tutakusanyika mbele za BWANA
    Mataifa yote yatakusanyika mbele za BWANA
    Siku hiyo itakua ni furaha
    Ni kuimba na kucheza
    Kwa pamoja twendeni sayuni
    Oooh Halleluyah
    Tutamwimbia BWANA
    Oooh Halleluyah
    tutamsifu BWANA
    Hakuna kulala,
    Hakuna kuchoka
    Tutaimba lugha moja
    Na malaika wa BWANA
    Tutasifu kwa pamoja
    Na malaika wa BWANA
    Sisi tutaimba lugha moja
    Na malaika wa BWANA
    Sisi tutasifu kwa pamoja
    Na malaika wa BWANA
    Tutaimba lugha moja
    Na malaika wa BWANA
    Tutasifu kwa pamoja
    Na malaika wa BWANA
    Hossana haleluyah
    Tutamwimbia BWANA
    Hossana haleluyah
    Tutamsifu BWANA
    Special Thanks
    AICT CHANG'OMBE CHURCH
    Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
    CREDITS.
    Song writer - Elisha Gerlad
    AICT Chang'ombe Church
    AIC Chang'ombe Choir (CVC)
    MUSIC DEPARTMENT
    Music Team - Benjamin Makolobela (MD,MAIN KEYS)
    Elisha Gurlaty (AUX 1)
    Elia Mahuna (AUX 3)
    Onesmo Peter (AUX 2)
    Emmanuel Yusuph (BASS)
    Jeremiah Madaha (LEAD GUITAR)
    Mayala Bubele (TRUMPET)
    Charles Stenson (TROMBONE)
    Meshack Wilson (TROMBONE)
    Eliya Makaya (ALTO SAX)
    Raphael Luhende (ALTO SAX)
    Samson Mathew (DRUMS)
    Video production - CVC Media
    Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
    Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
    Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro

Комментарии • 201

  • @mayalajbubele9696
    @mayalajbubele9696 2 месяца назад +23

    Wapi likes za waendao Sayuni

  • @kipkiruigillie4332
    @kipkiruigillie4332 2 месяца назад +7

    Kavishe kafanya ya kwake hapa sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥very blessed song mungu awabariki na. Awazidishe ..kenyans let's take this higher higher 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 2 месяца назад

      Amen. Be blessed guys and we really appreciate

  • @psalmistjosephsnr7392
    @psalmistjosephsnr7392 18 дней назад +2

    Love from Kenya guys 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @nestoryntogwa805
    @nestoryntogwa805 2 месяца назад +5

    Yes tutasifu tukifurahia ushindi wetu

  • @larbankasingu7902
    @larbankasingu7902 2 месяца назад +3

    Ujumbe uwafika ila badooooo ..... Mfumo ule wa kwanza jamaniiiii uligonga ndipo

    • @raphaelyustin3636
      @raphaelyustin3636 2 месяца назад

      Kwa kweli uimbaji huu unatuboa sana , sioni ujumbe makelele tu .RIP papa clement

  • @Emmanuelmasingija-w3y
    @Emmanuelmasingija-w3y 22 дня назад +2

    Kuna watu naona hii kwaya wameipangia pakusimamia unaposema wabaki kuimba nyimbo kama za zamani, unaamanisha hii kwaya iendelee kuwa na wale walimu wazaman ambao leo hii hawamo kweny kwaya, jaman kwaya hii Mimi naamini hapa ilipo ni MUNGU mwenyew ameruhus iwe hapa kwa hiyo kama una mapenzi na cvc wewe yaendeleze tu. Mwisho wa siku utakuja kuwaelewa wanachokifanya

  • @witnesswilson8660
    @witnesswilson8660 2 месяца назад +5

    Hakika Tutaimba lugha Moja na tutasifu na malaika wa Bwana Mungu awabariki watumishi wa Mungu nabarikiwa Sana . 🙏🙏🙏

  • @LinnetNafula
    @LinnetNafula 2 месяца назад +5

    Wooow
    Sayuni lazima niungane nanyi twende ❤❤❤❤❤

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 2 месяца назад +4

    Hellooowwwww changomb my favorite choir

  • @maigekigendi6414
    @maigekigendi6414 2 месяца назад +8

    ANGALIENI MSIPOTEZE IDENTITY YENU YA UIMBAJI KWA KUTAKA U Sasa! Mtapotea... Pamoja na hayo hongereni!

