ABEE SHEM... 6 S2 : SIMULIZI MAPENZI USALITI, UPELELEZI ,MAPIGANO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 43

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 Месяц назад +6

    Wakwanza jamani kwa simulizi hii imenoga kweli kweli 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 Месяц назад +6

    ❤❤ndani ya muda wadau

  • @user-rc3om5hs9i
    @user-rc3om5hs9i Месяц назад +6

    Namimi nipo wadau wenza mukigeuka tupia like hapa naamini kaul ya cherrwa ufike nimefika watu wang simulizi nitam sana💯❤❤🪑🎧🏃

  • @Rais__772daughters
    @Rais__772daughters Месяц назад +4

    Pamefikia vinzuri yaani fun simulizi mix wanapenda sehemu kama hii ina ungovi yaani pale hamna amani ndio furaha ipo😅😅❤

  • @user-ez6cy4pj8z
    @user-ez6cy4pj8z Месяц назад +3

    Woooouuu!!acha tuone Amedy atafanya nini..thanks director

  • @msimhassan
    @msimhassan Месяц назад +3

    🔥🔥🔥

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n Месяц назад +7

    Mapemaaaaaaaaa!!!🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️ mi nataman hii ndoa ife maan ni full uchafu tu yusrat umetushinda tabia

    • @SabrinaAlimas
      @SabrinaAlimas Месяц назад

      😂😂😂 bado ujasemaa

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n Месяц назад

      Ananikera tabia zake huyu hakuna mshenzi km yusrat

    • @user-rc3om5hs9i
      @user-rc3om5hs9i Месяц назад

      Hakika huyu dada Pepo langono Lili mkaba ad kichefuchefu

  • @kuruthumshaban460
    @kuruthumshaban460 Месяц назад +2

    Hatimaye ndoa inaenda kufa bora aisee

  • @ramadhanimchuruza7754
    @ramadhanimchuruza7754 Месяц назад +5

    Nimewachia mtambeee ili nikirudi namba 1 msilaumu😊

  • @user-yk8em1bh8g
    @user-yk8em1bh8g Месяц назад +3

    ❤❤❤

  • @FatumaChilolemngumi
    @FatumaChilolemngumi Месяц назад +3

    Ndoa itakuwa ndowano sasa

  • @user-rc3om5hs9i
    @user-rc3om5hs9i Месяц назад +8

    Yaan wanaume kunawakati huteseka bla kujua ikiwemo kukosa vitu vya maana kwasbabu ya mwanamke ahimed namwonea huruma aisee

  • @swabrinamwaka2437
    @swabrinamwaka2437 Месяц назад +6

    Wa kwanzaaaa❤❤❤ like jamani

  • @user-ft7ve3jf3k
    @user-ft7ve3jf3k Месяц назад +3

    Mm hta naboeka cjpta part 3 & 4😢😢

  • @happynessmassawe4721
    @happynessmassawe4721 Месяц назад +2

    Huyo dada wa kaz ananikumnusha mdada mmoja ivi alinifanyia hivyohivyo Mungu aibariki ndoa yake

  • @Evelynmoreen3655
    @Evelynmoreen3655 Месяц назад +3

    Ukisikia za mwizi 40 Yusrati zake zimefika tena kwakishindo mwanamke mbaya sasa Ahmed akijuwa hata watoto sio wa kwake asieeeee hapo nimwendo wakujitia kitanzi😢😢😢😢😢😢

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Месяц назад +3

    Huyuu yusraa hakika nigubu yani makosa anayaongezaa halafuu uongoo kweli kweli

  • @user-tc8zn1sl6s
    @user-tc8zn1sl6s Месяц назад +3

    YANI MIMI NIMEISHIWA KWAKWELI NAUYUDADA

  • @AnnaMelikion
    @AnnaMelikion Месяц назад +3

    Hii simulizi Apana Jaman .inanitia hasira San 😡😡😡 Yani Ahamed yote anayofanyiwa dah😭😭😭

