Mimi ni Yanga lakin kwa umri wake sahivi ulaya haendi bro Umri miaka 28 kwenda ulaya hapana. Pia ukumbuke alikuwa huko na alifel ndo maan akarudi Africa. Hata Pacome alikuwa Sparta Prague huko ndo makuzi yake yalikoanzia so kurud huku ni kwamba hawakufuzu kuendelea huko ulaya.
@@sportsdatatvhuyo ni mfanya biashara hana mapenzi na timu sema ameangalia project yake na yanga vimeendana ana nafasi ya kucheza zaid miaka mingi yanga kuliko huko uarabuni Na wewe unajua waarabu walivyo kwenye wachezaji wetu weusi huwa hawawapi nafasi so wanawaua viwango vyao
Wewe jamaa ukiapata nafasi ya uongozi nchi hii utakuwa fisadi mkubwa kuliko walowahi kutokea. Unaweza hata kumuua mama yako mzazi kwa sababu ya pesa wewe. Yani, unathamini pesa kuliko utu na hata kuliko legitimacy katika maisha yako. Pia, unaamini sana katika kushindwa. Hivi Azizi Ki hawez kuwa wa moto katika umri wa Ronaldo, Messi, D. Bekham, Zinedine Zidane, nk. We vipiiiiii
Si kweli kuwa hataki pesa. Aziz anazo. Anajua kwingineko atakuwaje. Hakubaki kwa ajili ya mapenzi peke yake. Anawazia project, umaarufu wa makombe na uwezo wake anaona ni karibu itatokea Yanga. Friji bovu unaogopa hicho kikitokea mtaaibika wengi. Hersi anapiga hesabu.
Tujifunze ,wanavyo wachukua wzchexaji toka kwetu sio kwa nia njema ila ni kutusngusha tuu. Niyupi alie chukuliwa akenda aendako akafanikiwa ? Wanatunyanganya ili tu watushide nao wazidi kuwa wafalme wa afrika. Tushtukie hii tamaa ya kuuza tuu.
Aziz ki usimlinganishe na wachezaji wengine, yeye ameshacheza hata huko Ulaya,. Kwahiyo ana exposure kubwa inapokuja suala la mafanikio. Haangalii hela tu kama unavyoangalia wewe friji bovu.
Jamaa ww ni chizi kima ww Azizi anaakili kuliko ww mayele mwenyewe hana raha kwahiyo unataka na Azizi wakamfuje ridhika na kidogo kama kinatosha shukulu mungu.pesahazitosh
hongera sana azizi k kipenzi chetu wana yanga
Aziz ki ni Mwamba Sasa tutaonasoka hiii kiboko sana Sasa Tanzania tunaona mpira mkubwa sana
Azizi Ki safi Sana!
Sisi wananchi hatuna jambo dogo! Sasa waambieni pamoja na huyo friji kichaa Azizi Ki miaka 2 !!!!
Friji bovu ,tunajua unaumia sana kwa unachokisema pole sana . Usimalize yote bskizs na kedho siku.
Ni mapenzi makubwa mno Kwa K Aziz ni mapenzi ya dhat
Azizi Ki kuna kitu anatafuta kupitia Yanga,ameona kuna mission ambayo akiikamilisha Yanga,atakuja kuvuna pesa nyingi zaidi.
Azizi ki anajua umahiri wake unahitajikuongezeka nalengola azz ki nikucheza ulaya
ooh kabaki kwa sababu ya mapenzi na timu
Mimi ni Yanga lakin kwa umri wake sahivi ulaya haendi bro
Umri miaka 28 kwenda ulaya hapana.
Pia ukumbuke alikuwa huko na alifel ndo maan akarudi Africa.
Hata Pacome alikuwa Sparta Prague huko ndo makuzi yake yalikoanzia so kurud huku ni kwamba hawakufuzu kuendelea huko ulaya.
@@sportsdatatvhuyo ni mfanya biashara hana mapenzi na timu sema ameangalia project yake na yanga vimeendana ana nafasi ya kucheza zaid miaka mingi yanga kuliko huko uarabuni
Na wewe unajua waarabu walivyo kwenye wachezaji wetu weusi huwa hawawapi nafasi so wanawaua viwango vyao
@@musamagulu2023aende ulaya kufanya nn kama timu zingine za africa zimemtaka kagoma kwenda, kaamua kubaki mwenyewe
Madunduka hawana malengo , wala hawajitambui --- Hawana future '" Wanapenda kudanganyana "
Mbona mlikuwa mnasema ataondoka mmeanza kujikomba
Frij bovu ACHA uchaga, maisha ni upendo na sio pesa
Wewe jamaa ukiapata nafasi ya uongozi nchi hii utakuwa fisadi mkubwa kuliko walowahi kutokea.
Unaweza hata kumuua mama yako mzazi kwa sababu ya pesa wewe.
Yani, unathamini pesa kuliko utu na hata kuliko legitimacy katika maisha yako.