    • @ezekielimbalwa3964
      @ezekielimbalwa3964 2 месяца назад +2

      Hongera sana umenene vizuri kabisa

    • @Upendogospelchoir
      @Upendogospelchoir 2 месяца назад +1

      Washatusaliti tayari wameiga hata kama wanaenda na Wakati Mimi sio shabiki wao tena

  • @denisdottol7058
    @denisdottol7058 2 месяца назад +4

    Bwana awabariki na kuwatunza

  • @malimibunangomalimi1110
    @malimibunangomalimi1110 2 месяца назад +15

    Kwa kweli cvc ya zamani ilikuwa ya moto Sasa hv siwaelewi mnaimba kama bendi,turudisheni enzi zenu

    • @lumulikagisya9380
      @lumulikagisya9380 2 месяца назад +2

      Sasa cvc ndio wako fire 🔥 this is where mziki upo tunabarikiwa sana na cvc

    • @jamesliganga9098
      @jamesliganga9098 2 месяца назад

      Wameamua kuwaiga akina Neema Gospel choir na Agape band ila ukweli nikwamba vitu vyao vya zamani ndo vilikuwa vikali sana kwamaana injili ni kuhusu ujumbe wa Mungu na si swala la modern music.

    • @maigekigendi6414
      @maigekigendi6414 2 месяца назад

      Ni kweli , wasipokuwa makininwatapotea ... 😂

    • @maigekigendi6414
      @maigekigendi6414 2 месяца назад

      ​@@jamesliganga9098HUO NI UKWELI WA WAZI HUWEZI KUFUATA MKUMBO UKA SHINE😢

    • @felixjunior4772
      @felixjunior4772 2 месяца назад

      Umenunua flash ya Moyo-wa-shukrani-album?umeangalia nyimbo zote 14?

  • @user-dc9dd9tt1e
    @user-dc9dd9tt1e 2 месяца назад +4

    Hyo ni tosha jaman identity tosha anaesifiwa hapo ni Yesu na Yesu siku zote ndo identity Yetu

  • @JulieFred
    @JulieFred 2 месяца назад +4

    Sub woofers are burning up huku🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @okaozzy
    @okaozzy Месяц назад +3

    Viongozi wa Cvc mtakapopitia comments msikatishwe tamaa kabisa ..Mzee Kashimba endeleza hii Mungu mwenyewe anapendezwa na muziki wa live mnafanya vizuri sana hamjateteleka hata kidogo Mungu azidi kuwaimarisha na kuwapa maono makubwa Albam nzima ni 🔥🔥 jumbe za maana ..negative comments hazina nafasi uyo ni shetani anataka kuwarudisha nyumaa ..unyonge hapana Yesu awalinde love u CVC

  • @DanfordJohan-zd1cg
    @DanfordJohan-zd1cg 2 месяца назад +4

    Semaaaa wooozaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @duncodp4723
    @duncodp4723 2 месяца назад +3

    Hii sasa ndio music I love it keep it up 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SalaKimuto
    @SalaKimuto 2 месяца назад +4

    Be blessed sahna...Am so happy to see you Happy❤❤

  • @duacheketela959
    @duacheketela959 23 дня назад +1

    Aiseeeee nimefurah sana mmeimba vzr sana UTUKUFU KWA YESUUUUUU TWENDENI SAYUNI

  • @user-zf8xg3zb1r
    @user-zf8xg3zb1r 2 месяца назад +5

    Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri

  • @paulmichael6100
    @paulmichael6100 2 месяца назад +3

    Hongereni sana CVC mko vizuri sana Mungu awabariki sana

  • @musagervas947
    @musagervas947 2 месяца назад +3

    Oyaaa cvc now days you kill people ❤❤❤ in Zambia we apreciate youu .i need my like plz

  • @zephaniamabula3297
    @zephaniamabula3297 2 месяца назад +4

    Atukuzwe Mungu aliye juu juu zaidi kwa namna ya kipekee anavyozidi kuwainua na kuwapa maarifa ya kuendelea kutumika Shambani mwake, hii nyimbo ni ya viwango vikubwa sana "We Can Say this is another level 🎉🎉🎉🎉

  • @zachariagervasmatonange566
    @zachariagervasmatonange566 2 месяца назад +4

    Utukufu Kwa Mungu Halelluya🙏🙏🙏

  • @DFire-ii8nb
    @DFire-ii8nb 2 месяца назад +3

    Hii kwaya nimekua nikifatili tangu 2006 adi leo bado naifatilia mnanibalikigi sana mungu azid kuwainua sana 🎉🎉

