WACHUNGAJI WANAOFANYA MAOMBI KWA KUDHALILISHA WAUMINI KUKIONA CHA MOTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • WACHUNGAJI WANAOFANYA MAOMBI KWA KUDHALILISHA WAUMINI KUKIONA CHA MOTO
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 33

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 2 года назад +1

    Kuna tofauti gani kati ya Mtume na Nabii....!?

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 2 года назад

    Ati mitume na manabii.
    Sasa mtume ama nabii, utume na unabii mmejipa wenyewe, Mungu wa kweli hana habari za utume wenu wala unabii wenu, endeleeni na maigizo yenu tu.

  • @assiahassan2671
    @assiahassan2671 2 года назад +1

    Mtume na Manabi🤔

  • @abdalaalmas2535
    @abdalaalmas2535 2 года назад

    Hahahahahaha eti mitume na madabii,jamani acheni maigizo nyinyi.

  • @bibliakitabukitamu6015
    @bibliakitabukitamu6015 2 года назад

    Waongo wote Hawa mitume Amna kitu Ata walio koment ni washabiki nao hawajui lolote..... Tubuni na Kuamini Injili

    • @Dorcusfire-v9m
      @Dorcusfire-v9m 2 года назад

      Akili huna

    • @bibliakitabukitamu6015
      @bibliakitabukitamu6015 2 года назад

      @@Dorcusfire-v9m Nitafutie Chizi Anaeweza Sema maneno kama haya..... Kiufupi kama wewe Ni prophet ni mwongo chukua hiyo muongo mchana muongo usiku..... Nyinyi ni waongo Hakuna lolote mlilonalo na maprophet mmeanza kuwa wanasiasa aibu yenu

  • @yusufm1
    @yusufm1 2 года назад

    This is getting out of hand

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 2 года назад

    Hapo kuna Utume gani Nabii ganu huo..kuona tuou za watu au Wabawaje,hayo ni maasi makubwa saaana kwenu etnu Viongozi wa Dini hui ni upotofu n Udhalilishaji mno! SIO DINI HIO NI BIASHARAA kuweni macho,yaoo zamani,wakichujua watoto lbada y usiku n kuwaharibu.hayo hamkiyajua ??

    • @assiahassan2671
      @assiahassan2671 2 года назад

      @Eliashibu Ndabalinze Mtume wetu hajachezea wtto wadogo uwo ni udhalilishaji wa Hali yaju,na hao ma ustadh ambao wanafanyanyia wtto vitendo vibaya ni tabia zao mbaya sio mafundisho ya dini ,usirudie kuongea upuuzi wako kuhusu Mtume wa mwenyez Mungu na kumfamanisha na hawo manabi wa mchongo LAANA Ya Mwenyez Mungu isije ikakushukia

    • @assiahassan2671
      @assiahassan2671 2 года назад

      @Eliashibu Ndabalinze Kaka unielewe vzr mm sijakustopisha sikujui na Wala hunijui na kilichonipa nguvu ya kukujibu au kukukumbusha ni kutaka kumfananisha Mtume wa Mwenyez Mungu na SS sio vzr ungeongelea hawo Ma ustadh hata comment yangu usingeiona ,na unisamehe nilipokukwaza maana kila MTU ana Iman yake

    • @bibliakitabukitamu6015
      @bibliakitabukitamu6015 2 года назад

      @Eliashibu Ndabalinze NA Sema hiviii wote ni waongo Hakuna cha hao wenu wala huyu WA waislam waongo

  • @lispamagu5810
    @lispamagu5810 2 года назад

    Pemben ya rais namuona yule dada alie mwambia yule alikuwa anamuombea piga kerere 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yusufm1
    @yusufm1 2 года назад

    Unakuwaje mtume au nabii na unadhalili mwanamke??

  • @yusufm1
    @yusufm1 2 года назад

    Taasisi ya MaNanabii ni ipi?

  • @yustomlay4422
    @yustomlay4422 2 года назад

    Hahaha hahaha manabiii na mitume

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim1975 2 года назад

    Hahahaha

  • @yustomlay4422
    @yustomlay4422 2 года назад

    Rais wa mitume na manabii

  • @omaryteddy62
    @omaryteddy62 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣Mitume na manabi nani kawapa utume na unabi muna jitia zambi tu

    • @Dorcusfire-v9m
      @Dorcusfire-v9m 2 года назад

      Hujui unalo lisema

    • @omaryteddy62
      @omaryteddy62 2 года назад

      @@Dorcusfire-v9m kumbe na wewe mtume ndiyo mana una hasila🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 talatibu wewe acha ujinga wewe nani kawa roga

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 года назад

    huo utume na unabii mmepewa na nani???lol..waumini wenyewe ndio wajinga,kwa kufata MIUJIZA BADALA YA KUFATA NENO LA MUNGU

