FRIJI BOVU : AZIZ KI AFUNGUKA SABABU 5 ZILIZOMFANYA ASAINI MIAKA 2 YANGA | GSM NA KUFURU YA PESA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 57

  • @DenisMsanzya-kc7bv
    @DenisMsanzya-kc7bv 17 дней назад +2

    hongera sana azizi k kipenzi chetu wana yanga

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 18 дней назад +5

    Aziz ki ni Mwamba Sasa tutaonasoka hiii kiboko sana Sasa Tanzania tunaona mpira mkubwa sana

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 18 дней назад +2

    Azizi Ki safi Sana!

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 18 дней назад +2

    Sisi wananchi hatuna jambo dogo! Sasa waambieni pamoja na huyo friji kichaa Azizi Ki miaka 2 !!!!

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali1747 18 дней назад +1

    Friji bovu ,tunajua unaumia sana kwa unachokisema pole sana . Usimalize yote bskizs na kedho siku.

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 18 дней назад +3

    Ni mapenzi makubwa mno Kwa K Aziz ni mapenzi ya dhat

  • @chrisantusnditi8670
    @chrisantusnditi8670 18 дней назад +2

    Azizi Ki kuna kitu anatafuta kupitia Yanga,ameona kuna mission ambayo akiikamilisha Yanga,atakuja kuvuna pesa nyingi zaidi.

  • @AllyBardan
    @AllyBardan 18 дней назад +7

    Azizi ki anajua umahiri wake unahitajikuongezeka nalengola azz ki nikucheza ulaya

    • @sportsdatatv
      @sportsdatatv  18 дней назад +2

      ooh kabaki kwa sababu ya mapenzi na timu

    • @musamagulu2023
      @musamagulu2023 18 дней назад

      Mimi ni Yanga lakin kwa umri wake sahivi ulaya haendi bro
      Umri miaka 28 kwenda ulaya hapana.
      Pia ukumbuke alikuwa huko na alifel ndo maan akarudi Africa.
      Hata Pacome alikuwa Sparta Prague huko ndo makuzi yake yalikoanzia so kurud huku ni kwamba hawakufuzu kuendelea huko ulaya.

    • @musamagulu2023
      @musamagulu2023 18 дней назад

      ​@@sportsdatatvhuyo ni mfanya biashara hana mapenzi na timu sema ameangalia project yake na yanga vimeendana ana nafasi ya kucheza zaid miaka mingi yanga kuliko huko uarabuni
      Na wewe unajua waarabu walivyo kwenye wachezaji wetu weusi huwa hawawapi nafasi so wanawaua viwango vyao

    • @creedjey
      @creedjey 17 дней назад

      ​@@musamagulu2023aende ulaya kufanya nn kama timu zingine za africa zimemtaka kagoma kwenda, kaamua kubaki mwenyewe

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 18 дней назад +1

    Madunduka hawana malengo , wala hawajitambui --- Hawana future '" Wanapenda kudanganyana "

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 18 дней назад +1

    Mbona mlikuwa mnasema ataondoka mmeanza kujikomba

  • @user-sl8pg1vr3j
    @user-sl8pg1vr3j 18 дней назад

    Frij bovu ACHA uchaga, maisha ni upendo na sio pesa

  • @melysackacademy
    @melysackacademy 17 дней назад

    Wewe jamaa ukiapata nafasi ya uongozi nchi hii utakuwa fisadi mkubwa kuliko walowahi kutokea.
    Unaweza hata kumuua mama yako mzazi kwa sababu ya pesa wewe.
    Yani, unathamini pesa kuliko utu na hata kuliko legitimacy katika maisha yako.
    Pia, unaamini sana katika kushindwa. Hivi Azizi Ki hawez kuwa wa moto katika umri wa Ronaldo, Messi, D. Bekham, Zinedine Zidane, nk.
    We vipiiiiii

  • @ErickJeremiah-ww3ez
    @ErickJeremiah-ww3ez 18 дней назад

    Daaaah yani tulishaanza kufurahi ila awa jamaa awawezi kutuacha tukae na furaha sku mbili walau 😢

  • @gracelema2374
    @gracelema2374 17 дней назад

    Ungetafuta kwanz interview ya mama yake Aziz 2 years ago i think usingekuwa nachakuongea

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 16 дней назад

    Ni upuuzi mnachojadili eti friji bovu eti kaka yake feisal pumbavu tu.

  • @creedjey
    @creedjey 17 дней назад

    Apa Tff inabidi waweke waamuzi wazuri na viwanja viboreshwe kabla ligi haijaanza

  • @alexandernkwamah5905
    @alexandernkwamah5905 18 дней назад

    Si kweli kuwa hataki pesa. Aziz anazo. Anajua kwingineko atakuwaje. Hakubaki kwa ajili ya mapenzi peke yake. Anawazia project, umaarufu wa makombe na uwezo wake anaona ni karibu itatokea Yanga. Friji bovu unaogopa hicho kikitokea mtaaibika wengi. Hersi anapiga hesabu.

    • @user-wt8nt7pb2y
      @user-wt8nt7pb2y 18 дней назад

      😂😂😂 ebu soma ulicho andika kwanza

  • @sadickjuma7264
    @sadickjuma7264 17 дней назад

    Kwahio hapa yanga halipwi hela anapewa mawe kachambe huko

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali1747 18 дней назад

    Tunanua ulitamani sana aondoke Shindwa kwa wizu wako.