  • @joycebujiku2747
    @joycebujiku2747 2 месяца назад +4

    Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu❤

  • @user-yo3zl7qx3e
    @user-yo3zl7qx3e 2 месяца назад +3

    Mungu awabariki sana kazi yenu. ni nzuri

  • @SagaOnesimo-ki1bp
    @SagaOnesimo-ki1bp 2 месяца назад +2

    Tunawataka masolorist wetu akina Lydia kashimba,Diana na bahati meshack,hao ndyo waimba Sasa,pia mrudi kwenye mfumo wenu wa zaman,msiwaige neema gospel ,tunawapenda sana sana Wana cvc msituangushe jaman,mrudishen deffa,tunazid kuwaombea

    • @raphaelyustin3636
      @raphaelyustin3636 2 месяца назад

      Tunataka nyimbo za kugusa mioyo kama usiku wa manane, mpinga kristo, pazia la hekalu nk ila hili toleo lenu kwakweli linaboa sana

  • @Official-Bensam
    @Official-Bensam 2 месяца назад +3

    Woah 😊😊 ngoja niruke ruke kwanza

  • @ElishaZebedayo-cy4ox
    @ElishaZebedayo-cy4ox 2 месяца назад +3

    Hii nyimbo mbona ya Moto Sana✔️✔️100%

  • @johnsonyohana6315
    @johnsonyohana6315 2 месяца назад +4

    Mbalikiwe sana watumishi wa Mungu nyimbo nzuri iyo

  • @micky_mimsanii
    @micky_mimsanii Месяц назад +2

    you guys have beautiful voices and I pray that the negative comments will not pin you down but motivate you to continue spreading God's WORD your people might not understand that your songs are not accountable to only them but to the world so never stop what you doing even Jesus was rejected by his own people, which is us Christians we spat on him and crucified him even his home town rebuked him and rejected him...if they do not support you with positive energy GOD WILL it's not about the music genre the main aim is for God to be glorified so mimi kama mkenya you guys have my full support baraka tele 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳tuta imba lugha moja mbinguni

  • @user-xm5xs5ny6q
    @user-xm5xs5ny6q 2 месяца назад +6

    So sweet and nice to everyone

  • @Jemsazy
    @Jemsazy 2 месяца назад +2

    𝗠𝗶𝘇𝗶𝗸𝗶 𝗶𝘁𝗮𝗹𝗶𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗵𝘂𝗸𝗼 𝗦𝗮𝘆𝘂𝗻𝗶 😀😀😀wanamaombi na wahubiri watajua wasogeza waya 🏃🏃

  • @HellenaSammy
    @HellenaSammy 2 месяца назад +5

    🔥🔥

  • @ChristinaShikana
    @ChristinaShikana 2 месяца назад +4

    Waoooh be blessed 🙌 ❤

  • @enockedward1783
    @enockedward1783 2 месяца назад +3

    Blessing you More kwa Ibada hii #SaYUNI #CvC #J.kavishe #Live_records

  • @LightnessYusuph-xe1zb
    @LightnessYusuph-xe1zb 2 месяца назад +3

    Kazi nzuri Sana watumishi mbarikiwe 🙏🏽

  • @eliudyahazi9273
    @eliudyahazi9273 2 месяца назад +3

    Kula chuma icho ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @cosrevynewchord2022
    @cosrevynewchord2022 2 месяца назад +4

    Msalimieni sana Benjamini

  • @jamesfrank5703
    @jamesfrank5703 2 месяца назад +3

    You guys are awesome for sure...... Shikamoo kavishe ❤❤❤❤

  • @magrethmkemwa9287
    @magrethmkemwa9287 2 месяца назад +4

    Wateule wa Sayuni..sonear to go🔥🔥

  • @MariamYusuph-ws2ol
    @MariamYusuph-ws2ol 2 месяца назад +3

    Viwango vya juu sana congratulations

  • @stevensempire
    @stevensempire 2 месяца назад +3

    Waiting

  • @georgebrian803
    @georgebrian803 2 месяца назад +2

    Hallelujah amen. Tutaimba kwa pamoja na malaika wa Bwana Yesu Kristo.

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 2 месяца назад +1

    Watu wanalalamika utadhani wao ndo wanajua maono ya hii kwaya wao ndo wanajua MUNGU kawapa maono gani mi naona wanazidi kupanda chati kwa sababu pia wanaenda na wakati Biblia inasema kwa kila wakati kuna majira yake so wapo sahihi kabisa chang'ombe mi nawapends

  • @SuzieMahalu
    @SuzieMahalu 2 месяца назад +4

    Glory to God

  • @PetroPastory
    @PetroPastory 2 месяца назад +3

    Love u so much cvc. GOD BLESS U.