Pia, unaamini sana katika kushindwa. Hivi Azizi Ki hawez kuwa wa moto katika umri wa Ronaldo, Messi, D. Bekham, Zinedine Zidane, nk.
We vipiiiiii
Daaaah yani tulishaanza kufurahi ila awa jamaa awawezi kutuacha tukae na furaha sku mbili walau 😢
Ungetafuta kwanz interview ya mama yake Aziz 2 years ago i think usingekuwa nachakuongea
Ni upuuzi mnachojadili eti friji bovu eti kaka yake feisal pumbavu tu.
Apa Tff inabidi waweke waamuzi wazuri na viwanja viboreshwe kabla ligi haijaanza
Si kweli kuwa hataki pesa. Aziz anazo. Anajua kwingineko atakuwaje. Hakubaki kwa ajili ya mapenzi peke yake. Anawazia project, umaarufu wa makombe na uwezo wake anaona ni karibu itatokea Yanga. Friji bovu unaogopa hicho kikitokea mtaaibika wengi. Hersi anapiga hesabu.
😂😂😂 ebu soma ulicho andika kwanza
Kwahio hapa yanga halipwi hela anapewa mawe kachambe huko
Tunanua ulitamani sana aondoke Shindwa kwa wizu wako.
wee aziz bado sana wee acha zako dogo ana utajiri ata wakala wake anatambua ilo na msije mroga shenzi zenu
Wewe friji Bovu pewa haina kikomo na pesa kila siku ni tamu, Azizi K karidhika na kiasi anachopata Hana tamaaa hizo unazofosi
Kusema Azizi Amekosea Hapo umec hemka kwani Angeenda Huko unapofikoria kumhemgonga Atanyeje? Bora kubaki uoma Mayele lengo Ni kufuja Sio kutaka mchezaji
Firiji bovu nimekukubali
Kwaiyo ushauli wako ni nini
Wewe friji kichaa ulikuwepo na ukaona hizo milioni 35?
Acha ushamba uchambuIgani huo acha kumpandikiIa aziI ujingo
Pasco kolo 100%
Huyo ni copy ya Ngasa tu ,sasa hivi Ngasa hakuna anaye mtambua
Tujifunze ,wanavyo wachukua wzchexaji toka kwetu sio kwa nia njema ila ni kutusngusha tuu. Niyupi alie chukuliwa akenda aendako akafanikiwa ? Wanatunyanganya ili tu watushide nao wazidi kuwa wafalme wa afrika. Tushtukie hii tamaa ya kuuza tuu.
Si kumkubali tu! Huyu kavamia fani?
Hayo ya simba ni maumivu natamaa kama usemavyo. Huo tunauita umakolo.
Mikisone kachagua maisha na hey foot ball ikapoteae😅😅😅
Mikisone kachagua maisha na pesa nyingi zaidi yupo wapi kapotea😊😊
Kwaniumeeona Hana Hela?
Malengo yake unayajua ww acha kuingilia plan za mtu
Kwani AZIIZ KI AMESAINI LEO ??
Makolo wanaumia cn
Kwa hio hela aliopewa yanga ni ndg?
AZIZI KI BADO YUPO SANA
Aziz ki usimlinganishe na wachezaji wengine, yeye ameshacheza hata huko Ulaya,. Kwahiyo ana exposure kubwa inapokuja suala la mafanikio. Haangalii hela tu kama unavyoangalia wewe friji bovu.
Hakupata ofa kama hiyo ni uongo tu huo mapenzi gani hayo kwan akishuka kiwango yanga watampenda? Achen uongo wenu
Aseme ni timu Gani ilimtaka Aziz kakataa huyu jamaa muongo sana
Pesa bila si chochote
Wachambizi. Wa. Bongo nyinyi niwanafuki Sana kumbuka wewe firiji bovu kumbuka ulichokisema Jana munajisemea hamuna akiri kabisa
Nilijua hutaweza kumaliza bila kumzungumzia cha. Hayo ndo mapenzi. Hayo ya offer yanakuhusu wewe. Huo sio uchambuzi ni unazi na ushabiki wa simba.
Jamaa ww ni chizi kima ww Azizi anaakili kuliko ww mayele mwenyewe hana raha kwahiyo unataka na Azizi wakamfuje ridhika na kidogo kama kinatosha shukulu mungu.pesahazitosh
Sikuwambia Hilo zuzu! Pumba zake mnazisikia!
Huyu jamaa sijawahi mkubali , ameumia sana kuona Aziz kabaki , maana juzi TU alikuwa anasema anaenda Simba
Nilijua hutaweza kumaliza bila kumzungumzia cha. Hayo ndo mapenzi. Hayo ya offer yanakuhusu wewe. Huo sio uchambuzi ni unazi na ushabiki wa simba.
Jaman siku akiondoka Injinia hers ndio itakua kushuka Kwa Yanga Afrika
We fala sanatenasan mshenzi wee.