  • @user-mh5ve4ly9g
    @user-mh5ve4ly9g Месяц назад +3

    Ivi huyu yusrah hawa watoto hata wabemenda 😂😂

    • @user-rc3om5hs9i
      @user-rc3om5hs9i Месяц назад

      Ata hajal km anawaacha wanaumwa😅

    • @user-mh5ve4ly9g
      @user-mh5ve4ly9g Месяц назад

      @@user-rc3om5hs9i Yani me ananikera t bola hata Sili ifichuke

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n Месяц назад +4

    Half ahmed madem zake wote wana mapepo ya ngono sio hajrat wala yusratii huyu kaka ana mkosi kwa kweli japo na yy akilewa genye zinachemka ana hahaa kaa mbwa kaona jalala jipyaa😅😅😅😅😅

    • @aminanimbona1861
      @aminanimbona1861 Месяц назад

      Ahmed ndo alimchanganyaga Hajrat kipindi wapo shuleni Toka apo ndo pepu langono limemshika hajrat😂😂😂

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n Месяц назад

      😄😄Mmmm ngoja tuone mwisho wa hawa watu. Ujue hd nasikia hasira yusrat ni mchafu mnoo san nawahurumia watoto basiii

  • @MwanaMpole-mo5di
    @MwanaMpole-mo5di Месяц назад +2

    Umetuwacha na ,????

  • @twinssauditwinssaudi7248
    @twinssauditwinssaudi7248 Месяц назад

    Shukran

  • @user-rc3om5hs9i
    @user-rc3om5hs9i Месяц назад +2

    Yusrat hakili hana kbsa nidebe tup, dah! Huo mkopo ataukabili vp hanakazi wala biashara bado anaongeza makosa akizan anaficha au kuyapunguza

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 Месяц назад +2

    Lakin this time ndoa inakufa mazima maan mashahidi wamefika watatu naikipona itakuwa nidawa sio bure

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 Месяц назад +1

    Mbona tenaa yaani mumechelewesha mambo Hemedy 😂😂Alikuwa anafatwa pale pale alipomgawanyisha Nusrat mashariki na magharibi nanyi muinfie hpo hpo tuone mambo yatakavyokuwa matamu😂😂😂😂ss mwamfata Fata hdi wpi😅

  • @SabrinaAlimas
    @SabrinaAlimas Месяц назад +4

    🔥🔥🔥🫡

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah5713 29 дней назад

    Aki huyu yusrat mujinga sana ananikasirisha sana hamed anateseka kwa familia yusrat ni kubomoa

  • @aminanimbona1861
    @aminanimbona1861 Месяц назад +3

    Wanawake kama huyu Yusrat wapo kweli ivi tukiuliwa na wanaume tutakuwa tumeonewa kweli uchafu huu unaufanya kwa mumeo na pesa zake unahonga mjinga mwenzio jamani jamanii huu ni ushetani

    • @AnnaMelikion
      @AnnaMelikion Месяц назад

      😢😢😢 Dah huyu Yusuraty 😡 mbwa kabisa

  • @user-pt6ll3to4t
    @user-pt6ll3to4t Месяц назад +3

    Li Yusrat linakela na linatia hasira. Hadi nahisi kukachukia

    • @AnnaMelikion
      @AnnaMelikion Месяц назад

      Mimi natamani nimuue kabisa 😂😂

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 18 дней назад

    Mrejesho vp ilikuweje
    Kuhusu watoto waliokuwa hospitali na mfanyakazi,ikikuweje walilazwa

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Месяц назад

    Wadau Amani ya Mwenyezimungu iwekwenu jamani jamani uyu Yusulat anakica siuzinzi uyo rararara😂😂😂😂😂 wanaume wako kama Hemmed nawapapore atamahugusoma atapica huoni nigusame nagusame nisikirize ntarudi badaaye😭😭😭😭

  • @swalharajab8365
    @swalharajab8365 Месяц назад +1

    mbona simuliz iko hivo ..kipande cha watt yusrath alivyomwacha then shaghal kumpeleka hospital ilikuaje ....kuna vipande kibao vinaachwa havimaliziki mara vyarukwa ....mtunzi bado hujakomaa kwenye utunzi wako....ni maoni ya msikilizaji 😖

  • @khadijasayeed3381
    @khadijasayeed3381 Месяц назад

    Yaan huyu Yusrat ni mbwaaaaaa😡😡😡