  • @amanvenepula3821
    @amanvenepula3821 2 месяца назад +4

    Wohuuuuuuu😂😂😂😂

  • @samwelchristopher
    @samwelchristopher 2 месяца назад +3

    💞💗💞 balikiwa saanaa 🙏

  • @officialprinah6783
    @officialprinah6783 2 месяца назад +3

    Glory to God ❤

  • @johnnsenga255
    @johnnsenga255 2 месяца назад +3

    Nami penda sana

  • @francischarles5115
    @francischarles5115 2 месяца назад +3

    Utukufu kwa bwana

  • @FrankOsward
    @FrankOsward 2 месяца назад +2

    Kwaya yeyote wakiingia vijana inakuwatatizo .

    • @sebastianandester7630
      @sebastianandester7630 2 месяца назад

      Jamani lakini ni vijana wetu tumewazaa wenyewe, hawawezi kuwa matatizo kama sisi wazazi wao hatujawahi kuwa matatizo.
      Kama kuna matatizo inabidi tuvumilie maana sisi ndio tumewazaa au tutafute namna ya kuwarekebisha.
      Ila mimi nawapongeza sana kwaya hii na hii ni ishara ya kukua na Mungu na awabariki kwa utayari wao.

    • @sebastianandester7630
      @sebastianandester7630 2 месяца назад

      Ili mambo yawe wakati mwingine inabidi tukiri, tuna Imani kwamba siku moja tutafurahia maisha mapya baada ya maisha haya tuliyonayo.

  • @bennymusicmusic
    @bennymusicmusic 2 месяца назад +2

    Wang'oloti lazima tufanye jambo

  • @JarsonKasereka-l7g
    @JarsonKasereka-l7g 3 дня назад

    Aksante

  • @paulmuthiani4265
    @paulmuthiani4265 2 месяца назад +4

    Absolutely amazing. 🔥

  • @user-im7ym7ly8g
    @user-im7ym7ly8g 2 месяца назад +4

    nadhani kadiri hizi nyimbo zinavyotoka ndivyo naona usiku ulikuwa umeshachanganya maana naona audience imesimama na kujiachia naona zile za mwanzo walikuwa wanazoea mazingira 😁😁😁😁😂NGOMA KALI THOUGH.

  • @herifadhili-tw7gc
    @herifadhili-tw7gc 6 дней назад

    Mmetisha sanaaaaaa 🎉🎉❤❤🎉❤🎉

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz 2 месяца назад +2

    Haya sasa kumekucha mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @straton37
    @straton37 2 месяца назад +3

    utukufu..... sayuni

  • @geofreyogachi221
    @geofreyogachi221 2 месяца назад +3

    Amen

  • @IsackNdoshi
    @IsackNdoshi Месяц назад +2

    Rudisheni uimbaji wenu huu hapana

  • @Christ217Masiko
    @Christ217Masiko 2 месяца назад +3

    😂😂🎉🎉🎉🎉mmetisha sana majeshi ya Bwana, 加油💪🎊👌👌

  • @brightonisaack1722
    @brightonisaack1722 2 месяца назад +2

    UWIII HUU WIMBO MBONA SICHOKI KUURUDIA RUDIA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌❤️

  • @maombikonga
    @maombikonga 2 месяца назад +2

    jamani onanana tena😮😮😮😮😮

  • @JohnPabllo
    @JohnPabllo 2 месяца назад +3

    Daaaa ngoma kali sana ya kizazi kipya

  • @rebeccaatemo3487
    @rebeccaatemo3487 2 месяца назад +2

    Waiting....

  • @DeborahMambori
    @DeborahMambori Месяц назад +1

    Ahhh afadhali umbaji wa miaka kumi iliopita.hii ahileti kabisa

  • @shadrackmussa8197
    @shadrackmussa8197 2 месяца назад +2

    Mmetoka kwenye mfumo wenu lindeni identity yenu msifuate usasa

  • @Bandugu-b5p
    @Bandugu-b5p 2 месяца назад +3

    Mbarikiwe sana

  • @venerandadallan6602
    @venerandadallan6602 2 месяца назад +4

    Kwakweli CVC siyo hii,ikiwapendeza muwe na old cvc halafu na hii ya vijana,hamna tena utambulisho wenu ambao uliwapa umaarufu

    • @leahjonathan9726
      @leahjonathan9726 2 месяца назад

      Kwa Mungu nadhan hakuna maarufu! Uimbe ucheze Sana au kidogo bado ni kusifu tu.