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p 18 дней назад

    wee aziz bado sana wee acha zako dogo ana utajiri ata wakala wake anatambua ilo na msije mroga shenzi zenu

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 18 дней назад

    Wewe friji Bovu pewa haina kikomo na pesa kila siku ni tamu, Azizi K karidhika na kiasi anachopata Hana tamaaa hizo unazofosi

  • @seifmohammed9167
    @seifmohammed9167 18 дней назад

    Kusema Azizi Amekosea Hapo umec hemka kwani Angeenda Huko unapofikoria kumhemgonga Atanyeje? Bora kubaki uoma Mayele lengo Ni kufuja Sio kutaka mchezaji

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 18 дней назад

    Firiji bovu nimekukubali

  • @upendoomary1921
    @upendoomary1921 18 дней назад +1

    Kwaiyo ushauli wako ni nini

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 18 дней назад

    Wewe friji kichaa ulikuwepo na ukaona hizo milioni 35?

  • @user-vc8rk4qn5z
    @user-vc8rk4qn5z 17 дней назад

    Acha ushamba uchambuIgani huo acha kumpandikiIa aziI ujingo

  • @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
    @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts 18 дней назад

    Pasco kolo 100%

  • @jimmymhina1264
    @jimmymhina1264 18 дней назад

    Huyo ni copy ya Ngasa tu ,sasa hivi Ngasa hakuna anaye mtambua

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali1747 18 дней назад

    Tujifunze ,wanavyo wachukua wzchexaji toka kwetu sio kwa nia njema ila ni kutusngusha tuu. Niyupi alie chukuliwa akenda aendako akafanikiwa ? Wanatunyanganya ili tu watushide nao wazidi kuwa wafalme wa afrika. Tushtukie hii tamaa ya kuuza tuu.

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 18 дней назад

    Si kumkubali tu! Huyu kavamia fani?

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali1747 18 дней назад

    Hayo ya simba ni maumivu natamaa kama usemavyo. Huo tunauita umakolo.

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 18 дней назад

    Mikisone kachagua maisha na hey foot ball ikapoteae😅😅😅

    • @suleimanmwenyemvua995
      @suleimanmwenyemvua995 18 дней назад

      Mikisone kachagua maisha na pesa nyingi zaidi yupo wapi kapotea😊😊

  • @user-vc8rk4qn5z
    @user-vc8rk4qn5z 17 дней назад

    Kwaniumeeona Hana Hela?

  • @Jarden-Mills
    @Jarden-Mills 18 дней назад

    Malengo yake unayajua ww acha kuingilia plan za mtu

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 18 дней назад

    Kwani AZIIZ KI AMESAINI LEO ??

  • @monicaMihangwa
    @monicaMihangwa 18 дней назад

    Makolo wanaumia cn

  • @user-jx3yi9ci7g
    @user-jx3yi9ci7g 18 дней назад

    Kwa hio hela aliopewa yanga ni ndg?

  • @ARFHONSIMGIMBA
    @ARFHONSIMGIMBA 18 дней назад

    AZIZI KI BADO YUPO SANA

  • @deokibona2835
    @deokibona2835 18 дней назад

    Aziz ki usimlinganishe na wachezaji wengine, yeye ameshacheza hata huko Ulaya,. Kwahiyo ana exposure kubwa inapokuja suala la mafanikio. Haangalii hela tu kama unavyoangalia wewe friji bovu.

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 18 дней назад

    Hakupata ofa kama hiyo ni uongo tu huo mapenzi gani hayo kwan akishuka kiwango yanga watampenda? Achen uongo wenu

    • @paulmwandambo7799
      @paulmwandambo7799 18 дней назад

      Aseme ni timu Gani ilimtaka Aziz kakataa huyu jamaa muongo sana

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q 18 дней назад

    Pesa bila si chochote

  • @omarmakore6919
    @omarmakore6919 18 дней назад

    Wachambizi. Wa. Bongo nyinyi niwanafuki Sana kumbuka wewe firiji bovu kumbuka ulichokisema Jana munajisemea hamuna akiri kabisa

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali1747 18 дней назад

    Nilijua hutaweza kumaliza bila kumzungumzia cha. Hayo ndo mapenzi. Hayo ya offer yanakuhusu wewe. Huo sio uchambuzi ni unazi na ushabiki wa simba.

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 17 дней назад +1

    Jamaa ww ni chizi kima ww Azizi anaakili kuliko ww mayele mwenyewe hana raha kwahiyo unataka na Azizi wakamfuje ridhika na kidogo kama kinatosha shukulu mungu.pesahazitosh

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 18 дней назад

    Sikuwambia Hilo zuzu! Pumba zake mnazisikia!

  • @paulmwandambo7799
    @paulmwandambo7799 18 дней назад

    Huyu jamaa sijawahi mkubali , ameumia sana kuona Aziz kabaki , maana juzi TU alikuwa anasema anaenda Simba

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali1747 18 дней назад

    Nilijua hutaweza kumaliza bila kumzungumzia cha. Hayo ndo mapenzi. Hayo ya offer yanakuhusu wewe. Huo sio uchambuzi ni unazi na ushabiki wa simba.

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 18 дней назад +1

    Jaman siku akiondoka Injinia hers ndio itakua kushuka Kwa Yanga Afrika