    • @Dorcusfire-v9m
      @Dorcusfire-v9m 2 года назад

      Sasa kinakuhusu nn nendq nq ww kqfanye miujiza

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 года назад

      @@Dorcusfire-v9m JIFUNZE KUANDIKA KISWAHILI..sikiliza au angalia hiyo clip.. Wangemtia dadako,mwanao wa kike au hata mkeo ndo ungejua kinachoongelewa hapa, nafikiri hata wewe ingekuhusu.Ndo nyie! Eti prophet David! ungekaa kimya tu,,,haya makanisa ya wahuni inabidi yafungwa kabisa .Sasa hivi kila mtu nabii mtume.What a nonsense! YAAN mmekua kero katika jamii..LAKINI WAJINGA ni hao waumini wao pia..Tangia lini kutiwa na hao wapumbavu ukabarikiwa?

  • @Maalim_Samatta
    @Maalim_Samatta 2 года назад

    Nabii kapiga auti na tai, nabii hana hata ndevu, yaani hata kumuiga yesu mmeshindwa. Yesu alikuwa na mzuzuwa kiume kama osama bin laden. Hivi hamumuoni??? Acheni kuongopeana.

    • @Dorcusfire-v9m
      @Dorcusfire-v9m 2 года назад

      Umewahi kumuona Yesu mwenye ndevu wqpi?, acha ujinga ww

  • @alitwaqwa739
    @alitwaqwa739 2 года назад

    acheni kukufuru mtume wa mwisho ni Muhamadi tu

    • @patrickmsekwa4947
      @patrickmsekwa4947 2 года назад

      Acheni upumbavu

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 года назад

      HIYO NI IMANI YAKO,KILA MTU ANA IMANI YAKE

    • @prayerstv8416
      @prayerstv8416 2 года назад

      Waefeso 4:11 Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa Manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;
      Waefeso 4:12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili mwili wa Kristo ujengwe.
      Ndugu hilo ni neno la Mungu na maneno ya watu.
      Nataka niseme kwamba wanadamu wana maneno lakini Mungu ana neno.
      Kwa wewe ambaye ni unamwamini Yesu Kristo embu jijengee tabia ya kusoma Biblia na si kukurupuka kiushabiki na kuwapinga watumishi wa Mungu na hata Biblia yako mwenyewe angali unajiita mkristo na tena unasema una mwamini Yesu
      Wewe ambaye huamini juu ya Biblia pia hulazimimishwi kuamini ila nakuambia neno la Mungu litasimama hata yajapopita mambo yote.
      Maandiko hapo juu yanatuambia kuwa Yesu alitoa wengine kuwa mitume, Manabii, wainjilisti, wachungaji na waalimu
      Waefeso 4:11
      Siyo mimi ninayesema jamani bali Biblia Takatifu.
      Mitume wapo na Manabii hata leo wapo kwa mujibu wa maandiko haya hivyo wewe unayemwamini Yesu Kristo iamini Biblia Takatifu maana ndicho kitabu kinachotuongoza sisi tuliyo wakristo.
      Watu wa Mungu kama imani yako haiamini juu ya Biblia haulazimishwi kuamini juu ya Biblia ila saa yaja utaijua kweli na kweli itakuweka huru.
      Kama imani yako inakuambia nabii wa mwisho au Mtume wa mwisho alikuwa fulani haulazimishwi kuamini kuwa hata leo kuna mitume na Manabii.
      Kwenye maswala ya kiimani kila mtu abaki na imani yake watu wa Mungu tupendane, tusipingane kwa maneno yetu bali tusome vitabu vyetu vya dini na tuone jinsi Mungu anavyosema nasi kupitia hivyo vitabu.
      Tuepuke kuwapiga vita watumishi wa Mungu wa imani yoyote kwa sababu Mungu ndiye aliyewaita.
      Na mwisho kabisa tusome vitabu vyetu vya dini ila tuwe na maarifa ya na si kuongea tusichokijua.
      Kwa utafiti niliyofanya nimegundua kuwa watu wengi hawana muda wa kusoma vitabu vya dini bali wana muda wa kusoma magazeti na vitabu vingine.
      Jamani tubadilike maana mbingu ipo na jitahidi usije ukaikosa kwa sababu hukutaka kufuata sheria ya Mungu.
      Tupendane watu wa Mungu kwa imani zote na si kugombana

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 года назад

      @@prayerstv8416 Usipotoshe watu hapa!!!Kwahiyo wewe unshabikia hao so manabii na mitume kuwatia watoto wa watu?wangemtia mkeo au mwanao ungeongea haya?.Hao unaongelea wewe[kwanza hawapo] sio tunao discuss hapa!!na je utasemaje kwa wale YESU mwenyewe aliposema 'watakuja wengi kwa jina langu'.....??? si ndo nyie?We r not stupid