  • @dorcasmanda1793
    @dorcasmanda1793 2 месяца назад +2

    Wow,wow,this is on another level

  • @user-hb6jx8xi2s
    @user-hb6jx8xi2s 2 месяца назад +2

    Mungu awabariki watumishi wa Bwana

  • @allenmasongo
    @allenmasongo 2 месяца назад +3

    You guys are really a blessing aisee! 😊

  • @wilfredlucas-nf6yo
    @wilfredlucas-nf6yo 2 месяца назад +2

    Siku hiyo hakuna kulala

    • @daltonpaul5838
      @daltonpaul5838 2 месяца назад +1

      Hutakaa ulale😂😂😂😂😂

  • @silanzuki8627
    @silanzuki8627 2 месяца назад +3

    So fire 🔥 ❤

  • @widsonswalala9696
    @widsonswalala9696 2 месяца назад +2

    Jamani tutakapofika mbinguni itakuwa ni 🔥 🔥 🔥

  • @bettykageza1964
    @bettykageza1964 2 месяца назад +2

    Waoooooh ❤❤❤❤

  • @user-jc4rc3vx4g
    @user-jc4rc3vx4g 2 месяца назад +2

    Amen ❤

  • @andrewmatheka9749
    @andrewmatheka9749 2 месяца назад +2

    Mbarikiwe sana.changombe.

  • @JustinaMasanja-kg5cg
    @JustinaMasanja-kg5cg 2 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @philiptv7442
    @philiptv7442 2 месяца назад +1

    Thankyou CVC for the outcome. fireeeeeeee

  • @victoriajulius7495
    @victoriajulius7495 Месяц назад +1

    mko vzur napenda mnavyoimba live, mtu asiwakwamishe. ila wale masolo watatu msiwaache kwenye huu uimbaji wa live, kama kwenye narudi kushukuru mlinibariki kumuona mmojawapo

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 Месяц назад

      Wako wote mpendwa na tayari wawili wameshaimba bado moja wimbo wake haujaachiliwa utamuona tu

  • @isackobadiah484
    @isackobadiah484 2 месяца назад +1

    Mungu Awabariki Sana Kwa Wimbo Mzurii 🙏🙏

  • @lumulikagisya9380
    @lumulikagisya9380 2 месяца назад +2

    ❤ 🔥 fire

  • @user-pj9rt5tq1m
    @user-pj9rt5tq1m 2 месяца назад +1

    Tunawaamini watumishi wamungu kazi yenu ninjema tunasubilii muiachie tukohap

    • @jesusislord8560
      @jesusislord8560 2 месяца назад

      Kumbe tupo wengi eeh tunausubiri huo eeh😂😂

  • @allystambuly5377
    @allystambuly5377 2 месяца назад +1

    Cvc siyo nilioijua mmeharibu rudini kwenye mfumo wa mwanzo

    • @micky_mimsanii
      @micky_mimsanii Месяц назад

      this guys sing well the main aim ni the message not the beats

  • @carolmutai7248
    @carolmutai7248 2 месяца назад +1

    You can also do the video recording in different geographical places like before.
    Include thr former soloists please.
    In the next songs, kindly do as requested for the glory of God.

    • @venerandadallan6602
      @venerandadallan6602 2 месяца назад

      The old AIC ilikuwa na ladha yake,if possible kuwe na old AIC na hii mpya zikiwa kwaya mbili tofauti,bwana Yesu asifiwe

  • @EmmanuelFanuel-fd2hb
    @EmmanuelFanuel-fd2hb 2 месяца назад +1

    Siku yooo hakuna kulala

  • @emmanuelde555
    @emmanuelde555 2 месяца назад +2

    Wapi like jamani nyimbo kali

  • @rosemutua5948
    @rosemutua5948 2 месяца назад +2

    God bless y

  • @jacobmaliyamungu2473
    @jacobmaliyamungu2473 2 месяца назад +1

    True We will God bless you people's

  • @eliasmateko4462
    @eliasmateko4462 2 месяца назад +1

    Twende sayuniiiiiii

  • @user-be6wl7rb5d
    @user-be6wl7rb5d 2 месяца назад +1

    Mungu awabariki sana kwa kaz nzur

  • @JohnPabllo
    @JohnPabllo 2 месяца назад +1

    💉 hiii ngoma ni dawa

  • @MeshackKija
    @MeshackKija Месяц назад

    Bwana yesu asifiwe wapendwa cvs mko vizuriiii ila wale wamama wasolo

  • @EvalineghatiDavid
    @EvalineghatiDavid 2 месяца назад

    Kwaya ya zamani ilikuwa inanibariki sana wale masolo wameenda wapi wadada watatu

  • @samuellimbu2693
    @samuellimbu2693 2 месяца назад +1

    💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥🙌🙌🙌🙌

  • @yoshuapaul8300
    @yoshuapaul8300 2 месяца назад +1

    Waooo waooo